Antii prt 2 {with english subtitle} official video | Madrasa shop
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- Maisha ya ndoa yanahitaji kuwa mvumilivu wa hali ya juu maana wanawake ni sawa na ubavu ukilazimisha kuunyoosha basi utauvunja.......hv endelea na film hii ya anti
+255773950250 or +255717513191 #Mash Tv
daah jaman sasa kila kitu antii apo ananyanyuka saa ngapi khaa hata msalani si antii kama umekubali gonga like
Kiukweli Allah atupe.uvumilivu wote.tunaofanya kazi.zandani.nakupapole sana.kakaangu.kwahuo mtihani
Bahati kama hizo huchezewa kweli daa Mwenyezi Mungu atujalie wepesi na subra mashallah tabarakallah iko na mafunzo
Filamu ni nzuri tena yenye maadili ila tunaomba muendelezo ili mwisho tuuone inafurhisha na inaelimisha jazakumu llahu khaira
Antii popo te alipo mm nitamuoa kwa mahali yoyote ile maana sio kwa uvumilivi huu nimeipenda sana hii tamthilia mmetufundisha sana mungu wasaidie sana
Yan ktk dunia ni wachache sana wanaopata mume na mke... Lkn tuliobaki ote inakua mume akiwa mwem bac mke sie na mke akiwa mwema bac mume mtihana yaallaha tujalie heri
Masha Allah wanawake tunapopata Neema ya ndoa tujutahid kuwafanyia wema wenza wetu
Rahma hamis?
Mwendelezo please nzuri sana kama imekupamba kaa mimi like hapa
Hinayo msumbua ni hiyo smartphone mnunulie sim ya touch
Nimeipenda sana
Ile ilofikia uufukweni Mbona hamku imalizie mnatikatisha Raha njiani
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Maashaa Allah filam ninzuri Sana hongereni Sana ngugu zetu Allah Awape wepesi muendelew nakazi ila pia hapa kuna mafunzo Kwa DADA ZETU dada zangu mue makini Sana kwani Pepo yako iko chini ya miguu ya mume wako kueni makini Sana ma ukhety wetu ngugu zetu Allah Awape wepesi mutupe VIpindi
Hata unipe million sifanyi heeee kila kitu antiii
Rehema
Muoe anti mashaallaha anauvumilivu but uyo dada Sjapenda kutokumjali mumewe
Antiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii he huchoki Ila mchezo mzuri mashallahhhhhhhh muendelez plz anti hongera
Uyo Antii hahisi kizunguzungu heee uyo dada anaatuma sana heeeee mtihani
Funzo nzuri kbxa kwetu SS tuendao kwenye ndoa
Sanatu
Mashaallah
Kazi nzur Allah awape kheri
Weeee mambo ni 🔥🔥🔥🔥muoe antii
Filamu nzulii sana inafundishaa mengi,,,,,,Mashaallah
Shukran kwa wote munaofatilia film hii ya Antii...Na poleni kwa kuchelewa kuweka muendelezo hii yote sbb ilio nje ya uwezo wetu HV mtatuvumilia sbb tupo Na majukumu mengi ya kimaisha....ila titajitahid vipatikane kwa haraka.
Inshaallah allah awafanyie wepesi
In Shaa allah
In shaa Allah
Ishallah mung awawekeen wepes
MADRASA SHOP TV ONLINE in sha Allah
Maa shaa Allah Antii wawatu mwenyewe yupo shap huyo...kwa utumaji huo hata warab nawatetea
🤣🤣🤣🤣
Maashallah jamani tumeshukur sana kwasab tumeisubiria sana na Leo tumeipata asanten sana
Movie nzuri Sanaaa 🙏 hongeren washlki wote
Good advice. Piga chini mama Nura oa Antiiiiii
Mashaallah Filamu ni nzuri sana yenye mafunzo haswa ya wana ndoa wa kiislamu ni yapi ya kuepuka na yapi yakufanya yani ni majukumu yapi ya mke na yapi baba .. Ila hapo rafiki yako alipokushauri umwache mkeo na umuoe antii yupo sahihi lakini kakosea namna ya kukupa ushauri alipaswa kukuambia ongeza mke wa pili naamini itakuwa funzo kwa mkeo kujirudi na kubadilisha tabia ..
Bora umoeee tu antii coz she is the best wf
😀😀😀😀😀mwanamke Hana haya Wala hajui vibaya looo km si mwafrica Hana tofaut na waarabu kasoro rangi 😀😀😀😀
Ma shaa allah mchezo mzuri
Bora umuoee antiiiiiii😂😂😂 maana daah antii Mashallah 😘
Hakika
Hongereni kwa film nzuri..mashaallah
Tabia mbaya sanaa huyu mwanamkee khaah
Yooooo Weye Mwanamuke Tabia Zako Kama Mwarabu 😢😢😢 Hakuna Tafauti Kbx😂😂 😮😮 Yani Nawapenda Sana From Burund 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦❤❤❤
Hahahahahaaa hahahahahaaa atiii woi wakioa mke wapili mnajifanya mnapresha ufuu
Bas mbona hamtuletei sehemu ya 3 iyo Antii jamani.
Amina Salum
Mm Antii namuoa potelea mbali liwe liwalo.
Mashallah movei nzuri tuleteeni muendelezo
Ma sha Allah NiCe movie 😘😘😘
Ahaaa huyu mzee sasa ndie ameniuwa na cheko. Ukweli amuowe aunti
duuuuuuhhh antiiiiii huchoki kumuita yani mumeo kasafir umeshindwa kumuuliza km kafika huyoo antii ndo anauliza duh antiii hongera
Aki umeniboesha wallhy co ustarabu huo shukuru umepata bwana mvumilivu wengne ungekula mangumi na kwenu ukaenda.
Dada utaumwa macho mda c mref
Duu kwakweli wanawake tunajisahau sana siku izi kwenye ndoa zetu
Mashaallah my patner hukuwahi kuniangushaa kipenzi pamoja nakipaty Wallah hongereni sana aminia sana broo fahdy madrasa shop itazidi kuwa juuu
Nc movie
Nmewapenda bure ni funzo ili
Masha Allah movie nzr nawapenda sana madrasatul shop
Mashaallah mchezo ni mzr na unafunzo mazuri na muhimu sana hongereni wahusika mulio toa mafunzo haya
Geet parayi iriyo tafsiriwa ya 331
Piga chini owa antyyy🤣🤣🤣👌
mashallah kaz ndhur nakuona kibule kipaty
Nilisubiri kwa ghamu esp ll...Thanks for ploading
napenda kupongeza kazi yenu mzuri muendelee kutufunza mambo kama haya namengineo mengi
Natazama nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪kwa kweli mumeweza
Movie mzuri ila hili neno antii limenikera sana mpka nimeskia dhiki nimepunguza sauti
Filamu nzuli kbs plz next part 3 and 4. Thank you
Anamakelele kama mwehuuu😙😙
😅😅😅😅😅😅😅
Nyoooo antiiiiii umenizaa au boya we pambana na Hali yako muoe antiiiiii uyo
Nawapenda washirika wote w madrassa shop ila kazidi kutuma mno😌😌😒mmmmh antiiiiiii
Nachukia sana mtu anayependa kuita ovyo
Move inamafunzo mashaalh
Nimefurah kuona muendelezo
Mwarabu wa kwanzaa huyu mwanamkee
Nyc movie hongerini wahusika nyote
Mwanamke haina gani haki, mimi binfi Niko na antii but hata shirt ya bwanangu agusi, chumbani hafiki.please leteni part 3 nitamu Sana 👌👌👌
Duh hyo mama anaita mpka kero yn ajimudu na lolote utadhani muhindi😏😏😏
Mashaallah Hapo sasa patam,kama umeipata neema ya ndoa na hujui thamani yake ni kher aolewe anaeijua thaman ya hyo ndoa,Muendelezo inshaallah.
j
Nilikua nkiisubiri kwa hamu na ghamu kazi nzuri ustadh
Duu huyusimke hadi anakela😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Waita kama muhindi duuh wallahy waarabu wangekuwa hivi nisinge kuja kuwafanyia kazi maana ningewapuuza kila siku
Hahahaa jaman antii umenifurahisha kweli umemkomesha hvy hvy ukiona amezid ingia chooni na yy aenuke dah
Mashaallah movie zur
Kuwapenda sana nikawaida yangu
Mashalha ni nzuri mno
Mansha Allah tunaomba ya 3
mume anahitaji matunzo wewe Utaibiwa jiangalie Sana
Huyu mwanamke kiboko mpka kupokea sim ya mume tu . Ni shidaaaa
Shukuran kwawote mrio shirik
Asante sana kwama madrasa mazul.kutufuza sisi wanawanke asanteni
Ma shaa Allah kwakweli tunajifunza mengi kupitia sinema hizi Allah akuzidishieni kila lenye kher nanyie
Ila hilo fundsho kwa wle wavivu
Mashaallah mashaallah ❤️❤️❤️❤️❤️tu naombeni ya 3 jamani
nengekuwa mm nengekuwa tushapigana
Duuuui so kwaboss uyo
hongera sana mwendelezo please .mwana ume wakuvumilia haya Kwa sasa ayuko. Ata kuacha2 hapo na kujipa shuguli mara hiyo hiyo.
Manshallah nimejifunza kitu shukran
Shukuran jazila
Mama mweny nyumba hajui wajib wake
Asante teni kwa funzo nziri
Tunajifunza Aki.. 😢 😢
Asakwa wanandoana waso
Wanandowa () () ()
Mashaa Allah movie nzur sanaa😍 but naomba mwenye kujuwa jina la hiyo Qaswida inayoita katika simu ya bidad huyo anijuze nimeipenda mnooo...
Mashaallah
@@adijaiman2509 ndo inaitwa hivo ty bas ? maan nasachi hapa You siipati...
Ba mkwe piga chini tunaweka ndn auntiiiiiiii
Waoooo oh Leo wakwanza ku comment
Mashallaah nilikua naisubir kwahamu nimeitafuta myda san
Mzuli Saaaana muendlez mmeishia ya 3
Go higher secret
😅😅😂😂😂antii atakoma
Natamani ningekuwa mm aisee moyo unge kuwa unafura telle ningempenda mme wng daa aisee bahati ilioje jmn
nzur sana inafundisha sana🙏💕💕💕💕
Nzuri sana
Huyo mke si class yako tatizo amekulinganisha na class ya mfanyi kazi wako WA ndani ndio Sawa.
Vijana wenzangu tuombeni sana dua haya mambo yapo na ni mtihani
Aamina
Duh mungu anisaidie
so beautifully antii
Ni mzuli sana
Nice movie tumalizieni mana ndo sisi tunaotumishwa
😄😄😄😄 Somoo
Mwanmk huna mda n familia yko hujui hta mda w kuchez n mtot hunaa uko busy n cm looh 🙌 subr mke mwenzioo
Huyu kafanana na madam Wangu kbsa akikaa aita tu mpka anikera,nilimpa funzo kiboko mbona amepunguza saii,hizi shida zipo Sana jamni,rafiki amenichekesha sio mchezo piga chini owa aunty hapo cha cha patamu sana ,shukran kwenu wahusika,muendelezo inshaallah