A MAZING MAZING e. Mazinge is truly a legend. May God Bless him. He speaks the truth. I pray he will unite our noble brothers and Sisters in Christianity and Muslims to worship only ONE GOD. We are all monotheists. Christians are monotheists as well. Monotheism means to worship only ONE GOD. You really do not want Jesus (Peace be upon him) to reject your worship to him. We may love Jesus, but we must obey his direction to worship the Father In Heaven. We are all the children, or creations, of the ONE CREATOR. Let us be TRUE monotheists. Not a mixture of two in one, three in one, and other designs that humans concoct. God bless. From Canada, peace be on you all. Ray B.
Mwenye kupost mbn umemwambia Ndacha kua nikafri?? Na ndo kiboko yenu💪💪 Ndacha Mungu azidi kukupa nguvu, waislmu msikimbilie takbriiii, malizeni kwa vifungu vya Bibilia.
Ila hizi debate zinazo andaliwa na waislamu ziko na upendeleo mkubwa sana haiwezekani haiwezekani mkutano ukiisha anapanda jukwani muislamu kuongeza vionjo halafu mKiristo hapewi nafasi ya kumalizia vionjo kama anavyopewa mazinge huo ni uhuni waislamu wanafanya uhuni na janjajanja kwenye debate kuhusu utaratibu wa debate ni kwamba muanzisha mada kama ni mkristo atatumia dk 20 anakuja muislamu kujibu baada ya hapo zinakuja dk kumi kumi za ufafanuzi kwa kila upande wa imani kisha yanakuja maswali dk 3 kwa muulizaji dk 5 kwa anae jibu baada ya hapo mkutano unatakiwa ufungwe na wenyeviti wa pande zote mbili... siyo tena jukwani anapanda mazinge kuchombeza na waislamu wake halafu ndacha haruhusiwi kupanda kuongea na wakiristo wake hiyo siyo fear ni uhuni unatendeka ionekane wakiristo wameshindwa na hii inawafanya waislamu ambao tayar wameijua kweli wanataka kuokoka wanashindwa kubatizwa kwasababu ya hao kina mazinge kupanda jukwani kuongea na waislamu wakati mkutano umeisha
Mbona mwaogopa kupeana full nmapeana Tu ya kafiri mazinge simueke yote tuamini ukweli. Mbona mnakata na video ilikuwa full . Weka tupime.side zote mwaogopa
Naona hadi wameandika eti Ndacha kafiri. Je kati yenu waisilamu wapinga kristo na Ndacha nan ni khafir. Mmepotea mohamad hana makao anaisubiria jehanam
Yaani Ndacha ni Mtu mwingine hata walimu wa kislamu waje 10 na waandike majibu yao kwenye karatasi,lakini ndacha ni kichwa bila karatasi madini yanatoka,hapo tu ndio panaonekana ni yupi mwalimu
@@countercheck887 sisi hatumkatai Yesu tunamkubali alikuwa mtume kutoka kwa Mungu na bila shaka wamepita wengi kabla yake tunawakataa nyie mnaosema Eti Yesu alikuwa Mkristo na hamna hoja juu ya hilo(ni Uongo) na bila shaka ndio maana tunawaita nyie Wakristo makafiri.,
@@countercheck887 Kwanza kumkata Mtume (Swalla allahu alayhi wa sallam) peke yake tu imetosha wewe na wengine kuwa ni Makafiri.,Waislamu hatumkatai yeyote ktk mitume na manabii, lakini pia hatuvukii mipaka ktk sifa za mitume na kuanza kusema mara hoo baadhi ya mitume ni watoto wa Mungu, mara wengine wakasema ni Mungu haswaa na nyie wote ni watu wa imani moja hiyo sasa ndio kufuru na jina ukafiri juu yako na wenzako
@@countercheck887 yani ungekuwa humpingi Kristo ndio tungekuita kafiri? Acha vituko ukafiri wenu umekuja pale mlipojianzishia dini yenu wenyewe kwa hila na matamanio yenu tu na kusema eti Yesu alikuwa dini hiyo na wala hata Yesu mwenyewe hakuwa Mkristo
Hawa huwa hawasikii lolote wao walishadanganywa kwamba uislamu ndio dini ya kweli na basi hata hawafanyi uchunguzi kujua ni mini kiko ndani ya korohan je ni kitu chema au kibaya! kinanifaa Kwa saa hii ama la! Wao nikufuata Tu Bora nikitu au Jambo wamepata linafanywa na wazi wao ni basi
Acha niwaambie waislamu hii si miaka ya kudanganyana watu wamesoma watu wamefanya uchunguzi vitabu vya kidini vimetafsiliwa Kwa lugha ambayo mtu anaweza kuelewa na mambo sasa hivi yamewekwa peupe kuliko kitambo sas uta mdanganya Nani kuhusu uislamu sasa mambo yenu yako peupe mafundisho mliyo fundisha katika Giza sasa twajisomea wenyewe na twaona vile korohan ilivyo danganyifu
@@cabylake2320 we nawe ni mjinga hujui kuhusu yesu bila shaka ni muislamu wewe ndomana unasema yesu ni mwana wa mariam mana waislamu mpo kimwili zaidi hampo ki roho kama ilivyo kwa wakiristo
@@ramadhanmahongole9293 sasa mungu ndo alimzaa yesu au wakristo mungu awaongoze kabisa akili za kuona mbele Amna mna ambilia ukwel mweye una kataaa 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@@cabylake2320 mhammad mwenyewe unae mfuata hana makao anahangaika tu huko aliko na moto wa milele unamngoja yeye na nyie makafiri wenzie ambao ni wafuasi wake
Hii dibeti haina mipangilio juu yakwamba mtu akimaliza kuuliza swali anastahili awe kimyia usikilize jibu.waislamu Wana mipangilio ya maswali .Jamani tumuheshi mungu kwa neno lake
Love Muslim 💓 mazing mungu akuzidishie umri Kwa elimu yako
Ndacha ubarikiwe una kazi ngumu kuwaelemisha hawa watu maana yamefichwa machoni pao
A MAZING MAZING e. Mazinge is truly a legend. May God Bless him. He speaks the truth. I pray he will unite our noble brothers and Sisters in Christianity and Muslims to worship only ONE GOD. We are all monotheists. Christians are monotheists as well. Monotheism means to worship only ONE GOD. You really do not want Jesus (Peace be upon him) to reject your worship to him. We may love Jesus, but we must obey his direction to worship the Father In Heaven. We are all the children, or creations, of the ONE CREATOR. Let us be TRUE monotheists. Not a mixture of two in one, three in one, and other designs that humans concoct. God bless. From Canada, peace be on you all. Ray B.
Huyo Mazinge hana ualimu bali ni mchekesheji tu.
Ma sha Allah, kila kitu kiko wazi kwenye biblia ,kuelewa tu
Ndacha kazi nzuri
Nimekuelewa sana Ndacha umejibu vyema
Mwenye kupost mbn umemwambia Ndacha kua nikafri?? Na ndo kiboko yenu💪💪 Ndacha Mungu azidi kukupa nguvu, waislmu msikimbilie takbriiii, malizeni kwa vifungu vya Bibilia.
Kafiri ndcaha hana hoja
Lohhh mazinge amemfanya Ndacha umbwa katika bibilia 😂😂 kweli ni professor
Mazinge hamna kitu yaani aibu 🤔🤔🤔
Ndacha we ni kiboko
Mazinge hamuwezi ndacha hahahahahhahahah
Prof ata muhuwa ndacha manzinge ni mwanaume
Hamuwezi kuwashinda waislamu kwa hekima na elimu
mashaa Allah
Imekatwaa😅😅
Ila hizi debate zinazo andaliwa na waislamu ziko na upendeleo mkubwa sana haiwezekani haiwezekani mkutano ukiisha anapanda jukwani muislamu kuongeza vionjo halafu mKiristo hapewi nafasi ya kumalizia vionjo kama anavyopewa mazinge huo ni uhuni waislamu wanafanya uhuni na janjajanja kwenye debate kuhusu utaratibu wa debate ni kwamba muanzisha mada kama ni mkristo atatumia dk 20 anakuja muislamu kujibu baada ya hapo zinakuja dk kumi kumi za ufafanuzi kwa kila upande wa imani kisha yanakuja maswali dk 3 kwa muulizaji dk 5 kwa anae jibu baada ya hapo mkutano unatakiwa ufungwe na wenyeviti wa pande zote mbili... siyo tena jukwani anapanda mazinge kuchombeza na waislamu wake halafu ndacha haruhusiwi kupanda kuongea na wakiristo wake hiyo siyo fear ni uhuni unatendeka ionekane wakiristo wameshindwa na hii inawafanya waislamu ambao tayar wameijua kweli wanataka kuokoka wanashindwa kubatizwa kwasababu ya hao kina mazinge kupanda jukwani kuongea na waislamu wakati mkutano umeisha
Kakubali mtume wao kalogwa Ndacha elemisha watu hawa wamjuao yesu kua ni mwana wa mariam
Mbona mwaogopa kupeana full nmapeana Tu ya kafiri mazinge simueke yote tuamini ukweli. Mbona mnakata na video ilikuwa full . Weka tupime.side zote mwaogopa
ukimuwekea kitu ndacha anachomeka tu🤣😂🤣😂🤣😂
Wakirsto hawana jipya
Mazinge hajui kujibu maswali.
Ndacha hongera Kafiri Mazinge ameshapata dawa yake amebaki na hoja za kizamani 🤣🎼
Naona hadi wameandika eti Ndacha kafiri. Je kati yenu waisilamu wapinga kristo na Ndacha nan ni khafir. Mmepotea mohamad hana makao anaisubiria jehanam
Ndacha anaupiga mwingi... Barikiwa lazima waelewee hawaaa ila muandishi usimuite ndacha kafiri
Ndacha ni kichwa know, mazinge na vikaratasi mkononi,ndacha kichwa tuuuu,
😂😂😂
Yaani Ndacha ni Mtu mwingine hata walimu wa kislamu waje 10 na waandike majibu yao kwenye karatasi,lakini ndacha ni kichwa bila karatasi madini yanatoka,hapo tu ndio panaonekana ni yupi mwalimu
W
Waisilamu wanafuata maiti muhamadi mwanadamu,fuateni yesu,,,waisilamu ni kafiri
Mwalimu Ndacha kiboko na dawa ya makafiri, wapinga Kristo. Wasio nav hoja. Uislam Dini ya majini na Mtume muongo aliye msilimisha shetani
Makafiri si ndio nyie sasa Wakristo
@@emanuelkyomo3772 kafiri ni wewe na mwingine yeyote anayepinga Kristo.
@@countercheck887 sisi hatumkatai Yesu tunamkubali alikuwa mtume kutoka kwa Mungu na bila shaka wamepita wengi kabla yake tunawakataa nyie mnaosema Eti Yesu alikuwa Mkristo na hamna hoja juu ya hilo(ni Uongo) na bila shaka ndio maana tunawaita nyie Wakristo makafiri.,
@@countercheck887 Kwanza kumkata Mtume (Swalla allahu alayhi wa sallam) peke yake tu imetosha wewe na wengine kuwa ni Makafiri.,Waislamu hatumkatai yeyote ktk mitume na manabii, lakini pia hatuvukii mipaka ktk sifa za mitume na kuanza kusema mara hoo baadhi ya mitume ni watoto wa Mungu, mara wengine wakasema ni Mungu haswaa na nyie wote ni watu wa imani moja hiyo sasa ndio kufuru na jina ukafiri juu yako na wenzako
@@countercheck887 yani ungekuwa humpingi Kristo ndio tungekuita kafiri? Acha vituko ukafiri wenu umekuja pale mlipojianzishia dini yenu wenyewe kwa hila na matamanio yenu tu na kusema eti Yesu alikuwa dini hiyo na wala hata Yesu mwenyewe hakuwa Mkristo
Ndacha wewe ndio Prof
Ndacha amejibu Sawa kabisa
Wana waIsrael hawajalaniwa ndo maana mpaka sasa ni taifa teule lenye watu wenye akili duniani yaani gifted people
Kasomee hujui kitu walilaaniwa kuvua samaki siku ya jumamosi
Sisi wafilika ukiritimba nawisilam sio dini zetu kidini zauongo
😂😂😂😂Waislam yaani title yenyewe imeanza na Matusi.
Kwani urongo
Kafiri ni mpingaji wa ukweli
Hi
Hi
Ndacha kiboko cha waislam
Asiekua muislamu ni kafiri tu
Umekatakata video ukatoa mabom kubwakubwa ya ndacha
The title says KAFIRI ndacha
Ndacha huna jipya we we ni mbwa kwa .mujibu was biblia yakooo?? Sasa mbwa were utam-bwekea simbaa???
duh wakristo kwa kubadilisha maandiko? ikiwa wamchao Mungu wanaitwa waisrseli na watu wa mataifa nao wataitwaje?
Kwani hujasikia kama quran ndio imesema au unaipinga quran😀
Mbona hata quran inataja waislamu wa makkah, medina na nyinyi mpo tu kupinga waisiraeli,uislamu gurudumu la mzigo
Sasa ni kitabu chenu kina sema hivyo usipinge na kama unapinga kabadirishe maandiko
Hawa huwa hawasikii lolote wao walishadanganywa kwamba uislamu ndio dini ya kweli na basi hata hawafanyi uchunguzi kujua ni mini kiko ndani ya korohan je ni kitu chema au kibaya! kinanifaa Kwa saa hii ama la! Wao nikufuata Tu Bora nikitu au Jambo wamepata linafanywa na wazi wao ni basi
Acha niwaambie waislamu hii si miaka ya kudanganyana watu wamesoma watu wamefanya uchunguzi vitabu vya kidini vimetafsiliwa Kwa lugha ambayo mtu anaweza kuelewa na mambo sasa hivi yamewekwa peupe kuliko kitambo sas uta mdanganya Nani kuhusu uislamu sasa mambo yenu yako peupe mafundisho mliyo fundisha katika Giza sasa twajisomea wenyewe na twaona vile korohan ilivyo danganyifu
Sasa hapo kuna nondo gani?😂😂😂
Nondo zipo ila zimetolewa na Ndacha, na wa sio Mazinge, hyu Mazinge hana lolote.
mazinge ni propheser fake
wewe uliye post kuwa ndacha ni kafiri ulaniwe kwa jina la yesu kiristo mwana wa Mungu aliye hai kafiri ni wewe babako mamako na watoto wako
Kwani mungu ndo alimzaa yesu au Mariam wewe mung akuongeze ufe aliakua Muslim
@@cabylake2320 we nawe ni mjinga hujui kuhusu yesu bila shaka ni muislamu wewe ndomana unasema yesu ni mwana wa mariam mana waislamu mpo kimwili zaidi hampo ki roho kama ilivyo kwa wakiristo
@@ramadhanmahongole9293 sasa mungu ndo alimzaa yesu au wakristo mungu awaongoze kabisa akili za kuona mbele Amna mna ambilia ukwel mweye una kataaa 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@@cabylake2320 kwaiyo nyie waislamu ndio mnaona mbele?!🤣😂🤣😂🤣😂😂 pole
@@cabylake2320 mhammad mwenyewe unae mfuata hana makao anahangaika tu huko aliko na moto wa milele unamngoja yeye na nyie makafiri wenzie ambao ni wafuasi wake
unasema wanao kuamini wewe sio wano mwamini MUNGu
Hii dibeti haina mipangilio juu yakwamba mtu akimaliza kuuliza swali anastahili awe kimyia usikilize jibu.waislamu Wana mipangilio ya maswali .Jamani tumuheshi mungu kwa neno lake