WAZIRI JERRY SILAA ABAINI MCHEZO MCHAFU, AWASHTUKIA WAPIGAJI WA ARDHI "WANATUTUMIA VIONGOZI".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 19

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 11 місяців тому

    Hongera yule mama kazi ilimshinda piga kazi

  • @tumainimateru2720
    @tumainimateru2720 11 місяців тому +1

    Ni kweli mhe waziri jambo hilo linafikirisha sana na wanasababisha wizara kukosa mapato ya nchi. Ukitaka kulipa wanakuwekea vikwazo wakati haki ya kulipa ushapewa. Tamka kila anayedaiwa alipe alicho nacho ata mara mbili kwa mwezi kwa kiasi chochote

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 10 місяців тому

    Upo vizuri mheshimiwa hata mijini bado kuna square tusaidie sema neno moja tu

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 11 місяців тому +1

    Waziri njoo na Nkuhungu broad acre na Matuli Dodoma Wavamizi na Viongozi wamedhulumu Ardhi hivyo hivyo

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 11 місяців тому

    Well Said, Well said, well said.

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 5 місяців тому

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI MKUBWA WA NYUMBA N VIWANJA VYA WATU DAR

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 11 місяців тому +1

    Leo umenikosha kufafanua mlengo wa chama cha TANU, baadhi ya viongozi wanajua chama cha mapinduzi ni chama cha matapeli. sio chama cha matapeli ni chama cha wakulima na wafanyakazi. Huo ndio mlengo wa chama mama cha mapinduzi.

  • @bongo39
    @bongo39 11 місяців тому

    Kwanza kabisa naomba usipowe uwe moto mpaka kieleweke na hili swala la magomeni mpaka leo hii ni skuata Eria hivi jamani mpaka karne hii ya leo ktk jiji la daresalaam top 3 ni magomeni ukianza uhindini kko kisha magomeni lakini mpaka leo hii watu wanajenga mpaka katikati ya mitaa na hamna mtu anaemzuia magorofa yanajengwa jee mtawavunjia badae au

  • @user-iv7mh7do2d
    @user-iv7mh7do2d 11 місяців тому

    Njoo lushuto hari si shwari pia

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h 5 місяців тому

    Waziri silaa Akukupenda mungu na wazazi wako na mama wako wa hijari mama samia tosha wengine wanafki mataperi fukuza kazi wote😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 11 місяців тому

    Ovyo sana tushawazoea marangapi mawaziri wa aridhi mnakuja mapinga kero kibao akuna atua yoyote inayo chukuliwa

  • @user-sb8py3ib5z
    @user-sb8py3ib5z 11 місяців тому

    Mheshimiwa njoo ikungi singida utuokoe

  • @benjaminyakobo7792
    @benjaminyakobo7792 11 місяців тому

    Kumbe unajua vikwazo sasa kwanini hutaki kuja nyatwali unakubari kudanganya nawatuwsko unaabiwa bei arith ipo chini

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 11 місяців тому

    Hata wakibaini hakuna hatua yoyote

  • @mmichaeleletricet4554
    @mmichaeleletricet4554 5 місяців тому

    Kabisa ni chama cha wasulima na wafanya kazi haya matapeli mapungo moshi vijijni hayalimi wa hayafanyi kazi ni kukaa kwenye vijiwe na kupanga njama za kutapeli

  • @daudikapange9203
    @daudikapange9203 11 місяців тому

    Wakwanza

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 місяців тому

    CCM wote wapigaji tu.