MKUTANO MKUU YANGA | Muonekano wa uwanja wa Yanga utakaojengwa Jangwani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Huu hapa muonekano wa uwanja ambao Yanga SC, unadhamiria kuujenga eneo ambalo yapo Makao Makuu ya klabu hiyo mitaa ya Jangwani.
    Ni Mkutano Mkuu ya Yanga SC ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)

КОМЕНТАРІ • 42

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 5 місяців тому

    Ukiwa na kiongzi mwenye muona wambali lahaaa sanaaaaaaa, mungu amlinde kijana wetu Rais wetu wetu, mungu akupe umli mlefu sanaaaa ilituzidi kuupata memaa wana young Africans 👍👍💚💚

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 Рік тому +4

    The big brain leader hersi🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥

  • @khalfani_ally
    @khalfani_ally Рік тому +5

    Uzuri zaidi huyu jamaa yeye mwenyewe ni engineer

  • @hermanjohn8069
    @hermanjohn8069 Рік тому +1

    Good job Hersi

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Рік тому +1

    Hers 😘😘 rais wa mpila

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt 11 місяців тому +3

    Yanga should built their stadium like Amahoro stadium 😅😅😅

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 Рік тому +1

    Safi sanaaa

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 Рік тому +2

    Nataman yakamilike mwakan

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 11 місяців тому

    Rais Mtarajiwa wa TFF Next level. Yanga hoyeeee!!!

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Рік тому +2

    maneno.nimengi sana wakiwemo wana yanga pia lini tutaanza ujenzi lini itakua lini lini lini zimekua nyingi ssaiv nafikir wanaelewa kwamba tuliitaji nini ili kufanikisha swala hili kwanza sisi wenyewe wanachama tujitoe bila kusita pili kuwa na mipango mbalimbali yakupata wazamini kujenga huo uwanja mana inaitajika hela yakutosha so sisi wenyewe tutimeze majukum yetu kma wanachama na mashabiki na ndio.tutajivunia haswaa ata ukikalia kilekit ukiwa unaangalia mech unajisikia raha na ukimuona mwehu anajaribu kutaka kuharibu miundo mbinu unasimama kwa uchungu kumkemea yees tutoe hele za ada ya uanachama alaf tuwaache viongoz wafanye mambo kwa utaratibu na weredi mudawakua tunawaamini tusijenge hofu wala maswali ya ajabu ajabu

  • @thecafcl8409
    @thecafcl8409 Рік тому +4

    Seriously why can't we Kenyans have something similar. Aaahhh

  • @MaryStambuli-r4p
    @MaryStambuli-r4p 11 місяців тому +1

    Picha za uwanja ni nzuri sana. Imeshapita miezi mitano hadi sasa je uwanja umeshaanza kujengwa?

  • @ShadrackGinasa-q2b
    @ShadrackGinasa-q2b Рік тому +2

    Be 💚💚💛💚💛💚

  • @JoshuaBaraka-ys8rp
    @JoshuaBaraka-ys8rp Рік тому +2

    Yanga❤

  • @yussufmduu2976
    @yussufmduu2976 Рік тому +1

    Blmuhmu ujenz unaanz lini😇😇

  • @Johnmasanja27
    @Johnmasanja27 Рік тому +1

    Jamani yanga

  • @MirumbeMarwa
    @MirumbeMarwa 7 місяців тому

    Mungu aktie nguv

  • @Hemed-h8k
    @Hemed-h8k Рік тому +2

    ❤❤❤❤❤

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 місяців тому +1

    Nadhani hii clip,ni majibu mazuri kwa ile kamati ya roho mbaya ya Efm,inayo ongozwa na mwenyekiti wao Jimy Said,waliokuwa wanajadili kuhusu ujenzi huo wa uwamja,kwamba wameongezewa eneo,kana kwamba Yanga ilikuwa inatehemea eneo hilo tu la ziada ili kujenga uwanja huo " aibu "

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 2 місяці тому +1

    Oh

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Рік тому +1

    unaza kujengwa lini?

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 Рік тому +1

    Mi Ni Yanga lakin inshu ya ujenzi wa uwanja hiyo Ni ndoto

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 6 місяців тому

    Mungu ni mkubwa tutajenga tu

  • @mihidinimsese5046
    @mihidinimsese5046 9 місяців тому

    Injinia viwanja vingi

  • @JUNIORCAN-dk1qb
    @JUNIORCAN-dk1qb Рік тому +1

    Hauna baya Eng hers

  • @JofuJaphet
    @JofuJaphet Рік тому +1

    Uwanze mapema

  • @praysolomon4863
    @praysolomon4863 Рік тому +1

    Wakuu Bora mkajenge kigamboni hapo nemc hawatakubaliana na hili labda siasa ingilie utendaji

  • @misheckslider7333
    @misheckslider7333 Рік тому +1

    🐸🐸🐸😂😂

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 Рік тому +1

    Tusha wazoeya na maprojekta yenu bn

  • @ELIMBOTOREUBEN-sv5qm
    @ELIMBOTOREUBEN-sv5qm 9 місяців тому

    fanyen kweli msiwe watu waongeaji tuu

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Рік тому +2

    Moja ya CV yake kocha mpya wa yanga nikuwa ashawai kupiga picha na maradona🤣🤣Ila hii nchii hii jamanii aya m nko muhimbili apa naomba kazi yakufanya fanya kazi ya usafii kwa madarasa ya wasudani.

  • @mihidinimsese5046
    @mihidinimsese5046 9 місяців тому

    Mtu muongo muongo huyu

  • @tolbartkishamba3772
    @tolbartkishamba3772 Рік тому +1

    ❤❤❤