MWAMBA HUYU HAPA ELIE MPANZU AMEANZA MAZOEZI RASMI TAZAMA ILIVYOKUWA MAZOEZINI LEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 201

  • @felixmluge3211
    @felixmluge3211 4 місяці тому +28

    Asante sana Muwekezaji Tajiri Mo.
    Furaha za wana Simba kwa usajili ulioufanya.....unaweza usione umewapa watu zawadi kubwa kiasi gani ya kufurahia club yao ya simba .....lkn juwa umegusa furaha za watu wa mpira hasa wapenzi wa club hii pendwa ya Simba.
    Yaani safi sana!

  • @Maalim_Seif_-_Zanzibar
    @Maalim_Seif_-_Zanzibar 4 місяці тому +108

    Kama unafuraha kunizidi mimi gonga like hapa ❤💪🦁

  • @safisp
    @safisp 4 місяці тому +65

    Like za MPANZU zikae hapa atazipitia😂😂

  • @barakamwangwela3629
    @barakamwangwela3629 4 місяці тому +26

    Hii ndiyo Ubaya Ubwela Viva Simba Viva💪

  • @CeclyMamboroo
    @CeclyMamboroo 4 місяці тому +18

    Alie mchokoza boss wetu mo afanye haraka akamuombe msamaah mapema maaana hiisasa nibalaat simba sc 💪💪💪🔥🔥🔥🔥

  • @HadijaAbdalah-i9d
    @HadijaAbdalah-i9d 4 місяці тому +14

    Timu ya maisha yangu ❤❤❤❤

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 4 місяці тому +13

    Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 4 місяці тому +14

    Mliofurahishwa na usajili wa mpanzu like za kutosha hapaaaaa

  • @MassaiIsaacs
    @MassaiIsaacs 4 місяці тому +15

    Eeeeeh mungu ibariki Simba nguvu Moja itimize maombi yetu ushindi mkubwa Kwa Kila wakati na Kila mechi Asante mungu

  • @KoneeKimbey
    @KoneeKimbey 4 місяці тому +17

    I love you my simba sports club ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ShedrackHenry
    @ShedrackHenry 4 місяці тому +2

    Nyuma mwiko wajipange. Ubaya ubwelaaaaa❤❤❤❤❤❤

  • @FinahGHans
    @FinahGHans 4 місяці тому +13

    Huu ni mwaka wetu wanasimba kurudisha furaha yetu iliyotoweka, Ubaya Ubwela daima❤❤❤❤

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 4 місяці тому +14

    Mchomi roho inakuuma sana Elia atunae na tunatamba naeeeeee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @Ajijji12
      @Ajijji12 4 місяці тому +1

      Simpendi huyo mtu

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 4 місяці тому

      huyo mchome ni ana pipidiwa

    • @carolinemasonga163
      @carolinemasonga163 4 місяці тому +3

      ​@@Ajijji12kidudu mtu, watu wanauweza uchawa, Mimi hata post zinazomuhusu huwa sizifungui kabisa nikiona kwa nje napita zangu kule!!!😂😂🎉

    • @neemamwijage
      @neemamwijage 4 місяці тому +2

      Yule ni mbwa au afadhali mbwa ana akili anamzidi mchome

    • @Namtumbo
      @Namtumbo 4 місяці тому +1

      @@Ajijji12kabisa kunguni alafu ipo siku maneno exp atabaki na aibu

  • @IpyanaMakrini
    @IpyanaMakrini 4 місяці тому +6

    Inapendeza simba yetu❤

  • @AironKanduru-oi7ky
    @AironKanduru-oi7ky 4 місяці тому +7

    JAMANI CHAMA ANA AKILI SANA HIVI ANGEBAKI SIMBA ANGECHEZA NAMBA GANI

    • @carolinemasonga163
      @carolinemasonga163 4 місяці тому +2

      😂😂😂 Kiza kimeondoka, Maana alikuwa kama kashika roho zetu, wanasimba, hata huko alipo anajutia kuona Simba imepata vyuma 🎉🎉🎉🎉 haipoi, haiboi. 😅😅

    • @neemamwijage
      @neemamwijage 4 місяці тому +1

      ​@@carolinemasonga163Yani roho inamuuma

  • @barakasirai-jj4wp
    @barakasirai-jj4wp 4 місяці тому +1

    Kama unakubali chama letu bingwa like hapa

  • @IbrahimKi4na
    @IbrahimKi4na 4 місяці тому +2

    Pamoja sana simba nguvu moja

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj 4 місяці тому +2

    Material ya kiulaya ulaya mwepesi vibaya mnoooo🙌

  • @MartinDaridajega
    @MartinDaridajega 4 місяці тому +2

    Simba nguvu moja 💪

  • @Hemedymikui
    @Hemedymikui 4 місяці тому +3

    Tunae Ona lakini atuamini gonga like apo

  • @Diwani-q9y
    @Diwani-q9y 4 місяці тому

    ubaya ubwela simba raha❤❤❤❤😮😮😮

  • @AmaniEvalisti
    @AmaniEvalisti 4 місяці тому +1

    Hatariii

  • @GodfreyMhando-gn7ok
    @GodfreyMhando-gn7ok 4 місяці тому +3

    boss mo hongera sanaaa

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 4 місяці тому +13

    Coastal Union mtachagua wenyewe kuzika au kusafirisha simba sc nguvu moja ❤❤❤❤

    • @Ajijji12
      @Ajijji12 4 місяці тому

      😅

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 4 місяці тому

      Anafanya mazoezi kwani kaingizwa kwenye Unit ya kucheza ligi?❤

    • @SalimAbdallah-mi1wc
      @SalimAbdallah-mi1wc 4 місяці тому

      Ni Hyo siku utaskia susumizi kamuangusha tembo😂Azam tv burudani Kwa wote

    • @gabrielnybala2165
      @gabrielnybala2165 4 місяці тому

      @@SalimAbdallah-mi1wc sawa yangu macho na msianze kusema simba sc anabebwa 🤣🤣🤣🤣 coastal Union atapigwa kama ngoma

    • @charlesmahuna
      @charlesmahuna 4 місяці тому

      Yule cost ni dam yetu tutamchapa kwa pozi kama baba anavomwazibu mwanae, tusikaumizeee

  • @LaurentFrenk
    @LaurentFrenk 4 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Boss apokeee maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kiddy87_tv
    @kiddy87_tv 4 місяці тому +8

    Kwa linavyoonekana Tu NI jitu la Mali
    Kama unaamini hivyo gonga like hapa

  • @MudiMnyamwezi
    @MudiMnyamwezi 4 місяці тому +1

    My team ❤❤

  • @pmasteer
    @pmasteer 4 місяці тому +2

    Simba ghafla imekuwa madrid🔥🔥🔥

  • @jamesraphael9581
    @jamesraphael9581 4 місяці тому +1

    Mwepesi kama.pepisi.ni.unyama❤❤❤

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani 4 місяці тому

    Woyooooo ❤❤❤❤🦁🦁💪🌹🌹🌹💕💕💕💕

  • @levisfrancis6123
    @levisfrancis6123 4 місяці тому +1

    Nice

  • @IndraAyubu
    @IndraAyubu 4 місяці тому

    Penda sana chama langu ❤❤❤

  • @Khamis-z5b
    @Khamis-z5b 4 місяці тому

    Big up mo dewji

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw 4 місяці тому

    coz simba's my life nimeamua kukoment kabla sijaangalia machine mpanzu ur wellcome bro🎉❤🎉❤🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RamadhaniOmary-h9n
    @RamadhaniOmary-h9n 4 місяці тому

    Ninafuraha kupitiliz❤❤❤❤

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk 4 місяці тому

    Thenx Mo❤

  • @KadustaBoy
    @KadustaBoy 4 місяці тому +1

    Kama wewe Simba kweli weka like

  • @AmiriJuma-b6n
    @AmiriJuma-b6n 4 місяці тому

    Mpanzu nguvu moja simba sports

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 4 місяці тому +1

    Simba yetuuuuuuu

  • @MosesDimoso
    @MosesDimoso 4 місяці тому

    Hapo ilikuwa suala la mickson kurudi kwenye ubora wake na simba kufanya maajabu makubwa sana msimu ujao. Simba nguvu moja

  • @davidphilemon7345
    @davidphilemon7345 4 місяці тому

    Ewaaaaaa 💪🦁💪

  • @DastanNgwila-io4gv
    @DastanNgwila-io4gv 4 місяці тому

    Ubaya ubwela.Kuna watu wanateseka vibaya mno ila hawasemi😂❤❤❤

  • @HadijaMakokoko
    @HadijaMakokoko 4 місяці тому

    Safiiii!hii ndio tulokuwa tunaitaka wana simba,Piga kelele kwa simba yakeee!

  • @SelemanMsuya-nj9me
    @SelemanMsuya-nj9me 4 місяці тому

    Ndoto yangu imetimia simba hatr san yaan welcome elia mpanzu ubaya ubwelaa

  • @FrediMushendwa
    @FrediMushendwa 4 місяці тому +1

    Mashine ya kazi sipati picha akianza kusukuma ⚽rasmi kwenye mechi

  • @TemaSereli
    @TemaSereli 4 місяці тому +1

    nafulaha kuwa na kiungo kama Elie mpanzu tumpe hongela bos wetu MO DEJ lini ataanza kucheza

  • @TamashaWakilongo-nm3pd
    @TamashaWakilongo-nm3pd 4 місяці тому

    nitafurai kinoma❤❤❤❤❤❤❤❤mwaka uu watu wata tukimbia

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 4 місяці тому

    Tunategemea atakuwa bora sana

  • @absm8084
    @absm8084 4 місяці тому

    Mleteni na Faisal❤❤❤

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 4 місяці тому +3

    Mzee Masatu anasema Mo anyang'anywe begi la pesa😂😂😂😂😂😂😂

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 місяці тому

    Karibu mpanzu kwenye mapambano yaubaya ubwela Simba nguvu moja

  • @Officialyogtz
    @Officialyogtz 4 місяці тому +9

    Gonga like hapa kama umemuelewa mpanzu.

  • @LydiaErnest-j1b
    @LydiaErnest-j1b 4 місяці тому

    Simba nguvu moja ubaya ubwela 🦁

  • @MohammedySaidy-m8x
    @MohammedySaidy-m8x 4 місяці тому

    Simba❤

  • @JekoniaEzekia
    @JekoniaEzekia 4 місяці тому

    Simba nguvu moja

  • @VicentGregory-n4e
    @VicentGregory-n4e 4 місяці тому +2

    Daah nina furaha sana sema furaha yangu itazidi ntakapo muona Feisal salumu

    • @anthonymilinga8696
      @anthonymilinga8696 4 місяці тому

      Faisal choko tuu yule akae huko huko Azam hatumtaki unyamani

  • @OmmyMabele
    @OmmyMabele 4 місяці тому +1

    Elie mpanzu oyeeeeee hii ndio Simba bwana tena dume

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 місяці тому

    ❤❤❤🎉🎉

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 4 місяці тому +1

    Pànshzuuuuu

  • @jowizjosiah5983
    @jowizjosiah5983 4 місяці тому

    Ubaya Ubwela 🦁🦁🦁🔥🔥🔥

  • @LamaMlisho
    @LamaMlisho 4 місяці тому

    Bosss katisha

  • @EmanuelSangija
    @EmanuelSangija 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shafiiyahya4945
    @shafiiyahya4945 4 місяці тому

    Ubaya Ubwela 🔥 🙌

  • @AmiriJuma-b6n
    @AmiriJuma-b6n 4 місяці тому

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 4 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 4 місяці тому +1

    Uyu mpanzu nilisoma nae namjua vizuri anajua boli kinoma Tena kipindi Bado tuko shule alikuwa golikipa

  • @FURAHAYETU157
    @FURAHAYETU157 4 місяці тому +2

    Mpanzu

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 4 місяці тому

    Kama unafura kama mimi gonga like tujuane hapa

  • @RobartJackson-m7i
    @RobartJackson-m7i 4 місяці тому

    Simba govu Moja kalibu mwamba

  • @NicksonBedaus
    @NicksonBedaus 4 місяці тому

    Yaan tunangulia kupata magori mawili tunashindwa kuongeza tunasawazishiwa yote mawili Simba inaumiza sana cjui wachezaji wanaingia uwanjan wamebeti G/G ya draw

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 4 місяці тому +2

    SIMBA ya mpanzu! Hapa SIO SIMBA tuliyokuwa nayo ya saidoo huu ni moto mwingine KWENYE soka

  • @betymkesha210
    @betymkesha210 4 місяці тому

    ❤❤❤

  • @KwekaTv19
    @KwekaTv19 4 місяці тому

    Kwa kwanza kucomment

  • @FrankDavid-le4kb
    @FrankDavid-le4kb 4 місяці тому

    mnyaman kumenoga sasa

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 4 місяці тому

    Hii imekaa poh sana

  • @MudiMnyamwezi
    @MudiMnyamwezi 4 місяці тому +1

    Udugu umala, ubaya ubwela. Undugu umeisha, ubaya umerejea. Hatucheki na vyura

  • @MuhammedSuleman-v5u
    @MuhammedSuleman-v5u 4 місяці тому

    ❤💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @MelkiandesKagoma
    @MelkiandesKagoma 4 місяці тому +1

    Wa kwanzaa

  • @norregaraper5383
    @norregaraper5383 4 місяці тому

    Nipe like kwa ajili ya mpanzu

  • @KifyasHamis
    @KifyasHamis 4 місяці тому

    Hallo simba yamoto

  • @SabinaIpela
    @SabinaIpela 4 місяці тому +1

    Simba ubaya ubwela

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 4 місяці тому

    Raha zetu zinazid kuwatesa wao😂😂😂😂😂😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 4 місяці тому

    Tunahitaji kuwaona kwenye Gim kama tunavyowaona Edwin balua na M Hussein kwenye Gim

  • @officialgaucheny7227
    @officialgaucheny7227 4 місяці тому

    Naipenda simba mpaka kufa kwangu,ata nikifa naomba bendera iwepo

  • @seifmcharo2743
    @seifmcharo2743 3 місяці тому

    unyama mwingu

  • @Muhalilacup2024
    @Muhalilacup2024 4 місяці тому

    HATARI

  • @Josebreezy848
    @Josebreezy848 4 місяці тому

    Nguvu moja

  • @HassanRashidi-e4f
    @HassanRashidi-e4f 4 місяці тому

    Sawa ubay

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays 4 місяці тому +1

    NDUGU WANASIMBA LAZIMA TUWE NA MASWALI SIO KUPENDA LIKE TU .MIE IAM ASKING,KAMA ANAFANYA MAZOEZI ANAFANYA MAZOEZI YA KUCHEZA LEAGUE AU FEDERAL?

    • @AdamChambo-mf4ek
      @AdamChambo-mf4ek 4 місяці тому +3

      Umeuliza vyema kabisa,kwa sasa Mpanzu atacheza michuano ya caf ya shirikisho,itakapofika January mwakani wakati wa dirisha dogo la usajili viongozi watakamilisha usajili wa ndani ili sasa kushiriki ligi ya NBC

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 4 місяці тому

      Mashallah Allah Akbar umenisuza mutima wanga pokea maua yako 🎉🎉🎉🎉​@@AdamChambo-mf4ek

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 4 місяці тому +1

    ❤️ALHAMDULILLAH❤️hili ni nuclear bom linasukwa hapa khatar kwelikweli UBAYAAA UBWELAA 🇹🇿 🇦🇪

  • @murshidyabdallah1356
    @murshidyabdallah1356 4 місяці тому +1

    Mchome atulie kama moja ubaya unaanza kuwaingia yeye na wenzake

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 4 місяці тому

    Mama mama mama side kama side mbona huyu sasa anakuja kuongeza malalamiko😂😂

  • @makubaSamweli-vm3tu
    @makubaSamweli-vm3tu 4 місяці тому

    Samahann wana simba wenzangu nilitaka kujua je sasa uyo mpanzu ataanza kucheza sasa ivi au adi drisha Dogo lifunguliwe nilitaka kujua hilo

  • @laurentmyeule859
    @laurentmyeule859 4 місяці тому

    Duh nimefurahi sana jaman..ubaya ubwela

  • @buramohamedi5174
    @buramohamedi5174 4 місяці тому

    Simbanguvumoja

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 4 місяці тому

    Hv atacheza mechi ya utopolo na makundi caf?

  • @Mucha-k8q
    @Mucha-k8q 4 місяці тому

    Nimemuona Kagoma moyo wangu kwatu

  • @NeemaPetromashauri-i7k
    @NeemaPetromashauri-i7k 4 місяці тому

    Wa wapi

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 4 місяці тому

    Mimi na ombi kwa kocha faldu lardaki chasambi achezeshwe

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 4 місяці тому

    Nafurai mpaka sijielewi