Nimekumbuk mtungu kiwe na sahani mvunguni kila nikiend kwa marehem bibi Allah amrehemu AMIN yaan adi rahaaa mtungi maji mardiiiii matam yako wapi yale saiv na wali kwenye chungu
Ingelisaidia katika kuutangaza utamaduni wetu duniani na kuvutia watalii, vipindi kama hivi kuweka subtitles ya kiengereza pia kama alivyoulizia Yassir, sehemu ilipo.
Mashaallah hii nyuma naiona hasa nyumba ya marehem bibi yangu yaaani mzee umeeleza juu ya mstari ahsante sana
babu asimulia vizur by kiswabi swabinna
😭😭😭umenikumbushaa bibi yangu wallah awarehemu wazazi wetu ameen
Nimependa sana
Mwenyezi Mungu awajaze kheri.. Historia yetu izidi kutunzwa..
Biarusi hawajamvalisha kisutu. Otherwise nzuri sana
😁kitu changu cha kwanza kukimiliki mwenyewe ni rafu 😁😁mzee umenikumbusha mbali sana 😁😁😁shukran sana👏👏👏
Nimekumbuk mtungu kiwe na sahani mvunguni kila nikiend kwa marehem bibi Allah amrehemu AMIN yaan adi rahaaa mtungi maji mardiiiii matam yako wapi yale saiv na wali kwenye chungu
Hivo vitu kwetu pemba vipo mpaka leo🙏♥️
Ingelisaidia katika kuutangaza utamaduni wetu duniani na kuvutia watalii, vipindi kama hivi kuweka subtitles ya kiengereza pia kama alivyoulizia Yassir, sehemu ilipo.
Yah nivizur kujui ipo wapi hii nyumba tuweze kutembelea
Ah Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana tumejua mengi mm santuri nilikua siijui
Makombe siyo hayo hizo ni sahani na mabakuli tu
Kombe ni sahani kubwa
Inapatikanwa wapi io nyumba?
Yaani duh maskini we wapi tena hayo zanzibar
Ami salim seif huyu ni ami yangu kabisa
Jamani hii nyumba ikowp
Iko wapi iyo nyumba ya Mswahili
hiyo ipo old fort Pemba
Oke nimefrah kufaham
Shukuran
Tujitahid kutunza Utamaduni wetu
Samahani hapana kombe hapo pana sahani tu hapana kombe
jamani nimependa hata mm nakumbuka nilipokuwa kijijini nikitumia hando ila mtangazaji chumba cha msuwahili hkina choo
Makombe ndo wanavoita hata nibi yangu mpaka leo anaita makombe
Si ndo izo sahani zenye mauwa wakti huo aina hizo tukiita makombe