Casimu majaliwa anastahili kuwa raisi wa muungano wa Tanzania pindi mama atapotoka madarakani Ana utu Sana Ana kauli Sana respect kwake namungu ambariki
Chalamila hana sifa ya kuwa mkuu wa mkoa ata mwenye kiti wa kijiji, labda mjumbe wa nyumba kumi. Uchawi upo maana kuna watu wapo very smart wanafanya kaz za promotion mitaani alafu kwenye nafasi kama hii anapewa huyu mwehu
Mm naomba kujua watanzania wenzangu kati ya waziri wa fedha na wazir mkuu yupi mwenye mamlaka zaidi ???? Maana kama wazir mkuu anaagiza mgogoro uishe utatuliwe kila sehemu alafu wazir wa feza anakataa yupi mwenye nguvu? Ama ni nini? Naombeni majinu watanzania wenzangu ambao mnajua kuliko mm!!!!
Katiba inayopambanua kuwa yoyote atakae zingua adhughulikiwe hakuna na mawaziri wanachaguliwa na Rais hivyo mpk yeye aamue na pia ni Kwa vile nchi inaendeshwa Kwa matamko na utashi wa namba moja sio katiba....umeona Kenya hata Askari kuwazingua raia asifikiri Askari wao ni wazembe hapana ila Sheria kanuni na taratibu katika katiba(namna ya kuiongoza nchi) na wanaitii japo kuna changamoto bado lkn Sisi tumezidi wakubwa hawaguswi😢
chalamila hafai uwongozi kabisa anaongea ubabe hafai kabisa
Casimu majaliwa anastahili kuwa raisi wa muungano wa Tanzania pindi mama atapotoka madarakani Ana utu Sana Ana kauli Sana respect kwake namungu ambariki
gen z itakuja tu mpk tz ndio mtaelewa
Sio kwa nchi hii, watanzania tunajijua wenyewe 😅😅
Hizi faini kubwa zinatengeneza mazingira ya rushwa, wekeni faini zinazowiana na kosa la mtendaji ili zilipwe serikalilini kuepuka rushwa
Subirini tu nasisi tuchafukwe
Bismillah
Akaunti za user ni shidaa 😂😂
😂😂SIKU YAJA KILA NAFIS ILIOLAZWA ITAAMKA KUTOKA USINGIZIN. YAJA NAIONA
😂😂😂inakuja
Chalamila kasema kama mnafunga fungeni tu 🤣🤣 taifa langu hili lakin 😂😂
Chalamila hana sifa ya kuwa mkuu wa mkoa ata mwenye kiti wa kijiji, labda mjumbe wa nyumba kumi. Uchawi upo maana kuna watu wapo very smart wanafanya kaz za promotion mitaani alafu kwenye nafasi kama hii anapewa huyu mwehu
Kassimu unafaa sanaa sema upo chini ya sheria ndo maana unakua huna kauli
Sio mara yakwanza kutoa maagizo mnatuonasisi hatuna akili
Shida kassimu Hana kaul ya mwisho anaweza akata alaf nyumba ya pazia wengne wakagomesha ila angekuwa yeye ndiyo final say tungeenda sawa
jmni Waziri mkuu anaongea kirahisi mno kuhusu shida na kero za w/biashara wetu hapa nchini. mbona lakini kiuwepesi hivi na watu wetu wanaumia jmni?
Bado sana hii kitu
Safii
Kila nikitaka kuja kuwekeza Tz nafsi inanisita. Kama kauli ya Chalamila ndo ivo.
Mm naomba kujua watanzania wenzangu kati ya waziri wa fedha na wazir mkuu yupi mwenye mamlaka zaidi ???? Maana kama wazir mkuu anaagiza mgogoro uishe utatuliwe kila sehemu alafu wazir wa feza anakataa yupi mwenye nguvu? Ama ni nini? Naombeni majinu watanzania wenzangu ambao mnajua kuliko mm!!!!
Katiba inayopambanua kuwa yoyote atakae zingua adhughulikiwe hakuna na mawaziri wanachaguliwa na Rais hivyo mpk yeye aamue na pia ni Kwa vile nchi inaendeshwa Kwa matamko na utashi wa namba moja sio katiba....umeona Kenya hata Askari kuwazingua raia asifikiri Askari wao ni wazembe hapana ila Sheria kanuni na taratibu katika katiba(namna ya kuiongoza nchi) na wanaitii japo kuna changamoto bado lkn Sisi tumezidi wakubwa hawaguswi😢
Waziri Mkuu ndio boss au Mwkt wa mawazir
Mwingulu.....hamieni Burundi
Mnatoa majibu ya kisiasa kama kawaida, Yani Hilo jumba sehem yenu ya kusemea uongo wenu
4:57
Yaani mnawakwazs halafu mnasema mnatujali... Hamna hatutaki tena nyie
Biashara ni ngumu jaman unalipa kodi zote alafu bidhaa hizo unazouza mtu kafungua banda anauza kwa bei anayotaka angalieni izo mambo
Tz siasa imezidi lengo nimgomo wa wafanya biashara wewe unaongea pasipo suruhisho lawao duuu
😂
Sasa mwiguru amekataaa maombi Yao wafanya biashara wanataka majibu siyo siasa wewe timiza wajibu wako