ANOINTING TO POSSESS (UPAKO WA KUMILIKI) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 20 лис 2021
- Joshua 14:6-15
Ukisoma mistari hii utaona Kalebu anamkumbusha Yoshua kuhusu ahadi na kiapo alichoapa Musa kwa Mungu kuwa atampa nchi baada ya kuingia Kanaani kwa ajili ya wema na utimilifu wake kwa za Mungu.Kabla ya kuingia Kanaani Musa alituma wapelelezi wakapeleleze kwenye hiyo nchi(Kanaani) na wapelelezi kumi walikuja na taarifa mbaya kasoro Yoshua na Kalebu peke yao,na kwa sababu hiyo Musa akamuapia Kalebu kwa Mungu kuwa watakapoingia Kanaani kuna nchi atampa.
Musa hakufanikiwa kuingia Kanaani kwa sababu alimkosea Mungu na Mungu akamwambia kuwa hatoingia ile nchi.Wakati Kalebu anaahidiwa ahadi hii alikuwa na umri wa miaka 40 na ikapita miaka 45 zaidi bila yeye kupewa hiyo nchi.
Wakati huo watu wa Yuda walikuwa wamemfuata Yoshua kwa sababu kuna maeneo walikuwa wakiyataka,Kalebu naye akaenda na akamkumbusha Yoshua juu ya ahadi aliyoahidiwa maana wakati Musa anaahidi Yoshua naye alikuwepo.
Na Kalebu hakuishia hapo,alimwambia Yoshua eneo analolitaka,nchi iliyopo katika mlima Horebu.Ukisoma mstari wa 12 utaona kitu kikubwa sana;Kalebu anasema kuwa kama ambavyo alikuwa na nguvu alipopewa ahadi hii akiwa na miaka 40 vivyo hivyo bado ana nguvu za kupigana vita hata katika miaka hiyo 85 aliyonayo.Kwa maana nyingine ni kuwa, kutokana na ahadi ambayo ipo kwenye maisha yake mwili wake haukutakiwa kukua na kuishiwa nguvu maana atazihitaji kwenye kumiliki ahadi yake.Mungy ilibidi aende kinyume na kanuni za mwili kuwa hata katika miaka 85 aliyonayo bado ana nguvu za kupigana vita na jeshi na akashinda.
Mungu anapokupa ahadi hata kama kanuni ya mwili hairuhusu bado Mungu yupo juu ya kanuni zote.Kama una ahadi ya kupata mtoto kwenye maisha yako,hata kama kanuni ya mwili inasema umri wako umeenda sana na huwezi tena kushika ujauzito lakini kwa Mungu hakuna kisichowezekana.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our UA-cam: ua-cam.com/channels/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando UA-cam
/ @pastorsunbellakyando
Napokea mlima wangu kwa jina la YESU
Napokea mlima wangu kwa jina la yesu
Namiliki Sasa my mountain
Asante Mungu
Amen Mtumishi.
Nina barikiwa sana realty Mngu azidi kubariki watumishi na kamati nzima.
Amen
Ameen🙏🙏🙏
Amen. I receive my mountain in Jesus name lazima nitamiliki Kwa Jina yesu
Amen to this teaching and prayer.
Amen barikiwa mtumishi
Elias simiyu Nairobi kenya best sermon
Ubarikiwe cna mtumish nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua
Amen!!¡, I shall possess my possessions! I connect to this annointing!!🙏🏾
Amen...ishall possess in Jesus name...God bless you man of God.
Ameen
Napokea
Wakened tumebarikiwa na Hili neno. Tutamiliki kwa jina la Yesu. Mashamba, senior position , transport business industry , I will open a major grocery shop in upmarket Estate and supermarket chains in Jesus name
Ninapokea kile ninachotakiwa kumiliki Kwa Jina la Yesu. Amen
Amen amen amen napokea
Asante, ndugu yangu kwa Neno hili.
Ubarikiwe Mtumishi nimebarikiwa na nimepokea sijaona upako uliojuu kama huu Mungu akutumie
Ameen baba, Yesu namimi naomba mlima wangu niumiliki kabla sijazeeka kwaajiri ya utukufu wako🙏
Amin napokea kumiliki
Amen man of God i receive my mountain in the name of Jesus Christ
Napokea mlima wangu kwa jina la YESU amen
napokea yaliyoyangu kwa Jina la Yesu
Pop
Ameen 🙏
Amina sana.....nachukua mlima wangu
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🔥🔥🔥🔥
Napokea Kwa jina la Yesu.
Mungu nipe milima wangu in Jesus name
GIVE ME THAT MOUNTAIN JESUS CHRIST . I RECEIVE IT! ASANTE YESU
AMEN
😭😭😭😭sema neno
Amen amen amen amen amen amen amen
Unanibariki saaana my postor.
Haleluyaa
Amen Amen
I receive my mountain in Jesus name
amen amen
ameni napokea
Aamen Aamen Aamen 🙏
Amen Amen kabisaaa Mungu wangu huu ndio wakati wangu napokea mlima wangu in JESUS NAME
Amen 🙏🙏
Amen 🙏
Amen amen naupokea mlima wangu
-Hebron Kwa Jina la Yesu Christo.
MTUMISHI YOUR PRAYERS PLEASE I NEED THAT MOUNTAIN I HAVE SUFFERED FOR SO MANY YEARS WITH MY FAMILY IN THIS WORLDS JUST BECAUSE OF OUR NEIGHBOURS THAT MADE OUR LIFES MISERABLE , EVERYONE KNEW THAT THEY ARE WITHCRAFT , THEY BEWICHED MY FAMILY GIVE ME THAT MOUTAIN OUR IFES HAVE BEEN DIVERTED TO FATE
🙏🏻💔❤️
Wendelea kutukuz kiman pasta
Mtumishi uko na majibu ya maisha yangu, kukufikia ndio shida.what can I do to reach you?
Amen to this teaching and declaration and decree *7 in Jesus Christ name.
😂🤣🤣fedha Jaa
Amina Mtumishi wangu naweza kupata namba ya mawasiano?
Unaweza kutuma ujumbe wako kupitia number ya Huduma ambayo ni 0657 173 322
@@realityofchristchurch mtumishi wewe ni wa baraka sana kwangu, Naomba Mungu akutende mema
Amen
AMEN
Napokea
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen