💃YESU ASIFIWE 🔥 Davista na team yote mubarikiwe❤️..nawapenda❤️.je vous aime.. 💃mutumishi Musa unapendeza kweli; ushuuda Yako ilinidjenga sana ; aksanti sana..😂😍💃 ❤️ The beauty of Gospel of JESUS CHRIST 🔥kwa YESU kutamuuuuu💃💃💃
Amerudi tena Musa, safi sana! Ushuhuda wake ni mzto sana! Atupe pia mlejesho alisema kuna misukule atawarudisha kwa ndugu zao. Na sikia alipewa na fedha za ghalama hiyo!
Siku zote MUNGU ni mwema na yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa kwa MUNGU yanawezekana kabisa MUNGU ni muweza wa yote yeye ndiye huinua wanyonge na kuwatia nguvu hakika yeye niwa neema na mpole mnyenyekevu na anatupenda sana hataki hata mmoja wetu apotee milele MUNGU niwakuabudiwa na kupewa sifa daima milele AMINA
Ila watanzania kujieleza shida. Unaambiwa eleza tukio la Ubungo unaeleza tukio la Mbeya. Na interviewer nae badala ya kumrudisha kwenye mstari kamwacha. Imebidi niache tu kuangalia
@@omarchuo2178 kwani Kipindi chote alivyokuwa ana ua watu na kupora Mali ,hakuwa na pesa,? Mbona hakunenepa na kupendeza hvyo, Iko hvo hizo shughul za dhuluma zinapelekesha Sana akili , huwezi kuishi kwa Raha ,muda wote roho juu na mawazo kuzidi, Huwa wanapitia wakati mgumu Sana majambazi , ukiona jambazi kapata mwli basi ujue ni wale wakubwa wanasubir vibaraka walete, ,sahivi Musa ana amani , hawazi akaue nani,apore wapi, nk, nadhani mpaka hapo utakuwa umenielewa , hvyo simaanishi Yesu ni mkristo Wala sijaongelea habari ya dini mimi, ,nimesema Yesu kulingana na Imani yake ,
@@jonathanntare4787 ujinga ni wewe. Unafkiri kila mtu ni mpumbavu kama wewee.. Shida ya watu kama nyie hampendi kuambiwa ukweli kwa sababu ukweli huwa unawachoma kama kisu
Maaana kwenye hii mpaka jamaa akaamia mbea airport ila nazani ukutaka kumuuliza sababu iliusisha serikali pindi iyo bro ila kama kaokoka aseme tu kama anavo sema ulimbania kwenye ili ila Kuna video kwa Millard ayo ya mzee wapolisi alikuepo ubungo nikakonect dot nikajua ndio walikua wakinamusa ila kaisha okoka na mungu amuongoze tu maaana ishu ya ubungo iliku nyeti sana inahusu serikali ndio maana ubarikiwe wewe na mtumishi na waangaliaji wote
Ila wanasema ukiona mtumishi wa Mungu kavaa kacha mkononi, pete, mafuta, chumvi, kitambaa, na macheni shingoni ni watu wenye nguvu za giza. Vp Mussa naona kavaa mkononi inakuwaje?
Soma biblia sio kila kitu ni nguvu za giza. Mtu anaweza akawa na vyote hvo na asiwe na nguvu za giza na pia mtu anaweza asiwe na vyote hvo na akawa na nguvu za giza.
Polisi wangefanya namna ya kumtumia huyu jamaa ili awasaidie kuwakamata hao majambazi maana ametoka huko na alikuwa na kampuni kubwa la ujambazi kwa hiyo kwa namna moja ama nyingine atawasaidia sana alafu wampatie na urinzi maana mpaka sasa anamaadui wengi
Wale wachawi wote ambae wame fanya kipindi wame angukia kuwa ni wachungaji na mitume na wana kuwa na miujiza na wana ombea watu izonguvu mme zitowapi za uponyaji nyie msitudanganye nyie bado mna mtumikia lusfa mnapitia kwajina la mungu kudanganya watu
💃YESU ASIFIWE 🔥 Davista na team yote mubarikiwe❤️..nawapenda❤️.je vous aime.. 💃mutumishi Musa unapendeza kweli; ushuuda Yako ilinidjenga sana ; aksanti sana..😂😍💃 ❤️ The beauty of Gospel of JESUS CHRIST 🔥kwa YESU kutamuuuuu💃💃💃
Vizuri sana tunamsubiria na mr Meshack
Mungu wetu halali
Amerudi tena Musa, safi sana! Ushuhuda wake ni mzto sana!
Atupe pia mlejesho alisema kuna misukule atawarudisha kwa ndugu zao. Na sikia alipewa na fedha za ghalama hiyo!
Karibu Musa .Kwa Yesu kuna raha sana
Karibu tena Musa
Jembe Musa Chessa, karibu sana Mzee babaa
Siku zote MUNGU ni mwema na yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa kwa MUNGU yanawezekana kabisa MUNGU ni muweza wa yote yeye ndiye huinua wanyonge na kuwatia nguvu hakika yeye niwa neema na mpole mnyenyekevu na anatupenda sana hataki hata mmoja wetu apotee milele MUNGU niwakuabudiwa na kupewa sifa daima milele AMINA
Jamani Mussa amenawiri kumtumikia Mungu kuna raha yake maana upo huru
Twende Kazi Mr....
Welcome mussa
Ushaur wangu unda group la WhatsApp tutakuunga mkono tutakuchangia Ahsante 🙏
Mm nawaombea kwa mngu mufanikiwe na pia nihitaji no dkta mti mkavu
Aiseee nimefurahii Mussa wetu
Hoooye hoooye welcome back 💃💃🇰🇪
Ila watanzania kujieleza shida. Unaambiwa eleza tukio la Ubungo unaeleza tukio la Mbeya. Na interviewer nae badala ya kumrudisha kwenye mstari kamwacha. Imebidi niache tu kuangalia
Musa chessa ako na afya nzuri naona.. Kwa kweli mungu ni mwema.
Kwa shetani Hakuna amani
Kweli kwa Yesu kutamu, brother Musa kapendeza ,shavu, ,
Sadaka ndo inamtoa shavu sio Yesu.. yesu hakuwa mkristo
@@omarchuo2178 ulivyo elewa hvyo hvyo upo sahihi 100% 🤣🤣🤣
@@omarchuo2178 kwani Kipindi chote alivyokuwa ana ua watu na kupora Mali ,hakuwa na pesa,? Mbona hakunenepa na kupendeza hvyo, Iko hvo hizo shughul za dhuluma zinapelekesha Sana akili , huwezi kuishi kwa Raha ,muda wote roho juu na mawazo kuzidi, Huwa wanapitia wakati mgumu Sana majambazi , ukiona jambazi kapata mwli basi ujue ni wale wakubwa wanasubir vibaraka walete, ,sahivi Musa ana amani , hawazi akaue nani,apore wapi, nk, nadhani mpaka hapo utakuwa umenielewa , hvyo simaanishi Yesu ni mkristo Wala sijaongelea habari ya dini mimi, ,nimesema Yesu kulingana na Imani yake ,
@@omarchuo2178 alikuwa mama ako au kuma ww unafirwa
@@omarchuo2178umeongea point 😂😂😂😂yani namuhurumia katoka kwenye ukatili kaingia kwenye dini ya mchongo dini ya maokoto😂😂😂😂
Kupigwa risasi hakuna dawa za kinga, ni uongo. Kama dawa zingekuwa ni kinga ya risasi basi majambazi wasingekuwa wanapigwa risasi.
Dav anaogopa kutembelewa na wazee wa kazi
Jamaa muongo sana👓😂😂😂
Indian shirt. SHALOM.
Tunaomba namba yake
Mr Everything mbona sisikii hakina sauti
Mungu anisaidie siku nikipata fedha niahid kutengeneza movie ya huyu jamaaa
A very wise man
Wale wstumishi mbona hakutaja
Huyu tapeli tuu. Kila siku ilikua, nitawataja, nitawataja ,kumbe ilikua zuga tuu
Punguza ujinga
@@jonathanntare4787 ujinga ni wewe. Unafkiri kila mtu ni mpumbavu kama wewee.. Shida ya watu kama nyie hampendi kuambiwa ukweli kwa sababu ukweli huwa unawachoma kama kisu
Jamaa tapeli tu huyu
Musa cheza💪
mwambie mussa chessa kama tunamsalimia
WEWEEEEEEEEE MUSA CHESA ACHA KABISA HAKUNA STORY ILIKUWA TAMU KAMA YA MUSA KARIBU MUSA TUKO PAMOJA KAKA
Jamaa zabron
#Musachesa nashauri hayo majina ya majambaka kayataje police ukasaidie pia upelelezi
Davista mulize mussa wa chawi wote ambae wa nakuja kufanya mikasa yao wote wanakuwa wachungaji
Kwa Yesu kuna raha sana..Mussa Chesa kang'aa Shavu dodo..😂😁
chenga nyingi sanaa
Shida hamkamilishi story
Maaana kwenye hii mpaka jamaa akaamia mbea airport ila nazani ukutaka kumuuliza sababu iliusisha serikali pindi iyo bro ila kama kaokoka aseme tu kama anavo sema ulimbania kwenye ili ila Kuna video kwa Millard ayo ya mzee wapolisi alikuepo ubungo nikakonect dot nikajua ndio walikua wakinamusa ila kaisha okoka na mungu amuongoze tu maaana ishu ya ubungo iliku nyeti sana inahusu serikali ndio maana ubarikiwe wewe na mtumishi na waangaliaji wote
Come back musaaaa
Hammalizi stori mnaleta mpya mbatuchanganya
Davistar unafanya Kazi kubwa Sana zaidi ya mtumishi. Binafsi nimeelimika Sana na kukaa juu ya mstari
Uyo nitapeli tu
Sinema hiyo hakuna ukweli hapo
Tatizo lako davistar uko mwoga sana!
💃🏼💃🏼
Mussa karudi tena karibu
Kari mtumishi M. Chesa
Tatizo la mussa chesa ana2danganya xna alitwambia 2mfatilie atawataja wachungaji lakin hajawataja🙊🙊
Mbona aliwataja wakina mwamposa ngwajima wote aliwataja we ulikua wapi
Saf sana msa chesa
Ila wanasema ukiona mtumishi wa Mungu kavaa kacha mkononi, pete, mafuta, chumvi, kitambaa, na macheni shingoni ni watu wenye nguvu za giza. Vp Mussa naona kavaa mkononi inakuwaje?
Soma biblia sio kila kitu ni nguvu za giza. Mtu anaweza akawa na vyote hvo na asiwe na nguvu za giza na pia mtu anaweza asiwe na vyote hvo na akawa na nguvu za giza.
@@davidchesco1150 shukran 🙏
@@davidchesco1150 shukran 🙏
Jamaa wa Kazuramimba!
😂😂😂💃💃💃💃
Musa kapendeza jaman
We mussa chesa ushuda wako unafanana na wa mtume paulo utofaut wake Paulo yeye alikuwa awauwa wakristo
Davista story ya ubungo kwani aliimalizia
Namba yke
Kama anataka kuwataja majambazi si aende kituo Cha polisi akawataje !?
Huyoooo
Polisi wangefanya namna ya kumtumia huyu jamaa ili awasaidie kuwakamata hao majambazi maana ametoka huko na alikuwa na kampuni kubwa la ujambazi kwa hiyo kwa namna moja ama nyingine atawasaidia sana alafu wampatie na urinzi maana mpaka sasa anamaadui wengi
Huyu mwandishi anajua ethics za uandishi sio waandishi wanaoropoka hovyo hovyo
Wengine walishikea bika hatia walikaa miaka 9 mahanadi. Huyu vipi?
Mtu mkali
Tupo leta mapya mussa
Karudi na mm ndio wakwanza
Muongo hamaha
Majambazi, wachungaji feki, nk inapaswa watajwe majina live
Nasikitika sana ila tatizo kuamini ni shda sasa ntafanyaje nini
Yan hii story inasisimua Kama ya kuma na yule jini
asianze story sasa, maana jamaa kwa story hajambo
Davista muoga hahaha
Davistar 2memmis ka Dan mlete tena
Wale wachawi wote ambae wame fanya kipindi wame angukia kuwa ni wachungaji na mitume na wana kuwa na miujiza na wana ombea watu izonguvu mme zitowapi za uponyaji nyie msitudanganye nyie bado mna mtumikia lusfa mnapitia kwajina la mungu kudanganya watu
Hakuna nguvu nguvu ni jina la Yesu
Yesu anaweza ndugu njoo na wewe
Sante
Namba yake
Eme
MEZAA
Sasa wewe Davistar kwanini hutaki awataje? Mwenzio amesha okoka ujue so lazima aseme ukweli
Chessa kama chessa
Nitarejea kuona
Tatizo unaongea sana
Ongea wewe bs
Muongo
Kitambo sana
V
Karudi tena mzee wa kasura mimba
Mzee wa kazula mimba
Madawa yalikusaidia sana
Mussa kama unaona hii meseji yangu utaelewa ni nini ulifanya juu yangu ila nakukubali sema punguza fix
Karudi