KUKURU KAKARA .. MAZINGE VS PASTOR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • DAAWAH KATIKA MTAA WA KIAMBIO NAIROBI COUNTY.
    23/8/2019

КОМЕНТАРІ • 221

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 роки тому +2

    MaashaaAllah Sheikh mazinge Allah akupekheri Duniani na Akhera ww na jopu lako loote Allahumma Amiin🙏

  • @nooordubem2802
    @nooordubem2802 5 років тому +7

    Wakristo sielewi shida yao iko wapi? Mtu anadai kuwa yesu ni mungu,sekunde mbili zingine anasema yesu ni mwana wa mungu,yaani wamechanganyikiwa kiasi ambacho hata wanakosa kujielewa kabisa. Wanamtukuza yesu kuliko Mungu aliyemuumba huyo yesu,ajabu sana. Ustadh Mazinge wape aya labda watazinduka in shaa Allah

  • @mwaks3347
    @mwaks3347 5 років тому +40

    Sheikh Mazinge Allah akujalie umri mrefu na masheikh wote hapo

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 3 роки тому +4

    Islam is my religion...proud to be Muslim

  • @faridaabdala1316
    @faridaabdala1316 5 років тому +38

    Asante allah kwakuniumba muislam..inshallah niongoze niwe mwenye kutimiza nguzo tano za uislamu

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 5 років тому +2

      farida sema Alhamdulillah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @jumakoga2179
      @jumakoga2179 4 роки тому +1

      Al handullah

    • @najmagudeh203
      @najmagudeh203 3 роки тому

      AMIIN INSHAALLAH

    • @hamissuche6576
      @hamissuche6576 2 роки тому

      Dadangu farida, jina Allah, unaanza na capital letter A,.. sio allah

    • @elphasseurei
      @elphasseurei Рік тому

      Ushapotelea maji Nini ndgu.uko ata kwa dawa siezi kua muislamu.😂

  • @egetinginyemachoka2726
    @egetinginyemachoka2726 5 років тому +15

    Uko sawa Mazinge tufungue macho Mazinge mungu akulinde.

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 років тому +1

      Allahuma Amin

    • @danielmahela2436
      @danielmahela2436 4 роки тому +1

      Hahaha isaya Ni nabii anaongea kauli ya kinabii anaposema amezaliwa sio kwamba Tayari. Mfano ufunuo 21:1 Inasema kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Sasa ukisoma iki kifungu ni kana kwamba haya mambo yamekwisha tokea kumbe bado, Ivyo tusipagawe na maneno ya unabii barikiwa sana Amen.

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 5 років тому +17

    MashaAllah masheikh wetu,tafadhalini toeni mada za masaa mengi jaman

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 5 років тому +11

    Shukraan sheikhe mazinge allah atakulipa kwakazi yako

  • @muhidinmohamed1445
    @muhidinmohamed1445 5 років тому +6

    Barakallahfiq Mungu atawalipa Leo na kesho akhera In Sha Allah

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 років тому +6

    MaashAllah,safi, Allah awaongeze katika njia ilonyoka na atuepushe na moto 🤲 Alhamdulilah nashukuru ni Muslim

  • @ibrahimabdi2368
    @ibrahimabdi2368 5 років тому +9

    mashaAllah Allah awalipe kwa kazi mnayoifanya

  • @montenomontana2935
    @montenomontana2935 5 років тому +9

    Naomba walimu kabla hamjaanza mjadala mjaribu kufunza hawa wakristo kiswahili...kiswahili ni ngumu kweli

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 5 років тому +14

    Mashallah sheikh mazinge! Lakini uli tuondolea utamu kidogo, kulikuwa najamaa ataka kusilimu ukamkatiliza, kwa sababu ya mchungaji, sasa sijui kama alisilimu?!

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 4 роки тому +1

    Hawa wenzetu hawajielewi kabisa inalilahi mazinge unawaweza kweli wanakufuru

  • @hassanyusuf4478
    @hassanyusuf4478 4 роки тому

    sheikh Mazinge Allah akujalie elmu ya juu zaidi inshallah

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 5 років тому +9

    Asalamu aleykum ya sheikh yahya .salamu zangu unifikishie ustadh mazinge

  • @maryamabdi7460
    @maryamabdi7460 5 років тому +2

    Masha Allah mnafanya kazi nzuri mgekuja kajiado county

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 роки тому

    Ustadhi mazinge Mungu akujalie na akupe rehema mafundishi yako ni mazuri sana na yanafanya uisilamu unazidi kung'aa na kumelemeta

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 роки тому

    Sheikh Suleiman Mazinge tunakupenda kwa ajili ya Allah! Hoja zako nzito sana jazakallahu kheyr.

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 4 роки тому

    Wakiristo allah anawaona kama mnajuwa uislam ni dini ya haki mnaubishi tu ila nawakumbushia kwa Allah tutarejea na mashekhe wetu wanajitahidi kuwasaidia namuomba allah atujaliye mwisho ulio mzuri na pia akulainisheni nyoyo zenu

  • @elphasseurei
    @elphasseurei Рік тому

    Asante ndugu kwa kujikaza be blessed alot,kama bibilia inasemaje na wao wanajua vema kua yesu ni mwana wa mungu na ni mungu, Colossians 1:15 alikua kumbe Cha kwanza so ni mtoto wake,na ndio maana anaitwa mungu kwa sababu ni mtotowe.lakn hawezi kua mungu mwenyewe,Bali ni mfano wa mungu,na kaa vnye wewe na babako,unatumia jina LA babako.....lakni haimanishi mtoto ni babake.wanakuchanganya lakni uko sawa bro.

  • @seluwahabdull7223
    @seluwahabdull7223 5 років тому +1

    mashallah shekh suleiman mungu akuongezee elmu uzidi kutukumbusha nakutukumbusha in sha allah

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 5 років тому +3

    MashaAllah... Mwenyezi Mungu Awabariki kwa kazi yenu ya kuwatoa watu katika giza... IshaAllah.

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 років тому +6

    Masha Allah SHEIKH Yahya na team yako Allah awalinde na awaongoze na awafanyie wepesi katika kazi zenu

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 років тому +1

      amin

    • @ukhtysakinaa7664
      @ukhtysakinaa7664 5 років тому

      @@kenyadawahtv90 Allahumma amiin

    • @kitkatpleasesubscribe6720
      @kitkatpleasesubscribe6720 5 років тому +1

      Sheikh Yahya DAAWAH 0720900181 ,
      My dear brother Yahya *PLEASE* do remember to watch my very important videos in my *Playlists* and please add English subtitles to your videos.
      *Jazak'Allahu Khairan*

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana7286 5 років тому +2

    Maashaallah uislamu ni kila kitu

    • @nuosab
      @nuosab 4 роки тому

      Sheikh mazenge Endelea na hii Daawah Allah atuondolee maradhi ambaye haina Dawa

  • @elphasseurei
    @elphasseurei Рік тому

    Mbingu na mbinguni ni tofauti ndugu,mungu alikua mbinguni akiyajenga mbingu.kuna mbingu nne ndio ufike mbinguni.ety mwalimu wa mwislamu na haujui kueleza ya yalio direct explaination.

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 роки тому

    MashaAllah sheikh uko waazi kabisa .hata mtoto mdogo akuelewa tu

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 3 роки тому +1

    Mashallah

  • @salamamohamed6762
    @salamamohamed6762 4 роки тому +2

    Alhamdulillah nilisilimu kupitia hizi video Allah awabariki sana nitafurahi zaidi mkikaribia kwetu +254 kutoa daawa huenda wazazi wangu wakasilimu na wengine In sha Allah

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 4 роки тому

      Mashaallah.

    • @mohammedrajabu7449
      @mohammedrajabu7449 3 роки тому

      MaashaaAllah nduyangu salama mohammed allah akupe kheri na baraka tele na ajaalie wazaziwako wafe Haliyakua ni waisilamu safi kabisa

  • @abdiali224
    @abdiali224 5 років тому +9

    Masha Allah

  • @huxeinprince5427
    @huxeinprince5427 5 років тому +3

    Mungu wabarik kwenye kutangaza dawa

  • @maryammdoe4784
    @maryammdoe4784 4 роки тому

    Subhanallah alhamdulillah kwa neema hii ya uslam yaa rabbiy

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Рік тому

    MAA SHAA AL-LAAH MWENYEZI MUNGU AKUPENI KHERI NYINGI

  • @sheemwsnyiro6670
    @sheemwsnyiro6670 5 років тому +4

    Mashalaah masheikh wetu ALLAH awabariki

  • @maryamk4739
    @maryamk4739 3 роки тому

    Asalaam Alykum warahmatullah wabarakatu... Nisaidieni na part 2 of this. Jameni. And please make dua for my mother for Allah to guide her to Islam. Jazakallah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 5 років тому +9

    Mbona tamu lakini fupi sheikh?

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po 4 роки тому

    Allah ibarik fiq sheikh mazinge ndugu yetu from watamu

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati7456 5 років тому +5

    Allah awape wepesi mashekh wetu nn maana makafiri huwa wanajifanya hawaelew

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 5 років тому

      Kafir ni mtume wenu muhamad ambaye hata hakujitambua enzi za utume wake.

    • @bahatihadijabahati7456
      @bahatihadijabahati7456 5 років тому

      @@gerkombo6512 ww ndo kafiri pili huna akili ungekuwa na akili usinge abudu yesu waacha mungu wewe vp

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 5 років тому

      @@bahatihadijabahati7456 we ndo fala kweli

    • @bahatihadijabahati7456
      @bahatihadijabahati7456 5 років тому

      @@gerkombo6512 sigombani na boya mimi

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 5 років тому

      @@bahatihadijabahati7456 boya mwenyewe usie na akili, mkiambiwa toeni aya ni wapi muhamad kapewa utume na Mungu mnabaki mnajambajamba hovyo.

  • @mohamedmohamed-fs1tl
    @mohamedmohamed-fs1tl 2 роки тому

    mashaallah Allah bariik my brothers

  • @mkombozimstaff4830
    @mkombozimstaff4830 4 роки тому

    Sawa sawa Sheikh au ma sheikh Wangu

  • @flavianmarandu5710
    @flavianmarandu5710 4 роки тому +1

    Mashaallah kwanin hukuwa mwalimu wangu mazinge

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому

    Maa Shaa Allah, Uislam Raha,Nashukuru Allah,Hongereni Sana Kwa Kutuelimisha.Muendelezo Naomba Alhamdulillah.

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 років тому +4

    مشاءالله تبارك الله يا أستاذ سليمان، جزاك الله خير

  • @ommybaajun6762
    @ommybaajun6762 4 роки тому

    ALLAH azid kuusimamia Uislamuu

  • @kitkatpleasesubscribe6720
    @kitkatpleasesubscribe6720 5 років тому +6

    Sheikh Yahya *PLEASE* add English subtitles...
    And by the way Sheikh Yahya *PLEASE* also watch my important videos in my *Playlists*

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 роки тому +2

    Mazenge Babalao 😃😃

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 роки тому +1

    Those people are confused basi Allah awafanyiye wepesi

  • @nooordubem2802
    @nooordubem2802 5 років тому +9

    Kuna continuation ya hii video ya kukuru kakara?! Sheikh Mazinge umemkatizia huyo Charles alitaka kusilimu...hebu tupe mlivyomalizana naye na huyo mzee uliyemuita pia...otherwise great job mashaallah tabarak Allah

    • @charlesjoseph791
      @charlesjoseph791 5 років тому +1

      Nipe namba ya huyo mazinge anaejifanya anajua

    • @charlesjoseph791
      @charlesjoseph791 5 років тому

      Nipe namba ya huyo mazinge anaejifanya anajua

    • @charlesjoseph791
      @charlesjoseph791 5 років тому

      Naomba namba akinijibu nasilim 0765319605 hyo namba yangu

    • @charlesjoseph791
      @charlesjoseph791 5 років тому

      Nooor Dubem Nipe namba

    • @zamzamahmed5718
      @zamzamahmed5718 4 роки тому

      @@charlesjoseph791 wewe usijifanye umeshindwa hapo kisha waleta Zako hapa 😂😂😂😂😂😂

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 років тому +7

    Jmni muendelezo

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 5 років тому +1

    Jmn naomba munisaidie nimpate mazinge nina tatizo lkm naona nikimpata tatizo litatatulika inshllh

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 3 роки тому

    MASHAALLAH MASHAALLAH TABARAKALLAH

  • @akhuumpweche.7935
    @akhuumpweche.7935 3 роки тому

    Maa shaa Allah sheikh wafunguwe macho..

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 3 роки тому

    Lakkini shekhe jamaa alitaka kuslimu bana mbona 😢😢ukampinga🥺

  • @bihangamanywazuberi1684
    @bihangamanywazuberi1684 4 роки тому +1

    Jazakallahu khayr

  • @barakakiula6443
    @barakakiula6443 5 років тому +1

    Nakupenda sana

  • @Binarybotsltd
    @Binarybotsltd 4 роки тому +1

    Thank for that knowledge

  • @shedracksaid8402
    @shedracksaid8402 5 років тому +2

    Mungu atajali tu lazim wasilimu wote

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p 4 роки тому

    Nachukurumungu kuwa muislamu. Mweyezimungu akuwekee wepes, kuakufudichadiniyake, zakalaher

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 5 років тому +5

    Kukuru kakara mpe Mike hyo

  • @jumaamsuya5264
    @jumaamsuya5264 5 років тому +1

    Masha Allaah

  • @yekridikilatheecreativethi2540
    @yekridikilatheecreativethi2540 6 місяців тому

    God is alfa and omega. God is the God of now. He is i am whom i am.

  • @barakakiula6443
    @barakakiula6443 5 років тому +1

    Swadakta mazinge

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 роки тому

    Awo Wakristo wanamuabudia nimrom na mke wake na mtoto wao tamuz bila wao kujijua

  • @shifamakame4622
    @shifamakame4622 4 роки тому

    Ingekuwa mm hiyo mikafiri ningeipiga mibao mn mikaidi sn
    Ela nyie munowafundisha muna moyo AllaH awalipe kheri ingekuwa mm na presha zangu zamanii nishamkunja km haelewi na kaahaondoka

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 5 років тому

    Endelea kutufunza mengi na mungu awalinde awape umri mrefu wakutujuza mengi

  • @lifegoesonfunnymassia8856
    @lifegoesonfunnymassia8856 4 роки тому +1

    Mazinge Ni mgonjwa wa akili, hapo Naona hela za waislamu Ni tamu Sanaa😂😂😂😂😂 mazinge nenepa kabisaa

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 роки тому

    😀😀😀hapo nikuchemka tu

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 роки тому

    Shekh unaendelea au?

  • @mohamedissack8053
    @mohamedissack8053 5 років тому +4

    Kafri ni kafiri tu hawakubali kueli

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 5 років тому

      Kafiri namba moja ni nyie waislamu.

    • @asayubeejr1199
      @asayubeejr1199 5 років тому +1

      Subhanallaah inshallah iko siku watajua ukweli na haki

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 років тому

      @@gerkombo6512 Subhanallah yani ww mungu akutowe gizani ujue dini ya kweli ni ya Kiislam

    • @gerkombo6512
      @gerkombo6512 5 років тому

      @@user-wv5fq1bm5x dini ya kufuga majini siyo

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      @@gerkombo6512 ni wewe 2 pole

  • @esthernyabuto3845
    @esthernyabuto3845 5 років тому +1

    Waisilamu mwafunzwa kilauchao muache kuangalia mwili ju yeye alikuwepo tangu imbrahim jameni mejawa na kutoelewa ila mungu awasaidiye

    • @badalabdallah7761
      @badalabdallah7761 4 роки тому

      Acha kukurupuka jitambue mtoto

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому

      Ww kama unampenda mwenyezi mungu leo kuwa mwislamu sio unaleta habari za biburia hapa

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe5275 3 роки тому

    Mwenye namba ya huyu shekhe suleiman mazinge anigee

  • @bahatimkumbo7298
    @bahatimkumbo7298 4 роки тому

    Endeleeni kunidanganya enyi kizazi cha farao sababu kuu kwangu moja ya kuikana usilamu ni dini ya farao ya wamisiro ambao walipigwa na Mungu kwa mapogo wadanganyeni wasio jua bibilia someni mstari mmoja na kukariri mdanganye watu wakristo tunajiamini tunadini ya ya Wana wa esilaely walio mshinda Miungu ya farao endeleeni kuyafuga mapepo wa wazuri

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 4 роки тому

      Enzi za farao ni umma wa Musa na Isa mnaemuita yesualikua na umma wake wa kiyahudi na umma uliosasa ni wa Muhammad mkubali mkatae maana Enzi ya Musa kina farao walimpinga, Issa (yesu ) pia kunao waliompinga na sasahivi ni umma wa Muhammad pia kunao wapingao kama nyinyi Sasa mnaojitia kwa yesu hivi nyinyi wayahudi ama hamjielewi siwashangai hamjijui mko kundi lipi, pole lakini kila mtume alikua na kizazi chake jisahau tu na nyinyi c wayahudi

  • @adamukasim3074
    @adamukasim3074 4 роки тому

    Takibiliiii

  • @ahmedfarah1646
    @ahmedfarah1646 5 років тому +3

    Assalamu Aleikum

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 3 роки тому

    Usiende tena kanisani 😂😂😂😂😏

  • @adnansaleh3971
    @adnansaleh3971 5 років тому +1

    Islam cannot be defeated cz u cannot defeat a victory that is predestined

    • @kitkatpleasesubscribe6720
      @kitkatpleasesubscribe6720 5 років тому

      Adnan Saleh ,
      My dear brother *PLEASE* you must also watch my very important videos in my *Playlists*

  • @sebantunganyankurunzinza3516
    @sebantunganyankurunzinza3516 5 років тому

    Zaburi moja moja heri ya MTU asie kweda katika shauli la wasio haki wala hakuketi kwenye mabaraza ya wenye mizaihau wala mabaraza ya wasio haki

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 5 років тому

    jamani uwiislam raha yani nimefulahi sana waiislamu kuwaelekezo wakristo ktk njia lmustakim iliyo nyooka

  • @jbjaphet1465
    @jbjaphet1465 5 років тому +1

    Huyo dogo hajuwi wanitafute mimi

    • @davidochieng2975
      @davidochieng2975 5 років тому

      Waje kwangu pia hawatoshi ni vile hawapendi kupeana muda kwa wenzao.Ubishi tu na kutokubali ukweli wa biblia.

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 років тому

      Hamna lolote nyie mnakataa tuu dini ni ya kiislam

    • @adamtamim6048
      @adamtamim6048 5 років тому

      @@davidochieng2975 haya hebu tupe andiko linalosema ukristo ndio dini ya kweli
      Na lialosema yesu ni mungu

    • @adamtamim6048
      @adamtamim6048 5 років тому

      @@davidochieng2975 hebu jiulize swali dogo tuu kabla yesu hajazaliwa binaadam walikuwa wanamiabudu mungu gan

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 роки тому

      Hahaaa’ wanashindwa kina Papa Paulo wanaoandika biblia kila mwaka’ utaweza ww ndugu...!
      Ukisoma maandiko utaelewa kwamba hujitambui ...!..unakwenda Kwa kukaririshwa na wachungaji..!

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 роки тому

    Takbiiiir 🙆🙆🙆

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 років тому +2

    twasubiri muendelezo insha Allah

  • @esthernyabuto3845
    @esthernyabuto3845 5 років тому

    Jameni utabiri manabii wengi walitabiri yeshu

  • @amraniissa530
    @amraniissa530 5 років тому

    Wakati utafika mazinge na wenzio mtapiga magoti mbele zake Yesu kristo Mungu aliye hai na kujutia haya natamani kama ningekuwepo hapo nikunyooshe mazinge na Hao unao waaminisha hapo ya kufkilika

    • @shemsiasalumu9200
      @shemsiasalumu9200 4 роки тому

      Hujui ulitendalo naww utajuta siku utakapo kutana na MOLA WAKO MLENZI

    • @meddyhazali1470
      @meddyhazali1470 4 роки тому

      Jielewe wewe.... mnakubali mitume yote kuwa walipewa utume isipokuwa Mtume Muhammad kisa tu alikuwa muarabu ...angekuwa mzungu mnge mkataa? Rudini kundini nyie.... mara baba roho mwana...hamuwezi kumpa cheo cha Mungu yesu wakati yeye alikuwa nabii tu.... kwahiyo Mungu alizaliwa?? Someni msipelekwe pelekwe tu

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому

      Mwenyezi mungu hana mfano wake,Hazai, haoi na haiwezekani akamuumba nabii Issa ambaye nyie mliyopotaka mnamuhita Yesu alafu yeye mwenyezi mungu aingie kwenye nafusi ya Issa heti yesu ni mungu,Yesu alitumwa na mungu,yesu kaumbwa na mungu na Yesu sio mungu na dini ya kweli ni Uislamu tu na ni 1tu.

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому

      Yaani ww ukizaa mtoto,mtoto huyo anakuwa ana nafsi yako?

  • @shukranoberd2490
    @shukranoberd2490 5 років тому +1

    Yesu ni mungu ama laa Jibu liko yoh 14:7 na yesu ndo kakuumba yoh 1:1--3

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 5 років тому

      Shukran Oberd kwani yohana 1:1 ni maneno ya nani ?

    • @shukranoberd2490
      @shukranoberd2490 5 років тому

      Official Kamdudu niya yohan na ht hivo nyie mnakataa wingi wa mungu lakn qolohan yen inasema mfano kipindi Muhammad anapewa utume hakupewa na mungu moja maana quoran inasema tulimpa sio nilimpa so mna miungu mingi sio mungu mmoja

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 5 років тому +2

      Shukran Oberd acha porojo Allaah anatumia katika Qur’ani kwa njia ya wingi inatumika katika lugha nyingi na katika Kiarabu ni Jam‘u Lita‘dhiim (Majestic or Royal Plural au wingi wa ukubwa na utukufu au wingi wa kifalme). Oxford Advanced Learner’s Dictionary inafasiri We (Sisi) kwa kusema: “Formal used instead of I by a king, queen or pope or by the writer of an editorial article in a newspaper, etc. The ROYAL WE (Inatumika rasmi badala ya Mimi na mfalme, malkia, papa au na mwandishi wa tahariri katika makala ya gazeti na kadhalika. Hii ni Sisi ya kifalme” (uk. 1443). Na Allaah ni Mkuu zaidi na Mtukufu na kwake ipo mifano ya juu zaidi na ni aula katika kutumia utukufu wake katika hilo, hivyo ‘TUME’ au ‘SISI’ inapotumika katika Qur’an inaonyesha Utukufu wake akiwa Yeye ni Yeye tu wala hana mwendani.

    • @shukranoberd2490
      @shukranoberd2490 5 років тому +1

      Official Kamdudu kwanini atumie wingi wakati ni nafsi moja km sio dini ya kihun et mpaka mnadanganya watu et waloasi sabato walikua manyani yaan ni utoto kabisa mbona mpaka sasa wanaasi na hawawi mnyani

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 5 років тому

      mungu kazaliwa😁😁duuu mungu sijui huko tumboni aliwekwa na nani na kabla yakuzaliwa sasa mama ake yesu alikuw anaabudu nini😁😁kweli hamuwezi kuelewa milele na milele

  • @najatnasma5017
    @najatnasma5017 4 роки тому

    Sheikh namba yako naipata je na kwa dar uko sehemu gani

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 5 років тому

    yani kiukweli kwa mtu mwenye akili timamu akisikiliza haya kwa makini basi wakristo kweli mnapotea ivi mbona hamuelewi kila siku yesu mingu ewe mkristo kaa utafakari

  • @kelvinmichae728
    @kelvinmichae728 5 років тому +1

    huyo shekhe hajielewi

    • @aliimwasiri2764
      @aliimwasiri2764 5 років тому +1

      Nenda ukamueleweshe mwenzako anahaha kama kameza uji moto ajui aumeze au auteme😁😁😁

    • @asmaaabdalla9372
      @asmaaabdalla9372 5 років тому +1

      Msiba Kwa wakristo mungu mwana roho mtakatifu wote wanks 1+1+1=3

    • @asmaaabdalla9372
      @asmaaabdalla9372 5 років тому +1

      Mungu WA wakristo kazaliwa katahiriwa msiba anae tahiriwa mungu mwanadamu fikirieni maneno yaupunbavu munatukuwa kanisani

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 5 років тому

      @@asmaaabdalla9372 😊😃😃😃

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 5 років тому

      yesu kaumba nini kama ni mungu na huyo yesu anatahiriwi dahh msibishe ila mshukiru waislam wanavyotoa miadhara inawasaidia nyie msio jua hadhi ya mungu ivi yesu kweli awe mungu alaf mlivyokuwa maboya na nyumba zenu mmejaza picha za yule alieigiza picha la yesu na kumpigia magoti😁😁

  • @ukhtyruqyah7860
    @ukhtyruqyah7860 3 роки тому

    😂 namuonea uruma uyo mchungaji anabwabwaja tuu sijamuelewa ata nusu jaman ee Islam ndio dn ya kweli wakubar wakatae

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 3 роки тому

    Kwani hata qur'una mupinga hata qur'una nyinyi ovyo akili punguwani

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 3 роки тому

    Sio tu Bible hata qur'una YESU aliumba AL - Imran 2 :49 Na ni mutume kwa wana wa lsreal kuwaambia mimi nimekujieni na lshara kutoka kwa Mola mlezi wenu ya kwamba na kuundieni kwa udongo kama ndege sura ya ndege Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya mwenyezi MUNGU.

  • @samuelkombo3559
    @samuelkombo3559 2 роки тому

    Na hata "shahada" Katika Coran hakuna

  • @bachuhamza2396
    @bachuhamza2396 3 роки тому

    Ww

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 5 років тому

    wakristo mna vichwa vigumu aise...

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 років тому

      Aisee yani mungu awanusuru yani wengine wagumu kufahamu

  • @rashidimanyoka4125
    @rashidimanyoka4125 4 роки тому

    Mmh

  • @jaredmisiaimochokoroomusa1260
    @jaredmisiaimochokoroomusa1260 4 роки тому

    Soma Tito 2:13 yesu ni Mungu

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому

      Ww soma Quran ndicho kitabu kikamilimu cha mwenyezi mungu na hakina shaka ndani yake.

    • @NahyaShaban-ve4qe
      @NahyaShaban-ve4qe Рік тому

      ww huyo ni paul aliwadanganya🤣🤣🤣

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 5 років тому +2

    Wewe mazinge huna lolote umejaa ubishi tu, utawakamata wakristu wajinga tu ambao hawaijui vizuri biblia.

    • @hanifajuma342
      @hanifajuma342 5 років тому

      Gervas Kombo kile mnapenda ni uongo, na ubabe, utapeli plus mazingambwe kanisani ati N miujiza na hamjui ni ushirikina hamuoni? hio si ujinga? vipi wewe!

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 років тому

      @@hanifajuma342 hata bora wangesema mungu wao ni Nabii Adam maan yy nabii adam hana baba wa mama ila nabii issa yy ana mama

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      Pole sana

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      Wewe unajua nini kweli pole sana ataandiko ujui

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 4 роки тому

      @@husseinyhassany5696 nani huyo mimi au

  • @paulndungu523
    @paulndungu523 5 років тому

    Wacha kuchanganya huyo Jamaal, hiyo hoja huwezani nayo ispokuwa, nikumchanganya, kama unajiamini kabisa na hoja zako please nitafute tujadiriane.

    • @zakialustan722
      @zakialustan722 5 років тому

      Akutafute nani wewe bankrupt

    • @davidochieng2975
      @davidochieng2975 5 років тому

      @@zakialustan722 Mbona mnakataa ukweli nyinyi?

    • @mundharyhabibu5361
      @mundharyhabibu5361 4 роки тому

      @@davidochieng2975 unahoj gani.....
      Maandiko bibilia nzma hkun hta moj linalosem ukristo ni dini

  • @justineogeto6213
    @justineogeto6213 4 роки тому

    Mbona mnaendea watu awaju Bible Ila kw pastor ndacha

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому

      Hakuna habari ya Biburia sio kitabu ya mungu,Quran ndicho kitabu cha mwenyezi mungu.

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 4 роки тому +1

      @@ramadhanwilbard4685 taurat, zabur, injil na Qurqn zote ni vitabu amba yo Mungu alipea manabii wake ila vote vina shaka ila Quran tu ndio Safi maana haibadilishiki abadan

  • @janetjackson9586
    @janetjackson9586 5 років тому

    Mazinge unatoa hoja au unaipinga biblia kweri ww ni dajali

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      Aki wewe kweli janet sasa nani anapinga bibilia hapo sema

    • @mundharyhabibu5361
      @mundharyhabibu5361 4 роки тому

      @@husseinyhassany5696 hajapinga bibilia..tatizo ndgu zetu ni wavivu wakos vitabu.
      Viongz wenu ndy wanao wapotez tna kwa mujib wa hyo hyo bibilia

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 4 роки тому

      @@mundharyhabibu5361 Umemtag sie apo.

  • @samuelkombo3559
    @samuelkombo3559 2 роки тому

    Waislamu hote ni wajinga kama nabihi wao hamukubali mandiko yoyote

    • @babossjr862
      @babossjr862 2 роки тому

      Inalilahi wa in ilayhi rajiun