Kwanini Mahakama imekataa Vicky Kamata kumiliki mali za BIL4 na kudai hakuwa mke halali wa Likwelile

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 463

  • @Boaz22
    @Boaz22 Рік тому +18

    Mwanasheria yuko vizuri mno,uwe unamtumia👏👏👏

  • @Erico-e3o
    @Erico-e3o Рік тому +20

    WAPENDA DEZO KAENI MBALI NA NDOA ZA WATU.JAJI APEWE MAUA YAKE

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 Рік тому +2

    Asante sana wanasheria kwa kazi zenu nzuri mliyoseomea

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Рік тому +5

    Daah! Asante mwanasheria, umetufungua🙏🙏

  • @mohammedsheikh3748
    @mohammedsheikh3748 Рік тому +15

    Very interesting story..... We need more of these type of storys

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +71

    Salamu ziwafikie vimada wote waliopo Tanzania.

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 Рік тому

      Vimada wajinga ,ila siyo wenye akili unadhani huyu Vicky anavyo hivyo tuuu anavyo vingi zaidi, nyie wanaume ndiyo muwe makini.

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 Рік тому +9

      Kama Anavyo vingi si aache hivyo vichache!

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Рік тому

      ​@@fridageorge2809ebu sikiliza hiyo habari vizuri kwanza!!!

    • @BimHamdi
      @BimHamdi Рік тому +3

      baadhi ya wanawake ni hatari sana kwenye suala la mali ndio mana unakuta wanapo olewa wakajua mume alikua na mke au ana mke wa kwanza wpo tayari wazae mpaka viuno vikatike ili warisi mali😅😅😅😅😅

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Рік тому +2

      Hata wanaume nao wawe waelewa kwenye haya maswala mbona marehemu alikuwa msomi mzuri kwanini asiandike wosia akauficha hata kwa watu wa kanisA kue

  • @elizabethkamala9176
    @elizabethkamala9176 Рік тому +2

    SNS Asanten Kwa habari zenu nzuri na zenye mafunzo

  • @Brunoh90Tv
    @Brunoh90Tv Рік тому +19

    Yaan hawa wadada huwa wanataka mali zote ziwe zao bila kujali mzee kaacha familia, wadada kuweni na huruma aisee😮😢

    • @rerisamba
      @rerisamba Рік тому +1

      Imekula kwake basi hapati ngo

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Рік тому +1

    Dah nimejifunza sanaaaa yaani leo . Ubarikiwe sana SNS.

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Рік тому +27

    Sns asanteni sana nimejifunza kitu kuhusu cheti cha ndoa nilikuwa sijui,nilijua ukifunga ndoa kanisani ndio imeisha palepale kumbe mbaka upeleke rita❤mahakama hongereni👏👏👏👏

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Рік тому

      Inategemea na kanisa au nyumba yoyote ya kuabudia na dhehebu mara nyingi ndoa za voda fasta za makinisa fulani.hawaoji au kuchunguza au kukataa kitu matokeo yake ndio hayo kuna jambo hapo!

    • @blackcolour8183
      @blackcolour8183 Рік тому

      Mm pia ndo nimejua leo

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 Рік тому +4

      Uja muelewa uyu ana mahanisha kama ulifunga ndoa na mtu ambae amesha funga ndoa apo mwanzo na bado mke wake bado ajafariki au mume wake ajafariki au umefunga ndoa na mtu ambae tayari ana ndoa lakin aja toa taraka kwa alie muacha ilo ndio tatizo

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 Рік тому +2

      @@syliviakente9460 Nilivyo muelewa atakama ndio umenza nae kufunga ndoa unatakiwa uwende,kwasababu akija kufunga na mwengine alafu yeye akaenda wewe ulie anza kufunga ndoa unakosa haki yako

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Рік тому +1

      Lakini mbona kanisani wanapewa vyeti viwili kimoja cha,serikali na kingine cha kanisa , pia ukiolewa na mtu kutoka taifa lingine bora ufunge ndoa kwa DC baada ya hapo cheti chako unaenda sajili Wizara ya Mambo ya Nje ndio kinatambulika huko mbele hivi vitu vipo ila watu huwa hawavitilii maanani hata waweza enda Tangaza ndoa yako.Rita kabla ya kufunga kama Makanisa yanavyo fanya

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 Рік тому +11

    Mungu yupo kwa ajili ya wenye hakika wote🙏💪

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Рік тому +7

    Nimejifunza kitu thank you rita

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Рік тому +7

    Safi sana mungu huwaumbua hawa wajanja wa town tafuteni pesa

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl Рік тому +2

    This is an excellent explanation from the LEARNED ADVOCATE.

  • @AminaKasimu-u1w
    @AminaKasimu-u1w Рік тому +1

    Pole sana Vicky, wanawake hawana kwao, ndo maana tumeamua kutafuta wenyewe. Mungu akulinde mdogo wangu. Ninadhani una misingi ya kutosha. Usipiganie sana mali za urithi.

  • @ezekielmahalu4224
    @ezekielmahalu4224 Рік тому +1

    Asante sana mwanasheria Isaac naomba tu unifahamishe juu ya
    "Ninani anayepaswa kukipeleka hicho cheti cha ndoa kwa msajiri wa ndoa?
    Je ni mfungishaji wa ndoa au wanandoa wenyewe?"

  • @mwanakheri169
    @mwanakheri169 Рік тому +8

    Wakwanza kucomment leo nipewe likes zangu

  • @Thatgurl-l8n
    @Thatgurl-l8n Рік тому +2

    Hivi You Tube huwezi kumtag mtu ee😂😂
    Unyama ni mwingi na unamwagika 🙌🏾🙌🏾

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Рік тому +7

    wa.mama wa dada mje hapa kuna jambo la kujifunza hapa, tunapodandia waume za watu tuwe makini, km jamaa yupo vizuri bora chako akupe mapema, mtihani

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Рік тому

      Umeona eee!!!

    • @mukhsintwaha5909
      @mukhsintwaha5909 Рік тому

      Kwanini udandie waume za watu

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 Рік тому

      @@mukhsintwaha5909 kudandia si kwa ubaya huyo mzee.mkewe alikifa au walitengana na sio yy aliyewatenganisha , ss unapoingua ktk maisha hayo ujiandae, kwa ufupi maisha tuliyonayo kwa sasa hata huko zamani uakuna wa peke yako , si kwa wanaume wala wanawake kwani ukiachwa utokua na mwingine, au.kafa inakuaje ss ispokua utakapo ingia ktk maisha km hayo ujipange mapema, kiukweli.kabisa jamaa alimuoa na haikua siri ss sikui tatizo nini

  • @Tiffany2-Jr
    @Tiffany2-Jr Рік тому +1

    Nielekezeni LITA fastaa nipo na rigazeti langu apa 😅😅

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Рік тому +2

    Safi sana Lerned Advocate umechambua kwa kina sana na maswala ya LITA

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Рік тому +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa...hongera SNS

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Рік тому +23

    1)ndoa za kikristo ni tata( mahakama ya dunia inajadili ndoa ya kiimani kuliko kitabu/biblia)
    2)Mali ni changamoto za familia.
    3)Wasia ni muhimu sana ukiwa hai mwenye afya na akili timam.
    4)Usomi wa madegree unaweza kuwa na mapungufu kama binadamu so kuna haja ya kukumbushana.
    5) Sasa kuna haja ya watu kutathmini ndoa zao na wenza wao.
    6) Siku moja tutakufa

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Рік тому +2

      Kama ilivyo uislam kula kitimoto...kwahyo ndoa ya imani ya Kikristo...mke mmoja...ndoa ya kiislam ni mpaka wake 4...na ndoa ya kitamaduni ni wake wengi uwezavyo......kwahyo ni kuheshimu imani ya mwingine

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Рік тому +5

      Mahakamani Kuna kesi zimejaaa tele za waislamu ,wameahindwa huko kuamuana Kwa dini .So shida sio dini ila watu wenyewe wanaofuata hizo dini

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Рік тому

      HIZO NI SHIDA WALIZOFUNGWA KWENYE NIRA ZAO SABABAU HIKO KITABU CHAO KINATOA MUONGOZO WA TORATI KWENYE MASUALA YA NDOA,,,,,MKIPENDANA NA KUOANA NDOA ITADUMU TU,,ILA UKIWA UNAKANDAMIZA MWEZANKO LAZIMA AKIMBIE TUKO KWENYE DUNIA YA DIGITAL SIO TORATI
      @@emmadora7848

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule Рік тому

      Tatizo ukikimbia shule

    • @doryndismas3942
      @doryndismas3942 Рік тому +1

      Nakubariana na wewe watu hatufuati dini inavyotaka, ukiifuatilia Uislamu MWENYEZI MUNGU KATIKA UISLAMU HAPENDEZWI NA TALAKA YAANI UNAPOTAJA HILO NENO MBINGU NA ARDHI HUTIKISIKA, IKIMAANISHA KUTOA TALAKA NI SWALA LISILOMPENDEZA, DINI ZIKO SAWA ILA SIE WAJA NDIO TUNAONA SAWA@@emmadora7848

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому +6

    Makaman shikamooo 🤗🤗🤗🤗🤗

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 Рік тому +6

    Asanteni sana MAHAKAMA

  • @JohnPrine-ut2ni
    @JohnPrine-ut2ni Рік тому +7

    Elimu kubwa sana nimepata leo kubwa mnooo nimefumbuliwa macho hongereni sana SNS

  • @jumakatanje955
    @jumakatanje955 Рік тому +9

    Shida ya yote haya ni watu hawana hofu ya mungu,elimu dunia imekuwa muhim kuliko mungu,,yan mtu ajua kabisa kama mali haimhusu lakin analazimisha iwe yake kisa anajua sheria

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Рік тому +1

    Jamani wanawake tunachakujifunza hapa asante sana sns kwa somo hili kunanilichojifunza kupitia da vicki

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 Рік тому +15

    Jaman sheria nyingi tufundishwe mashulen toka awali 😢ili tujitambue sio mpka usomee sabb mambo meng yanatuzunguka hapa duniani 😢

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 Рік тому +1

      😂chanuimu ukisikia mume ana mke wame achana ndugu anza kujua sheria nanujue haki zako usingie kwa kuangalia leo angalia na nabadae na ufikrie je alie toka aka acha izo mali yupo au

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 Рік тому

      Vitabu vidogo vidogo vya sheria mbali.mbali vipo, vinauzwa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Рік тому +1

      ​@@judithkatabaro3294Sasa huyu ni mke alikuja juu anataka kumiliki Mali alizokuta kwa mume ambae mkewe alaifari ki na watoto wao wapo,unaweza kushikwa uchawi usiologa

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 Рік тому

      @@hadijamandanje6189 🤣🤣🤣

    • @jacklinezebedayo2923
      @jacklinezebedayo2923 Рік тому

      kabisa zifundishwee.... Maana km Cheti kupita Rita watu hawajui kabisa

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Рік тому +13

    Nikama huyu mume alichuma mali na mke wa kwanza alafu huyu mke wa pili akaja akadandia Mungu ni nani sai anazi enjy mali kiulauniii..Mashallah ❤...

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Рік тому

      Ndivyo ilivyo.

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Рік тому

      Alafu huyu dd si ndo amezaa na mbowe, yaani ni mchepuko wa mbowe.

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu Рік тому

      ​@@maryamtan682 mmmmh unauhakika?

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 Рік тому

      Ndio

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 Рік тому

      Sio hivyo huyo mke wa kwanza wakishaachana zamani na inasemekqna alikuwa ameolewa na mtu mwingine shida ni kuwa ndoa ya kwanza haikuvunjwa kiutaratibu ndio maana watoto wamepata nguvu kwakuwa ndoa ya Vicky imeonekana ni batili

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Рік тому +24

    Kuna siku aliwajibu watoto wa marehem mkitaka haki nendeni mahakaman Tena kifedhuli Leo watoto wamepata Haki Yao anajitilisha huruma huko mitandaoni huyu mwanamke ni ibilis zambi ya dhulma haiwezi kumuacha Salama

    • @faiththawe4371
      @faiththawe4371 Рік тому

      Ulikuwepo maku wewe

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 Рік тому +4

      @@faiththawe4371 mbona umeumia na unatoa matusi au na wewe ni mnufaika kwa kupitia Vicky😀😀😀

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule Рік тому

      ​@@faiththawe4371Sasa kinachofanya utoe matusi nini? Ujinga mtupu 🚮

    • @agnesndotela6644
      @agnesndotela6644 Рік тому

      @@jacklinezebedayo2923 no

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 10 місяців тому +1

    shida wanawake wa kitanzania wanapenda sana hela za wanaume,wakiona mwanaume wanona hela sio mpenzi.Ni mke wake kabisa,ila shida anapenda sana mali za wanaume,ni tatizo kubwa sana Tanzania.Asinge dai mali,tmaa ndo shida zingegawiwa kifamilia asaidie simamia watoto wa marehemu.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Рік тому +6

    Nyie nyie mwisho wa siku na cheti chake kawa kimada uuuwwiii haki marehemu aliupiga mwingi 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻

  • @deborahjustinerwambogo8490
    @deborahjustinerwambogo8490 Рік тому +9

    😢😢😢 daaaah,hivi huyu dada ndo yule aliyeimba ule wimbo wa "WANAWAKE NA MAENDELEO""

  • @Iloveyou-ed7ih
    @Iloveyou-ed7ih Рік тому +5

    Yani huyu mama ni tapeli wa kutupwa tunamshukuru mungu kwa kuiongoza vyema mahakama hongera zake ziende kwa hakimu ametenda haki sijui lingepewa mali hilo lijanamke watoto wangekuwa na hali gani kimaisha ASANTE MUNGU.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +29

    Vick nae alikuwa na tamaa kuchukua vitu vyote wkt watoto halali wapo😢😢😢😢

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 Рік тому +1

    Ni funzo kwa wanawake wajanja wajanja amekosa vyote pamoja na kidogo alichochangia. Pole sana

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 Рік тому +1

    Namshukuru Mungu kwa sababu nilielewa mapema kumbe ni Sheria ahsante Mungu kwa kunipa akili

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Рік тому +12

    Acheni tamaa! Mali ni xa mke wa kwanxa na watoto wake,kwani huyo mume hakuwa amejenga?vicky wacha yacje yakakukuta km yule mama wa Mwanxa alochinjwa na mimbajuu,alichinjwa na mtoto wa marehemu.

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 Рік тому

      😂

    • @AdrusHassan
      @AdrusHassan Рік тому

      Ina maana huyu Vick alimkuta jamaa hana hata kitanda?

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu Рік тому

      @@AdrusHassan vitanda kaachiwa

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Рік тому

      ​@@AdrusHassanndo hapo sasa huyo mwanaume ameoa ndoa ya kwanza tokea 1964 iweje huyu vivky wa 2020 eti anasema ame zalisha mali😂😂kwenye ndoa

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz979 Рік тому +7

    Jamani na sisi familia zetuu ziko kwenye hili janga tuzidi kuombeanaa🙏

  • @chawahirelmymashlalltaabar4949

    Habari kamili kwa vimada kuingilia wanaume wenye watoto wao

  • @malila4582
    @malila4582 Рік тому +5

    Hana ki2 hapo 😂😂ndiyo mukome kuvamia vamia kwenye family za wa2

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому

    Duh amepishana na pesa,pole zake,ladies always make your future is secured ,tusikae tu bila kufuatilia mambo waume zetu bado wakiwa hai ju wakifa bila muafaka wetu tutajuta😮

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 Рік тому +2

    Sheria za bongo noma sana

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Рік тому +3

    Nimecheka pale aliposema nimejenga swimming pool 😂😂huyu mama nyie khaaa

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 Рік тому +14

    WANAWAKE NA MAENDELEO MFANYE KAZI MSONGE MBELE , 😃😃😃😃😃 TAFUTA PESA YAKO 😆😆😆

  • @marymuna5810
    @marymuna5810 Рік тому +6

    Wanawake wakome kuvamia Mali ambazo sio zao

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Рік тому +11

    Tuanze safari ya kwenda rita kusajili vyeti tulovieka kabatini 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Рік тому +1

      Kuna taasisi za kufungisha ndoa zinatoa cheti cha ndoa cha rita na cha dini

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Рік тому +4

    jamani hivi mwaka 1 unaweza kuchuma vitu vyote hivyo,?? halafu huyu Vick inaonekana kabisa yeye ndo alivunja ndoa ya watu sasa wanawake mnaopenda Waume za watu ndo mjifunze

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Рік тому

    Mahakama ukweli mmetenda haki asanteni kwa hili watoto wamepata haki yao huyu dada awe na huruma nawatoto kwanini aweke pingamizi asanteni mahakamani 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Рік тому

    🤣🤣🤣 Vick mwenzio kachum Juan wew unatk kivulin tena sio nusu zote hahaha asnte MAHAKAMA

  • @sarahmero4561
    @sarahmero4561 Рік тому +2

    Aiseee,kimada ni kimada na mke atabaki kua mke hii sentensi nzito sana

  • @nixonkimaro5454
    @nixonkimaro5454 Рік тому +2

    Habari yenu imejitoshereza saana

  • @DM_15
    @DM_15 Рік тому +5

    Wanaume wenzangu mpo ndoazetu tuwe tuna enda kwa ramani sahihi, vick chaliii 😅😅 wadada tafuteni malizenu acheni kudandiadandia mtu humpendi unaingiakwenye ndoa kisa anamali

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Рік тому +1

    Dah huyu mama anainekana anatamaa 😂😂😂sema tumejifunza

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Рік тому +5

    Vita vya mirathi huwa n kubwa sana asee
    Navyo muona huyu mwanamke ana tamaa ya mali

  • @miriamkakwezi7309
    @miriamkakwezi7309 Рік тому +1

    Mange kamkomesha sio mchezo 😅😅😅😅😅

  • @malkiawavijiji4652
    @malkiawavijiji4652 Рік тому +1

    Rita ongezen viti vya wangen hapo nnje 😂😂😂

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Рік тому +1

    Sheria iyo iyo cndo inasema mkiishi zaid miaka mi 3 ....!!!

  • @happynesnyanda8208
    @happynesnyanda8208 Рік тому +4

    Sis kanisan kwetu hao wasajili wa ndoa wanakuwepo siku ya harusi kw hyo anaondoka na taatf kamili

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      Huyu mzee hakumpa mke wa awali talaka ivyo bado inaleta tu shida

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 Рік тому +1

    Heeeh hapo kwenye vyeti jamani tunashukuru wengine tulitoka kanisani tukaviweka ndanj

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Рік тому +7

    Jamani mbona watu mnakuwa na tamaa sana na hizo mali ukifa unazikwa nazo!

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 Рік тому

      Na huyo viki anazo si ashukuru mungu ndio maan akaungana na zamard kumbe wote wqhanga

    • @leecode6135
      @leecode6135 Рік тому

      Kma kutakuwa na uhalali wa kuzifuatilia Mali za ndugu yake sio mbaya .😅

  • @SuleymanSaid-ch1yh
    @SuleymanSaid-ch1yh Рік тому

    Jamani barikiwa sana hilo la cheti umetuzindua sasa.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Рік тому +4

    Tatizo la vimada wanaloga mno. Sasa weupe wote huo ulikosa mume wako kweli hadi unakuja kuning'inia mume wa mtu kiasi hicho!

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 Рік тому +1

    safi sana umetuelewesha vizuri

  • @AdrusHassan
    @AdrusHassan Рік тому +1

    Haya mambo ni mtihani sana kwa ndoa zetu

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Рік тому +5

    Du hizi Mali nyingi Sana duh ,,,,,,,,but haznunui uhauiuiii

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 Рік тому +4

    Tukiolewa tukimbie kusajili vyeti na ni bora mtu utafute mali zako mambo ya kutamani mali za watu heeee .

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 Рік тому +5

    Jaji kasimamia sheria

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Рік тому +2

    Hivi niwe na billion 4, halafu kuna mtu anakufa kwa kukosa million 3 na msaada anaomba kwenye mitandao, na nina billion 4 wala sijigusi,, aaah hii dunia bwana haina usawa, ni kweli tutafute hela lkn pia tusaidie maskini,, sijui huyu mzee pengine alikuwa anasaidia Mungu amuweke pema

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 Рік тому +1

    Tamaa mbaya Sana.. Vimada mnazingua Sana sometimes heshimuni ndoa za wanawake wenzenu.. It's very satanic spirit

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Рік тому +7

    Unakuwaje na mali za bilion 4 na cash isiojulikana alafu unajiamini unaweza kulala na kesho ukaamka watu tusiwe na mali nyingi km ivi tuwawezeshe wengine watu wanashida sana hapa mjini wagonjwa nk wanaangaika

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Рік тому +1

      Nimependa point yako

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ Рік тому +1

      Dunia haiplay hivyo mzee ....🤣

    • @kiliansupernova7074
      @kiliansupernova7074 Рік тому

      Acha makasiriko mzee, tafuta Mali za kwako 😊

    • @franciscogosbert9603
      @franciscogosbert9603 Рік тому +1

      😃

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Рік тому

      @@kiliansupernova7074 sio makasiriko brother ujui watu wanashida gani hapa nenda hospital ukajifunze watu wanaoza kufanya opalesheni lak 2 mtu awezi

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Рік тому +1

    Urithi wenye sheria za wanaadamu ni mtihani sana

  • @VelonikaMakota
    @VelonikaMakota Рік тому

    Asante rita

  • @annamussa185
    @annamussa185 Рік тому +4

    Mwanasheria mwenyewe Muhaya hahaha 😂 Vick hapo sahau mahi wetu😃

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +3

    Kimada ndiyo mchepuko😅😅

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Рік тому +2

    Sasa dada umeolewa 2o2o na 2o21bwana amefariki umemkuta na Mali zake mtihani sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Рік тому

    Duh hapo kwenye vimada 😅😅😅 wanawake kueni makini msije poteza time time kama uyu dada

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 Рік тому

    Hakim alikiwa sahihi sana

  • @zamdayusuph858
    @zamdayusuph858 Рік тому +3

    Watu wanahela aiseee

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Рік тому +3

    Machozi ya mke halali wa ndoa yanakutapisha.

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Рік тому +1

    Nimecheka mpaka nimejamba kwamba siyo mke na hajawahi kuwa mke, ila na yeye angekuwa mpole ujuaji ndo huo unakosa hadi mia sasa.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +1

    Duh hapa wanawake tujifunze mengi kupitia hii

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Рік тому

    Marehemu kafa 2021 vicky kaolewa 2020 kwahyo mwaka mmoja wamechuma mabilion manne jamaan

  • @AdrusHassan
    @AdrusHassan Рік тому

    Vicky umebugi step 😂😂😂

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Рік тому +2

    Hii shule kubwa kwa dada żętu na mama zetu

  • @shaaden-
    @shaaden- Рік тому

    😮😮😮nilikuwa sijui kuhusu chetiiiiii kumbeeeee kazimaa kisajiliweeee!😮

  • @africano98.
    @africano98. Рік тому +1

    Uyo vicki kamata ni bonge la tapeli conkodi kbx ila apo amechemka asee ww mtu kaowa tangu 60 kweusi uko ww kimada cha 2020 unataka mali za wa2. Kirahisi tu tapeli waheedi uyo shubamiti

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому +2

    Kwani amezaa naye huyo vick kamata mtoto naye ana haki

  • @AdamManda-wl2yd
    @AdamManda-wl2yd Рік тому

    sky woka uko vzr braz

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Рік тому

    Wa Mrema sijui kaishia wapi?

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Рік тому +1

    Alijua kawini 😅😅😅😅😅😅 kudadeki mwenzio kataabika miaka chikili we uje uvune kiurahs manina 😂😂😂😂😂

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Рік тому +1

    Nimeisikiliza kwa umakin kbs na hii imenyooka sana

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Рік тому

    Mtumishi wa serikali billionaire 🥺 duh endeleeni kulipa Kodi

  • @asiaabdul8245
    @asiaabdul8245 Рік тому

    Yale yale ya mzee Mengi na mrembo wake mbona watu hawapendi kuandika usia yote haya yangekwepeka

  • @rerisamba
    @rerisamba Рік тому

    Waa kuna walidhania wamepata kumbe wamepatikana yani uishi na mtu 5years tu na uende na majumba yakeel

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Рік тому +2

    Mwana mama kabuma kupewa urithi

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Рік тому +1

    Wale wadada wa sogea tuishi mnacho cha kujifunza hapo mtu unaishi na mtu unamzaliq watoto 4 or 6 na hujaolewa ni kimada sasa ndugu wakijachachama mume akifa unaabza kuona watu wabaya 😅😅😅😅haya mtoke kwenye hizo nyumba mkaolewe hivi mwanaume unaishi nae miaka 10 km mke na mume c muoane tu kwani ndoa ina gharama kiasi gani

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Рік тому +4

    A story of my family 😢

  • @DomyLyamba
    @DomyLyamba Рік тому

    Salamu kwa nyumba ndogo Zote ndoa ya kikristo balaa