😮kiba anaonyesha ana kihoro ana roho mbaya ka limyama poli lisilo na ubinadan nahapa kama hajamgusia diamond hakuna wimbo unaweza trend kwa two weeks na hawezi acha beef kwa sababu atakosa kiki nampenda xana kiba ila namshaur abadilike awe mbunifu istoshe ni m2 wa dini wanatufunza nn sis tunaowatazama😢😢😢😢 mond nakupa maua yako🎉🎉🎉
Usichukulie mambo personal sn ao wote wanajuana sn sn bifu zao zinasaidia Taifa hili na ndiomana wamewasahaulisha kuhusu bandari huoni akili nyingi wanaotumia vijana ao
Waandishi hovyo kabisa maswali yao hayaoneshi dhamira wala nia ya kuukuza mziki ni uchochezi na majungu na kufuatilia maisha ya private ya msanii utarajie kupata majibu mazuri kweli???? Badilikeni waandishi hii ni aibu
@@salimsoyo8118 miaka 20 kwenye show hajawai kuwa na king music festival yaani kiufupi haana uwezo wa ku promote wasanii wake ataweza aje ku promote festival?
@@lovesallu5292 Hahah Ali ana akili sana Hataki kumuingiza Zuhura kwenye maugomvi japo Zuhura ana force kisa basha wake..Ila Ali dah yaani huyu mimi kabisa
La msingi waandishi wa habari wamekosa ethics na huyu jamaa anajuwa anachokifanya hata majawabu yake katika interviews hazina ubaguzi wala uchochezi. waandishi wa habari wanapotumia chombo hichi vbaya madhara yake huwa makubwa na yanapotokea wao kwa kweli hukaa mbali sana. Jamiii sasa iamke kuwatambua waandishi wa habari wenye ethics na wale wasio na ethics.
Alikiba nakupenda San majibu yako king upewe ulinzi wakutosha ❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimerudia alivyojibu kuhusu zuchu, Ali kiba is the best❤❤
Hapo kwa zuchu nimependa jibu lako👍
Leo ndo nimeamini wanaogombanishaga wasani ni ninyi waandishi wa habari yaani maswali yote yanayoulizwa nia kichochezi tu na ugombanishi . So sad
Wajinga sana hawa wadishi
Uko sahihi kaka
Hawa watu wote wako kwa biashara elewa ivo wasanii nawaandishi wote wanatafta mashabiki ili kuimarisha biashara na kazi zao
Waandishi wa wabongo wanapenda umbeya hawana jipya
Umesikiliza kama mimi, nimeamini hilo pia. Maswali ya uchochezi. Wnaacha maswali ya msingi....😂😂😂😂
It is the Yell for me🎉kuonesha kwamba huyo dada amehisi raha sana kumhoji Ali King ❤❤❤tangu enzi za Nakshi Mrembo Kiba ni Fire🔥🔥🔥😍
zuchu namuheshimu sana.. that is nice👊
nimeikubali hii ya zuchu kwamba unamweshim hutaongea chochote kumhusu i appreciate you king ki
Hayo ndio majibu ya mtu mwenye akili .bila kejeli tena alikiba anajuwa kuzibiti maswali ya wandishi .Safi sana Ali K
I like this dude he's so humble...mungu akulinde bro
huyu anawivu sana
Huyo dada sijui wa media gani ana sauti nzuri MashaAllah
Hilo jibu la kiba linafurahisha sana jamani. Na nyie waandishi mungu anawaona😂😂😂😂😂❤❤❤❤
You're so mature kiba I wish ungeenda tu ,because you're the 🤴 king
Umeongea vizuri, ni waandishi Tu wanakuza Mambo,,,,,
Uyo ndio king ilove you kiba❤❤❤
"Thanks king,we love you bro" ✍️👏✔️
Heshima yako vidooooooo🔥🔥🔥
Asante sana
Yaaaan maswal yoote ni wasafi kwan hamnaga maambo mengine ya kuuliza 😂😂😂😂
Dah! Alikiba ana busara sana ,, wanajaribu kumgombanisha anaruka na Hana wasiwasi anavyojibu ase
The real king👑🇰🇪
Alikiba ni mtu na nusu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
King 👑 saluti kwako
King 🤴 👏👏
Kiba unanibamba leo❤❤
Ila kiba hua anazarau sana majibu yake tu jibu tosha
Anajibu hivyo kwasababu wanamuuliz maswali ya kichonganishi. Hata ningekua mm Tena hapo ni kawajibu very wisely
Waiting
Alikiba ana akili sana.
Anajibu kikubwa@Bif up King
Safiiiii unajibiwa kama unavyoulizwa...hakuna kupindapinda..king
Yani kiba kupndeza huwa ni vigum kwake
King
Hapa kwenye kolaba kajibu vizuri 😅
Kaka umekuja ku support au kuonesha una support.
Yani nimependa alikiba jameni ❤
Keeling huyu ni King eti acha ujinga ww kitajiri flaaani hivi I love that
Hi
King kiba nimeipenda hyo zuchu namuheshim sana..umeonesha uwanaume...mwanaume hashindan na mtt wa kike....jamn..nimekaelew hako
Kiba ukimheshimu nae ana kuheshimu
❤❤❤❤
Nakupendea hapo tu bro
💪💪💪❤️❤️❤️
Aisee umekomaa aka akili yako imepevuka sanaa.keep it up.umejibu kila kitu kikubwaaa😂😂😂😂
King king nakukubali sana
Alikiba nimoto namkubali Sana
Ukiskia msanii mkubwa ndio huyo hana kelele za kubishana na kina zuchu yani Dah nakukubali sana kiba
😂😂😂😂😂Na hiyo kofia ya kapelo
Muongo
@@queenmollel6739😂😂😂😂nimejua kucheka wewe
safi broo alikiba ilanatamani ufanye corabo na diamond nitapenda
The king himself 😍😍😍😘😘
Vile amesema Niko busy 👍👍👍👍👍👍👍
Nakupenda san king mwenyez mungu akuongozee
jamaaa ana zarau sana
dude got brains!!!
Ila kiba,et debe tupu😂😂😂😂😂😂
Nynyi wahandishi wa bongo viazi Amna maswali ya maana kumuliza kifupi amjielewi
Jamani mond akusema vibaya mbona mnakuwa ivyo
Mimi ni Team Mond lkn nampenda sana King Kiba anaakili mno
Akili za hawa waandishi zina sensor kuliko hizo mic 😂😂😂
Millard ayo waandishi wana kelele mi sijapenda😮😮 kama una mkubali King 👑 gonga like apa na kama wamkubali Millard Ayo gonga like kubwaaaaaa🎉🎉🎉
Diamond us the best 👇👇👇
ua-cam.com/video/2ApvlC1If1c/v-deo.html
Nakupenda sana kwa majib mazur umeonesha upendo mkubwa
King kama king ❤❤❤
King ni king tu 👏 👏 👏
Ehhhh...Waandishi wa habari jamani,mbona wagombanishi Sana🙌🙌🙌
King 🙌🏻❤
Kiba Ndimu😄
Okay
😮kiba anaonyesha ana kihoro ana roho mbaya ka limyama poli lisilo na ubinadan nahapa kama hajamgusia diamond hakuna wimbo unaweza trend kwa two weeks na hawezi acha beef kwa sababu atakosa kiki nampenda xana kiba ila namshaur abadilike awe mbunifu istoshe ni m2 wa dini wanatufunza nn sis tunaowatazama😢😢😢😢 mond nakupa maua yako🎉🎉🎉
Meona eee chuki Sana na ataishia ivyoivyo
Sasa hapo kajibu nini kibaya mpaka uongeee hayo yote acha chuki binafsi Kwa Kiba
@@taseleli9181nashangaa,et anamshaur kiba😅wakat Kiba kamzid Kila kitu
@@leahzuu6468ww ni team mond Baki hukohuko
Usichukulie mambo personal sn ao wote wanajuana sn sn bifu zao zinasaidia Taifa hili na ndiomana wamewasahaulisha kuhusu bandari huoni akili nyingi wanaotumia vijana ao
Uyu naye ndo maneno gani eti debe tupu😅😅
Kaka umejibu vzr sanaaaa
Niko bize na shughuli zangu 👏
Sasa Mimi napenda Ali kiba wa ivi yupo sawa kabisa
ALIKIBA NI MTU NAUGUA WIVU YAANI ANMUONEA DIAMOND WIVU vile amefanya mambo mengi ambayo yeye hajafanya NAWIVU SANA
Alikiba akir kotentena nguvu kisoda nakukubali kinomanoma huna mkuu bro🙏🙏
Big up king 🤴 Achana na wanazi kina mama hao pambana mzee ✌️
❤
Alikiba hana mbamba mba sema w Vido vidox unatafta ugomvi
Kwa jinsi Ali Kiba alivyo muongelea Zuchu inaonesha ni jinsi gani ana heshima na wanawake we like kama umeona kama mm
Waandishi hovyo kabisa maswali yao hayaoneshi dhamira wala nia ya kuukuza mziki ni uchochezi na majungu na kufuatilia maisha ya private ya msanii utarajie kupata majibu mazuri kweli???? Badilikeni waandishi hii ni aibu
Wewe Ndio Hovyo Sasa…
@@vidovidox2632...kaka Fido ..ushaul wangu akil yako naiamin mno.chonde usiludie maswal ya hovyo...hAyo so sainz yako unatuonea mashabik nzako..samani kaka Kama nimekukwanza
Mm ndomana NAMPENDA KIBA SAABAB MUELLEWA NA MSTAARAB
❤❤❤❤
Huna uking wala nini kiburi roho mbaya unajikuuta pumbavu mshamba tu
Mshamba mmoja tu chuki zimemjaa😂😂
Yebaba 🔥
❤❤❤
Kaka nakupenda San nafulah kusikia mamanen yak hay kuhus huy ndg yet
waandishi wa media ndoo mnaforce bfu za wasanii ziendelee
King Simba Mnyama🦁
Yuko sawah ata diamond ni muongo tu kama kweli astuambie sisi wataftane wakae chini kama ana nia njia ziko wazi sio kuja huku haileti maana
Sio tu ni muongo kk ni mnafiki kabisa 😢akisimama mbele ya camera ana maneno matamu sana ila behind the camera ni MNAFIKI
@@mrben227wabongo alikunafkia nn😂😂
Nice
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Alikiba bhana
Mwambaaaa hakose majibu yake ❤❤❤❤
Ila alikiba daaah
Nakupenda kiba uyo zuchu tumuace njisi alivyo hhhhhhhh
Yeye siyomtu wakubaliki NYIMBO 😂😂 Kiba bhn
Mmmh king hatoboi kimataifa🤣🤣
Mzee kiba mbona ukiskia simba unapata mihemko hii kitaalam inaitwaje
Sindano ya ganzi imemuingia
Wivuuuuu😅😅😅😅
Kiwewe chuki zimemjaa anajibu kwa jaziba😂😂😂
Kazee kazima ovyoo kanaroho mbaya sana toka muujana wake🤣🤣
Wewe nawe acha roho mbaya kwani ukienda utabadilika mpuuzi 😂😂😂😂
Anateseka saaana😂😂😂
Bwege huyu amejaa kibuli kweli Diamond anashikilia kawaida tu lakini huyu mwamba kwake inamuuma sana ameijenga bifu mpaka kimaisha yote kabisa
Na chuki hazita mfikisha popote
Nyie ndo munachuki sasa nawala hazitawasaidia
Kiba na mimi nahisi ni baba na mama mmoja sipendagi mtu anidharau kisha aanze jibabysha hua cludi nyuma kbs
@@joycemageta4876 Umeonaeee
Huyo anajielewa hana unafiki kama domo.
ila huyu msenge jeuri jamani sijui kalisi kwa nani kha! 😂😂😂😂😂
Tujuzane nn kimejili
Yupo sahihi kiupande wake sio mambo na jeuri kila moja atambe anga zake
@@salimsoyo8118 miaka 20 kwenye show hajawai kuwa na king music festival yaani kiufupi haana uwezo wa ku promote wasanii wake ataweza aje ku promote festival?
Anamsmamo sio jeur
@@lightnesschiwinga325 msimamo wa kusubiria walio mkuta kwenye game wamualike ila hakuna siku atafanya jambo aalike😏😏
Alikiba ni msanii wa kuigwa
good
Nimependa jibu kuhusu Zuhura ,kuwa unamuheshimu na hauwezi kusema kitu juu yake safi sana ...Nimependa hii ila.sijui mimependa kwa nini😂😂
🤣😂😁umependa ivyo ivyo yaani🤩🤩
@@lovesallu5292 Hahah Ali ana akili sana Hataki kumuingiza Zuhura kwenye maugomvi japo Zuhura ana force kisa basha wake..Ila Ali dah yaani huyu mimi kabisa
Diamond aaakili sana akiwa public haonyeshi hisia zake 😅
Huangalii interviews ww
La msingi waandishi wa habari wamekosa ethics na huyu jamaa anajuwa anachokifanya hata majawabu yake katika interviews hazina ubaguzi wala uchochezi. waandishi wa habari wanapotumia chombo hichi vbaya madhara yake huwa makubwa na yanapotokea wao kwa kweli hukaa mbali sana. Jamiii sasa iamke kuwatambua waandishi wa habari wenye ethics na wale wasio na ethics.
Duh waandishi wa habari wallah😂 kiba et sasa mm ndo niwabariki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
King kafanana na air tz Manula
Yaap yaap❤❤❤