muache ujinga wao wakina kilwa na aucho ata kwa nchi zao unakuta awaimbwi sio tz tu mkome kusema ushamba wakienda nje wakafanya vizr watapendwa uko uko mkomeeeeeeeeeee
Wachezaji wetu hawathaminiki Fesal anaimbwa na nani. Fesal alifunga timu ina wachezaji 7 acheni kuwapa nguvu wachezaji wazembe Wachezaji wa kawaida ni kina nani.?sasa hutaka tumtaje Aziz Key . Kibabaje na Lomalisa usifananishe kabisa. Unamtaja Engineer yeye ndie anaefuata wachezaji nje ni quality tu .Chirwa aliimbwa aana pia.yooote hayo ni Diara .Aziz key wasipate tuzo😂😂😂😂😂
Huo ni ukweli,tunateswa na ushamba,,achana na wanataka kusifiwa na hao unaozozana nao happy ndiyo kabisa,siku hizi wanajiita Chawa.Vijana wenye vipaji wamejazana hapa kinachotakiwa kuwezeshwa.Hawa mnaowashobokea leo wametengenezwa huko watokako.Usione kinaelea kimeundwa.Tuache ushamba.Hovyo sana.😊
Huyu jamaa, jana kalala baa anamkia leo kazin et!! Hiv lomarisa unamfananisha na kibabage,, kweel tumefkia huko, fei toto awe sawa na chama, pacome,au aziz key, aaah!! Sheeila elimon palangwiii
Watu anaumwa na Yanga mpaka wanakosa La kuongea. Hatukatai wachezaji wetu ni wazuri Lakin mbona Hao mnaowataja haendi kucheza nje na hata offar kubwa zinazokuja ni za wachezaji wa njee
Acheni kuwaharibu Wachezaji wa ndani. Makocha wa ndani nao ni shida. Wachezaji wa ndani wananashine kutokana na muunganiko wa wachezaji wa nje.wachezaji wa nje wametuzidi Enzi za kina Said Mwamba viwango vilikuwa juu.kwa sasa hakuna viwango kabisa
Ushamba ni neno gumu sana kulitumia,, wachambuzi kuweni na lugha ya stara,, ni ukweli usiofichika hawa wachezaji wa kigeni wameleta chachu kubwa ktk mpira wetu,, kipindi hiki hatuna wachezaji wazawa wenye viwango vikubwa sana,, waambie simba au yanga wasajili wazawa tu na tuone kama tutafika popote . Ukweli ni kwamba hatuna wachezaji wazuri kama zamani kidog hapo nyuma
Wachezaji wa ndani sio wazuri ndio maana akuna ofa yoyote kutoka nje ya nchi ikija ofa ni wale wachezaji wa nje tu wanahitajika tu,sasa tutaimba kitu ambacho hakipo wafanye vzuri nao waende nje wakaimbwe
Jemedari usikate tamaa,wape elimu vijana wenzio,ni washmba hadi huruma,hawa hata wakioa wanataka mke amfulie nguo ya ndani(boxer)Binafsi wachezaji wa nje siwapendi,wazururaji wanaopewa heshima kwenye nchi ya washamba.
Hivi Wende radio zao wanawasikia ..maana hamna hata Shuler ya awali ya mpira.hivi ulivyokuwa unachezea Maribor danadana na wewe ulikuwa unajuwa.kaka mpira kazi..na kama wanaweza wangechukuliwa nje ya nchi.uwezi kuzungumzwa bila kujuwa mpira..anzisha yakwako tuwaone wazawa.
Shida mnataka kupaisha wachezaji ambao hamna kitu. Kwani tungekua na good players wengi si hata team ya taifa ingekua inasogea mbele? Yaani wewe nenda nchi yoyote uone kama unakua treated the same, what Ronaldo is paid ni sawa na wazawa wa Saudia? Kama saudia hawakubali kuwa na mke bila ndoa but Ronaldo yupo na mchumba tu. Shida ni kwamba mna wachezaji viwango vidogo lakini mnakaa hapo mnawapaisha ili mpate pesa nyingi Yanga na Simba. Acheni ushamba, kama ni wazuri watafutieni team nje kwani hamna passport?
Avic Town na Yanga ni maendekeo. Sisi Yanga tukiimba wachezaji wetu nyie mtulie haiwahusu sana. Sio washamba wewe una shida sehemu . Hebu nipe History ya kina SAID MWAMBA kwenda Karikoo lindi
Nenda ww kawe kiongozi muadilifu, mchambuzi unachambua majani au?
muache ujinga wao wakina kilwa na aucho ata kwa nchi zao unakuta awaimbwi sio tz tu mkome kusema ushamba wakienda nje wakafanya vizr watapendwa uko uko mkomeeeeeeeeeee
Huyo Mwenye kifaduro anaongelea Gift Fred Kwanini asimtaje Che Malone anayepata nafasi kama lawi?
Huyo Kifaduro Sijui Teja mstaafu
Yani fei afanane na cham mh machambuz wetu hawa
Wachezaji wetu hawathaminiki Fesal anaimbwa na nani.
Fesal alifunga timu ina wachezaji 7 acheni kuwapa nguvu wachezaji wazembe
Wachezaji wa kawaida ni kina nani.?sasa hutaka tumtaje Aziz Key .
Kibabaje na Lomalisa usifananishe kabisa.
Unamtaja Engineer yeye ndie anaefuata wachezaji nje ni quality tu .Chirwa aliimbwa aana pia.yooote hayo ni Diara .Aziz key wasipate tuzo😂😂😂😂😂
We Ndio Mshamba Namba moja
Huwa anasema lakini yeye ni mshamba
Huo ni ukweli,tunateswa na ushamba,,achana na wanataka kusifiwa na hao unaozozana nao happy ndiyo kabisa,siku hizi wanajiita Chawa.Vijana wenye vipaji wamejazana hapa kinachotakiwa kuwezeshwa.Hawa mnaowashobokea leo wametengenezwa huko watokako.Usione kinaelea kimeundwa.Tuache ushamba.Hovyo sana.😊
Safi sana
Mshamba mwenyewe
Huyu jamaa, jana kalala baa anamkia leo kazin et!! Hiv lomarisa unamfananisha na kibabage,, kweel tumefkia huko, fei toto awe sawa na chama, pacome,au aziz key, aaah!! Sheeila elimon palangwiii
Watu anaumwa na Yanga mpaka wanakosa La kuongea. Hatukatai wachezaji wetu ni wazuri Lakin mbona Hao mnaowataja haendi kucheza nje na hata offar kubwa zinazokuja ni za wachezaji wa njee
Muulizeni anawachezaji wangapi anawasimamia mpaka sasa?
Ningesha miwani asiitaje Yanga? Amemtaja Gift makusudi ili Yanga aitaje!
Acheni kuwaharibu Wachezaji wa ndani.
Makocha wa ndani nao ni shida.
Wachezaji wa ndani wananashine kutokana na muunganiko wa wachezaji wa nje.wachezaji wa nje wametuzidi
Enzi za kina Said Mwamba viwango vilikuwa juu.kwa sasa hakuna viwango kabisa
Ushamba ni neno gumu sana kulitumia,, wachambuzi kuweni na lugha ya stara,, ni ukweli usiofichika hawa wachezaji wa kigeni wameleta chachu kubwa ktk mpira wetu,, kipindi hiki hatuna wachezaji wazawa wenye viwango vikubwa sana,, waambie simba au yanga wasajili wazawa tu na tuone kama tutafika popote . Ukweli ni kwamba hatuna wachezaji wazuri kama zamani kidog hapo nyuma
Kaka huyuu jamaa na yeye ni mupumbavu huweziii kutu aminisha wakatii hawaendiii kucheza mbeleeeee
Hawa ndo wakukamata
Kwa hio jemedari mama mzazi ni mahamba kweli na hata baba yako mmmh wewe ni mwendawazimu tena mjinga sana
Wachezaji wa ndani sio wazuri ndio maana akuna ofa yoyote kutoka nje ya nchi ikija ofa ni wale wachezaji wa nje tu wanahitajika tu,sasa tutaimba kitu ambacho hakipo wafanye vzuri nao waende nje wakaimbwe
Mwamba anzisha team ili uwa promote wachezaji wako unaumia sana
Si unaona hata mbwana samata wanamtukana badala ya kumpatia heshima kweli watanzania ni washamba
Wewe na wachezaji wako wa ndani ndio washamba… tamaa za kuuza match ndio zinawaponza hizoo
Duhh
Jemedari usikate tamaa,wape elimu vijana wenzio,ni washmba hadi huruma,hawa hata wakioa wanataka mke amfulie nguo ya ndani(boxer)Binafsi wachezaji wa nje siwapendi,wazururaji wanaopewa heshima kwenye nchi ya washamba.
Hivi Wende radio zao wanawasikia ..maana hamna hata Shuler ya awali ya mpira.hivi ulivyokuwa unachezea Maribor danadana na wewe ulikuwa unajuwa.kaka mpira kazi..na kama wanaweza wangechukuliwa nje ya nchi.uwezi kuzungumzwa bila kujuwa mpira..anzisha yakwako tuwaone wazawa.
Shida mnataka kupaisha wachezaji ambao hamna kitu. Kwani tungekua na good players wengi si hata team ya taifa ingekua inasogea mbele?
Yaani wewe nenda nchi yoyote uone kama unakua treated the same, what Ronaldo is paid ni sawa na wazawa wa Saudia? Kama saudia hawakubali kuwa na mke bila ndoa but Ronaldo yupo na mchumba tu. Shida ni kwamba mna wachezaji viwango vidogo lakini mnakaa hapo mnawapaisha ili mpate pesa nyingi Yanga na Simba. Acheni ushamba, kama ni wazuri watafutieni team nje kwani hamna passport?
Chuki tu huna lolote
Na mama yake na baba yake ni watanzania sasa huyu akili zake zinawatukana mpaka wazazi wake
Huyu ni mshamba sasa km Feisal ametusaliti yanga tunampendaje fala ww
Avic Town na Yanga ni maendekeo.
Sisi Yanga tukiimba wachezaji wetu nyie mtulie haiwahusu sana.
Sio washamba wewe una shida sehemu .
Hebu nipe History ya kina SAID MWAMBA kwenda Karikoo lindi
We upo efm anza kumsifia shaffih dauda wa clouds fm hapo hapo,washamba ni nyie ambao kila kitu nyie mnaona hamkosei
Washamba nyie
Hawa wachambuzi hovyo kabisa