Lema Amshukia Mkurugenzi wa Babati Baada ya Kutaka Kuzuia Helikopta ya CHADEMA Kutua.
Вставка
- Опубліковано 27 чер 2024
- Amezungumza haya kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliyofanyika leo Jumamosi Juni 28, 2024 mjini Babati mkoa wa Manyara ni katika ziara ya chama hicho ya nchi nzima.
Hongera chadema.
Big up San mh lema,
Wewe ni kichws kabisa yasn tunawahitaji akina Lema kama kumi tu nchi hii
Huyo naye mkurugenzi ovyo,au chadema mlitaka helkopta itue kichwani mwake,Lema punguza matusi husitue vyumbani mwa watu.
HEKO VIONGOZI HEKO WANANCHI ❤
Tatizo letu Elimu hatuna
Big BRAIN
Acha matusi toa sababu
Waisrael au waarabu!! Hao ndio mtakaowaleta mkitawala?
Unatukana sasa hivi, ukipata madaraka si utatuona nyani. Hopless meeting addressing. Tell us what your CHADEMA is going to do for Tanzanians.
Kwanini mlikuwa mnawanyima uwanja chadema, wao sio watanzania?
Unaongea kihuni kabisa!!!