MAMA MDOGO HAKUPENDA KUTUMIA PESA ZA BI MKUMBWA , ALITAKA MTU AMPE SITARA , NIMESEMA HIVI KWA SABABU YY KAWACHA WATOTO WEKE KIJIJINI, HUYU BINT AKIPATA KAZI NINAIMANI WA TAPENDANA SANA WOTE NIMEONA NI WAKE WAZURI,,MWANAHARUSI INSHA ALLAH WATOTO NI WAKUMBWA , NYUMBA ISIKUTIE WACWAC SIZ , BORO AKUHESHIMU TENA ATAKUSAIDIA KAZI UTAKAPO RUDI UISHI KAMA BOSS MUM PLS PLS
ASALAM ALAYKUM , MASHA ALLAH HAWA WATOTO ALLAH AWAONGOZE NI WATOTO WAPOLE , PILI HONTEZI SANA KUKOSA KUINGILIA UHISIYANO YA WAZAZI WAO! NA HIVIO DIYO SHERIA YATAKIKANA NAWATAPAKI KUPENIDANA NA WAZAZI WAO !HATA MAMA YAO NI FITINA YA MAJIRANI HIYO (WIVU) ALLAH AWAONGOZE IMANI IZIDI KWAO AMIN AMIN
Mtangazaji mbona unauliza masuala ya uchonganishi badala ya kujenga? Unauliza mtoto atakaa upande gani ukijua wote ni wazazi wenye haki sawa kwa watoto!
Mna watt wazur mashallah wana jielewa ila bi mkubwa unajisahau sana kaa ufikilie Mara mbili kua pepo yako ipo kwa mumeo Leo umekufa lial azita kutete amuri kiama muhshimu mumeo jar family yako
Yotee Tisa kumi babang toa Mke mdogo hapo kampangishie...jamaniii hizi kazi Huku uungane na mwedzako alafu uje umgeuke coz umejenga n Mkeo..kampangie huyo bint Wacha kudhalilishana
Hapa si vyema problem ya baba na mama kuingiza watoto baba nimuhimu kwao na mama pia nimuhimu hapo ni kutafuta chuki kati ya baba na mama. Kitanda usicho lalia hujui kunguni zake haya ni masuwala ya baba na mama tuu hayawahusu watoto
Mwenyezi mungu awajalie hii familia iwe pamoja yaarabi ameen. Hatuwezi kumuhukumu mwanamke kwanini hataki kuzungumza na mzazi mwenziwe kwa sababu kuna wanawake wana wake wana siri kubwa kuhusu bwana zao kuna wanaume wananyanyasa wanawake mpaka mwanamke kuamua kujitenga.
Zahiri maswali makali kwa watoto sidhani kama uko sawa. Maana utamfanya mama awachukie watoto maana watoto pia hawawezi ongea lolote wakati baba anawaangalia.
Nimeskiza zote tangia mwanzo ila mke mkubwa anahofia vitu ambavyo ametuma kua vitachukuliwa na mke mdogo na pia hataki mke mdogo atumie jasho lake.. Bora huyo mzee akapangishe watt hao wakubwa atakua anawatembelea
Janama huyu mke mkubwa sio Kama hampendi mume wake anahofia kutawaliwa kweye nyumba yake Cha msingi Rudi kwanza muyapange alafu utaenda Tena kumaliza mkataba wako bi mwana
Mzee anahak ya kujpoza miaka 7 hyo hakuna rikizo Kuja kusalmia ndio Maana wengne hawatak kujar kuwawezesha wanawake wengne cc 2kpata huwa ha2jar kabxa mtafutie makaz huyo b. Mdogo na b. Mkubwa mkabdh v2 vyake il uwe huru na hyo migogoro.
Habari ndugu mwandishi, unamuhoji mtoto mambo ya ndani ya baba na mama mbele ya baba usitegemee mtoto atafunguka wakati baba yupo. kingine angalieni aina ya maswali kuhusu mahusiano ya baba na mama huyu ni mtoto chungeni maadiri.
Una wachoresha watoto wako wakiume wewe mwanamke unamatatizo je haukuona wazee wako waukoo wakakusaidia alafu una bahati umepata watoto wana heshima sana na tena una bahati bado Mungu amekupa nguvu yakufanya kazi sasa nyumba kitu gani, changa kibunda mwambie Zair akujenge nyumba nyingine wewe roho imeshupalia kwenye nyumba tu huna lolote mtu mchoyo
MWANA HARUS TAFADHALI SANA HUYU BIBI MDOGO NAJUWA ATAKUHESHIMU SANA PLS , KWA HISANI YAKO UNGEJARIBU UMTAFUTIE KAZI OMAN DIYO MWISHI KWA UWEZO WA ALLAH, TENA MZEE WENU NI MTU MZIMA?
@@zohoraramadan4540 Ningependa Mwanaharusi Amsaidie ! Maana pia ni mzazi ! Eee amtafutie kazi oman ! Kisha amkubali waishi pamoja kwa Ajili ya ALLAH , Huyu bint Alisema alitaka sitara awe kijana ama mzee bora sitara ! Hiyo pia nilifurahia sana ! Allah ametuambia tukae mbali na (ZINA )
@@zohoraramadan4540 Naam ; diyo waeze kulea watoto na mume wao ! Maana huyu mume tayari ni mtu mzima kisha bb mdogo ana watoto wake! Wallah kama ni kwangu mbona kila jambo ilngekuwa sawa ! Nipate huyu SUNA ya MTUME WETU SAW 💕💕💕
MAMA MDOGO HAKUPENDA KUTUMIA PESA ZA BI MKUMBWA , ALITAKA MTU AMPE SITARA , NIMESEMA HIVI KWA SABABU YY KAWACHA WATOTO WEKE KIJIJINI, HUYU BINT AKIPATA KAZI NINAIMANI WA TAPENDANA SANA WOTE NIMEONA NI WAKE WAZURI,,MWANAHARUSI INSHA ALLAH WATOTO NI WAKUMBWA , NYUMBA ISIKUTIE WACWAC SIZ , BORO AKUHESHIMU TENA ATAKUSAIDIA KAZI UTAKAPO RUDI UISHI KAMA BOSS MUM PLS PLS
Hao watoto wanajua kuwa mama yao anamakosa ila wanashindwa kusema wanamuhofia mama yao
ASALAM ALAYKUM , MASHA ALLAH HAWA WATOTO ALLAH AWAONGOZE NI WATOTO WAPOLE , PILI HONTEZI SANA KUKOSA KUINGILIA UHISIYANO YA WAZAZI WAO! NA HIVIO DIYO SHERIA YATAKIKANA NAWATAPAKI KUPENIDANA NA WAZAZI WAO !HATA MAMA YAO NI FITINA YA MAJIRANI HIYO (WIVU) ALLAH AWAONGOZE IMANI IZIDI KWAO AMIN AMIN
Mtangazaji mbona unauliza masuala ya uchonganishi badala ya kujenga?
Unauliza mtoto atakaa upande gani ukijua wote ni wazazi wenye haki sawa kwa watoto!
Wajina wangu mwanaharusi ...kuwa mpole huyu mbaba anaonekana mkimya pili uliamua kukaa oman..ulitaka afanyeje..ebu acha kudhalilisha mume wako yamalizeni kinyumbani
Kabisa yaan kajikoroga mwenyewe asimdhalilishe mumewe niatal Sana tena mumewe mvumilivu sana
Kafanana n babake huyu kijana,mzurii😘 ..baba toa Mke mdogo hapo banaaa
Wee nae unamaswali ya kufosi ili kuonyesha bi mkubwa yupo sahihi alicho kifanya mnatuchosha
Mna watt wazur mashallah wana jielewa ila bi mkubwa unajisahau sana kaa ufikilie Mara mbili kua pepo yako ipo kwa mumeo Leo umekufa lial azita kutete amuri kiama muhshimu mumeo jar family yako
Yotee Tisa kumi babang toa Mke mdogo hapo kampangishie...jamaniii hizi kazi Huku uungane na mwedzako alafu uje umgeuke coz umejenga n Mkeo..kampangie huyo bint Wacha kudhalilishana
Hapa si vyema problem ya baba na mama kuingiza watoto baba nimuhimu kwao na mama pia nimuhimu hapo ni kutafuta chuki kati ya baba na mama. Kitanda usicho lalia hujui kunguni zake haya ni masuwala ya baba na mama tuu hayawahusu watoto
Me nashauri tu uyu baba amtoe uyo bi mdogo,akamtafutie sehem nyingine.uwenda mgogoro utaisha
Hapo kado Mzee yuafurahi nabusara ya mwanae
Mwenyezi mungu awajalie hii familia iwe pamoja yaarabi ameen. Hatuwezi kumuhukumu mwanamke kwanini hataki kuzungumza na mzazi mwenziwe kwa sababu kuna wanawake wana wake wana siri kubwa kuhusu bwana zao kuna wanaume wananyanyasa wanawake mpaka mwanamke kuamua kujitenga.
Mashallah, watoto wazuri
Hakuona sehem yakupeleka mambo ya ndoa yake ukaona uanike kwenye mitandao .kwaakil yako kukaka miaka 7 mwanaume anakusubir kakuheshm kuoa
Huyu mama ni mbinafsi miaka7 kukaa nje ya nchi loo
Zahri kwa hl ungewaachia familia
Kajiabisha sana huyu dada jmn looo
Inaliza baba watu kadhalilika jaman
Huwa mwanamke anamatatiza alitaka mzee akampeleke wap mke wake na yeye aliluhusu
Najiuliza yameanikwa hivi mitandaoni ili iweje?..wachangiwe au kwa msaada upi
Hiyu mke wa kwanza ni muongo amejenga wote mpaka nyumba imeisha ndo akaondoka imeisha mal7z8ka nyumba
Duuh! Haya maisha jaman jambo LA kifamilia linaletw mitandaon mpak watot wanahusishwa afu familia ya waislam
Baba kafurahi sana kuwa na kijana mwenye busara sana
Watoto wanahekima sana warabu wanatunyoosha mpk miaka 7 mpk watoto wakubwa hivyo
Ww kwann umuzalilishe mwenzie hivyo kawaida ya mwanamke akipata pesa ndo alivyo hata haya huna
Huyu mtoto hataki kuwa mbaya
Jamani kwani wazee wa kusuluhisha hakuna mpaka kwenye mitandao mbona nijambo dog tu hilo kuelewana
Zahiri maswali makali kwa watoto sidhani kama uko sawa. Maana utamfanya mama awachukie watoto maana watoto pia hawawezi ongea lolote wakati baba anawaangalia.
Huyu babu aonyesha jeuri jamani
Nimeskiza zote tangia mwanzo ila mke mkubwa anahofia vitu ambavyo ametuma kua vitachukuliwa na mke mdogo na pia hataki mke mdogo atumie jasho lake.. Bora huyo mzee akapangishe watt hao wakubwa atakua anawatembelea
Janama huyu mke mkubwa sio Kama hampendi mume wake anahofia kutawaliwa kweye nyumba yake Cha msingi Rudi kwanza muyapange alafu utaenda Tena kumaliza mkataba wako bi mwana
Mzee anahak ya kujpoza miaka 7 hyo hakuna rikizo Kuja kusalmia ndio Maana wengne hawatak kujar kuwawezesha wanawake wengne cc 2kpata huwa ha2jar kabxa mtafutie makaz huyo b. Mdogo na b. Mkubwa mkabdh v2 vyake il uwe huru na hyo migogoro.
Mwanamke wa oman anadharau na jeur hiyo pesa inamdanganya!
Wote wanahaki baba na mama!
Habari ndugu mwandishi, unamuhoji mtoto mambo ya ndani ya baba na mama mbele ya baba usitegemee mtoto atafunguka wakati baba yupo. kingine angalieni aina ya maswali kuhusu mahusiano ya baba na mama huyu ni mtoto chungeni maadiri.
mama alud kulea watoto wake kalibun atapata wajukuu yeye haliwazo ilo pia yeye ndiochazo chamatatizo yote hajieelewi uyomama
Kazi kweli
Una wachoresha watoto wako wakiume wewe mwanamke unamatatizo je haukuona wazee wako waukoo wakakusaidia alafu una bahati umepata watoto wana heshima sana na tena una bahati bado Mungu amekupa nguvu yakufanya kazi sasa nyumba kitu gani, changa kibunda mwambie Zair akujenge nyumba nyingine wewe roho imeshupalia kwenye nyumba tu huna lolote mtu mchoyo
Vitu vingine siyo vya kuvileta mitandaoni,ona mnawapa watoto wakati mgumu kugongelea ndoa yenu😭😭😭
Mkaka mzr ila baba kakosea lkn kwasababu kuna reo yupo kesho ayupo ss itakuaje??
Check hii familia ilivyo. Hivi vitu visingetakiwa viwe online.!
Unakaa.miaka.yote.iyo.unategemea.nini.
Miaka.tisa.kweli.baba.wawatu.afanyeje.azini.au.muwache.akae.mzee wako
Dada.acha.kutuzalilisha.tulio.kuwa.omani.unakaa.miaka.mingi.ulitegemea.nini.aKaren.bI'll kuowa.hee.mbna.sisi.tumeolewa.kila.tukimaliza.viza.tunaludi.likizo.kwa..warmer.zetu.umetaka.mwenyewe...ludi.likizo.ukamlizishe.mume.
Hiyo nyumba tu acha wakae .rial isikupe kibur
Kabisa yaan maana miaka 7 Omani sio mchezo
Mama wa watoto hana hekima hata mpk anafikia kusema mumeo wake mzembe je hapo mwanza hakumuona kama mzembe mpk kumzalia watoto 5 leo unashika rial
Hiyo ni dharau kubwa yote kwasababu anapata fedha
Kazi ipo
Mi basi nimefall love na huyu mtoto.mnipe no zake ebuu nikale pesa za mamamkwe za Oman miee..
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Ujuwe ma mkwe anakusoma
@@bintabuu2068 🤣🤣
😄 😄 🤣 😂 😆 😄
M
Kwani Hawa mwawaleta mara kangapi
Umeona eeeeh🤔
Si wameona story ya vituko watazamaji watavutiwa wataangalia wengi
MWANA HARUS TAFADHALI SANA HUYU BIBI MDOGO NAJUWA ATAKUHESHIMU SANA PLS , KWA HISANI YAKO UNGEJARIBU UMTAFUTIE KAZI OMAN DIYO MWISHI KWA UWEZO WA ALLAH, TENA MZEE WENU NI MTU MZIMA?
Unamaanisha na mke mdogo aende omani??????
@@zohoraramadan4540 Ningependa Mwanaharusi Amsaidie ! Maana pia ni mzazi ! Eee amtafutie kazi oman ! Kisha amkubali waishi pamoja kwa Ajili ya ALLAH , Huyu bint Alisema alitaka sitara awe kijana ama mzee bora sitara ! Hiyo pia nilifurahia sana ! Allah ametuambia tukae mbali na (ZINA )
@@zohoraramadan4540 Naam ; diyo waeze kulea watoto na mume wao ! Maana huyu mume tayari ni mtu mzima kisha bb mdogo ana watoto wake! Wallah kama ni kwangu mbona kila jambo ilngekuwa sawa ! Nipate huyu SUNA ya MTUME WETU SAW 💕💕💕
Huyu mama wa Oman ni mwongo anadanganya
Baba hana makosa,sasa ina maana huyu bado yuko omani?
Hajarudi ana miaka 7 Omani
@@yasmeenaal4191 astaghirulla yani wanawake tusome tujue hata wajibu wetu tu kwenye ndoa jamani .