UNABII JUU YA MAJANGA YATAKAYOIKUMBA DUNIA MWAKA 2024/2025

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 37

  • @SalomeRenatusi
    @SalomeRenatusi 2 місяці тому +2

    Aminaaa mbarikiwe sana Mungu awatangulie sawa sawa na mapenzi yake

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 2 місяці тому +1

    Shalomu Mtumishi. Tumepokea unabii, tunashukuru. Nashauri ungetafuta mfasiri mzuri zaidi. Ubarikiwe

  • @estersamwel721
    @estersamwel721 2 місяці тому +2

    Mambo haya nikweli na Amina Mungu atusaidie Amen

  • @saramss7262
    @saramss7262 2 місяці тому +2

    Tupoo Mtumishi UBARIKIWE sana

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 2 місяці тому +1

    Ni Mungu pekee awezaye kuokoa kizazi hiki maana uharibifu umekuwa mwingi kwenye kila nyanja

  • @Everindodie
    @Everindodie 2 місяці тому +2

    Mungu wangu nipe kusitahimi li mpaka mwisho

    • @knight6757
      @knight6757 2 місяці тому

      Tumtubiea M. Mungu ! Dhambi na maovu yame dhidi duniani !!😢

  • @Everindodie
    @Everindodie 2 місяці тому +2

    Mi nipo aisee bora nifie kwa Bwana

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 2 місяці тому +1

    Imani hauleweki jamani, Mara mnyama atataka kutawala, Mara Mungu anataka kuheshimisha watumishi wale Mara ugonjwa

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому

      Naomba nikusaidie, tatizo lako la kutokuelewa tafuta video ya
      “LUGHA IMECHACHAFULIWA DUNIANI KOTE”
      itafute iko Tengwa tv yamkini unaweza kuelewa.

    • @bonifasiemanueli21
      @bonifasiemanueli21 2 місяці тому

      Kikubwà ñi kuoñdoà hofu kuñà meñgiñe hayatatimia ktk jiñà là Yesu, yañayo semwa kamà yote yangetimia tusingekuwepo, Zabuli 23:1-

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому

      @@bonifasiemanueli21 usitweze unabii. Kutimia au kutotimia inategemea ni nani amesimama mahari palipobomoka ili MUNGU aghairi.
      “Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, atakayelitengeneza boma, na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka, kwa ajili ya nchi, nisije nikaiharibu, lakini sikuona mtu. [Ezekieli 22:30]”

  • @ShorasticaSalanje
    @ShorasticaSalanje 2 місяці тому +1

    Damu yako YESU Ina nguvu naomba utufiche na ugonjwa huu watoto wako

  • @andrewnday9127
    @andrewnday9127 2 місяці тому +2

    Ee BWANA MUNGU wa utukufu tusaidie MUNGU. Niliwahi kusoma maono ya bibi wa miaka 90 wa nchini Norway .Alionyeshwa unabii huu mwaka 1968 KU HUSU watu wa diaspora kuteswa sana kabla ya Bwana Yesu kurudi kumuchukua bibi arusi wake. Sasa unakwenda kutumia. MUNGU tusaidie pekeyangu siwezi lo lote Ee BWANA.

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому

      @@andrewnday9127 AMEN; NIWAKATI WA MUNGU KURUDISHA HESHIMA YAKE.

  • @andrewnday9127
    @andrewnday9127 2 місяці тому

    Niko tayari Ee BWANA, nisaidie!

  • @ااا-ح9م
    @ااا-ح9م 2 місяці тому +1

    Nikotayari Mungu nisaidiye

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому

      KAMA UKO TAYARI BASI TUTAFUTE KWA NAMBA ZIFUATAZO ;
      HB TENGWA
      +255 750 200 500.
      NABII ALPHA
      +255 760 200 500.
      SENATOR AGNES BRUNO
      +255 766 182 718.
      KARIBU SANA MTU WA MUNGU, NA MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 2 місяці тому +1

    Mimi Andrew Niko tayari 100%

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому +1

      KAMA UKO TAYARI BASI TUTAFUTE KWA NAMBA ZIFUATAZO ;
      HB TENGWA
      +255 750 200 500.
      NABII ALPHA
      +255 760 200 500.
      SENATOR AGNES BRUNO
      +255 766 182 718.
      KARIBU SANA MTU WA MUNGU, NA MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 місяці тому

    God fordbid

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 2 місяці тому +2

    Baba turehemu

  • @bwengejeanboscoame2581
    @bwengejeanboscoame2581 2 місяці тому +1

    Mafundisho ntayapata je

    • @tengwatv
      @tengwatv  2 місяці тому +1

      Fuatilia Playlist yenye TITLE inayosema IPOKEE NGUVUBYA MABADILIKO YA MSIMU MPYA WA MATENGENEZO YA KANISA

  • @EsterPeter-y4z
    @EsterPeter-y4z Місяць тому

    Mimi NIPO tayari Mungu NISAIDIE nisibadilike Bali niutagemee wewe tu na niwasijilize WATUMISH I wako

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 2 місяці тому

    Unaposema diasporas, wamarekani wote ni Diaspora… wote walihamia . Sasa sijui ni watu gani

  • @Stelaelias-i8o
    @Stelaelias-i8o 2 місяці тому +1

    Tufanye je mtumishi tupe mafunuo

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 2 місяці тому +1

    MUNGU Yu nawe

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 2 місяці тому

    Manga kristo hawezi kuja mpaka hekalu la Mfalme Solomon halijajengwa Bado unabii unapinga biblia

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 2 місяці тому

    Wameanza kuutangaza tayari

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 2 місяці тому

    Unabii hauendani na biblia, matayo 14 unasema wazi hayo yatatokea Lkn kwanza injili itajubiriwa kwanza, injili haijahibiri Kama biblia inavyosema lbd Kama biblia inajipinga

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 2 місяці тому +1

    Mwisho Marekani ha iko Kwenye unabii wala biblia, hivyo mwisho hautakuja iwapo US Bado ni super power… so your prophecy is irrelevant.

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 2 місяці тому +1

    Hatuogopi tunae Yesu Kristo