TARIQ KIPEMBA ALIYEMWAGIWA ACID, ASIMULIA UKWELI WAKE MWINGINE BAADA YA JICHO LAKE MOJA KUWEZA KUONA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 1,2 тис.

  • @fofo_Amigo254
    @fofo_Amigo254 Рік тому +126

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 no matter what he's still handsome
    Be strong bro😢

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Рік тому +4

      Wamemuonea wivu bwana 😢😭 hii ni wivu kabisa!

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 6 місяців тому +4

    We love you Tariq. Maneno yako yanabatiki watu wengi na yanafungua macho wanaojipoteza ufahamu…..wajue Mungu yupo anaona kila kitu na kila mtu atawajibishwa hapa hapa diniani kabla hata ya kwenda ahera. Kila chozi la mnyonge litalipiwa haki

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 6 місяців тому +3

    Tariq nimekusikiliza kwa makini wewe ni mwanaume hasa. Very smart, Jasiri mpenda haki na mwenye busara na hekima. Uko vizuri kichwani na moyoni na uko handsome Mungu akutetee zaidi na zaidi.
    Vita umeshaishinda wala usiogope kitu

  • @queendollie8792
    @queendollie8792 Рік тому +99

    Dear Lord i come before you this evening am asking you to please give this young man hope, assurance, peace and faith in you, Lord Jesus umejibu maombi mengi ya watu nakuomba ukamjibu na huyu pia, wewe ni Mungu usiye shindwa, Mungu wa Musa, Abraham na Elijah nakuomba umtie nguvu na furaha kijana huyu, umejidhihirisha kwenye maisha yake kwa kumfanya kua hai inspite of everything he went through basi ukamfanye akutegemee wewe na kila mtu atakaye muona akapate kukuona wewe in Jesus Name Amen🙏

  • @halimamashimba4424
    @halimamashimba4424 Рік тому +67

    Maneno yako ya mwisho yameniliza sana kijana 😭😭😭Mungu atakutetea na haki yako haitapotea mwenyezi Mungu akulinde tu sana na azidi kukupa aman ya moyo kama hivyo ulivyoona dah! Una amani mpaka raha, sijawahi ona mwenye haki ameachwa Amina Mungu yupo pamoja nawe ameshakushindia 🙏

    • @SamSung-do9xc
      @SamSung-do9xc Рік тому

      Pole sana taliq Allah akusimamie malipo ni hapa hapa nae atalipwa inshallah 😢

    • @mwananganzi
      @mwananganzi Рік тому

      Pole sana Tariq Jamani Mungu atakulipa INSHAALAH

  • @zahornassor5420
    @zahornassor5420 Місяць тому +1

    Tariq pole sana , Dhuluma lazima ilipwe na ww Allah atakupa faraja huwezi amini

  • @xclusivebtz7516
    @xclusivebtz7516 Рік тому +87

    I feel his Tears😭😭😭😭 bro May our God of heaven heals and guides you

    • @GraceTemba-nx3mw
      @GraceTemba-nx3mw Рік тому

      😭😭😭

    • @melangongo6490
      @melangongo6490 Рік тому

      🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭

    • @mariaokiring1519
      @mariaokiring1519 Рік тому

      his mission was to make him suffer alot OMG 😢😢😭😭😭 one thing I know there's God in heaven 😭😭😭😭

  • @marylazaro4625
    @marylazaro4625 Рік тому +5

    Huwenda aliyemfanyia Hivi yupo anaangalia hii interview ... Kama upo... Muombe Mungu msamaha... Tubu tu! Kisha kamuombe msamaha TARQ

  • @teckie__songsofworship6680
    @teckie__songsofworship6680 Рік тому +25

    To everyone watching and reading this may God bless you and your family and may thy Lord protect you from all evil plans and peaceful life be your portion in Jesus Mighty Name Amen 🙏🙏.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Рік тому +1

    Tariq! Baba Pole sana. Mtegemee Allah.
    You will stand on two feet.
    Allah naomba mlipie Tariq wetu kwa kumfedhehesha na kumuadhibu alofanya unyama huu.

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Рік тому +28

    Pole sana mdogo Mungu yupo pamoja na ww 😭😭 huyo muhalifu alaaniwe daima

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Рік тому +71

    Allah kareem,,,you still handsome Tariq,,,,I pray for you broo,, INSHA'ALLAH 👏 and Allah he's with you

    • @musamsawanga9266
      @musamsawanga9266 Рік тому +2

      Tatizo atembea na wake za watu(Mario) na jamaa alishaonywa

    • @itNeza
      @itNeza Рік тому

      ​@@musamsawanga9266 Jamani na Wao Yani usoni Tuu ? 😢 Ila aliye onja anajua Mashini ilivyo anaweza akarudi tena kulamba asali. 😂

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 Рік тому +1

      @@musamsawanga9266 ,,alitembea na mke wako ww mbwa ww,,,,,acha makasiriko,,,,,, and next do not comment on me this nonsense,,, better be quiet

    • @sakinamsafiri8660
      @sakinamsafiri8660 Рік тому

      Ndio nyie nyie...hovyoooooo

    • @rosemkono
      @rosemkono Рік тому +1

      Mungu akusaidie may god bless you 😢😢😢😢😢😢

  • @abuuhafsin2224
    @abuuhafsin2224 Рік тому +23

    Dah, imeniliza hii, wanadamu tumekuwaje sijui, hv aliyemfanyia haya anajiskiaje sasa. Malipo ni hapa hapa duniani, Allah atawanyoosha tu, Dua zangu mbaya ziko juu Yao.

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Рік тому +1

      anafurahi maana alidhamiria Allah atamlipa😢😢

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Рік тому

      Unajua ukiwa na maasi Sana Allah anakuacha hivyo wewe unakuwa na shetani hatua kwa hatua hivyo vitendo unavyovifanya vinatusha maana Allah hakuwekei hofu yeyote na shetani anakusifu kwa ushindi,yaani ni suala la kumuomba Allah asituache katika maisha yetu ni mtihani mzito sana

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz Рік тому +41

    Alhamdulillah for this stage ... Allah ajarie shifaa inshaAllah ...

    • @atuluvalamo2772
      @atuluvalamo2772 Рік тому

      Jamani polesana kaka mungu akutunze akulejeshe kwenye Hali ya kawaida 🙏

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd Рік тому +2

    Pole sana Tariq! Mungu akuponye. Raisi wetu Mama Samia tunaomba ingilia kati hili kijana atendewe haki mhalifu ahukumiwe. Tunakuamini mama kwa huruma yako. Mungu akulinde daima uwasaidue watanzania wanaoonewa na kukosa haki zao kama Tariq.

  • @queensarah860
    @queensarah860 Рік тому +44

    Oh lord our savior, please watch over this man and heal him so that people will see your glory through his testimony 😢🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @giftibrahim
    @giftibrahim Рік тому +11

    Ijumaa yaleo tuna muomba Allah akufanyie wepesi upone inshallah ila tuna muomba Allah kweny ramadhani hii uyu aliokufanyia unyama huuu Allah ampe pigo Mara 3 zaid binadam utu umeisha kabisa ila hapa tz yetu kupata Hak n mtihan snaa ila Allah akufanyie wepes tuko nyuma yako na tutachanga uone tena much love bro❤ ......

    • @husnaabuu8341
      @husnaabuu8341 Рік тому

      Allah nimuweza wa yote allah atakujaria utapona

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Рік тому +17

    Kwanza Alhamdllah Rabbllaamin kwa uwezo wake Mwenyeez Mungu kwa kukuwezesha kuona macho ni muhimu sana kabla hujafa hujaumbika dua zetu tunazoomba Allah ndie atakae muhukumu huyo shoga tumchangieni ili akufanyiwe na jicho lingine

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 Рік тому +67

    Kweli mtu hajui kesho yake😢😢Eeeh Mwenyezi mungu tutangulie Kwa Kila jambo... Quick recovery

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Рік тому +27

    Kaka yangu Mungu anampango na wewe Rudi Msalabani ,Hata hivyo ulipofikia Ni Neema tu Love you my Brother

    • @HarimahtheAnny
      @HarimahtheAnny Рік тому

      Kwer😭😭😭😭🙏🙏🙏

    • @FatmaMbarouk-zp3ev
      @FatmaMbarouk-zp3ev Рік тому +3

      Msalaba Tena Allah atamuafu yy ni juu ya kila tunachokijua au kuwahi kukisikia

    • @sharifuahmed8340
      @sharifuahmed8340 Рік тому +5

      Msalaba wa nyokwe, wakt uyo muislam na pp yy anamtegemea muumba mbing na ARDHI na alieumba MITUME yte akiwemo yesu wenu

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k Рік тому

      ​@@FatmaMbarouk-zp3ev😂😂

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k Рік тому

      ​@@sharifuahmed8340 amni

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Рік тому +272

    Yesu mnazareti uliyemfufua Lazaro wa Bethania ninakuomba umponye kijana huyu na pia serikali iingilie kati haki itendeke,huyo shoga popote alipo asipate amani moyoni mwake,awe Kama kaini( Mungu na amwekee alama popote anapokwenda asipate amani moyoni wala furaha)

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Рік тому +2

    Subra iwe nguzo yako Tarqe. Mwenyezi Mungu atakufuta machozi unayolia kipekee. Pole sana,sana ndugu.

  • @janethobadiah8062
    @janethobadiah8062 Рік тому +16

    Aiseeee naandika nafuta sina mengi.. Mungu baba wa mbinguni akutetee tu kaka yetu 😭😭😭

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Рік тому +34

    Alllah mkubwa. Kwa uwezo wa Allah utaona macho yote amin

  • @gilbertnyangares7052
    @gilbertnyangares7052 Рік тому +16

    I found myself crying, Take easier broo, God has a reason why he restore your sight and He also will give u strength and hope. From Ke

  • @fridakakiko1217
    @fridakakiko1217 Рік тому +2

    mama samia msaidie huyu kijana inaumiza sana na tuzidi kuomba mungu ampe afya njema

  • @savioursimon458
    @savioursimon458 Рік тому +25

    Pole sana kaka yangu!! Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!! Mungu wetu ni mwenye haki na atatenda haki kwako!! Mungu ataleta neema na baraka zake utafanikiwa kupata matibabu, utakuwa sawa na utaishi kwa namna Mungu alivyopanga tangu uumbaji wake tumboni mwa mama yako. Nakuombea Mungu akuinulie kila mtu unaemuhitaji katika uponyaji wako wa mwili na hisia. Lawyers, Doctors, Therapists, Financial Help and everything that you need physically and emotionally. In Jesus' Name. Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @BarakaGwakisa-fv7pd
    @BarakaGwakisa-fv7pd Рік тому +5

    Mungu akikupa kilema uwa ana kupa na mwendo pia , fear not brother JESUS IS WITH YOU FOREVER. JUST LOOK ON HIM CAUSE HE'S A CAPABLE GOD.

  • @ashajumakivugo4293
    @ashajumakivugo4293 Рік тому +16

    i believe whoever did never knew that Allah had bigger plans than him, still strong still handsome nothing has change just scars to remind you who you are bro

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Рік тому +3

    Polee Sana'a bro
    Watanzaniaa tunakuombeaa uwenamiakaa ming akupewepesiii wa maisha ......

  • @sein.208
    @sein.208 Рік тому +8

    SUBHANA ALLAH 😢😢😢
    POLE SANA KAKA. ALLAH AKUZIDISHIE SIHA NJEMA KILA KUKICHA. KILA KITU KINA ASBABU, HALIKUFIKI JAMBO ILA KWA #IDHINI YAKE MOLA...
    ALLAH NI MJUZI ZAIDI.
    UTAPONA BIIDHIN LLAH KAREEM.

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Рік тому +30

    Pole sana kaka yangu, Mwenyez Mungu atakupigania, is not easy at all to be in your situation but nina imani atakupa njia ya kutokea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @irenewilfred6072
    @irenewilfred6072 Рік тому +58

    Nimechoka kulia kwa Ajili yako Tariq,,, Acha Huyu Mungu tunaemuabudu aseme nao😢

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku1554 Рік тому +11

    Healing is your potion much love from kenya

  • @praisejonas5896
    @praisejonas5896 Рік тому +4

    Tarique ushuhuda wako umefanyika Tiba kwenye maisha ya watu wengi na kurudisha hofu ya Mungu kwetu Kama wanadamu, Mungu atakubariki na atakupanya kwasababu yeye ndio aliyekuumba na anakujua
    HAKUNA MTU AMBAYE NI BORA KULIKO MTU MWINGINE INATUFUNDISHA KWAMBA HAKUNA MWENYE HAKI ILA MUNGU.. ❤

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 6 місяців тому +1

    Pole sana Tariq usijali mungu wako anakuoenda atakufanyia wepesi. Unonekana kuwa kujana mzuri kabisa mwenye maadili mazuri.
    Usiohope sababu mungu anakuoenda sana

  • @lyidiamrema7294
    @lyidiamrema7294 Рік тому +25

    Mama yetu Samia msaidie huyu kaka nimtanzania pia hakupenda kuwa hivi na aliefanya hivi yupo huru inaumiza sana jaman

  • @ahmedimarusu-rp3bk
    @ahmedimarusu-rp3bk Рік тому +18

    😢😢😢😢 dah..mungu ata kusaidia kaka..siku hiz watu ni wengi kuliko binaadamu

  • @qatarworls1902
    @qatarworls1902 Рік тому +13

    Watu ni wanyama
    Aki 😢😢 wivu ni kitu baya sana
    Mungu ni mwema utaendelea na kupokea miujiza
    Mahandui wahaibike but kikulacho kinguoni mwako mungu akulinde popote utakuawepo 🙏🏼

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Рік тому +12

    😭😭😭pole Sana Kaka Yesu akuponye Kama alivyomponya kipofu aliyekuwa haoni tangu kuzaliwa kwake na wewe akuponye uweze kupona na kuona tena.

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Рік тому +7

    Jamani wanasheria wetu mko wapi jamani mtoe msaada .. JUSTICE FOR TARIQ...

    • @amytullah2175
      @amytullah2175 Рік тому +1

      Hii ni criminal wanashika wanasheria wa serikali na police dear😢 Yaani imeniuma sana

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Рік тому +44

    Am so sorry my brother Allah akupe amani ya moyo akfute machungu yako😢 inshaallah utakua sawa kwa uwezo wa mungu

    • @aminaluliho8456
      @aminaluliho8456 Рік тому

      Mungu ni mwema talking awo mbwa mung awape adhab za kabli 😂😂😂😂

    • @marosgodfrey2089
      @marosgodfrey2089 Рік тому

      @@aminaluliho8456 wq2w

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому +1

      Hakika maisha haya jmn" ukiona watu wanakuchukia mtaan hama bado mapema Hujui kesho yako" pole Sana kaka angu malipo n hapa hapa dunian

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Рік тому

      @@aminaluliho8456 sasa mbona umemaliza nakcheka we nae

    • @ZainaNdijah
      @ZainaNdijah Рік тому +1

      Nina uhakika mtu ulomfanyia ukatili huyu kaka huna ani zaidi Sana nakuomba utubu usipofanya hivyo wewe na filia yako yote mtateseka sana gharama na muda maumivu anayoyapata mtalipa lazima mnywee kikombe chake mungu ndo faraja yake pole mdogowangu kikubwa uzima.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Рік тому +49

    Still ur handsome tareq ❤️

  • @janejonathan9846
    @janejonathan9846 Рік тому +2

    Pole sana jaman Tariq Yesu Kristo atakuponya amini tu,ila Mungu atahukumu kwa haki kwaalie kufanyia ukatili huo,hadi umeharibika hivyo jaman binadam tunabadirika sana

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Рік тому +3

    Nimefurahi kusikiya unasema alhamdulillah mwenyezi mungu akufanyiye wepesi

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Рік тому +1

    Tariq MUNGU ndie mwenye kujua hatima ya kila mtu tnakuombea MUNGU akupe amani ya moyo na Imani juu ya MUNGU omba uzima, kisasi ni juu yake pole sana mdogo wangu

  • @najmasaid7057
    @najmasaid7057 Рік тому +4

    Nimejikuta nalia na kujiskia homa ktk mwili wangu pole kaka Allah ni muweza wakila Jambo akupe wepesi in'sha'Allah

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 6 місяців тому +1

    Uko sahihi kabisa kaka. Watu tumeweka mbele pesa kuliko utu.
    Pole sana naamini watu pamoja na ushetani wa mioyo yao ujimbe wameupata.

  • @mariamzkinogo6775
    @mariamzkinogo6775 Рік тому +71

    And he still look handsome and attractive ❤😢😢

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Рік тому +5

      Wabaya ndo nyie sasa handsome ya nyokho badala ya kumuombea apone mnaanza ushetani wenu inawezekana ndo nyie wanawake mlotaka mmbadilishe sura kwa kumng'ang'ania kwa uzr wake wamalaya nyie

    • @kingkapessahofficial6716
      @kingkapessahofficial6716 Рік тому +5

      Bdo ana confedence god is great

    • @brownie_dee8655
      @brownie_dee8655 Рік тому +8

      @@amanimanase8798 umemwelewa vby,amesema ht km walimmwagia acid kuharibu sura yake wamefail coz bado ni mdhur vilevile...

    • @ainsesseverest1136
      @ainsesseverest1136 Рік тому

      ​@@amanimanase8798 umemwelewa vibaya ajamanisha hivyo ulivyowaza wewe

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g Рік тому

      ​@@amanimanase8798 lakini hajasema Kwa ubaya....

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Рік тому +1

    Binadamu tumwogope Mwenyezi Mungu. Ni vema tukaoneana huruma badala ya kufanyiana unyama. Duniani tunapita hapa. Pole sana Tariq Allah Akujalie upone haraka. Mwenyezi Mungu Atakulipa.

  • @latifamchekenje6718
    @latifamchekenje6718 Рік тому +18

    Malipo hapa hapa duniani!!! 😌Mshtakie MUNGU tu,!!!

    • @edjenmakwai2310
      @edjenmakwai2310 Рік тому

      Yaani machozi yanakaribia kunitoka jmn tunaomba haki itendeke serikali ifuatilie huyu mtanzania atendewe haki. Yeyote aliyefanya hivi hatoishi kwa amani katika hii dunia

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Рік тому +1

    Pole sana kijana daaaaa. Watu wabaya siku hizii. Wivuuu tuuu wa MAENDELEO

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa Рік тому +11

    Ndugu yetu na kijana mwenzetu Pole sana tena sana kwa yote yaliyokukuta!!!Naomba niseme tu kuwa Mungu U pamoja nawe Daima,Sasa jiandae kwa ushindi Mkubwa ambao Mungu amekuandalia mbele ya safari yako ya mafanikio.
    Simama na tembea kifua mbele kwani Mungu yupo pamoja nawe Daima.

    • @ashuraissa7044
      @ashuraissa7044 Рік тому +1

      Pole Sana Kaka watu wanaroho mbaya Sana mlaaniwe nakizaz chenu mliosababisha ulemav wamwenzenu

    • @mariamantes4203
      @mariamantes4203 Рік тому +1

      Am from dubai ur words zimefanya nitokwe na machozi God bless you

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 6 місяців тому +1

    Tariq Kama mungu mekuwezesha Kufika hapa Salam umeweza kuona tena basi ujue ana makusidi makubwa sana juu yako, Hatakuachia njiani, utapona kabisa na uhahubiri utukufu wake mbele ya umati. Utahubiri amani, uwajibikaji, madhara ya rushwa, visasi, kazi za shetani, upendo nk ikiwa Kama mfano hai. Mungu kujalie ufungue watu macho na mioyo imwelekee mungu wa kweli

  • @dainesskyando1850
    @dainesskyando1850 Рік тому +15

    Pole tarek mungu mkubwa Sana andika namba Apo ya sim mungu mkubwa umepona baba umepona mungu aliye juu ashindwi. Ameeen

  • @emmanueltemu3606
    @emmanueltemu3606 8 місяців тому

    Pole kaka ,,hakika mungu ni mwema,,binadamu siyo wema ishi na watu vzr

  • @Sham-vj4er
    @Sham-vj4er Рік тому +4

    Pole sna Kaka Tariq yote muachie Allah atakulipia kw uyo mwenye amekufanyia ivo pole sna 😢 usisahau kila hatua dua 🤲

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Рік тому

    Daa inasikitisha sana mwenyez mungu akutendee upone walimwengu sio watu ndio wamefanya dunia ikawa soosehemu salama

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 Рік тому +5

    Allahu Akbar alhamdhulilah Allah qarim😢😢😢😢inshaAllah everything gonna be fine

  • @jacklineernest3155
    @jacklineernest3155 Рік тому

    Pole tariq 🫶🏻❤ Mungu yupamoja nawe na tunakuombea urud kama zamani pole broo, Binadam tumekuw wanyama zaid ya shetani loooooh🙌🙌🙌🙌

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Рік тому +11

    Machozi ya furaha yamenitoka kusikia kaka Tariq kuona nazidi kumuombea kwa mungu azidi kumpigania apone mungu wa mbinguni hashindwi kitu utapona kaka yetu❤

    • @rehemaismail1794
      @rehemaismail1794 Рік тому

      Pole sana mungu hatakuponya kwn pk kufika hapo juwa mungu hanakupenda sana,,mungu hakupe subra juu ya afya yako

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 Рік тому +2

    Pole sana TARIQ allah atakufanyia wepes utapona hakuna aijuae kesho hata sisi hatujui kesho yetu allah atufanyie wepes

  • @evarinenathaniel9838
    @evarinenathaniel9838 Рік тому +4

    Mungu Baba katika Jina la Yesu Azidi kukupigania.

  • @DorisZephania-ci8ym
    @DorisZephania-ci8ym 3 місяці тому +1

    * Yaaani kama hujakusudiwa kufa, hautakufa hata shetani asimame mbele yako!
    Pole sana Tariq

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Рік тому +9

    Pole sana aisee binadamu sisi ni watu wabaya sana pole pole na pole sana😭😭😭😭

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 Рік тому +2

    Allah Amekuvusha Kwa hilo Na Atakuvusha na pengine tena Biidhnillah,Bro Msamehe na Nina Imani Allah Amekuandalia Mazuri zaidi Ya Huo Mtihani Aliokupa In Sha Allah.
    Allah Akupe Uzima na Swiha njema Allahumma Amin

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +6

    Mungu asante kwa kujibu maombi ya watanzania. Mungu ni mwema kaka umepona.
    Tufanyie kisasi wewe mfalme wangu dhidi ya hawa watu/ team ya wanyama waliofanya haya.Hakuna usiloweza Mungu wetu😭😭
    Ww ndio Mungu mwenye haki peke yako tunakuomba sana utusaidie kwa hili. Tariq achana na kesi za duniani utaumizwa moyo tu. Acha Mungu pekee atende kaka. Duniani hapa 😭😭😭
    Hata ungetenda nini hukupaswa hii adhabu. Kaka Mungu hatakuacha kamwe
    Pia tujitahidi watanzania wenzangu kwa chochote kumfanyia Tariq wepesi.

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 Рік тому

    Muachie Mungu...Mungu hukumuyake kubwaa sana subiri uone...polesanaaaa

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Рік тому +4

    Mungu yu pamoja nae. Aamini tu atakuwa sawa na atarejea katika hali yake. Amen 🙏

  • @ruthkamau4489
    @ruthkamau4489 Рік тому

    Pole sana ndugu wetu jirani kutoka chini TZ...walio kufanyia hawatenda mbali kama hawajalipia..pia neno la mungu limesema malipo ni hapa hapa dunia

  • @GraceTemba-nx3mw
    @GraceTemba-nx3mw Рік тому +5

    Mungu simama baba,huyu kaka simjui lakin,Mungu naomba umtoe kabla ya huyu kaka🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭Millard Ayo Mungu akupe maisha marefu na huyu mtangazaji ana busara sana

  • @user-po4kt6fq7y
    @user-po4kt6fq7y Рік тому

    Mungu akusimamie bro, utapona😊 Mungu aliyekufikisha apo atakupeleka mbali zaidi.

  • @sanurahaji5194
    @sanurahaji5194 Рік тому +3

    Pole sana Allah akupe shufaa kikubwa kumshukuru mwenyezi mungu

  • @lulually4864
    @lulually4864 Рік тому

    Pole sana baba angu amini kwamba mungu yupo na huyo aliyekufanyia hvo na yeye atafanyiwa hvo hvo na ndo maana biblia imeandika ukiua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga...Mungu akulinde upone haraka watanzania tuko pamoja na wewe maumivu Yako n maumivu yetu pia

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Рік тому +10

    Its sad 😥 may God be with him all the time 👏🙏

  • @user-bw1in4ho2b
    @user-bw1in4ho2b Рік тому

    Dah! 😮 Poleh sana Tariq. Be protected and blessed. Naamini utapona na utaona tena na maisha yatasonga tu. Maxwow Artist. Naamini tutaonan a tena.

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Рік тому +4

    Dah wamemtesa huyu kijana walahi si kwa adhabu hii mungu anawaona 😭😭nakuombea upone tariq🤲

  • @hamisamorgan-dj5fg
    @hamisamorgan-dj5fg Рік тому

    Pore kaka ata ivyo mungu ashukuriwe sana umepata kuona tena awo wario kutendea ubaya mungu awazibu kpigo kikubwa?sana?pole braz mungu atakupa maono makubwa sana zaidi na zaid pole nimeumia sana

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 Рік тому +4

    People are so wicked. Kwanini umfanyie mwenzio hivi? Pole sana kaka Mungu anakupenda nae atakuponya kikamilifu one day..

  • @ela1543
    @ela1543 Рік тому

    He fine like a fine wine, mungu akuponye kaka na aliyekufanyia hivi hatokaa ajue amani yeye na kizazi chake chote.

  • @irenelukumay877
    @irenelukumay877 Рік тому +3

    hapo ulikofikiya nikwa neema za mungu usijali kaka tuko pamoja na wewe usijione wa tofauti hakuna kilichoharibika hata kidogo kuwa na amani sisi niwatanzania wenzako tutazidi kukusapoti mungu ni mwema sana kwa hatua uliofikiya inaumiza sana usijali ndugu yetu kaka yetu tunakuombeya kila leo kwa mungu

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Рік тому

    Subhanaallah hujafa hujaumbika mwenyezi mungu ndie anaejuwa kila linalotupata viumbe vyake alhamdulilah rabillamin

  • @mohamedyally58
    @mohamedyally58 Рік тому +3

    Daaah alokufanyia hivo mungu atampa alichokitafta naamin malipo hapa hapa kweny uso wa dunia mtu Ana kufanya uteseke kweny maisha yako yote bora mtu akuue tyuu kabisa hii sio adhabu ni unyama kabisa

  • @phebbyshayo9099
    @phebbyshayo9099 Рік тому

    Pole sana kaka..Mungu anaona kila aina ya uovu inayofanyika chini ya jua
    Mungu ameahidi kuwaharibu watenda mabaya wote hivi karibuni..zaburi 37:9,10,11

  • @glowingspirit606
    @glowingspirit606 Рік тому +17

    Very unfair may justice prevail, huyo mtu kifo kisimpate aishi maisha yake yote akilipia aliyomfanyia mwenzake from his|her kids na wazazi wake na kila mtu anaemzunguka nimelaani.

    • @bryson0772
      @bryson0772 Рік тому +4

      Put the children apart hawahusiki kwa malipo ya mzazi wao sio sawa hata Mungu ataepusha hilo watoto n malaika wanazaliwa hawajui lolote iweje wao waje walipe madhambi ya mzazi wao i pray for the innocent child Mungu huyu alie hai asiesinzia hapo aepushe ALAANIWE MUHUSIKA NA YEYOTE ALIEHUSIKA KWA NAMNA YOYOTE JUU YA HILI🙌

  • @ednahmwasyoghe7376
    @ednahmwasyoghe7376 Рік тому

    Pole sana kaka Mungu bado anamipangi na ww ndiyo maana mpaka sasa bado upo hai na bado ataendelea kudhihirika kwa Hili kumbuka m'beba maono hafi hautakifa Bali utaishi mpaka mpango wa Mungu utakapo timia kikubwa usisahau kuomba Rehema kila siku Mungu wetu hajawahi kushindwa na chochote 🙏🙏

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 Рік тому +24

    Kaka sisi watanzania wenzako tunamshukuru mungu kwa wewe kuona japo kwa jicho moja tunakuomba usijinyanyapae sisi tupo pamoja na wewe hii nimitihani tumeumbiwa wanaadam kwa upandewetu sisi watanzania wenzako tumekupokea kwa moyo mmoja

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 Рік тому +1

    Pole sana kwa yote yaliyo kupata ndg yetu Tariq! Mwenyez Mungu azidi kukujalia uponyaji…Inshaallah! utakuwa sawa kwa uwezo wa Mwenyez Mungu…🙏🏻

  • @SamiryOmary-yw6se
    @SamiryOmary-yw6se Рік тому +7

    Yanii uyu kaka anaongea kwa uchungu kwaninni hawatendi haki jamanii 😢😢daa inauma sana usikate tamaa kakaa angu mungu kila mtu anaruhusu apewe jaribu analoweza kulimudu be strong my brother mungu atakuwa na wewe mbaka mwisho😢

    • @ngowibeatrice1701
      @ngowibeatrice1701 Рік тому

      Kweli anaongea kwa uchungu sana inauma amemualibia maisha

  • @hboywasasa
    @hboywasasa Рік тому +1

    Talifa hii naomba mungu sana ifikie mama etu mama Samia amsaidie huyu mpiga kula mtanzania mwenzetu Tanzania tusifanyiane hivi wote ni ndugu mungu akupe walizi kaka utembe na usalama.

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 Рік тому +9

    Ikiwa huyo kaka anamwamini mungu,bas aachane na mambo ya kesi, yeye amuachie mungu tu ndio atatoa hukumu ya kweli, daima siku zote mwambie mungu tu,lkn hao watu popote walipo hawatapata amani,kwa jina la yesu wasipate amani milele

    • @vailethmaji2158
      @vailethmaji2158 Рік тому

      amina
      tena adhabu ya mungu ni kubwa hakuna anaweza kupinga mungu wa mbinguni mponye kabisa huyu kaka mpe wepesi
      kwa kila jambo

    • @malaikalihuda2831
      @malaikalihuda2831 Рік тому

      Wivu ni kitu kibaya sana ila malipo ni hapa hapa Mungu akuinue sana 🙏

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Рік тому +2

    Alhamdulillah una uhai kwasabb hakuna kinachogharim kama uhai mungu ni huyu huyu Alhamdulillah aliekupa huo mtihani ndo anajua anakuandaa na nini usilalamike ukakufuru stay positive only your heart matter hakuna kiangazi kilochokosa masika only God knows ❤

  • @joyceathanasi8435
    @joyceathanasi8435 Рік тому +4

    Nasikia uchungu sana,sijui ni kwann watu wanakuwa wakatili kiasi hiki,Bwana Yesu wasamehe tu,inasikitisha sana,pole sana Kaka.

  • @dismaspascal6198
    @dismaspascal6198 Рік тому

    Mungu wa Israel akakupe furaha,neema na baraka zitiririke juu yako siku zote..kisasi ni juu yake,pole sana kaka

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Рік тому +3

    Polesana Allah will make it easy for you my dear brother

  • @wardaomar4828
    @wardaomar4828 5 місяців тому

    Allah atakufanyia wepesi inshallah pole sana Kaka😢😢 Binaadamu tunakosa utu hta chembe

  • @ester283
    @ester283 Рік тому +3

    May you be healed in Jesus Name🙏 bado nakuombea na sitaacha🙏 you are going to be fine

  • @mengijohnson-1494
    @mengijohnson-1494 Рік тому

    Dah jina la Mungu litukuzwe, pole sana kaka matatizo tumeambiwa wanadamu

  • @shazilmohamedi-fw3rm
    @shazilmohamedi-fw3rm Рік тому +4

    pole sana kk Mungu akuweke salama nyakat zote

  • @CastolivingstoneMwakyusa-kt4ff

    Daaaah!! Pole xan broo