UKIANGALIA MIZIGO MWEZI WA RAMADHANI FUNGA YAKO INAENDA BURE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 52

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 4 місяці тому

    Tushazowea nchi za kigeni Alhamdullillah masaa mengi lkn Allah anatuletea wepesi mpaka watoto wetu kwa masaa hayo kufunga ramadhan

  • @user-sw1ol9jb6z
    @user-sw1ol9jb6z 4 місяці тому +2

    Mahusiano hayafai vyovyote vile na kuwasiluana na mchumba haifai mpaka umuoe

  • @user-oq5xl6by7s
    @user-oq5xl6by7s 5 місяців тому +7

    Kipozoa kama umesoma unafelu kwmb wa chane Ramadan bada ya apo warejeane hakuna dini inayo kubali ngono baba m mungu kila siku yuko mm huwa wananishangaza sana hawa watu mm nimeskiliz hii interview ila sheke majibu jako kama unawaogopa awo wa bongo kuwapa elimu ww😢😢😮😮😮

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 5 місяців тому +4

      Kweli ndo wako hivyo masheikh wengi tu, wanatuangusha kabisa! sheikh nyundo marehemu ndo nyundo kweli kweli! Allah amrehemu

    • @user-oq5xl6by7s
      @user-oq5xl6by7s 5 місяців тому +2

      Amin kaka ❤️💯

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 5 місяців тому +2

      Tz hakuna mashehe ni mashehena tu akiwemo huyo kipozeo mwenyewe huo ndo ukweli ni wasanii tu na elmu hawana

    • @mustaphaishmael3237
      @mustaphaishmael3237 4 місяці тому

      Huna hikma wwe... Sheikh katumia hikma na busara nyingi kujibu

    • @user-oq5xl6by7s
      @user-oq5xl6by7s 4 місяці тому

      @@mustaphaishmael3237 ww kocho vp acha kuingilia mamb huyajuw kasome kwnz ingekua una akil ungecheka ikisha ukapita 😜

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 місяців тому

    Hapo hamna dini ya msimu, iwe Ramadhan au Ijumaa au siku za kawaida

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 5 місяців тому +3

    Sasa izo nyimbo zinazoimbwa
    Zina mausiyano gan pls

  • @Zenny89
    @Zenny89 5 місяців тому

    Wale wa “Proud to Be…..” Gonga like hapa!!!

  • @user412
    @user412 5 місяців тому +1

    Kama munataka kujifunza andaeni kipindi maalumu cha Dini sio kwenye vipindi munaweka mawaidha Kisha munaweka muziki yenye kuhamasisha zina, pombe na maasi mengine

  • @user412
    @user412 5 місяців тому

    Wasafi nyinyi munafanya kila kitu kwa mzaha. Yaani hata mawaidha munawekw biti!!

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 5 місяців тому

    Najukubali sana kipozeo

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 5 місяців тому

    Sheikh kipozeo bado huja alikwa futari kwa daimond huko ndiko kwenye mizigo utaona live na huku ukimiza mate

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 5 місяців тому

    😂😂😂kipozeo

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 5 місяців тому +3

    Background sound ni kumbwa, ina boa sana @wasafimedia

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 4 місяці тому

      Simu yako ndugu mbona wengine tunasikia vizuri.

  • @amisselutaviamisselutavi3833
    @amisselutaviamisselutavi3833 5 місяців тому

    Hekma zimahitajika kutokana na uko mazingira gani ktk kufikisha elimu kunamengi kanyoosha bila kukonakona ila tatizo letu tunapenda sana kushushana hadhi kwa kualia sana makosa kuliko pwent mbona kasema mengi yahusuyo makatazo napo je mbona hatukoment?

  • @salummziwanda9278
    @salummziwanda9278 5 місяців тому

    naaam

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc 4 місяці тому

    Masuala ya dini ya Kiislamu, hio miziki ya background ya nini? Someni msihemkwe tu!

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 5 місяців тому

    Wakwanza kuangalia mizigo ni nyinyi mashehena

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 5 місяців тому

    Kipozeo jiangalie vizuri majibu yako unasikilizwa na wengi wacha usanii

  • @kassimamir219
    @kassimamir219 4 місяці тому

    Huo mziki vp tena jaman, na Kuna maneno ya ALLAH yanatoka?

  • @AllySully
    @AllySully 5 місяців тому

    Kipozeo ww ni mnafiki mkubwa sana unauza maneno ya mungu Kwa thamani ndogo ya Dunia elimu huna halafu unajifanya unajua mbabaishaji .

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 5 місяців тому +2

      Wewe Mwenye Elimu Mshukuru MOLA Kwakuwa Naelimu Kuuuuubwa. Mpaka Yakuwazarau Watu. Inashangaza Saaana. Nandivyo Ilivyo Wasiojua Kujiona Kama Wanajua Hali Yakuwa Hakuna Wanachokifahamu.

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 4 місяці тому

      Ujasiri huu unapata wapi ndugu yangu muislamu? Unamuita sheikh kipozeo ni mnafiki? Hujui kwamba unamdhulumu? Nakusihi uumche Allah

  • @AMBINHED
    @AMBINHED 5 місяців тому +1

    Kuwa na kimada hairuhusiwi kabisa sio mwezi wa Ramadan tu, hata mwezi wa kawaida.Na sheikh anasema unaweza kuongea sio kweli muuslamu umependa peleka uchumba na muowane hakuna janja janja.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 5 місяців тому +1

      Kweli kabisa,sijaona cha maana alicho kiongea mpaka muda unaisha zaidi yakujichekeleza kama mjinga hivi, asie jua kutumia elimu yake daah tunako elekea?

  • @jumannetoronto5996
    @jumannetoronto5996 5 місяців тому

    Waandishi mnaferi wapi mtu ajamaliza kujibu swali mnatoa swali lingine dini sio mahakamani mwachieni sheghe afafanue vizuri maswali yenu ndio muulize tena hapo waandishi mmeteleza

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 5 місяців тому

    Kipozeo anashindwa kujibu kwa mkato kwani mziki wenyewe si haram sijui anawaogopa mabosi wake

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 5 місяців тому

    Mbona kuna wimbo huku mnasililiza mawaidha hapo mlifeli kabisa

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 5 місяців тому

    Kila siku mwamuuliza mizigo tu😂😂

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 5 місяців тому

      Si alitaka hayo mwenyewe? Anapenda mizigo! Kujidhalilisha tu, hawa ndo mashehena elimu anayo kuitumia hataki, kama anaogopa kuongea vile

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 місяці тому

      @@aairraahseif5648
      Ndio watangazaji wetu wanakopi swali lili kila wakati.
      Wakimwita Abby Cham watamuuliza unapenda kula ugali

  • @user-sw1ol9jb6z
    @user-sw1ol9jb6z 4 місяці тому

    Sasa ww jaya monkari hutoi Huo mziki vp nak kusikiliza mziki ni haram

  • @ramazanzibar8264
    @ramazanzibar8264 5 місяців тому

    .mpk hapo kipozeo anataka kuhalalisha mahusiano ki2 ambacho ni kharam katk uislamu

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1dj 5 місяців тому

    Kipozeo umefeli humuogopi mung unaogopa watu

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 4 місяці тому

    Kipozeo zero brain sikubaliani nae

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 5 місяців тому

    Muongo huyu jua halijawai kuzama saa tano usiku

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 5 місяців тому +1

      Lkn jua limeshawahi zama saa nne usiku!usikatae

    • @Bmsecret
      @Bmsecret 5 місяців тому

      @@aairraahseif5648 nchi gani ?

    • @abdillahimohd8614
      @abdillahimohd8614 5 місяців тому +2

      mm nipo canada jus linazama saa 4 :30 Usiku

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 5 місяців тому +2

      Unabisha Kua unajua au unabisha Kua haujui? Uliza watu walioko kwenye hemisphere ya mbali canada au hata ulaya baadhi ya majira usimwite mtu muongo kwa jambo usilolijua.

    • @amininuru9270
      @amininuru9270 5 місяців тому +1

      Tatizo huna unachojua na utaki kuelimika tembea uone ndo utajua