SC Villa 3-1 Singida Black Stars | Highlghts | Dar Port Kagame Cup 12/07/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • Singida Black Stars imechapwa mabao 3-1 na Sports Club Villa katika mchezo wake wa pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame #DarPortKagameCup ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
    Magoli ya SC Villa yamefungwa na Najib Yiga dakika ya 45'+1, Kakande Patrick dakika ya 51' na Reagan Mpande 56' huku la kufutia machozi likifungwa na Marouf Tchakei dakika ya 60.
    Tazama highlights...
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 62

  • @Peter-fy3gf
    @Peter-fy3gf 23 дні тому +1

    Mimi kama mtanzania mzalendo kabisa nimefurahi Hawa maboya Kupigwa na Bado 😊😊😊

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 23 дні тому +1

    HII MESEJI IWAFIKIE SNGDA BLACK STARS JMN TIMU YNG YA NYUMBAN NDO JEZI GANI HIZI MBUNIFU HUMU KABUGI JEZI MBOVU SANA😢💔

  • @alexsuleiman3795
    @alexsuleiman3795 23 дні тому +5

    Singida wafumgwe tu siwapend

  • @Eliaaroni
    @Eliaaroni 24 дні тому +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @mussahoza
    @mussahoza 23 дні тому +1

    watu weng sana humu naona wanapiga kelele singida kufungwa... Timu n mpya, kocha n mpyaa... hawana hata preseson... lkn wasiojua mpira ss ndo kelel nyng..🤣🤣 ila tz mpiraa hatujui jmn khaa

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 24 дні тому +1

    Daah kwel sio poa

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 23 дні тому +2

    Ukitaka kujua tz vipaji vya mpira bado au maandalizi ya kuandaaa wachezaji Hamna mfano ni kama huu hiyo singida wanaocheza wengi ni watz hata coast union ila kwenye mashindano wakikutana na timu hata za Simalia wanapigika😂😂😂🙌🙌

    • @Mudathir-tx1md
      @Mudathir-tx1md 23 дні тому

      Usicho jua hapo watanzania ni watatu bc mvivu wa kufikiri ww

    • @mussahoza
      @mussahoza 23 дні тому

      singida n timu mpyaa kabsaa hapo hlf kocha hana ht preseson... ndo maana huon wanaojua mpira wanapiga kelele km ww... maana huelew jambo

    • @Mudathir-tx1md
      @Mudathir-tx1md 23 дні тому +1

      @@mussahoza Bora unisaidie sijui anafatilia mpira wa wap huyu

    • @mussahoza
      @mussahoza 21 день тому

      @@Mudathir-tx1md ttzo weng mpira hawaelew... wanakoment tu... wanajua mpira n km maji ukimwaga tu yanasambaa

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 21 день тому

    Singida wajiangalie vinginevyo....

  • @mpokisanga2502
    @mpokisanga2502 23 дні тому

    Ilaa guede 😂😂😂

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 23 дні тому

    Kwa mijezi hiyo mliovaa ya mikosi lazima tu muliwe goal3😅😅😅😅😅😅😅

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 23 дні тому +1

    Kusajili kote huko mnapigwa kama ngoma kweli nyie nyoko

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 22 дні тому

    Dawa imewakolea dadeeki

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 23 дні тому

    Jezi waliovaa Ina mikosi na kenedi ndo maana ameachwa kuchomesha TU io mijezivya njano sasa

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 23 дні тому

    Singida wamekosea kumsajili mohamedi huseni nakubadili jina

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 23 дні тому

    Utopolo wachanga mmefanana mpaka matendo 😂😂😂

  • @EliudiSaitoti-oh7lh
    @EliudiSaitoti-oh7lh 23 дні тому

    Huyo gwede ako wapi

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 23 дні тому

    Duuuh

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 23 дні тому

    Yaani wameiua ihefu wanatengeneza uchafu

  • @Salum-ij6mg
    @Salum-ij6mg 23 дні тому

    Ivi VITIMU Vya Nyuma Mwiko VIPigwe tu

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 23 дні тому

    Km namuon kenedy akichomesha

  • @Fistonmaestron
    @Fistonmaestron 23 дні тому

    Aper fc tuzabavuna

  • @nzescofield2033
    @nzescofield2033 23 дні тому

    Tanzania you're still young in football don't forget that Simba and young buy players not your boys that lift those clubs👍🙏

    • @EphrancinaBeyanga
      @EphrancinaBeyanga 23 дні тому +1

      So u think singida are all Tanzanians , ur crazy and u know nothing about Tanzanian football, there also Ugandans there , ur own ppl😅

    • @RashidKassim-dt8ss
      @RashidKassim-dt8ss 23 дні тому

      Very foolish so all soca villa are Ugandans eee

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 23 дні тому +3

      We were in AFCON, what about your country?

    • @EphrancinaBeyanga
      @EphrancinaBeyanga 23 дні тому +4

      @@nzescofield2033 we were there also, ur country didn't qualify, whom are u trying to lie to🙊

    • @nzescofield2033
      @nzescofield2033 23 дні тому

      Of course 😁​@@RashidKassim-dt8ss

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 23 дні тому

    Msimu ujao wanashuka daaja

  • @jumaSady-yu3jp
    @jumaSady-yu3jp 23 дні тому

    See. ,

  • @franccoz94
    @franccoz94 23 дні тому +1

    Jezi ya manyokanyoka imewaponzaaa

  • @JacobNcheye-po3it
    @JacobNcheye-po3it 24 дні тому +1

    Mbn hii timi ya singida kama mbovu

    • @othmantv2654
      @othmantv2654 23 дні тому

      Sio kama....ni mbovuuuu😂😂😂

    • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
      @AugustinhoManyangaunitedboetz3 23 дні тому

      Hiyo aijakamilika mzee bado Kuna watu aujawaona ao unaowaona wanaokuja kuwa wa benchi baadh yao ujawaona wa ivory cost wakina guede

    • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
      @AugustinhoManyangaunitedboetz3 23 дні тому

      ​@@othmantv2654kina guede kina saido

    • @storytime1204
      @storytime1204 23 дні тому

      ​@@AugustinhoManyangaunitedboetz3guede wa yanga?😂😂kwani mbona mastar wale wapo tu

    • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
      @AugustinhoManyangaunitedboetz3 23 дні тому

      @@storytime1204 eeh wamemsajili guede Kwa mkopo Kuna saido na Kuna wengine watatu wamewatoa asec

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165 24 дні тому

    Huyu troule ni hatari

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 23 дні тому

    Huu uwanja hauna ht miez 2 tayar una vipara duh😕😕😕