SC Villa 3-1 Singida Black Stars | Highlghts | Dar Port Kagame Cup 12/07/2024
Вставка
- Опубліковано 11 лип 2024
- Singida Black Stars imechapwa mabao 3-1 na Sports Club Villa katika mchezo wake wa pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame #DarPortKagameCup ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya SC Villa yamefungwa na Najib Yiga dakika ya 45'+1, Kakande Patrick dakika ya 51' na Reagan Mpande 56' huku la kufutia machozi likifungwa na Marouf Tchakei dakika ya 60.
Tazama highlights... - Спорт
Mimi kama mtanzania mzalendo kabisa nimefurahi Hawa maboya Kupigwa na Bado 😊😊😊
HII MESEJI IWAFIKIE SNGDA BLACK STARS JMN TIMU YNG YA NYUMBAN NDO JEZI GANI HIZI MBUNIFU HUMU KABUGI JEZI MBOVU SANA😢💔
Singida wafumgwe tu siwapend
🎉🎉🎉🎉
watu weng sana humu naona wanapiga kelele singida kufungwa... Timu n mpya, kocha n mpyaa... hawana hata preseson... lkn wasiojua mpira ss ndo kelel nyng..🤣🤣 ila tz mpiraa hatujui jmn khaa
Daah kwel sio poa
Ukitaka kujua tz vipaji vya mpira bado au maandalizi ya kuandaaa wachezaji Hamna mfano ni kama huu hiyo singida wanaocheza wengi ni watz hata coast union ila kwenye mashindano wakikutana na timu hata za Simalia wanapigika😂😂😂🙌🙌
Usicho jua hapo watanzania ni watatu bc mvivu wa kufikiri ww
singida n timu mpyaa kabsaa hapo hlf kocha hana ht preseson... ndo maana huon wanaojua mpira wanapiga kelele km ww... maana huelew jambo
@@mussahoza Bora unisaidie sijui anafatilia mpira wa wap huyu
@@Mudathir-tx1md ttzo weng mpira hawaelew... wanakoment tu... wanajua mpira n km maji ukimwaga tu yanasambaa
Singida wajiangalie vinginevyo....
Ilaa guede 😂😂😂
Kwa mijezi hiyo mliovaa ya mikosi lazima tu muliwe goal3😅😅😅😅😅😅😅
Kusajili kote huko mnapigwa kama ngoma kweli nyie nyoko
Dawa imewakolea dadeeki
Jezi waliovaa Ina mikosi na kenedi ndo maana ameachwa kuchomesha TU io mijezivya njano sasa
Singida wamekosea kumsajili mohamedi huseni nakubadili jina
Utopolo wachanga mmefanana mpaka matendo 😂😂😂
Huyo gwede ako wapi
Duuuh
Yaani wameiua ihefu wanatengeneza uchafu
Ivi VITIMU Vya Nyuma Mwiko VIPigwe tu
Km namuon kenedy akichomesha
Aper fc tuzabavuna
Tanzania you're still young in football don't forget that Simba and young buy players not your boys that lift those clubs👍🙏
So u think singida are all Tanzanians , ur crazy and u know nothing about Tanzanian football, there also Ugandans there , ur own ppl😅
Very foolish so all soca villa are Ugandans eee
We were in AFCON, what about your country?
@@nzescofield2033 we were there also, ur country didn't qualify, whom are u trying to lie to🙊
Of course 😁@@RashidKassim-dt8ss
Msimu ujao wanashuka daaja
See. ,
Jezi ya manyokanyoka imewaponzaaa
Mbn hii timi ya singida kama mbovu
Sio kama....ni mbovuuuu😂😂😂
Hiyo aijakamilika mzee bado Kuna watu aujawaona ao unaowaona wanaokuja kuwa wa benchi baadh yao ujawaona wa ivory cost wakina guede
@@othmantv2654kina guede kina saido
@@AugustinhoManyangaunitedboetz3guede wa yanga?😂😂kwani mbona mastar wale wapo tu
@@storytime1204 eeh wamemsajili guede Kwa mkopo Kuna saido na Kuna wengine watatu wamewatoa asec
Huyu troule ni hatari
Huu uwanja hauna ht miez 2 tayar una vipara duh😕😕😕
Huo ni Azam complex sio Kmc complex
Hii ni AZAM complex