#GOODLUCK

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 681

  • @tabithamuthoni9301
    @tabithamuthoni9301 2 роки тому +12

    Mambo mengine mi huona kama ndoto. Imagine watching this when am this hungry and empty in my stomach....my tomorrow is greater. Ebu niendelee kulinda kusudi la mungu.

  • @raymondbahati7626
    @raymondbahati7626 Рік тому +7

    Waimbaji wametekwa kabisa,na wanasema; Mungu kafanya miujiza nyoooo!!!

  • @ShukuruShaban
    @ShukuruShaban 10 місяців тому +4

    Barikiwa sana kwa nyimbo zako hakika umeonyeaha inawezekana

  • @mwanaishakatuli5707
    @mwanaishakatuli5707 2 роки тому +15

    Zile zama zote za agano la kale naziona nyinyi bado chache tu yesu arudi tu bora ukweli ujulikane

  • @kemuntoombui9462
    @kemuntoombui9462 Рік тому +5

    Even me I love this man anaimba ukweli Mungu akubariki

    • @Sarah-l2v
      @Sarah-l2v 3 місяці тому

      Kwali mungu awasaidiy na atusaidy sote❤

  • @EvelineKalinga-c9q
    @EvelineKalinga-c9q Рік тому +4

    Kusema ukweli Mungu ndo anajua yupi ni mtumishi wake wa kweli mengine tuache tu yapitee

  • @elizabethmuganzi6261
    @elizabethmuganzi6261 Рік тому +5

    Shukrani yangu kwa kipawa cha gari kwa kijana Goodluck. Mungu huwa na sababu zake.
    Iko siku mimi nika pewa gari mpya hapa niishiko. Wakati nilikuwa na upweke, umasikini hata kujiweza nafsi yangu na jamii ilikuwa shida.
    Mungu huonekana wakati wake kupitia kwa watu wake.
    Jina lake liabudiwe.

  • @PhinaEdmund
    @PhinaEdmund 4 місяці тому +1

    Mungu anaangalia moyo..mambo ya rohoni ni kwa watu wa kiroho.. Kwa wasio wa rohoni ni upuuzi

  • @ChristophinaMuundaNdakev-hs8jg
    @ChristophinaMuundaNdakev-hs8jg 4 місяці тому +1

    God bless you l listen to your music last night until now,l can't stop listening, watching from Namibia. God bless your gift and your minstry.

  • @PoulMononi
    @PoulMononi Місяць тому

    Kila mtu huya sema yau jazayo moyo wake Kuna watu wame umia good luck kupewa gari mungu amu bariki nabii kwa roho ya utoaji Amina.

  • @GitongaM
    @GitongaM Рік тому +1

    Wanaomchukia baba nabii joedavie wanamchukia MUNGU sababu alisema MUNGU anaesaidia maskini anaifanya kazi ya MUNGU..baba nabii hongela sana

  • @estherkavugho3981
    @estherkavugho3981 2 роки тому +5

    vrmt j'aime aussi la chanson mitindo ya nyele 🙏🙏🙏🌹 Mungu akubariki

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 роки тому +5

    Ati tofauti na waimbaji wengine,Wewe sema unampenda tu basi,mbona kunawaimbaji wazuri tu sana,Ambao nyimbo zao Zinaimbwa karibu Afrika Mashariki na Na kati.j

  • @NicholausSimon-r6w
    @NicholausSimon-r6w 10 місяців тому

    ongera xan gud,ulichokipata kinadhiilixha ubora unacho kitenda usikate tamaa ongeza juhudi zaidi sababu yu mwema amina❤❤❤

  • @richardmushi-lj6tb
    @richardmushi-lj6tb 10 місяців тому +3

    Nabii mkuu ni wapeke sana napoa nimtu wamui sana duniani kote kama yupo hajitokeze nione.

    • @jadie-jk9tj
      @jadie-jk9tj 9 місяців тому

      The great prophet is only God.Zingine achia Mungu siku ya kiama

  • @jackkimwely5275
    @jackkimwely5275 2 роки тому +15

    Nabii mkuu asante kwa ajiri ya zawadi kwa goodrack na kwa wote uliowazawadia Bajaji pia najua umebadilisha maisha yao na Mungu azidi kukutumia Amen

  • @andrebikuba337
    @andrebikuba337 2 роки тому +12

    ningetamani siku moja nifike kanisani mwako baba nabii wa mwenyezi mungu ila uwezo sina isitoshe niko mbali kidogo niko kongo drc

  • @somaricratos7714
    @somaricratos7714 2 роки тому +3

    Mungu uwarudi nakuwaonya wale wote awapendao mzeeeeeee or nabiiiiii kumbuka atabahali aliitwa nabi mzeeeeeee tubu tenatoba ya mabadiliko lasvyo itakupa hukum

  • @edouardnsengiyumva1145
    @edouardnsengiyumva1145 2 роки тому +15

    Mungu mwenyewe ndoo anajua wao nambae siyo wake maana siku hizi nizamwisho wanabii wauongo wamezaa dunia wanawapotosha kwa miuziza feki

    • @davidmgungu168
      @davidmgungu168 2 роки тому

      Ens barikiwa sana godluck

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Рік тому

      @@davidmgungu168 mmmm Hali Ni mbaya mno tujitakase TUOMBE

    • @nancynangena4135
      @nancynangena4135 9 місяців тому

      Kwanini watu wamedanganywa kuwa shetani ni tajiri kuliko Yesu?? Blessings are from God almighty❤

    • @Niyonsaba-hn7ex
      @Niyonsaba-hn7ex 7 місяців тому

      Wewe nani wakuhukumu ?neno la bwana linasema usihukumu usije ukahukumiwa

  • @MosesGeorge-h2h
    @MosesGeorge-h2h Рік тому

    Ashukuliwe mungu kwayote anayotenda mungu amubaliki nabii kwakujitoa jaman wakati ukifika hakuna wakuzuuia baraka zatu

  • @ndoricimpaelyse7752
    @ndoricimpaelyse7752 2 роки тому +3

    Huyu sio mutumishi wa Mungu.taayali huyu kijana kwiingia kwa shetani

  • @jackkimwely5275
    @jackkimwely5275 2 роки тому +2

    Mtumishi mimi nakupenda vile unavyoludisha shukrani kwa watu Tazama unavyowazawadia watu Mabajaji na magari tena magari ya kifahari Mungu azidi kukuinuwa Mtumishi NAKUPENDA SANA

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Рік тому +6

    kweli mungu amekujibu make uliwahi imba ipo siku yako utabarikiwa Glory to God 🙏🙏.

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 Рік тому +2

    amen mtumishi wa Mungu Good luck mungu hamekubariki sana Mimi najua nyimbo zangu kwazia leo zitakuwa nyimbo bora sana sana nimebarikiwa sana mtumishi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @RebecaMaloda-xx2qm
    @RebecaMaloda-xx2qm 10 місяців тому +3

    Good luck jaman kuwa mkin Sana Kila kitu kina galama hiyo gari ni bure lakin utalipia hakuna kitu Cha bure

  • @wambui-nx8vw
    @wambui-nx8vw 7 місяців тому

    Waw ni mungu haki mungu uko I wishe hata Mimi kilio changu Amen

  • @lydiawasike712
    @lydiawasike712 4 місяці тому

    Amen hakika akuna machozi yasiyo jibiwa kwa Mungu ukweli,❤

  • @happykamuu9262
    @happykamuu9262 Рік тому +8

    Hakuna nabii zaidi ya yesu

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice2057 2 роки тому +2

    Amen Amen. Nami nimelia machozi ya furaha. Baba MUNGU akubariki zaidi pia👏👏🙏🙏

  • @VicentYMtwe
    @VicentYMtwe 2 роки тому

    Mungu AKUTUZE wa mbinguni IPO siku atanikumbuka tu namimi injili ienderee kusonga mbere

  • @inesirakoze4980
    @inesirakoze4980 Рік тому +1

    Hakuna machozi asio jibiwa ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮Mungu nimwema....

  • @patiencehumbled3519
    @patiencehumbled3519 2 роки тому +17

    Huyu nabii wa kuzima,ĢOODLUCK kuwa makini na hawa watumishi wa kuzimu,unapewa zawadi wakufutie kutoka kwa Mungu

    • @SMtv2022e
      @SMtv2022e  2 роки тому +3

      Nabii wa kuzimu anayekupa Gari Mercedes Benz C class huyo mimi namtaka kama unamjua naomba unipeleke. Yaani huu ni uongo uliopitiliza na uache kuwadanganya watu nabii wa kuzimu unaendaga naye kuzimu?

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 2 роки тому

      @@SMtv2022e 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄mm mpenxi mtanzamaji na.msikilizaji

    • @debrahhellen6661
      @debrahhellen6661 2 роки тому +1

      @@SMtv2022e 🤣🤣 umemjibu vizuri kweli.

    • @partsonlupenza9666
      @partsonlupenza9666 Рік тому

      Msenge huyu anapanga sadaka

    • @elisebaamuko3280
      @elisebaamuko3280 8 місяців тому

      If God has blessed me with a harrier why should I be given a Mercedes Benz...not adding up

  • @PlatnamzChoma-gl4jw
    @PlatnamzChoma-gl4jw 7 місяців тому +1

    Kweli. Dunia ina mambo we nabii mkuu kuna. Watu wanateseka mitani watoto yatima wana teseka sana huwaoni mbona unapenda. Sana sifa we nabii wa. Uwongo !

  • @kessoytegela58
    @kessoytegela58 Рік тому +4

    Mungu akubariki sana kwa ulivyo utambua uwepo wake ndani yako

  • @EstherFrancis-qh1jp
    @EstherFrancis-qh1jp Рік тому +1

    nime falijika sana kaz ya wimbo zako kat ya moja wapo naona ume jibiwa leo bila kutegemea mungu ni mwema

  • @jescamike2186
    @jescamike2186 Рік тому

    Kwanini sasa anapondea nyimbo za watu wengine wakati nyimbo zote mimi naamini wanamtukuza kristo mmmmh pia Mungu ndo anajua yaliyomo ndani moyoni mwa mtu

  • @yekonianakisigaye2157
    @yekonianakisigaye2157 5 місяців тому

    Mungu alitembea na masikini kuliko matajili usimtumikie mungu kwa kutegemea zawadi mana si KILA zawadi ni zawadi

  • @annshalon-RN
    @annshalon-RN Рік тому +4

    Joy comes in the morning😭😭... I am blessed and its not in vain to serve God, Goodluck God has remembered you and I partake in this favor from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AlfredKondowe
    @AlfredKondowe 4 місяці тому

    Yesu anatumia watumishi wake kubariki watu wake. Neno la Bwana li hai, Tena Lina nguvu.

  • @mhojajulius8509
    @mhojajulius8509 Рік тому +2

    Nabii wa yesu hana tamaa na vitu vya kidunian i belief in jesus

  • @catherenewairimumaina5277
    @catherenewairimumaina5277 Місяць тому

    May God keep on blessing you good luck together with your spiritual daddy 🙏

  • @graciousisdory2666
    @graciousisdory2666 8 місяців тому +2

    I felt God is going to touch through this video

  • @ZawadiUlambo-ww8xw
    @ZawadiUlambo-ww8xw Рік тому

    Daa ukiamini neno la mungu ujuwe mungu atakuangalia TU hawezi kukuacha tu hivihivi Kam mm naomba mungu anijalie tu nipone hay magonjwa

    • @gracemasalu2023
      @gracemasalu2023 8 місяців тому

      Mwenyezi Mungu na asikie maombi Yako dada

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 2 роки тому +3

    Na haya mambo haya ya kugawiwa gari kila anayekuja huko Kisongo napata mashaka kidogo, lakini mmmhh haya bhana, yangu macho na masikio. But there must be something behind the scene.

  • @nkolomonilolosalomon3616
    @nkolomonilolosalomon3616 Рік тому

    ❤mungu ana was tumishi wake,asifiwe mungu nabii mku naimba ni tumiye adresse ya kanisa na Jina APA RDC Lubumbashi haut Katanga.

  • @petersaimoni57
    @petersaimoni57 Місяць тому

    www niwpekee San mungu akulinde

  • @hitecstars.1
    @hitecstars.1 9 місяців тому

    No wonder he has touché me too .What a blessing he is to the church.Machozi yaishe how nice

  • @MisalabaZanzibar-k8c
    @MisalabaZanzibar-k8c 2 місяці тому +1

    neema ya bwana wetu yesu kristo na upendo wa Mungu baba na ushirika wa roho mtakatifu ukae nasi sote tangu sasa na hata milele amima

  • @kimemori8540
    @kimemori8540 Рік тому +1

    Dah , uyu gozbet toka ameanza kuimba sijawai ona sura ya utukufu mbele za Mungu ,mapoz yake ya kike kwenye nyimbo zake,nikajua huyu hayupo kweli

  • @dianacharlie5283
    @dianacharlie5283 2 роки тому +7

    Thank you jesus 🙌🙌🙌hakuna machozi isiojibiwa thanks father 🙏🙏🙏

  • @NoelSengunda
    @NoelSengunda 6 місяців тому +1

    Mungu akufikishe mbal zaid

  • @mariawanjiru1275
    @mariawanjiru1275 2 роки тому +13

    All glory and honour is yours almighty God . thank you man of God be blessed

  • @natachaminguandrea2618
    @natachaminguandrea2618 2 роки тому +1

    Nabii Mkuu Mungu azidi kukubariki baba. Nakufata sana nikiwa congo Bukavu

  • @martinmbithi3126
    @martinmbithi3126 2 роки тому +6

    Truelly God lives ... I shed tears of joy . One day God will lead me to the right destiny helper

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 2 роки тому +7

    Amen,,,Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.

  • @adelinefikiri7571
    @adelinefikiri7571 2 роки тому +2

    Amen ,amen ,katika kutumikiya Mungu kuna faida . Asante nabii mkubwa kwa kumutiya kijana nguvu !!

  • @fatumajuma2644
    @fatumajuma2644 2 місяці тому

    Mungu akubaliki mumbaji

  • @lightnessmollel5756
    @lightnessmollel5756 11 місяців тому

    Kiukwel nimesikitika juu ya hili Mungu akusamehe Goodluck

  • @GloriaNduku-mw2jk
    @GloriaNduku-mw2jk 11 місяців тому +1

    May Almighty God protect you from evil gifts cause nowadays people are serving evil spirits soo be wise bro

  • @mercychebet2576
    @mercychebet2576 2 роки тому +1

    Mungu hakisema hatatenda hatatenda I love your song's so much uendele na hinjili ya mungu

    • @Danielmparanyi
      @Danielmparanyi 2 роки тому

      Na amini utabarikiwa na huu wimbo pia 👉🏻ua-cam.com/video/9uJYAtHEXR8/v-deo.html God bless you🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rosendinyo2454
    @rosendinyo2454 2 роки тому +9

    Hallelujah that's really God's heart be blessed Man of God Sio wote walio na moyo kama huo giving the Best!! great lesson to me🙏🙏

    • @malangwaexpress285
      @malangwaexpress285 11 місяців тому +1

      Mungu akuongoze sanakijana

    • @E.G.Mlegend
      @E.G.Mlegend 10 місяців тому

      Mungu atusaidie nisiku zamwisho😢😢😢

  • @iteritekakenny565
    @iteritekakenny565 2 роки тому

    Mtumishi wa Mungu ubarikiw sana wew njoo mwalimu mzur ulio tumwa na Yesu kristo kusaidia watu na mimi naomba muniombee na teseka na maisha

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 роки тому

      Amna uyu ni freemason pesa zote izo anazitoa wapi ni sadaka ai

  • @alexekiru4758
    @alexekiru4758 Рік тому

    Asante sana Mungu muumba wa mbingu na dunia kwa kumkumbuka uyo kijana Zablon kwa kumbariki na gari aina ya mazendez benz kutoka kwa nibii wako mkuu. Hakika ni ushuhuda mkuu 🙇🙇🙇 asante sana Mungu bariki pia uyo nabii kwa njia kubwa sana 🙇🙇🙇

  • @JosueNsengiyumva-ch7mh
    @JosueNsengiyumva-ch7mh 4 місяці тому

    Nabi muku Burundi tunagupenda sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @tanfredmichael1777
    @tanfredmichael1777 Рік тому +1

    Ahimidiwe Mungu Baba anayetupa kushinda na zaidi ya kushinda, katika hayo tunapokea amani ya kweli.
    Asante Kwa shuhuda hizi kutoka Gudluck Gozbert mwimbaji na Nabii mkuu 🙏🙏

  • @GodfreyIsaac-h7m
    @GodfreyIsaac-h7m Рік тому

    Tuendelee kuutafuta uso wa Mungu atuonyeshe njia sahh ya kupita

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Рік тому

    Bwanayesu akubaliki
    Mutumichi wamungu Mimi nimelogwa
    Eti pesa yangu iyiche Kira kiyu nanaco masatani mapepu kipiga migukunimaliziya nguvu nimerogwa kuhangayika
    Bwana yesu asifiwe balikiwa ameeeeeen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳

  • @rosenangosya2549
    @rosenangosya2549 Рік тому +3

    Amen too am blessed with his gospel music.God bless you so much.

  • @SalomeLameck-h7b
    @SalomeLameck-h7b 10 місяців тому

    Jiangalie kaka good luck ni manabii wakuzimu

  • @SalmanSelah
    @SalmanSelah 3 місяці тому +1

    Na amini na mimi Salman,iko siku moja na mimi tafanikiwa kwani,hiyo ni mipango ya Mungu Baba.

  • @sheilaadhiambo2503
    @sheilaadhiambo2503 2 роки тому +1

    Huu mwezi na pata mtoto wangu. Mungu wacha ni ku one

  • @arampaafricalive4922
    @arampaafricalive4922 Рік тому +12

    Bishop wacha kutudanganya,waongea hivyo juu amekua celeb na pesa mingi ndio wamsifia na kumzawadi,kuna masikini wengi Sana wako kanisani kwako ,wazuri zaidi,wanajitolea kuosha kanisa,kubeba vitu,kufanya shuguli ndogo ndogo na kujituma zaidi ila watoto wao hawana kitu hata chakula,hajui atatoa wapi Karo ya shule,wala nguo,hautaki hata kupata nafasi na kukula nao ,na kuwasikiza ,na kuwasaidia hata Kari Tu,simchukii good luck,nampenda Sana niliokoka kupitia nyimbo zake ,ila wachungaji wengi nu wanafuki,wanawazingatia Sana watu mashuuri juu wanajua wataonekana na followers WA mtu shujaa na watapata followers wengi.wachungaji kuna watu wanateseka kanisani kwenyu,...na sijutii kuandika hii coment yangu

    • @EmmaKirua
      @EmmaKirua 7 місяців тому

      Mtumishi nakupenda sana

    • @PasteurPhilippeAndréa
      @PasteurPhilippeAndréa Місяць тому

      Hapana Nina muamini yeye ni Nabil wa Mungu kweli kweli mimi Niko Congo nafuata yote anayo yasema naamini Mungu wake

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 3 дні тому

      Yaani huyo kijana Hiro ndio litakuwa anguko lake Mimi nipo hapa gari weweee nyota yake kwa heri

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 2 роки тому

    Gozbert usisahau kurudi Ngurumo ya Upako be blessed Bro.

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond4797 Рік тому +3

    Mungu amuone huuu jama siwezi nikahukumu ila hapa umepotezwa 😢😢😢😢 Hawa ndo wawakilishi wa sheteni kwenye Dunia hii😢😢😢😢

    • @EllshamasimdeRobbn
      @EllshamasimdeRobbn Рік тому

      Natamani sana pia kuona mungu Akinitumia na mm🙏🙏

    • @levisdiamond4797
      @levisdiamond4797 Рік тому

      @@EllshamasimdeRobbn ila sio kwa njia hiyo 😏😏😏

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 3 місяці тому

    Mungu ndo ajuae jmn ila tumtegemee munguu

  • @susanwanyama2986
    @susanwanyama2986 7 місяців тому

    Who's God may your name be raised for ever God bless you nabii

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому +2

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
    ____________

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u Рік тому +2

    Mungu utusahehe

  • @neemamwailunga-ij1is
    @neemamwailunga-ij1is Рік тому

    Mungu naomba unifungue na Mimi fungya family mzima nawadogo zangu.naomba nisaidie.

  • @awinojanet5861
    @awinojanet5861 Рік тому

    Amen, ninajua pia Mimi IPO siku Mungu atanifuta machozi🙏🙏🙏🙏

    • @mercymsack44
      @mercymsack44 Рік тому

      Amina nabii mungu akuzidishie nguvu na ubarikiwe Kwa kumtia moyo kijana

    • @mercymsack44
      @mercymsack44 Рік тому

      Naomba na mm siku Moja mungu anifute machozi

  • @RahelErick
    @RahelErick Рік тому

    Na mm nakuja Mungu wangu mambo yenyewe ndio hayo uwiiiii

  • @jadie-jk9tj
    @jadie-jk9tj 9 місяців тому

    Wah!Huyu prophet is a big no.kijana tafta Mungu peke yake.

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Рік тому +4

    Hii no hatali ya hatali jamani kuweni makini sana

  • @MaseleMageleja-gw5gz
    @MaseleMageleja-gw5gz Рік тому +1

    Mungu ni mwema ,na pia mungu hajawahi kumtupa mja wake

  • @petersaimoni57
    @petersaimoni57 Місяць тому

    Mutumish nakupenda San

  • @brendah9831
    @brendah9831 Рік тому +5

    Cought myself crying,, glory be to ,Good

  • @fredriquej.m.m2693
    @fredriquej.m.m2693 2 роки тому +10

    I always love the man of God,May God continue keeping you for these generation 🙏 ,from Kenya 🇰🇪

    • @Danielmparanyi
      @Danielmparanyi 2 роки тому

      Na amini utabarikiwa na huu wimbo pia 👉🏻ua-cam.com/video/9uJYAtHEXR8/v-deo.html God bless you🙏

  • @gracejoseph9451
    @gracejoseph9451 2 роки тому +1

    Namuomba mungu namimi anibariki nabii zidi kutuombea watoto wako

  • @lolimokolo3591
    @lolimokolo3591 2 роки тому

    Yes pastor.ww papa ya watu wengi..

  • @Sundaypius-s4f
    @Sundaypius-s4f 9 місяців тому +1

    Hakuna chozi lisilo namajibumbele za mungu

  • @RichardShija-z1r
    @RichardShija-z1r 3 місяці тому

    Mungu ashukuliwe Kwa yote🙏🙏

  • @lucasmartin-vs2yh
    @lucasmartin-vs2yh Рік тому +8

    Kondooo wangu wanapotea kwa kukosa maarifa🙆

  • @lorinlorin4978
    @lorinlorin4978 Рік тому

    Nabiii barikiwa kabisaaa

  • @nellechotachi494
    @nellechotachi494 2 роки тому

    No man can stop Gods time if blessing kweli mungu ukisema ni wakati wako hakuna atakaye ouga huduma

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому

    Nabarikiwa Godluck na song hii kwakweli kaniepusha

  • @AnithaMwijonge
    @AnithaMwijonge 4 місяці тому +1

    Wengi mnacoment kua uyu sio nabii ila iko hivi usiuvunje moyo wa mtu aaminie maana ni sawa na kuuwa ko kimfano awo watu wnaamini kua yuko MUNGU ndani ya uyo nabii sasa wew unasema wanapotea pita kimya kimya kama hapakufai

  • @DanyMollel-y3f
    @DanyMollel-y3f Рік тому

    Mungu ni mwema Kila wakati napenda San nabii wetu gospel 🙏🙏🙏🙏

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 Рік тому +3

    Yesu ni mwema barikiwa nabii wetu

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Рік тому +3

    Godluck kuwa mskini sana na hawa wahubiri hakunaga vya bureee broo

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 Рік тому

    Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏 naomba nipate kibali kama cha baba baba