Tunakosea sana Sisi ni waislamu mambo ya kukaa pamoja mke na mume mukizinzi haifai alaf eti mwezi mtukufu wa Ramadhan bi mkubwa anarudi kwao makosa sana na dhambi tupu Tumuogope Allah mda wote sio Ramadhan tu tubadlike milele dini ni ya kila siku sio Ramadhan mtu anatubia siku za Kawaida mtu anfanya machafu
Uislam hauruhusu hata kuishi na mwamke ambae hujamuoa kisheria tena ya dini.... Uislam umekataza yote machafu na mabaya sio kwa kwa mwezi wa ramadhan tu ,bali ni kwenye maisha yote ya uhai wa binaadam....binaadam ndio wanaofanya mabaya na sio Uislam.
hapn muda wot zinaa ni haramu ktk wiisilam haifai mtu akizin amepata dhambi wisilamu haumruhus mtu kuzin ila niwatu wenyew wanakosea kufany jamb hil mwez waramadhn kutokan n utukuf wak kwa iman zetu nmwez mtukufu ambao kitab kitakatif kimeteremshwa mwez huu kutokan na utukuf wak ukitenda jema moj bc unalipwa zaid kulik miez mingin py ukitend kosa unaandikiw dhambi zaid kwhy zinaa ya mwez huu dhamb yak nkubwa san kulik zinaa ya miez mingin kam ilivy ukafany zinaa kweny nyumb ya ibada nkosa kubwa kulik zinaa kweny sehem nyingn
Kama umezini ramadhan mchana kuna kafara yake mzeee na kama umezini usiku pia kuna laana zake ramadhan hukmu yake ni tofauti na miezi mengine kuna hukmu ya kuzini na kuna hukmu ya kuzini mwezi wa ramadhan
Yani MUNGU wa waislam Buana kwa hiyo MUNGU wenu yupo kwenye mwezi wa RAMADHAN tu ila miezi mingine hayupo na kuzini mwezi huu ndio dhambi ila miezi mingine ni Sawa!?? 😂😂😂
Hii ni funzo kubwa sana. Wazazi munakubali mabinti waishi na wanaume ambazo hawajaoana. Muogopeni Allah siku zote sio Mwezi wa Ramadhani tu.
Kweli yani mwanaume ikifika ramadhani anakuludisha inauma sana
@@SabitinaCute-ns8eu fikiria umauti ukukute munazini Kwa nyumba ya mzinifu mwenzio
Waislam wa dar ndio life yao hyo wanapnd kumuas Allah huku wakiheshimu mungu wao Ramadan baada ya ramadhani zina pale ple
Nilitaka kushangaa tunakaaje kinyonge ramadhani na Mkojani gang ipo yaani nyinyi ni WATU WA MAANA KABISAA😂😂
Watu wa maaana kabisa😅😅
@@justinekamgomba5026 Jamaa namkubali sana na kundi lake wanatuliwaza sana
Shekhe kamungisha mzee wa hekima maneno ya busara ❤❤❤am from kenya 🇰🇪
Tangu lini kamugisha Kawa shekhe waisilam majina Hawa
Kamugisha nakupenda rafik yangu🎉🎉 umependeza mnooo
Wow nilishinda nikitafuta 😊nawatakia Ramadhan Mubarak jamani wapendwa
Ni vizuri na inafundisha imenoga
Kamgisha mdogo wangu 😂😂umenyowa ila ukizipunguza ndo unadamshisana
Likes basi hata 10
Big up..mkojani gan lama gang
Hii swaum imepoa sana tofaut na swaum ya msimu wa kwanza
Iyo épisode ya kwanza tulia 😅
Itachangamka tu mbeleni ucjali
Mambo bado
Mambo bado
Ya kwanza ilifurahishwa na mambwende na chumvi
Mkojan ungebadilisha jina mbna swaum zetu ulitoa hilo jina
Huu n msimu wa pili
Big up watayarishaji na pia watazamaji
Tunakosea sana Sisi ni waislamu mambo ya kukaa pamoja mke na mume mukizinzi haifai alaf eti mwezi mtukufu wa Ramadhan bi mkubwa anarudi kwao makosa sana na dhambi tupu Tumuogope Allah mda wote sio Ramadhan tu tubadlike milele dini ni ya kila siku sio Ramadhan mtu anatubia siku za Kawaida mtu anfanya machafu
Kwelii kabisa
Ndio naanza kuchek swaumu zetu ila kwa uzoefu wangu najua itakuwa imepoa ngoja tuone
Kama Kawa oso online tuko pamoja
👁️👁️ swaumu 1
Saf sana 😂😂
Tulio penda episode mpya naombeni Like
Mmmh kwaiyo Uyo jamaa amenyoa ndo amekuwa ivyoo?
Mkojani gang watu wa maana kabisa
Uislam hauruhusu hata kuishi na mwamke ambae hujamuoa kisheria tena ya dini....
Uislam umekataza yote machafu na mabaya sio kwa kwa mwezi wa ramadhan tu ,bali ni kwenye maisha yote ya uhai wa binaadam....binaadam ndio wanaofanya mabaya na sio Uislam.
Mkononi 😂😂😂😂😂nilitaka kushangaa
Kamugisha kanyoa 😂
🎉🎉🎉
Mashallah ❤❤❤
Mkojani shika maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
Hilo gari la mkojani linatumika kwa show zote😂
We fara umenichekesha
Wakwanza saumu zetu
Fungua library
Alustaaaaaaaaaz Hajj
Samofi movimba
Mashallah
Nikataka kushangaa swaum zetu msimu huu hakuna?
Kwahiyo hivi waislam Kwenye mwenzi wa Ramadhan tu ndo hamzini mwezi ukipita ni Kunyengana tu
hapn muda wot zinaa ni haramu ktk wiisilam haifai mtu akizin amepata dhambi wisilamu haumruhus mtu kuzin ila niwatu wenyew wanakosea kufany jamb hil mwez waramadhn kutokan n utukuf wak kwa iman zetu nmwez mtukufu ambao kitab kitakatif kimeteremshwa mwez huu kutokan na utukuf wak ukitenda jema moj bc unalipwa zaid kulik miez mingin py ukitend kosa unaandikiw dhambi zaid kwhy zinaa ya mwez huu dhamb yak nkubwa san kulik zinaa ya miez mingin kam ilivy ukafany zinaa kweny nyumb ya ibada nkosa kubwa kulik zinaa kweny sehem nyingn
Brother dhambi ni dhambi ukizini December ni sawa sawa na mwenye amezini mwezi Ramadhan
Kama umezini ramadhan mchana kuna kafara yake mzeee na kama umezini usiku pia kuna laana zake ramadhan hukmu yake ni tofauti na miezi mengine kuna hukmu ya kuzini na kuna hukmu ya kuzini mwezi wa ramadhan
Kamugisha kanyoa
Makoto nimesikia😂
Nilikua najiuliza vipi mbona mzigo sijauona wa swaumuzetu mpk ss
MashaAllah wapendwa tuko pamoja kuwasapoti
🙏
Session 3 jomn jomn
ubaya iko wap
Good
Fujo ziko wapiii😂😂
Kamgisha umenyoa hapo ndo umependeza
mkojani bin darwesh bin tarbush
Bado itachangamka tyu
❤❤❤
❤
Acheni kuchukua dini yenu kwenye maigizo tengeni muda msome Elimu sahihi mfumo was maigizo Ni mfumo was makafiri
Elimu hufikishwa njia tofauti kulingana na nyakati
Kweli kabisa
Yani MUNGU wa waislam Buana kwa hiyo MUNGU wenu yupo kwenye mwezi wa RAMADHAN tu ila miezi mingine hayupo na kuzini mwezi huu ndio dhambi ila miezi mingine ni Sawa!?? 😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉
USTADH ua-cam.com/video/W16uSe6hmAk/v-deo.htmlsi=CVRpEkcviEF_tV1y