Katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndipo tutaanini kuwa ccm wanachaguliwa kwa miradi na maendeleo wanayosema.Bila hivyo sitakubali kuwa ni kweli wanachaguliwa na wananchi kwaajili ya maendeleo waliyoyafanya japo kuna viongozi wazalendo wa nchi hii wasiopenda kona kona wala usanii ndani ya ccm na hawapewi nafasi kwaajili ya kusimamia ukweli wao
CCM ni ya Watanzania , ushindi 100% , CCM tengenezeni viwanja vyenu viwe vya kisasa pesa yenu itarudi .. , CCM wekezeni kwenye wana sayansi kule ngere ngere porini tutengeneze dawa za malaria, HIV, KIFUA KIKUU.. nk .. Tengenezeni Complex Hospital Dodoma kwa ajili ya mapinduzi ya afya na matibabu..
Huwezi muelewa Diamond ukiwa Tanzania na hujawah kutoka ,,ila ukweli Tanzania tumepiga hatua sana sana ...keep it up Ccm ,keep it up Samia
Baba levo chawa international❤🇨🇩
UKOO WA WASAFI YAANI USAFINI 💥 ♥️ 🎉🎉
Hongera
KUTOKA Zambia.Nasibu number1
Chawa hongera sana kwa kuwa karibu na maokoto
simba Ni mmoja Tanzania
😂😂😂😂Ila baba levo jamaniii 😂😂😂simba Ia masimba dangote tunainjoi tuuu 😂😂😂
Mondi akiwa Raisi na baba levo atakua nani?
Matendo anayofanya baba levo ni utoto mtu ambae ana takiwa kuwa bize sana na utafutaji na malezi leo hii ana beba mabango ka jinga vile yaani 🙆🏻😄
Ndo anatafuta ivoo mwenzio😅😅😅😅
Maisha ayako hvyo siku hz kaka
Mwenzako yuko kazini Wacha usenge
Yakijinga kwako lakini anacho pata yy anajua tuache wivu hivi ukimtazama Baba Levo una Mwona Mjinga ana
Akili kuliko unavyo fikiria
Ajawa rais sema aliyekuwa rais na nimgombea wa urais 2025
Kwamba unataka kusema kwa Sasa nchi inajiongoza?
Katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndipo tutaanini kuwa ccm wanachaguliwa kwa miradi na maendeleo wanayosema.Bila hivyo sitakubali kuwa ni kweli wanachaguliwa na wananchi kwaajili ya maendeleo waliyoyafanya japo kuna viongozi wazalendo wa nchi hii wasiopenda kona kona wala usanii ndani ya ccm na hawapewi nafasi kwaajili ya kusimamia ukweli wao
Kazi ya machawa Kila cku nikusapoti hata kama nukibayab
Vp Mondi akawa Raisi wa Tz?
CCM ni ya Watanzania , ushindi 100% , CCM tengenezeni viwanja vyenu viwe vya kisasa pesa yenu itarudi .. , CCM wekezeni kwenye wana sayansi kule ngere ngere porini tutengeneze dawa za malaria, HIV, KIFUA KIKUU.. nk .. Tengenezeni Complex Hospital Dodoma kwa ajili ya mapinduzi ya afya na matibabu..
Harmonize vp na zile nyimbo zake za mziki wa mama😅
Ila Baba leo ni chawa jaman 😂😂😂
😂😂tukimuuliz onesmo atsasem hv kwel😅😅😅😅
❤❤❤
Mondi kama mondi
Naombeni like zenu mimi ndo kwanza ku comment 😂
Chawa pro max😂😂
AMETOKA NA BABA LEVO 😅
Baba levo😂😂
Nchi yetu Music 😅😅😅😅
Imeshaisha😅😅😅😅 barabarani mbovu, maji matatizo
ua-cam.com/video/s-Io7YBTdTg/v-deo.htmlsi=lnbkurNLGH7swQWW UMALAYA WOTE WA HUYU JAMAA HUU HAPA😂😂😂
Mimi Leo ndowakwanza
Lakin SI Kenya
Mondi kumbee ndoo mana nitajili
Wakenya ni wapumbavu hawajueleweiiii