ALIKIBA KAMCHANA DIAMOND KUHUSU SHOW YA WASAFI "YEYE NANI?, NIKO BIZE, DEBE TUPU LINAPIGA KELELE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 сер 2023

КОМЕНТАРІ • 406

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 10 місяців тому +28

    Alikiba nakupenda San majibu yako king upewe ulinzi wakutosha ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 10 місяців тому +9

    Nimerudia alivyojibu kuhusu zuchu, Ali kiba is the best❤❤

  • @jackiemuthami1723
    @jackiemuthami1723 10 місяців тому +34

    Hapo kwa zuchu nimependa jibu lako👍

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 10 місяців тому +142

    Leo ndo nimeamini wanaogombanishaga wasani ni ninyi waandishi wa habari yaani maswali yote yanayoulizwa nia kichochezi tu na ugombanishi . So sad

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 10 місяців тому +3

      Wajinga sana hawa wadishi

    • @adammlukago8216
      @adammlukago8216 10 місяців тому +2

      Uko sahihi kaka

    • @nehzreal7445
      @nehzreal7445 10 місяців тому +6

      Hawa watu wote wako kwa biashara elewa ivo wasanii nawaandishi wote wanatafta mashabiki ili kuimarisha biashara na kazi zao

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 10 місяців тому +2

      Waandishi wa wabongo wanapenda umbeya hawana jipya

    • @deomwaikeke883
      @deomwaikeke883 10 місяців тому +2

      Umesikiliza kama mimi, nimeamini hilo pia. Maswali ya uchochezi. Wnaacha maswali ya msingi....😂😂😂😂

  • @jackisrael.I.B.E.X
    @jackisrael.I.B.E.X 10 місяців тому +21

    It is the Yell for me🎉kuonesha kwamba huyo dada amehisi raha sana kumhoji Ali King ❤❤❤tangu enzi za Nakshi Mrembo Kiba ni Fire🔥🔥🔥😍

  • @hassanihamadi3141
    @hassanihamadi3141 10 місяців тому +16

    zuchu namuheshimu sana.. that is nice👊

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 10 місяців тому +9

    nimeikubali hii ya zuchu kwamba unamweshim hutaongea chochote kumhusu i appreciate you king ki

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 10 місяців тому +42

    Hayo ndio majibu ya mtu mwenye akili .bila kejeli tena alikiba anajuwa kuzibiti maswali ya wandishi .Safi sana Ali K

  • @mikathedon
    @mikathedon 10 місяців тому +10

    I like this dude he's so humble...mungu akulinde bro

  • @Zuulito
    @Zuulito 10 місяців тому +5

    Huyo dada sijui wa media gani ana sauti nzuri MashaAllah

  • @clarangowi4402
    @clarangowi4402 10 місяців тому +7

    Hilo jibu la kiba linafurahisha sana jamani. Na nyie waandishi mungu anawaona😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @dockaridk
    @dockaridk 10 місяців тому +2

    You're so mature kiba I wish ungeenda tu ,because you're the 🤴 king

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 місяців тому +5

    Umeongea vizuri, ni waandishi Tu wanakuza Mambo,,,,,

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 10 місяців тому +4

    Uyo ndio king ilove you kiba❤❤❤

  • @collinsmudaida9283
    @collinsmudaida9283 10 місяців тому +22

    "Thanks king,we love you bro" ✍️👏✔️

  • @kingevarist6653
    @kingevarist6653 10 місяців тому +18

    Heshima yako vidooooooo🔥🔥🔥

  • @JamilSalanga-bv9of
    @JamilSalanga-bv9of 10 місяців тому +22

    Yaaaan maswal yoote ni wasafi kwan hamnaga maambo mengine ya kuuliza 😂😂😂😂

  • @ghotmedia
    @ghotmedia 10 місяців тому +1

    Dah! Alikiba ana busara sana ,, wanajaribu kumgombanisha anaruka na Hana wasiwasi anavyojibu ase

  • @farahali-xh4ej
    @farahali-xh4ej 10 місяців тому +3

    The real king👑🇰🇪

  • @james_officialtz883
    @james_officialtz883 10 місяців тому +2

    Alikiba ni mtu na nusu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 10 місяців тому +1

    King 👑 saluti kwako

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer 10 місяців тому +1

    King 🤴 👏👏

  • @clintonbosire
    @clintonbosire 10 місяців тому +6

    Kiba unanibamba leo❤❤

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 10 місяців тому +13

    Ila kiba hua anazarau sana majibu yake tu jibu tosha

    • @flova7022
      @flova7022 10 місяців тому

      Anajibu hivyo kwasababu wanamuuliz maswali ya kichonganishi. Hata ningekua mm Tena hapo ni kawajibu very wisely

  • @alihussein832
    @alihussein832 10 місяців тому +9

    Waiting

  • @mayanzimipawa3397
    @mayanzimipawa3397 10 місяців тому +27

    Alikiba ana akili sana.
    Anajibu kikubwa@Bif up King

  • @salumhilary8526
    @salumhilary8526 10 місяців тому +2

    Safiiiii unajibiwa kama unavyoulizwa...hakuna kupindapinda..king

  • @BigirimanaSalum-xy6zg
    @BigirimanaSalum-xy6zg 10 місяців тому +3

    Yani kiba kupndeza huwa ni vigum kwake

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 10 місяців тому +6

    King

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 10 місяців тому +6

    Hapa kwenye kolaba kajibu vizuri 😅

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 10 місяців тому +3

    Kaka umekuja ku support au kuonesha una support.

  • @justerkaregi8044
    @justerkaregi8044 10 місяців тому +4

    Yani nimependa alikiba jameni ❤

  • @skeeteranderson375
    @skeeteranderson375 10 місяців тому +4

    Keeling huyu ni King eti acha ujinga ww kitajiri flaaani hivi I love that

  • @rarkia7452
    @rarkia7452 10 місяців тому +1

    King kiba nimeipenda hyo zuchu namuheshim sana..umeonesha uwanaume...mwanaume hashindan na mtt wa kike....jamn..nimekaelew hako

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 10 місяців тому +3

    Kiba ukimheshimu nae ana kuheshimu
    ❤❤❤❤
    Nakupendea hapo tu bro

  • @ChimamamermitaKatembo-vm8vt
    @ChimamamermitaKatembo-vm8vt 10 місяців тому +4

    💪💪💪❤️❤️❤️

  • @honestakitomari7048
    @honestakitomari7048 10 місяців тому +4

    Aisee umekomaa aka akili yako imepevuka sanaa.keep it up.umejibu kila kitu kikubwaaa😂😂😂😂

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 10 місяців тому +8

    King king nakukubali sana

  • @EmmanuelyMoshi
    @EmmanuelyMoshi 10 місяців тому +1

    Alikiba nimoto namkubali Sana

  • @davidmvile5716
    @davidmvile5716 10 місяців тому +18

    Ukiskia msanii mkubwa ndio huyo hana kelele za kubishana na kina zuchu yani Dah nakukubali sana kiba

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂Na hiyo kofia ya kapelo

    • @JemimaNyange-si8cr
      @JemimaNyange-si8cr 10 місяців тому

      Muongo

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому

      ​@@queenmollel6739😂😂😂😂nimejua kucheka wewe

  • @user-dw9ig4kb4f
    @user-dw9ig4kb4f 10 місяців тому +1

    safi broo alikiba ilanatamani ufanye corabo na diamond nitapenda

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 10 місяців тому

    The king himself 😍😍😍😘😘

  • @user-ig1ou8nr9p
    @user-ig1ou8nr9p 2 місяці тому

    Vile amesema Niko busy 👍👍👍👍👍👍👍

  • @user-zs7rw8rl8c
    @user-zs7rw8rl8c 6 місяців тому

    Nakupenda san king mwenyez mungu akuongozee

  • @mrh2812
    @mrh2812 10 місяців тому +4

    jamaaa ana zarau sana

  • @alloysiusngala1274
    @alloysiusngala1274 10 місяців тому +1

    dude got brains!!!

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g 10 місяців тому +10

    Ila kiba,et debe tupu😂😂😂😂😂😂

  • @bminawandu
    @bminawandu 10 місяців тому +1

    Nynyi wahandishi wa bongo viazi Amna maswali ya maana kumuliza kifupi amjielewi

  • @magutadickson6900
    @magutadickson6900 10 місяців тому +9

    Jamani mond akusema vibaya mbona mnakuwa ivyo

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 10 місяців тому +1

    Mimi ni Team Mond lkn nampenda sana King Kiba anaakili mno

  • @geeva99
    @geeva99 10 місяців тому +17

    Akili za hawa waandishi zina sensor kuliko hizo mic 😂😂😂

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir 10 місяців тому +25

    Millard ayo waandishi wana kelele mi sijapenda😮😮 kama una mkubali King 👑 gonga like apa na kama wamkubali Millard Ayo gonga like kubwaaaaaa🎉🎉🎉

    • @wanaharakati
      @wanaharakati 10 місяців тому

      Diamond us the best 👇👇👇
      ua-cam.com/video/2ApvlC1If1c/v-deo.html

  • @user-zk3qz5lb4q
    @user-zk3qz5lb4q 10 місяців тому

    Nakupenda sana kwa majib mazur umeonesha upendo mkubwa

  • @PROFESSORSHEDY
    @PROFESSORSHEDY 10 місяців тому +1

    King kama king ❤❤❤

  • @paschaledward8670
    @paschaledward8670 10 місяців тому

    King ni king tu 👏 👏 👏

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 10 місяців тому +1

    Ehhhh...Waandishi wa habari jamani,mbona wagombanishi Sana🙌🙌🙌

  • @bonfacebonafide7220
    @bonfacebonafide7220 10 місяців тому

    King 🙌🏻❤

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 10 місяців тому +4

    Kiba Ndimu😄

  • @haidarybrown427
    @haidarybrown427 10 місяців тому +4

    Okay

  • @josephatmashaury6873
    @josephatmashaury6873 10 місяців тому +16

    😮kiba anaonyesha ana kihoro ana roho mbaya ka limyama poli lisilo na ubinadan nahapa kama hajamgusia diamond hakuna wimbo unaweza trend kwa two weeks na hawezi acha beef kwa sababu atakosa kiki nampenda xana kiba ila namshaur abadilike awe mbunifu istoshe ni m2 wa dini wanatufunza nn sis tunaowatazama😢😢😢😢 mond nakupa maua yako🎉🎉🎉

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому +1

      Meona eee chuki Sana na ataishia ivyoivyo

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 10 місяців тому +3

      Sasa hapo kajibu nini kibaya mpaka uongeee hayo yote acha chuki binafsi Kwa Kiba

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 10 місяців тому

      ​@@taseleli9181nashangaa,et anamshaur kiba😅wakat Kiba kamzid Kila kitu

    • @joetchatv1453
      @joetchatv1453 10 місяців тому

      ​@@leahzuu6468ww ni team mond Baki hukohuko

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 10 місяців тому

      Usichukulie mambo personal sn ao wote wanajuana sn sn bifu zao zinasaidia Taifa hili na ndiomana wamewasahaulisha kuhusu bandari huoni akili nyingi wanaotumia vijana ao

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 10 місяців тому +17

    Uyu naye ndo maneno gani eti debe tupu😅😅

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 10 місяців тому +1

    Kaka umejibu vzr sanaaaa

  • @kimwanahamisi8551
    @kimwanahamisi8551 10 місяців тому +1

    Niko bize na shughuli zangu 👏

  • @munashabani
    @munashabani 10 місяців тому +1

    Sasa Mimi napenda Ali kiba wa ivi yupo sawa kabisa

  • @abuumohammed6292
    @abuumohammed6292 9 місяців тому +1

    ALIKIBA NI MTU NAUGUA WIVU YAANI ANMUONEA DIAMOND WIVU vile amefanya mambo mengi ambayo yeye hajafanya NAWIVU SANA

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 10 місяців тому

    Alikiba akir kotentena nguvu kisoda nakukubali kinomanoma huna mkuu bro🙏🙏

  • @JeremiahMyrosse-qb1yj
    @JeremiahMyrosse-qb1yj 10 місяців тому +3

    Big up king 🤴 Achana na wanazi kina mama hao pambana mzee ✌️

  • @SaddamWakanai
    @SaddamWakanai 8 місяців тому

  • @oscaroscar2555
    @oscaroscar2555 10 місяців тому +1

    Alikiba hana mbamba mba sema w Vido vidox unatafta ugomvi

  • @aliiseif3875
    @aliiseif3875 10 місяців тому +4

    Kwa jinsi Ali Kiba alivyo muongelea Zuchu inaonesha ni jinsi gani ana heshima na wanawake we like kama umeona kama mm

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 10 місяців тому +8

    Waandishi hovyo kabisa maswali yao hayaoneshi dhamira wala nia ya kuukuza mziki ni uchochezi na majungu na kufuatilia maisha ya private ya msanii utarajie kupata majibu mazuri kweli???? Badilikeni waandishi hii ni aibu

    • @vidovidox2632
      @vidovidox2632 10 місяців тому

      Wewe Ndio Hovyo Sasa…

    • @isayamgeni3572
      @isayamgeni3572 10 місяців тому

      ​@@vidovidox2632...kaka Fido ..ushaul wangu akil yako naiamin mno.chonde usiludie maswal ya hovyo...hAyo so sainz yako unatuonea mashabik nzako..samani kaka Kama nimekukwanza

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 10 місяців тому +1

    Mm ndomana NAMPENDA KIBA SAABAB MUELLEWA NA MSTAARAB

  • @user-zs7rw8rl8c
    @user-zs7rw8rl8c 6 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 10 місяців тому +2

    Huna uking wala nini kiburi roho mbaya unajikuuta pumbavu mshamba tu

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому

      Mshamba mmoja tu chuki zimemjaa😂😂

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc 10 місяців тому

    Yebaba 🔥

  • @user-zk3qz5lb4q
    @user-zk3qz5lb4q 10 місяців тому

    ❤❤❤

  • @user-vb9fz1nc7l
    @user-vb9fz1nc7l 10 місяців тому

    Kaka nakupenda San nafulah kusikia mamanen yak hay kuhus huy ndg yet

  • @olomiBeboy
    @olomiBeboy 10 місяців тому

    waandishi wa media ndoo mnaforce bfu za wasanii ziendelee

  • @eliudimfilima8064
    @eliudimfilima8064 10 місяців тому

    King Simba Mnyama🦁

  • @ElenaJackison
    @ElenaJackison 10 місяців тому +12

    Yuko sawah ata diamond ni muongo tu kama kweli astuambie sisi wataftane wakae chini kama ana nia njia ziko wazi sio kuja huku haileti maana

    • @mrben227
      @mrben227 10 місяців тому

      Sio tu ni muongo kk ni mnafiki kabisa 😢akisimama mbele ya camera ana maneno matamu sana ila behind the camera ni MNAFIKI

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому

      ​@@mrben227wabongo alikunafkia nn😂😂

  • @georgesbkalumbigbk458
    @georgesbkalumbigbk458 10 місяців тому

    Nice

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 10 місяців тому +2

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Alikiba bhana

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 10 місяців тому +1

    Mwambaaaa hakose majibu yake ❤❤❤❤

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 10 місяців тому +2

    Ila alikiba daaah

  • @keynaasumani87
    @keynaasumani87 9 місяців тому +1

    Nakupenda kiba uyo zuchu tumuace njisi alivyo hhhhhhhh

  • @Zeelao
    @Zeelao 10 місяців тому +2

    Yeye siyomtu wakubaliki NYIMBO 😂😂 Kiba bhn

  • @francisconaini1756
    @francisconaini1756 10 місяців тому +1

    Mmmh king hatoboi kimataifa🤣🤣

  • @mudytz9069
    @mudytz9069 10 місяців тому +2

    Mzee kiba mbona ukiskia simba unapata mihemko hii kitaalam inaitwaje

    • @imanimhagama4647
      @imanimhagama4647 10 місяців тому

      Sindano ya ganzi imemuingia

    • @samizbang6016
      @samizbang6016 10 місяців тому

      Wivuuuuu😅😅😅😅

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому

      Kiwewe chuki zimemjaa anajibu kwa jaziba😂😂😂

  • @BigjayBonar
    @BigjayBonar 10 місяців тому +5

    Kazee kazima ovyoo kanaroho mbaya sana toka muujana wake🤣🤣

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 10 місяців тому +1

    Wewe nawe acha roho mbaya kwani ukienda utabadilika mpuuzi 😂😂😂😂

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому

      Anateseka saaana😂😂😂

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 10 місяців тому +5

    Bwege huyu amejaa kibuli kweli Diamond anashikilia kawaida tu lakini huyu mwamba kwake inamuuma sana ameijenga bifu mpaka kimaisha yote kabisa

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 10 місяців тому +2

      Na chuki hazita mfikisha popote

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 10 місяців тому +1

      Nyie ndo munachuki sasa nawala hazitawasaidia

    • @joycemageta4876
      @joycemageta4876 10 місяців тому +1

      Kiba na mimi nahisi ni baba na mama mmoja sipendagi mtu anidharau kisha aanze jibabysha hua cludi nyuma kbs

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 10 місяців тому

      @@joycemageta4876 Umeonaeee

    • @husseinhamza2054
      @husseinhamza2054 10 місяців тому

      Huyo anajielewa hana unafiki kama domo.

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 10 місяців тому +21

    ila huyu msenge jeuri jamani sijui kalisi kwa nani kha! 😂😂😂😂😂

    • @Tozzyclever
      @Tozzyclever 10 місяців тому +1

      Tujuzane nn kimejili

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 10 місяців тому +4

      Yupo sahihi kiupande wake sio mambo na jeuri kila moja atambe anga zake

    • @svt3
      @svt3 10 місяців тому

      ​@@salimsoyo8118 miaka 20 kwenye show hajawai kuwa na king music festival yaani kiufupi haana uwezo wa ku promote wasanii wake ataweza aje ku promote festival?

    • @lightnesschiwinga325
      @lightnesschiwinga325 10 місяців тому +5

      Anamsmamo sio jeur

    • @svt3
      @svt3 10 місяців тому

      @@lightnesschiwinga325 msimamo wa kusubiria walio mkuta kwenye game wamualike ila hakuna siku atafanya jambo aalike😏😏

  • @LimbuShimba
    @LimbuShimba 8 місяців тому

    Alikiba ni msanii wa kuigwa

  • @user-xt2kq1ot6n
    @user-xt2kq1ot6n 5 місяців тому

    good

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 10 місяців тому +10

    Nimependa jibu kuhusu Zuhura ,kuwa unamuheshimu na hauwezi kusema kitu juu yake safi sana ...Nimependa hii ila.sijui mimependa kwa nini😂😂

    • @lovesallu5292
      @lovesallu5292 10 місяців тому

      🤣😂😁umependa ivyo ivyo yaani🤩🤩

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 10 місяців тому +1

      @@lovesallu5292 Hahah Ali ana akili sana Hataki kumuingiza Zuhura kwenye maugomvi japo Zuhura ana force kisa basha wake..Ila Ali dah yaani huyu mimi kabisa

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 10 місяців тому +1

    Diamond aaakili sana akiwa public haonyeshi hisia zake 😅

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol 10 місяців тому +1

    La msingi waandishi wa habari wamekosa ethics na huyu jamaa anajuwa anachokifanya hata majawabu yake katika interviews hazina ubaguzi wala uchochezi. waandishi wa habari wanapotumia chombo hichi vbaya madhara yake huwa makubwa na yanapotokea wao kwa kweli hukaa mbali sana. Jamiii sasa iamke kuwatambua waandishi wa habari wenye ethics na wale wasio na ethics.

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 10 місяців тому +1

    Duh waandishi wa habari wallah😂 kiba et sasa mm ndo niwabariki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-do3uq1zt7f
    @user-do3uq1zt7f 5 місяців тому

    King kafanana na air tz Manula

  • @PROFESSORSHEDY
    @PROFESSORSHEDY 10 місяців тому

    Yaap yaap❤❤❤