Ahmed Ally afunguka ishu ya Lawi “wamekula mpunga” atangaza balaa la wachezajii wapya
Вставка
- Опубліковано 7 лип 2024
- Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 8, 2024 kwenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 2024/25, huku Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ahmed Ally amezungumza na wanahabari kuhusu sintofahamu ya usajili wa beki Lameck Lawi.
Ahmed amesema sakata hilo litamalizwa na mabaraza ya kisheria ya soka lakini wao wanatambua kuwa ni mchezaji wao halali kwani pesa za usajili walitoa kwa mchezaji huyo pamoja na timu yake.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj - Спорт
Lawi huyu ana tabia kama za chama. Sio mzuri sana.
hongera chama langu
Good❤
Semaji letu nakukubali Sana!
watani tutawaona watu wenu uwanjani hiyo timu ya wavulana tuko paleee
Me nawaachia viongoz wetu Sina neno😂
Sawa semaji 😂😂
Lameck lawi Yanga ndiyo wameingilia kati kwa sababu sikuhizi Coansti na yanga wako karibu sana , , kama ni urafiki na undugu ni consti na Yanga
Karaboo
🎉
Onana mbona hayupo kwa msafara
Ila Simba ni bland kubwa sijawai ona waandishi wanaenda kutafuta content kwa nyuma mwiko
Simba nguvumonja
Hatuja mwona kibu
Mbona hamtaki kuja kwny channel yangu jaman😢😮