MKUTANO MKUU YANGA | Muonekano wa uwanja wa Yanga utakaojengwa Jangwani
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Huu hapa muonekano wa uwanja ambao Yanga SC, unadhamiria kuujenga eneo ambalo yapo Makao Makuu ya klabu hiyo mitaa ya Jangwani.
Ni Mkutano Mkuu ya Yanga SC ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)
Ukiwa na kiongzi mwenye muona wambali lahaaa sanaaaaaaa, mungu amlinde kijana wetu Rais wetu wetu, mungu akupe umli mlefu sanaaaa ilituzidi kuupata memaa wana young Africans 👍👍💚💚
The big brain leader hersi🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Uzuri zaidi huyu jamaa yeye mwenyewe ni engineer
Good job Hersi
Hers 😘😘 rais wa mpila
Yanga should built their stadium like Amahoro stadium 😅😅😅
Safi sanaaa
Nataman yakamilike mwakan
Rais Mtarajiwa wa TFF Next level. Yanga hoyeeee!!!
maneno.nimengi sana wakiwemo wana yanga pia lini tutaanza ujenzi lini itakua lini lini lini zimekua nyingi ssaiv nafikir wanaelewa kwamba tuliitaji nini ili kufanikisha swala hili kwanza sisi wenyewe wanachama tujitoe bila kusita pili kuwa na mipango mbalimbali yakupata wazamini kujenga huo uwanja mana inaitajika hela yakutosha so sisi wenyewe tutimeze majukum yetu kma wanachama na mashabiki na ndio.tutajivunia haswaa ata ukikalia kilekit ukiwa unaangalia mech unajisikia raha na ukimuona mwehu anajaribu kutaka kuharibu miundo mbinu unasimama kwa uchungu kumkemea yees tutoe hele za ada ya uanachama alaf tuwaache viongoz wafanye mambo kwa utaratibu na weredi mudawakua tunawaamini tusijenge hofu wala maswali ya ajabu ajabu
Seriously why can't we Kenyans have something similar. Aaahhh
Sure
Love you Kenyans 👍
Picha za uwanja ni nzuri sana. Imeshapita miezi mitano hadi sasa je uwanja umeshaanza kujengwa?
Be 💚💚💛💚💛💚
Yanga❤
Kula nyama nyamaza
Blmuhmu ujenz unaanz lini😇😇
Jamani yanga
Mungu aktie nguv
❤❤❤❤❤
Nadhani hii clip,ni majibu mazuri kwa ile kamati ya roho mbaya ya Efm,inayo ongozwa na mwenyekiti wao Jimy Said,waliokuwa wanajadili kuhusu ujenzi huo wa uwamja,kwamba wameongezewa eneo,kana kwamba Yanga ilikuwa inatehemea eneo hilo tu la ziada ili kujenga uwanja huo " aibu "
Oh
unaza kujengwa lini?
Mi Ni Yanga lakin inshu ya ujenzi wa uwanja hiyo Ni ndoto
Mungu ni mkubwa tutajenga tu
Injinia viwanja vingi
Hauna baya Eng hers
Uwanze mapema
Wakuu Bora mkajenge kigamboni hapo nemc hawatakubaliana na hili labda siasa ingilie utendaji
Nemc waliruhusu vp ujenzi wa kituo kikuu Cha mwendo kasi (brt)?
@@mhandomhina5503❤❤
🐸🐸🐸😂😂
Tusha wazoeya na maprojekta yenu bn
fanyen kweli msiwe watu waongeaji tuu
Moja ya CV yake kocha mpya wa yanga nikuwa ashawai kupiga picha na maradona🤣🤣Ila hii nchii hii jamanii aya m nko muhimbili apa naomba kazi yakufanya fanya kazi ya usafii kwa madarasa ya wasudani.
Ndo maana akili yako inawza usafi
Kweli huna akili kwa hiyo wasudani ndo umeona wa maana na wewe kumbe ovyo tu
Uuuuuu
U
uu
U
Uuuuuu
Mtu muongo muongo huyu
❤❤❤
Natamani ukamilike msim ujao itakuwa vizuli sana