TUVITU VITU VYA ELIE MPANZU DHIDI YA TABORA UNITED/ASSIST NA KATENGENEZA PENATI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 20

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 2 години тому +8

    Mpanz na kibu ❤nyie mnajua kuchez kwenye boksi bhna ..nasubir dabi kwa hamu tar8 alafu refa awe arajiga

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 23 хвилини тому

    Simba hongereni kwa kujiongeza kwenye kutengeneza mfumo wa kuonyesha touches zote za mchezaji fulani kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho. Hakika ninyi ni wa kwanza Afrika Mashatiki na Kati. Fanyeni hivyo kwa wachezaji wote kuwe na tekodi za touches zao kwenye kila mechi hata wale wanaoanzia benchi.

  • @agripamwakapala
    @agripamwakapala 55 хвилин тому

    ❤❤❤❤

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 2 години тому +1

    Elie mpanzu kahusika magoli yote 🔥

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka Годину тому

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @williamikera6377
    @williamikera6377 Годину тому +2

    Kinachovutia ni anazidi imarika mechi baada ya mechi cant wait io March 8 refa akiwa Arajiga😅

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka Годину тому

    🦁♥️♥️❤️❤️💪💪🙏🙏

  • @IblahimuIssa
    @IblahimuIssa 2 години тому

    Nyie huyu mpanzuuuu.

  • @DungaMan-f9y
    @DungaMan-f9y 2 години тому

    Noma tu😂😂

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 Годину тому

    Mpanzu ni Pacome buku, huyu mtu hatar na noma

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Годину тому

    Mpanzu ni habari nyingine!!

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Годину тому

    Timu zote zitanyolewa mno na chap

  • @ZakayoMgaya2580
    @ZakayoMgaya2580 Годину тому

    Mpanzu huyu nihabali nyingine kabisa mjini apa😂😂😂😂😂

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko Годину тому

    Huyu mwanba sipidi yake hatari wakielewana itakuwa bala tupu hapo

  • @amoji126
    @amoji126 Годину тому

    Hii somba ya 5% mbona ya moto hivi?! Ikifika 100% cjui itakuwaje.

  • @benjaminkambona7783
    @benjaminkambona7783 2 години тому +1

    Alie mleta mpanzu dhambi zake achukue ali kamwe

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 2 години тому

    Tarehe nane sio mbali watatueleza kwann wametufunga mzunguko wa kwanza