Watangazaji wanashida hawa, yaani wanatafuta kila kasoro ili mradi tu Engineer aonekane si lolote si chochote.. Hawahawa waliitetea simba kwenye sakata la Kibu Denis.. Walisema kama mchezaji hataki kukaa na wewe utafanya nini.. Lakini leo wanajifanya kushangaa viongozi wa Yanga kutompa mkataba Gamodi
Yaani huwa napenda kuwasikiliza ,ili nipate vitu fulani kuwa watu tuna akili tofauti na uwezo mdogo waku ng'amu mambo.(Swali hivi nyie hapo ndio mliopendekeza Gamondi kuajiliwa na Yanga?)
NDIO MAANA NINASEMA WACHAMBUZI WA KIBONGO SAA NYIE MNA VIRUS KICHWANI WACHA UJINGA WENU INJINIA HERIS HAWEZI KULAUMIWA KWA SABABU HATA GAMONDI HUKUMPA WEWE.
Hii redio inamachok weng san haw ndo walisem gamond awez kutupa mafanikio leo hii wanasem viongoz wet wakulaumiwa watakuw wanapumuliwa haw wachambuz ten wakom kumzungumzi Rais wet kweny redio ya pamoj n tim yet wazungumz timu nyingin atutak
We akili hauna je kama wamefanyanae n gamond ameamua kuondoka.. we akili Huna unamuongelea engener hivyo ili hari uo ubig kocha unaoutaj hukuwahi kuutaja kabla hajaletwa pale uache unafiki wa kujidai unamjua gamond kuliko yeye aliyemleta pale sisi yanga tupo na uongoz wetu popote walipo tupo... kama kaze tu uzuri ni wa team yetu sio yeye tuuu peke yake pale ata aende mkwasa mambo ni moto huo huo
Mnaushaidi gani kama bado hawajafanya mazungumzo, acheni chokochoko.
Kama Kagoma Kusaini
Ashikiwe Panga?
Kama wamezungumza Mlitaka Uwambiwe?
Kaondoka Nabi Mlisema Hivyohivyo?
Gamond aondoke tu kila siku anampanga Mzize,
Nyie mnamjua Eng. ???? Anamleta Arteta shenzi zenu.
Nyinyi nyote akili zenu zote mkizichanganya hazimfikii injinia wehu nyiiiiiii
Hapo Simba ndio mnapata pa kusemea..
Watangazaji wanashida hawa, yaani wanatafuta kila kasoro ili mradi tu Engineer aonekane si lolote si chochote..
Hawahawa waliitetea simba kwenye sakata la Kibu Denis..
Walisema kama mchezaji hataki kukaa na wewe utafanya nini..
Lakini leo wanajifanya kushangaa viongozi wa Yanga kutompa mkataba Gamodi
Yaani huwa napenda kuwasikiliza ,ili nipate vitu fulani kuwa watu tuna akili tofauti na uwezo mdogo waku ng'amu mambo.(Swali hivi nyie hapo ndio mliopendekeza Gamondi kuajiliwa na Yanga?)
🎉nyinyi ndo makobe was mfelejin amjitambuyi tuacheni na Tim yetu
Hii redio inaviraza wengi sana tena ni Makolo Hayana uchambuzi ila ni chuki yameweka mbele kuliko mpira
NDIO MAANA NINASEMA WACHAMBUZI WA KIBONGO SAA NYIE MNA VIRUS KICHWANI WACHA UJINGA WENU INJINIA HERIS HAWEZI KULAUMIWA KWA SABABU HATA GAMONDI HUKUMPA WEWE.
Kunawatu walikuwa na mkataba wakaondoa kumuangalia mkewake hajarudi..
Nyie wapuuz sana aisee kwani kocha Yuko pekeake hapa Africa? Wapuuuuuuuz nyie
Hivi coach mwenye mkataba wa mwaka mmoja unamtathmini lini?unamtathmini baada ya ligi na ndio wakati wa kumpa mkataba .
Nyinyi mnaumwa nini? Walipomleta mlimujua?
gamond mwenyewe amesoma alama za nyakat anajua kua msim ujao wanyama wanakuja kivingine
Wew kipara km unamtaka injinia sema t akupelekee moto
Hawa washakua wachambuzi wa mchele
Habari zenu za uongo wapuuzi nyie
Mgonjwa wewe mambo ya Yanga hayakuhusu.
Nyie mnajuaje kwamba hawajafanya mazungumzo nae na ishu ya mtu kusain nimpaka apende mwenyew huwezi kumlazimisha
Wanafiki wakubwa nyie
Viazi,
Huyo mwenye bichwa kama papai nakipara ngoto
Hii redio inamachok weng san haw ndo walisem gamond awez kutupa mafanikio leo hii wanasem viongoz wet wakulaumiwa watakuw wanapumuliwa haw wachambuz ten wakom kumzungumzi Rais wet kweny redio ya pamoj n tim yet wazungumz timu nyingin atutak
Sio uzembe haka kareldio ni kamipasho tu kama wanaeake
Kama anaenda aende
Akiondoka miguel angel gamondi tunamshusha murtaza mangungu 🤣🤣🤣 na ubingwa tunachukua ....hii yanga ukijua kupanga namba ubingwa uo apo
We akili hauna je kama wamefanyanae n gamond ameamua kuondoka.. we akili Huna unamuongelea engener hivyo ili hari uo ubig kocha unaoutaj hukuwahi kuutaja kabla hajaletwa pale uache unafiki wa kujidai unamjua gamond kuliko yeye aliyemleta pale sisi yanga tupo na uongoz wetu popote walipo tupo... kama kaze tu uzuri ni wa team yetu sio yeye tuuu peke yake pale ata aende mkwasa mambo ni moto huo huo
Huyu ngoto Mwongo sana mbinguni ata pasikia 😂
SIONI KAMA HUYU MCHAMBUZI ANA AKILI TIMAMU. UNAJUAJE KAMA YANGA HAWANA MPANGO NAYE. NI PAEFECT KWAKO SIO KWA SIMBA.
Nyie wachambuzi mnauelewa gani na yaliyopo yanga,mbona wagombanishi au makolozbwanj nyie
Aliondoka Nabi mukasema hvyo hvyo kwahy atakuj mwingne mkali zaidi