Viongozi ngazi za juu mpaka chini woootee MUNGU NI MWEMA SANA, MUNGU AWAFUNIKE NA DAMU YA YESU ALIYE MSHINDI NASI TUTASHINDA KTK YESU ALIYEUSHINDA ULIMWENGU
ni nchi pekee ambayo tunaweza kuwa wanyonge na masikini kwa sababu ya watawala wazembena wasio na uadilifu na kuuza rasilimali kwa wageni badala ya kujengea wazawa uwezo wa kujitegemea katika ujenzi wa uchumi wa nchi.
Mheshimiwa TUNDU LISU Naomba katika ziara zako usikose kuja DODOMA WILAYA ya KONGWA KATA ya SONGAMBELE huku serikali ya CCM imetudanganya kuwa watajenga Barbara wakapiga NYUMBA zetu X nakutudanganya kua watatoa fidia kumbe niuongo mikubwa kabisa nimwaka WA nne sasa Yangu watudanganye
Heche yupo more informed with fully information. Anafaa kushika nafasi ya juu ktk Chadema
Mama Samia amefanya Tanzania kuwa kampuni ya mawaziri na kikwete tukemee ccm sisi kama chadema
Viongozi ngazi za juu mpaka chini woootee MUNGU NI MWEMA SANA, MUNGU AWAFUNIKE NA DAMU YA YESU ALIYE MSHINDI NASI TUTASHINDA KTK YESU ALIYEUSHINDA ULIMWENGU
Tema cheche lisu
ni nchi pekee ambayo tunaweza kuwa wanyonge na masikini kwa sababu ya watawala wazembena wasio na uadilifu na kuuza rasilimali kwa wageni badala ya kujengea wazawa uwezo wa kujitegemea katika ujenzi wa uchumi wa nchi.
Inaumiza sana!😢
Sema sema kiongozi Henche watemee Cheche ccm msizibe masikio fumbueni masikio yanawachoma sana CHADEMA ooooyeee
Naombeni Uhuru wa wanabari ccm itawauwa
Mh dua Hii mbona haifahamiki kairusharusha shekhe
Safi sanaaaaa
Wana CHADEMA tunaanza na MUNGU nawapenda sana MUNGU awabariki tunashinda kwa kishindo
Mungu ni mkombozi
Kwa tundu lisu sauti imepotea tena
RAIA WA TANZANIA TUELIMIKE NA TUBADILIKE SISI SIO WA VIWANGO VYA UMASIKINI TULIVYONAVYO WATANANIA WENGI
Safi sana
Hongera sanaa❤
Twende mpk kieleweke
Safi sana zefania
MSIGWA SEMA MWANANGU MUWAADABISHE CCM TUMEWACHOKA ZAMANI SANA WATOKE WAENDE ZAO
makamanda safisana nawapenda sana kwa kuwanyosha hawa maccm
Leo ni Leo wanaume
Makamu mwenyekiti wangu maiki hiyo husikiki vema
Kweli mpende akupendae( chadema ccm aitupendi
Mtanzania Makini na mwenye Weledi hawezi mchagua mtu ye yote anaetokana na ccm! Ccm ni jini nyonya Damu ya wa Tanganyika na wa Tanzania!😢
Heche anafaa kua kiongoz was juu wa chamaa
Mbona lema hajaogea au hayupo
Aya semeni tena chadema wakristo tu
Police wanakula somo la kikokotoo wanacheka tu
IJUE NA UTUMIE NGUVU YAKO.
Mheshimiwa lisu hiyo mayki haisikiki
Sauti hajun matupuja uhondo
Mheshimiwa TUNDU LISU Naomba katika ziara zako usikose kuja DODOMA WILAYA ya KONGWA KATA ya SONGAMBELE huku serikali ya CCM imetudanganya kuwa watajenga Barbara wakapiga NYUMBA zetu X nakutudanganya kua watatoa fidia kumbe niuongo mikubwa kabisa nimwaka WA nne sasa Yangu watudanganye
Duuh Songambele msalimie ngenge kama bado yupo 😂😂
Duuhhh
😭😭😭😭😭😭😭
Winga😅
😅😅😅
Naona ujinga mtupu hapo na ubaguzi na udini upumbavu mtupu umetawala hapo
Udini upi wakati imani zote wapoo aliyefungua mkutano kisiasa na dua ni Muislaam na tumemsikia pia askofu
Mlaanika na mwendawazimu kama wewe huwezi ona la la maana, kwani jalalani na jehanam ni makazi yako.
@@GodwinIssack una uhakika gani kama wewe siyo mlaanika kauli zako tu ni dhahiri umelaanika
@@Kwelihukuwekahuru wewe ni mwehu mwana ibilisi shetani
Safi sana zefania
Safi sana zefania
Safi sana zefania
Safi sana zefania