MKUTANO MKUU YANGA | Jezi mpya Yanga SC zishatua nchini
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Jezi mpya za Yanga SC tayari zipo nchini na zitazinduliwa mwanzoni mwa mwezi Julai.
Huyu hapa Ofisa Habari wa timu hiyo Ally Kamwe akitanabaisha zaidi.
Ni Mkutano Mkuu ya Yanga SC ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)
Thank you young
Kweli uongozi huu uko makini sana.
Yanga oyeeeeeeeeee
Na mm nitakuwa kiongozi,maana du!
Ahahahaha
Moja ya CV yake kocha mpya wa yanga nikuwa ashawai kupiga picha na maradona🤣🤣Ila hii nchii hii jamanii aya m nko muhimbili apa naomba kazi yakufanya fanya kazi ya usafii kwa madarasa ya wasudani.
Wewe yako ipo wapi uliopiga na messi
Mbna kama yamekuxhuka dadek😜🤪😜🤪🤪
Ahahahaha
Usiombe kazi pewa kaze akupeleke mochwar ukasafishe miili ya wenye presha kama wewe kolo mmoja mwenye bp juu 200 chini 150 hakika unakufa kibu. du mbele ya wananchiiiiii
yanga tyamu sana jamani
Mbona makolo wana umia utafikiria nishughuli yao poleni makolo kwa maumivu nabado hiindiyo yanga hata nabi mlimponda wakati anaingia hatasishangai ni wivu unawasumbua miaka miwili mna hangaika nabado kaziyenu kutopoka sisi tunasonga daima mbele nyuma mwiko kocha la makombe chezea safisana wana yanga
hapo kwenye jezi kuja mapema mmetupiga gape lkn kwny ubora naamin safari hii simba tutakuwa na jezi bora sana
Endelea kufikiri
💛💛💛💛🇧🇷🏆🏆🏆🏆🏆
Mikubwa mizima inakuwa mazuzu kwa mtoto mdogo
hahaha,mbona wewe mwenyewe zuzu
Rose hayakuhusuuu
Rais na viongoz wengene mdum
Robatinyo ni kocha wa minenguo na mikatiko, wakat profesa Nabi alikuwa kocha wa makombe na medali,၌၌၌၌်၏ဉ
Mijitu ya utopolo inapenda kubebwa ujinga
Mjinga wa kwanza wewe kufatilia yasiyokuhusu
Wana wivu Sana hao wala ngada
ila simb mbn mnateseka kwa mamb ambayo hayakuhusu😂😂😂😂
Mjinga wewe uritumwa uwangarie
mjinga wa kwanza ni ww uliokuwa unakiherehere chakufatilia mambo yasio kuhusu nyoko weee
Hawana lolote mavi tu
Utopol hamna kitu
Inakuuma, chomoa taratibu
Pole kwa wivu wa kibpya
Yanga oyeeeeee