Christian Online Tumefanya utafiti kutoka vyanzo mbalimbali kuhusu Baba Askofu Moses Kulola na sasa tumekuandalia Mambo Kumi Usiyo yajua kuhusu Baba Askofu.
Nampenda sana huyu mtu jmn natamani angekuwa hai. Siku nilipojua amefariki dahh nililia sana!! Hadi leo nikimkumbuka nabakia nalia kwasababu Moses huyu yuko Mbinguni tayari, vp sasa kwangu mimi, naingiaje katika ufalme wa Mungu? Nalia sana!!
Ameni sana mungu amtangulie
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu kwa mambo haya tusiyoyajua kuhusu Bishop Kulola
Wajukuu tupooo... 🙏
Ubarikiwe mtumishi
Nampenda sana huyu mtu jmn natamani angekuwa hai. Siku nilipojua amefariki dahh nililia sana!! Hadi leo nikimkumbuka nabakia nalia kwasababu Moses huyu yuko Mbinguni tayari, vp sasa kwangu mimi, naingiaje katika ufalme wa Mungu? Nalia sana!!
Alikufa akiwa na miaka mingapi?
Nilisikia ushuhuda kwa wachawi walio pingana naye walishudia kua nimtumishi wa mungu kweli