🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 11

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 3 години тому +1

    Meelezo bora kabisaaaaaa

  • @AziCure
    @AziCure Годину тому

    Kolo 😂😂😂😂
    Sabab ushaambiwe unatak ujue nn
    Ulitak abak side ushinde dabi😅😅😅
    Kimekulamba

  • @humoodbatrani8557
    @humoodbatrani8557 24 хвилини тому

    Nenda ofisini ukajuwe we ndiyo muandishi una lalamika mtaani

  • @luganomwaipopo1987
    @luganomwaipopo1987 21 хвилина тому

    Acheni ukolo yanga hawajamfukuza kocha ila kocha kavunja mkataba baada ya kupata Dili kubwa.

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 3 години тому

    Saleh Jembe tunajua huna jambo jema kwa Yanga zaidi ya kuomba wapoteze ndio maana unatoa maneno ya fitna.

  • @OmariKidamali
    @OmariKidamali 2 години тому

    Hebu tafuteni watu wanojuwa mpira sio wanaozungumza mpira

  • @OmariKidamali
    @OmariKidamali 2 години тому

    Huyu jamaa huwa ni muongo na huwa kama mpiga ramli tu

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 3 години тому

    Dalali anayepeleka watu Dubai,

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 Годину тому

    Ujue ili iweje?? Mnarudisha mambo nyuma
    YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO. huo ni ujinga tu

  • @MkopitiHaji
    @MkopitiHaji 2 години тому

    Acheni kuhoji vitu vya kijinga yhuyo kocha anepata sehemu nyenye masikahi zaidi ndio maana unaona hadi Leo Bado anaagwa Kwa heshima Leo Bado yeye yupo kwenye bench

  • @IddMsongo
    @IddMsongo 3 години тому

    Toa upumbavu wako huko pelekea makolo