Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лип 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

КОМЕНТАРІ • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Місяць тому +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Місяць тому +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Місяць тому +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime Місяць тому +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 Місяць тому +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Місяць тому +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r Місяць тому +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od Місяць тому +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs Місяць тому +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta Місяць тому +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s Місяць тому +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Місяць тому +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Місяць тому +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir Місяць тому +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y Місяць тому +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @Dayotz
    @Dayotz Місяць тому +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 Місяць тому +3

    Am proud Simba fan

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy Місяць тому

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b Місяць тому +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo Місяць тому +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 Місяць тому +2

    Magori is intelligent, big up

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Місяць тому +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Місяць тому +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 Місяць тому +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Місяць тому +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 Місяць тому +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @Busagotz
    @Busagotz Місяць тому +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Місяць тому +3

    Interview imekamilika sana

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Місяць тому +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh Місяць тому +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Місяць тому +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o Місяць тому +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 Місяць тому +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Місяць тому +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 Місяць тому +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Місяць тому +25

    Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia

    • @timothymbughuni1356
      @timothymbughuni1356 Місяць тому +6

      Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!

    • @user-ts8bf4ef3u
      @user-ts8bf4ef3u Місяць тому +4

      wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej Місяць тому +1

      Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????

    • @mnyusihiza9161
      @mnyusihiza9161 Місяць тому +1

      Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂

    • @timotheothadeomgassa4929
      @timotheothadeomgassa4929 Місяць тому +1

      Ulitaka awe chura?

  • @djchid2417
    @djchid2417 Місяць тому +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j Місяць тому +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 Місяць тому +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 Місяць тому +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm Місяць тому +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Місяць тому +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Місяць тому +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 Місяць тому +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 Місяць тому +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini Місяць тому +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb Місяць тому +1

    Asante azam

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 Місяць тому +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwasunga
    @mwasunga Місяць тому +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 Місяць тому +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta Місяць тому

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 Місяць тому +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @Miche7_
    @Miche7_ Місяць тому +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 Місяць тому

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Місяць тому +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 Місяць тому +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Місяць тому +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota Місяць тому +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq Місяць тому +2

    Simba nguvu moja

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 Місяць тому +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 Місяць тому +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi Місяць тому +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 Місяць тому +1

    Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 Місяць тому +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi Місяць тому +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 Місяць тому +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Місяць тому +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 Місяць тому

    Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 Місяць тому +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 Місяць тому +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb Місяць тому +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Місяць тому +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama Місяць тому +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg Місяць тому +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 Місяць тому

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Місяць тому +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Місяць тому +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @JosephMwita-m7t
    @JosephMwita-m7t Місяць тому

    Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 Місяць тому +2

    Tukimshindwa Elia mpanzu bac yanga bingwa tena na jezi ya msimu huu ctanunua kabxa

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 Місяць тому

      Utopolo ni Utopolo tu

    • @jr45_unique10
      @jr45_unique10 Місяць тому

      Huo niushamba kama ushamba mwingine usajili niswala lamakubariano na lenyefaida pande zote mbili kaka

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd Місяць тому

      😂😂😂😂Wew ninan usip nunua

    • @Hassan-ot1mc
      @Hassan-ot1mc Місяць тому

      Usiponunua sisi tutanunua

  • @MuftyHussein-kf7tm
    @MuftyHussein-kf7tm Місяць тому

    Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n Місяць тому +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Місяць тому +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Місяць тому +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @brycesonkaaya9764
    @brycesonkaaya9764 Місяць тому +1

    Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Місяць тому +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m Місяць тому +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Місяць тому

    Semaji la cuf umetisha

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Місяць тому

    Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw Місяць тому +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @harunaThobias
    @harunaThobias Місяць тому +2

    Kramo Bado nimchezaji wa Simba?

  • @ELIASJACOB-by4qs
    @ELIASJACOB-by4qs Місяць тому +1

    Nguvu moja 💪💪

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Місяць тому +1

    Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu

  • @user-cg8vh4fn7z
    @user-cg8vh4fn7z Місяць тому +1

    Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw Місяць тому +2

    Ahmed hata uwe shabiki wa yanga na azam lzm umsikilize tu 😂 ila hao wengine kina kamwe wanasikilizw ma mashabk wao tu

  • @jacksonmatitu3918
    @jacksonmatitu3918 Місяць тому

    interview ya kwanza no 1 trending

  • @Mrsule255
    @Mrsule255 Місяць тому +1

    406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏🙏... let's go..!

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd Місяць тому +3

    Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip Місяць тому +1

    Simba Nguvu moja

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 Місяць тому +1

    Simba nguvu Moja tuchangiye

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Місяць тому +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @CyprianHatari-qy9yv
    @CyprianHatari-qy9yv Місяць тому +2

    Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi

  • @rogatikaigarula4112
    @rogatikaigarula4112 Місяць тому +1

    Mzee magoli utakaa mdagani ktk uongozi wa simba?