Dakika 10 za Maangamizi Review | Na Dizasta Vina

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

КОМЕНТАРІ • 131

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount 2 роки тому +43

    " Nazibadili DATA kuwa INFORMATION, then INFORMATION kuwa KNOWLEDGE, then KNOWLEDGE kuwa WISDOM"
    - Dizasta Vina -
    2022

  • @meddieversal1591
    @meddieversal1591 2 роки тому +32

    Tangu namjua dizasta vina hadi leo haijawai pita siku sijasikiliza ngoma zake... Ntazunguka kote kwenye playlist yanguu nikifika kwa D natuliaaa 🙌🏾🙌🏾

    • @franciscojonja1164
      @franciscojonja1164 2 роки тому +3

      😂kwanza ni kujinyima haki zako za msingi siku ikipita bila kumskiliza @dizasta

    • @meddieversal1591
      @meddieversal1591 2 роки тому +2

      @@franciscojonja1164 😂😂 amini masta, kagusia lifestyle ya kila aina utaachaje kumskiza

    • @yascoguidezanzibar
      @yascoguidezanzibar 2 роки тому +1

      Uyu jamaa ni definition ya hip hop tz yan siku ukimuelew nd unajua kun vitamin flani vya hip ulikisaga na unapata kwa uyu jamaa tuu

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian9521 2 роки тому +15

    wimbo usio bora :baada ya kusikiliza ile ngoma niliamin kweli nyimbo zinatibu 🙏🏽

  • @loisarfene81
    @loisarfene81 2 роки тому +5

    Daaaa Dizasta uko hai bro na unapewa respect yako God bless mzes

  • @nehemiaevarist448
    @nehemiaevarist448 2 роки тому +18

    Ngoma zako iliuskilize kuna utulivu flan inabidi uwe nao so...nakuaaga muoga sana kila ninapoona ngoma zako maana nahofia Akili za watu wataelewa kinachoongelewa...safi sana Bro unafanya kazi kubwa sana mzee.

    • @mselemamsomba6561
      @mselemamsomba6561 2 роки тому

      samewise ninja....nakaaga maskani napiga ngoma kibao ikija ngoma ya divasta nakuwa ba hofu ku play, ila utakuta kuna wahuni wawili au watatu lazima watakuuliza!!! mfano ile ngoma ya money

  • @zakayomwalongo8315
    @zakayomwalongo8315 2 роки тому +5

    The really artist in our country

  • @davabackup7767
    @davabackup7767 Рік тому +9

    2023 after battle with RAPCHA 💥💥💣

  • @skm1143
    @skm1143 2 роки тому +6

    Scorfied navuka wigo
    Afu na fly far🔥🔥💪🏽

  • @franciscojonja1164
    @franciscojonja1164 2 роки тому +7

    Kuna joto Ila @dizasta ni wa Moto kuliko jua✊🏿

  • @oswardnelson6679
    @oswardnelson6679 2 роки тому +5

    Sijawahi choka kukusikiliza,sichoki na sitochoka 🤝Tuishi humo tujifunze jinsi ya kuishi...

  • @nest5787
    @nest5787 2 роки тому +5

    Tangu Dizasta alivyotoka kwenye 10 za maangamizi toka siku hiyo namfuatilia saana kupita maelezo

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe3414 2 роки тому +7

    Dizasta vina ni mkali sana mziki wake ni wakusikiliza tunaomwelewa tunajua shughuli yake c ndogo

  • @patrickpgm6369
    @patrickpgm6369 Рік тому +8

    kibaha mile 1 kamchana maarifa
    8 mile movie ya Eminem( true story )

  • @chipembelesaid
    @chipembelesaid 2 роки тому +8

    Rap masiah is back on earth, back to take what i had to so bow down devils//
    Conquer like a pirate Nigga, you don't see me coz am writting down in the quantum level//
    NO BODY IS SAFE✌

  • @adabokhamis4830
    @adabokhamis4830 2 роки тому +3

    Ase hum ndan watu wanazngua ety utazan hawajawah kumckia Dizasta!!!anyways new move to hiphop

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 2 роки тому +4

    Mara ya kwanza kumsikia ni 2013 au 14 hivii..
    Niliungwa kwenye group moja la whatsapp jamaa akapost ngoma yako ya sister..
    Tangu hapo nikawa shabik yako namba moja

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 2 роки тому +6

    Next legend of the whole generation

  • @baritonetz
    @baritonetz 2 роки тому +14

    Jamaa ni toleo la mwisho la watu wa aina yake

  • @michaelginnerykisura9668
    @michaelginnerykisura9668 2 роки тому +2

    dizasta vina ndoa ni ........Fumbo nakubali mwanangu

  • @kulwamkole7400
    @kulwamkole7400 2 роки тому +3

    God keep alive prof Tungo

  • @kilayogeyejakobo6688
    @kilayogeyejakobo6688 2 роки тому +3

    Dizasta sisi ambao tunamjua hatushaingai...ila nyie wa mainstream ndo mnamshangaa leo aisee duuh kweli dunia sio fair.

  • @jollityjorgan5920
    @jollityjorgan5920 2 роки тому +4

    The black maradona,Prof.tungo, sinaga Shaka n huyu mwamba, yeye ndo Toleo la mwisho kwa watu w aina yake.

  • @mulanmike1997
    @mulanmike1997 2 роки тому +2

    Peace kwa one the incredible ,dizasta vina peace kwako

  • @alexyohana4708
    @alexyohana4708 2 роки тому +3

    Tunaomba review ya mbeya Boy please

  • @ezychaser232
    @ezychaser232 2 роки тому +5

    Panorama Moja🔥🔥🔥

  • @clemencengaga5991
    @clemencengaga5991 2 роки тому +5

    A living Genious

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 2 роки тому +2

    Jamaa ni genius kma mimi vile

  • @kanaanrajab1102
    @kanaanrajab1102 2 роки тому +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥best rhythm

  • @shadrackmgindo3932
    @shadrackmgindo3932 2 роки тому

    Dah mmetisha sana

  • @ibbuwamichano2959
    @ibbuwamichano2959 2 роки тому +3

    Naomba dakika 10 pia

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 2 роки тому +2

    Wa moto kushinda jua

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 2 роки тому +3

    Tunakuhitaji kwenye challenge ya Mr 2,deiwaka hakuna kuacha lolote tukipata nafasi

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan1019 2 роки тому +3

    he's so genius....

  • @kachabastomc1110
    @kachabastomc1110 2 роки тому +1

    Daah!! Eh Bana wee Dizasta Madini mengi sana nakubali brother

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Рік тому +2

    Tumeanza kuappreciate good work kabla watendaji hawajafa? Basi tumekua sana kifikra

  • @bigdasso2825
    @bigdasso2825 2 роки тому +4

    Kibabu na binti season 2 is coming DIZASTA VINA MUNGU NI MWEMA

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 2 роки тому +2

    Dizasta anjuwa sanaa 💪🏽💪🏽💪🏽love him very much

  • @Davidsylivester
    @Davidsylivester 2 роки тому +2

    Huyu jamaa ni fundi sana, yaani uwezo wake inahitaji uwe umetulia ili uelewa anachokitoa.

  • @benpaty
    @benpaty 2 роки тому +3

    Nakubali brother

  • @allykallys92
    @allykallys92 2 роки тому +3

    ni mmoja kati ya wachache wazuri..kichwa kama hichi kingekuwa USA ni bonge la tajir mpk sasa.. Hip Hop inalipa kwa wenzetu

  • @imaramc6802
    @imaramc6802 2 роки тому

    Sahihi kabisa

  • @mossmeer3820
    @mossmeer3820 2 роки тому +4

    that man is danger🔥🔥

  • @burhandadi9252
    @burhandadi9252 2 роки тому +2

    Watu wa media muache unafiki mnasema hamjujui duzastanatukosea sana huyu jamaa ni wq kitambo sana ninaanza kumfuatilia tangu darasa la tatu hadi leo nina miaka 30 bado nasoma ukiona hapewi airtime au show basi wanamuogopa sana hawataki aonekane atawafunika

  • @mushiomary7649
    @mushiomary7649 2 роки тому +2

    Mm nilimjua dizasta kwa mala ya Kwanza kwenye dakika 10 uyo jamaa ni noma

  • @ngalakhai9941
    @ngalakhai9941 Рік тому

    New dawn is here....dizasta is the new thing in hip-hop....then madebe lidai Kwa bongo movie

  • @japhe_b
    @japhe_b 2 роки тому +3

    Am a fan of him,Dizasta.

  • @abrahammustafa6162
    @abrahammustafa6162 2 місяці тому +1

    siku zote wakipekeyake

  • @mohammedyjshemweta1390
    @mohammedyjshemweta1390 2 роки тому +2

    Xana 2 mwanang xjawahi kukupinga na unajua dam yang

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Рік тому

    Uyo ndo Mungu wa Rap

  • @hassanially1834
    @hassanially1834 2 роки тому

    Nakubaree xana aitwe tena aje achane hapy birth day ni ngoma Kali xana ame itoa

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 2 роки тому +2

    >>>Noma Sana 10 za maangamizi

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 2 роки тому +1

    Professor tungo👊🏿
    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 2 роки тому +1

    Disasta vina ndio future Yako, ni kijogoo uliemkwepa mtaan alaf ukamkuta kwako

  • @felixnesphory532
    @felixnesphory532 2 роки тому +2

    Jasiri john 🔥🔥🔥

  • @saidcoutinhophillipe1845
    @saidcoutinhophillipe1845 Рік тому

    Dah HIVI Yule #RAPCHA alikusudia nini kwani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @louisrugha6908
    @louisrugha6908 2 роки тому

    Uliuwaga sana

  • @ndyanabondyanabomkar8703
    @ndyanabondyanabomkar8703 2 роки тому

    Wen janga kwel unakubarika sana karibu bukoba.

  • @mrfreedomfednand2466
    @mrfreedomfednand2466 2 роки тому

    Noma sana huyu jamaa

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi 2 роки тому +2

    Kwamba Dj Dea hukumjua Dizasta before? Nakumbuka walikuwa wanaitwa Panorama kipindi hicho cha Tamadun Music. Kuna jamaa alikuwa anaitwa Dubo Dyballa.

    • @siafujohny7687
      @siafujohny7687 2 роки тому

      Dubo anafanya kazi tanesco ni engineer

  • @woltamdete3873
    @woltamdete3873 2 роки тому +2

    Mtaalamu wa vina na tungo

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Рік тому +2

    #Rapcha kachagua kidole cha kati Chimakeke

  • @AhmedIbrahim-zu5tv
    @AhmedIbrahim-zu5tv 2 роки тому

    Namkubali san huyo mwamba dizasta vina

  • @collinsmakanta6898
    @collinsmakanta6898 2 роки тому

    Mtu Mwenye Balaa

  • @jumaatuwa2599
    @jumaatuwa2599 2 роки тому

    Fundi wa hatiaaa huyo ni nomaaaaaa

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa 2 роки тому +2

    SAFI SANA ✊🏿

  • @damaschisunga-ll3ro
    @damaschisunga-ll3ro 2 місяці тому

    Huyu jamaa huwa nashangaa vijana kama wakina rapcha wanavyo penda kujifananisha nae, huwa wananikera sanaaa☠️☠️☠️☠️☠️

  • @nelsonemmanuel2588
    @nelsonemmanuel2588 2 роки тому +2

    Dizasta vina niwamoto Africa mashariki na kati

  • @simbamabande2967
    @simbamabande2967 2 роки тому +3

    Dizasta vina 1 nikina joh 70 😍😍😍😍😂😂😂

  • @BarakaYona-pl5yy
    @BarakaYona-pl5yy 8 місяців тому

    unajua mpaka unakela

  • @nattyking.5604
    @nattyking.5604 2 роки тому

    Mbona sioni hii kumi yake!?

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Рік тому

    Genius

  • @anorderastonyondo3726
    @anorderastonyondo3726 2 роки тому

    Kisu Kikali Egesha govi mbalii.....😊😊😊

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Рік тому

    Teacher Wangu

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 2 роки тому +1

    🔥genious

  • @paulconrad7091
    @paulconrad7091 Рік тому +1

    Kiukweli na kukubali sana na wewe ni bora sana kwa hip hap zote....ni star unae kuja....nakutabilia kaka

  • @mikechiphopkid5492
    @mikechiphopkid5492 2 роки тому +1

    Wazi

  • @dullyboyka5918
    @dullyboyka5918 2 роки тому +1

    FUNdi dizasta Vina🔥🔥🔥

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 5 місяців тому

    huyu mwamba anajua adi anakera 🪒

  • @shafiihkaunda7749
    @shafiihkaunda7749 2 роки тому +1

    Hakuna km Dizasta vina Tz ukwel ndo huo

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 2 роки тому +1

    dizasta namfaham miaka zaid ya 6 nyuma, mfuatilie mutamuelewa huyu jamaa..

  • @programtz
    @programtz 18 днів тому

    Nimeludi 2024🎉

  • @fredrickkimaro1969
    @fredrickkimaro1969 8 місяців тому

    💯✅

  • @adamdemarch5565
    @adamdemarch5565 2 роки тому +1

    Tunakumbuka

  • @hip-hopandyou.6992
    @hip-hopandyou.6992 2 роки тому

    🙌

  • @kaonekacavin6002
    @kaonekacavin6002 2 роки тому

    hii ngoma ya kanisa nmeisikia hata before ya dk10,,,,tena kuna mwana tuu nlikua nae nmepanga geto moja tukiwa chuo,,alikua anamkubal saaaaaana huyu mwamba,,,,,,asse jamaa anamichano ya utofaut sana nkimsokilizaga namuonaga kama nash emcee wa mapendo na tabia😂😂

  • @onesmobryson8782
    @onesmobryson8782 2 роки тому +3

    Dizasta vina ni kinajoh sabini so wakazi kazaa mkija njooni makini 💥💥💥

  • @saulstephen4924
    @saulstephen4924 2 роки тому

    Na me ndo nilipoanza kumjulia hapo

  • @tumachedi2090
    @tumachedi2090 2 роки тому

    👌

  • @TimothewKinyogoto-ks4zl
    @TimothewKinyogoto-ks4zl 8 місяців тому

    Safiiiiiiii

  • @GoldfreeHagai3
    @GoldfreeHagai3 8 місяців тому

    Tulio mjua dizasta kitambo ,tunajua mliukosa radha ya nyimbo yake,tunao mjua akitoa tu ,imo jamaa anamavitu ya kweli .

  • @edwardhoja
    @edwardhoja 2 роки тому

    🙌🏽🙌🏽🎵

  • @chrisk.efreestylerofficial149

    Unyama

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 2 роки тому

    🔥🔥

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Рік тому

    MUNGU WA RAP

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Рік тому

    BLACK MARADONA 🔥

  • @KIREDIOO
    @KIREDIOO 2 роки тому

    Uyu dizasta ni kitu kingine kabisaa

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 2 роки тому +1

    Vinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @emmas1poet890
    @emmas1poet890 2 роки тому

    Dizasta ni Dizasta more fire

  • @edwinjabez8352
    @edwinjabez8352 2 роки тому

    Fundiiii sana huyu anarudi tena

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 2 роки тому +2

    ✍️✍️✍️✍️✍️💯♥️🔥