Kayumba - Maumivu(Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @andersonyohana4442
    @andersonyohana4442 5 років тому +128

    Yani kayumba kaimba huu wimbo umeniguza sana mm like zenu kama unaukubari wimbo wa maumivu

  • @RahmaNyamvula-h5g
    @RahmaNyamvula-h5g 2 місяці тому +1

    Nyimbo nzur naikubali san

  • @michaelsanga9445
    @michaelsanga9445 4 роки тому +8

    Mwamba pambana ngoma Kali Sana gonga like Kama umeielewa

  • @Silent_cries6
    @Silent_cries6 Місяць тому +2

    AMBAO MMEUMIZWA 2024 MJE APA MUWEKE LIKE ZENU😪😪

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 років тому +12

    *Kuimba mziki sio mpaka uwe na sauti nzuri hapana, mashairi na ujumbe unatakiwa ufike kwa watu,kayumba nakuelewa Sana Kaka!*

  • @cyrillmassawe5856
    @cyrillmassawe5856 Місяць тому

    Maumivu umebamba sana big up kayumba kaza man like nyingi kwako.

  • @cobadadon2334
    @cobadadon2334 5 років тому +114

    Unaimba kama wao tu ila wanajifanya wanakukazia hakuna kukata tamaa mwanangu endelea kuangusha mawe wataelewa tu one day

  • @nestorychotalboy6818
    @nestorychotalboy6818 Рік тому

    nice broo kwa ngoma hii umetisha

  • @datiusdidace2173
    @datiusdidace2173 5 років тому +124

    JAMAN KAYUMBA ANAJUA AISE
    Kama umeikubali Gonga like aisee kwa support

  • @Ericjoanc
    @Ericjoanc 8 місяців тому +1

    Uniunge kaka 😊

  • @khamismidude4325
    @khamismidude4325 5 років тому +6

    Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako

  • @BintomariWaraka
    @BintomariWaraka 3 місяці тому +1

    Nan Yuko apa 2024❤

  • @nelsontanzania1098
    @nelsontanzania1098 5 років тому +9

    Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii
    Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana

  • @tumainmwasi3420
    @tumainmwasi3420 3 роки тому

    Uko vizur my brother

  • @محمدالنبهاني-ط4غ
    @محمدالنبهاني-ط4غ 5 років тому +16

    Nimeisikiliza wakati wake asante kwa maumivu😭😭

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni 5 років тому +80

    Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong

  • @ibrahimabdallah5096
    @ibrahimabdallah5096 4 роки тому +10

    Kama umeielewa hii ngoma kama mm gonga like twende sawa

  • @anethtimoth8959
    @anethtimoth8959 4 роки тому +28

    Dogo Kayumba Wewe ulikuwa Mkali Toka Bongo Star Search!! huku unaendeleza tu!!! Uko poa sana Kayumba Big up sana!!

  • @malikimoshi3506
    @malikimoshi3506 5 років тому +9

    Nakubali kayumba umenkiumbusha mbalii saaanaaa 🙏🙏🙏🙏 ilove this song

  • @farajiminja3842
    @farajiminja3842 3 роки тому +1

    Sana baba nakubali kazi zako

  • @lodrickibrahim5982
    @lodrickibrahim5982 5 років тому +382

    Wa kwanza.....kama ume kubali. Hii ngoma piga like yako hapo

  • @salminalfan5632
    @salminalfan5632 3 роки тому +1

    Napenda kaz zake kayumba anaiba sana

  • @bezaspilo8449
    @bezaspilo8449 5 років тому +27

    kayumba wew ni msanii. ila utakamilika endapo ukikalibia king music. kalibu sana king music

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 2 роки тому +2

    Kabisa kushea siyo vizuli kabisa unajuwa kuimba kayumba nyimbo zako zote nzuli hakuna nyimbo mbaya yakwako 💓💓💓💓💓💓💓💓 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞

  • @goodluckevarist7644
    @goodluckevarist7644 5 років тому +9

    Mi Ntakuja kufa jomonii kayumba ma love yangu kwako kama yoote😘❤❤❤

  • @RehemaNgumbao-f1s
    @RehemaNgumbao-f1s Рік тому

    ❤napenda sana hue wimbo

  • @heavyweight1347
    @heavyweight1347 5 років тому +15

    kayumba kazi nzuri like tu hap

  • @bakarihussein9745
    @bakarihussein9745 4 роки тому +1

    Ni dhambi kutosupport mziki mzuri wenye ujumbe kam huu

  • @abelnzunda2723
    @abelnzunda2723 5 років тому +8

    Kama umeikubari ngoma gonga like za kutosha

  • @kksa6051
    @kksa6051 3 роки тому +1

    My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation

  • @kasakilekimengele3186
    @kasakilekimengele3186 5 років тому +16

    Wow kayumba you kill it boy keep it up 😍❤

  • @ggjghh6245
    @ggjghh6245 5 років тому

    Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah

  • @eliusmoyo1799
    @eliusmoyo1799 5 років тому +67

    Mashairi mazuri sana jmn like kama unakubaliana na mm

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Рік тому

    hv nyie bongo mlikula nn coz hambatishi kbs napenda kazi za bongo huyu jamah Mambo mbaya kayumba uko juu babaa

  • @Rams660
    @Rams660 5 років тому +12

    Hongera dogo,,hii Kali zuri,, kama mnamkubali huyu gonga like, twende pamoja adi king music

  • @hatungimanayohana7044
    @hatungimanayohana7044 3 роки тому

    Ahsante kwa maumivu ni lengo la mungu kukuweka dunia ili Chaka ze Don nijione Kama naishi kwenye nchi yenye wasanii

  • @rayzonevic4041
    @rayzonevic4041 2 роки тому +19

    This boy will kill us with awesome melodious songs 💓💓🇰🇪

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi8862 5 років тому

    twenzetu kings kayumba nomaaaa thana hii kitu

  • @georgemasha4852
    @georgemasha4852 5 років тому +9

    Kayumba we kaza mwenyewe tu,achana na makundi,Mara king musc, achana nayo, asikushike mtu ao wanga tu

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 5 років тому +1

    Hapa umepiga na ukaua.huwezi toa kichupa zaidi ya hiki.umetugusa wengi big up

  • @jumaibrahim4745
    @jumaibrahim4745 5 років тому +78

    Baba nilikuwa nasbiria hiki chombo gud sana

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 років тому

    Huyu dogo anajua sema tanzania hatuna kitu cha kupeana nafasi🙌🙌🙌 yaan walio juu wanataka wawe wao tu

  • @dcruiz7485
    @dcruiz7485 5 років тому +264

    Karibu kings music watufaa xna gonga like kma we n King's family

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 5 років тому

    Kimeenda vizuri jiwezeshe ka w c b utazidi kungaa kn nyota penenye gizaa.

  • @ZainabAtuli
    @ZainabAtuli 4 роки тому +4

    🙏🙏🙏🙏 Imenigusa wallahi ahsant Kayumba

  • @martinimussa1296
    @martinimussa1296 3 роки тому

    nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love

  • @mwajumajudith8472
    @mwajumajudith8472 5 років тому +15

    Duuuh ataree sana aisee 💗 umemaliza aisee

  • @malaikahmaikoh8394
    @malaikahmaikoh8394 4 роки тому

    Naupenda uuu wimbo sikujua kama kayumba ndio kaimba nimeutafuta mpkaa nimekoma

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 4 роки тому +5

    Usipocheza utatikisa japo kichwa ama mmguu kayumba ni🔥🔥🔥

  • @christmhema9500
    @christmhema9500 5 років тому

    Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz

  • @reubenmuimi197
    @reubenmuimi197 3 роки тому +5

    My best singer so far🇰🇪

  • @vickymatiko4637
    @vickymatiko4637 3 роки тому

    Kusheaa sio lengo langu ilanimesalendaa kabisa huu wimbo mtamu sana like kaa zote

  • @ernestansu7529
    @ernestansu7529 2 роки тому +16

    Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️

  • @MariaMartin-tc6oz
    @MariaMartin-tc6oz 6 місяців тому

    ❤❤❤❤❤love sana kaka yangu mungu akulinde milele nakuja mwaka kesho nikuone

  • @jaredpozzetbt1100
    @jaredpozzetbt1100 2 роки тому +4

    Aki this guy has nice voice man big up broo💪💪💪💪

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 2 роки тому

    Jomba unajua kucheza na mioyo yetu dah Ngoma Kali zinavibrate kwenye Ngoma ya sikio tuu

  • @edwinbaraka5663
    @edwinbaraka5663 5 років тому +6

    Kalisana bro kamavipi njoo King's music man

  • @baikokoraha9339
    @baikokoraha9339 5 років тому

    Kweli kayumba ndo umekamilika kuwa msanii wa BONGO flava kaka kaza kamba utafika waliko mbosso na ata zaidi yao .Inshallah.

  • @aronikashindi6769
    @aronikashindi6769 5 років тому +3

    Kayumba useme uko bali tu na mimi lakini tugekuwa p1 nigekupa zawadi kbs kwa songs zako love u more kayumba niko🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @LeyaKiza
    @LeyaKiza 2 місяці тому

    Mnavyohimbanga ndo vinavyo tokeyaga tu duniani🎉🎉❤❤❤

  • @jabirchiwila5664
    @jabirchiwila5664 5 років тому +140

    jmn nmekosa like 😖😖 asante kwa #maumivu

  • @hatibuhaule8800
    @hatibuhaule8800 5 років тому

    kayumba ww unajua tangu bong starsaech naye fnya vzr kwenye game ni we tuu hongera

  • @eunicemoses7080
    @eunicemoses7080 5 років тому +15

    Keep it up bro I love it so much

  • @SammieberryOfficial
    @SammieberryOfficial 5 років тому

    UKO SAWA SANAAA MKUU WANGU KAYUMBA COOL LYRICS GOOD MUSIC NICE FLOW VIDEO TISHA KITAANI YAAN UPO FRESHI

  • @beuntflyhusnakasy9320
    @beuntflyhusnakasy9320 5 років тому +13

    Very nice song kayumba😍😍love kutok kwang kam zote zikufikiee

  • @musajafeti6364
    @musajafeti6364 5 років тому

    Kayumba we ni shida kinyama unajua mpaka unakera kama unamkubali

  • @mwambirelucky8357
    @mwambirelucky8357 4 роки тому +3

    Nice one keep it up Kayumba love you so much

  • @valleryzubery7152
    @valleryzubery7152 5 років тому

    Kaza buti brother watu wanakuelewa San m nikiwa wakwnza toen wimbo mmoja na beka haika itakua vyema

  • @georgemelkiad5823
    @georgemelkiad5823 3 роки тому +3

    Wonderful song good work kayumba

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 5 років тому

    wee kiboko kaka kaza buti pia ndengneza ngoma zinazo chezeka wee noma

  • @kondwanimwangobora7696
    @kondwanimwangobora7696 2 роки тому +12

    The definition of good music 🔥🔥😍

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 років тому

    Unamyumbisha ata Queen Kiba daadeki wewe #Usafini utafaa

  • @idrisaally8738
    @idrisaally8738 5 років тому +6

    We boya unaweza ngoma yako iko poa sana kuliko za king music yaakubisha abishe ila ukwer ndio uo

  • @athumanzuhura9372
    @athumanzuhura9372 4 роки тому

    asante kayumba kazi nzuri

  • @nelandbdi8000
    @nelandbdi8000 5 років тому +17

    Wcb plz take that boy🙏🙏🙏he is talented

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Рік тому

    Kudadadeki pini litaishi milele isee asante dogo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @vinsensiusboukbouk9525
    @vinsensiusboukbouk9525 2 роки тому +4

    Walaupun tdk tau artinya tapi cumn senang lagu dan nadanya...

  • @shabiryjaah1643
    @shabiryjaah1643 4 роки тому +1

    Niliyuwa wanipenda kumbedaa

  • @handromedia5611
    @handromedia5611 5 років тому +3

    nakukubariiii hom boy, since day one mkubwaaa tunafanya yetuuu vs chibaaaaizoo

  • @ZuheryAhmad-rl1ec
    @ZuheryAhmad-rl1ec 9 місяців тому +1

    It's 2024 and this song is still a master piece 👌😘

  • @abdulmwanga3589
    @abdulmwanga3589 5 років тому +27

    king music siku wakitoa nyimbo Kali hivi lzm Mvua ya mawe inyeshe

  • @sosomokobiasharamgaya1449
    @sosomokobiasharamgaya1449 3 роки тому

    Huyu chalii mkali kuliko wenye majina makubwa bongo ila wanambania tu kumpa nafac yake na anajua mpk sio vizuriiiii

  • @husnayasr6644
    @husnayasr6644 5 років тому +17

    Nimeikubari uko vizur kayumba Asante kwa maumivu

  • @zaidizabron2294
    @zaidizabron2294 4 роки тому

    Kayumba ni moto wa gesi anatisha wengine ni makiki tu kuimba awajui

  • @richardmichael2142
    @richardmichael2142 5 років тому +6

    Ngoma Kali sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 5 років тому +2

    Nilijua wanipenda daaaah sometime mademu xio watu wazur.. kama yamekukut gonga like

  • @mussamshengelijr4295
    @mussamshengelijr4295 5 років тому +54

    Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa
    🚵. 🚵. 🚵. 🚵

  • @marcykivuyo9666
    @marcykivuyo9666 4 роки тому +1

    Kushare sio lengo languu nisamehe ..... Natetea hisiaa.zanguu... good point

  • @mudrickmbuyu3263
    @mudrickmbuyu3263 4 роки тому +3

    KAYUMBA ni real voice of LOVE WE NI FUNDI WA NYIMBO ZA MAHABA!!!

  • @fazilindinga5402
    @fazilindinga5402 5 років тому

    Nakubar Sana kazi ngoja nimwambie kiba akuchukue

  • @eliaobadia5443
    @eliaobadia5443 5 років тому +13

    Nyimbo Kali bro na nzuli kinoma
    Ila kayumba change mumziki wako umezoeleka njoo na staili nyingine

  • @mgosiasambaa8746
    @mgosiasambaa8746 5 років тому

    We jamaa mziki unaujua na unauweza,

  • @chrisroby1953
    @chrisroby1953 5 років тому +53

    Km unaamin dog anawez ach like hap na ngoma yake ya mazowea

  • @sadamussa3162
    @sadamussa3162 2 роки тому

    Daaaa yaan kayumba uwiii sijui hata nisemaje anaimba had sio pw 😘😘😘

  • @parmeteutetilesingen7006
    @parmeteutetilesingen7006 2 роки тому +3

    I wish subscribers will hit 1 millions and above anyway you are talented bro

  • @kelatricproduction3435
    @kelatricproduction3435 5 років тому

    Kazi nzuri hio. ,,,,endelea vivo hivo.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 5 років тому +4

    kayumba uko vzr sana yani

  • @Helenrucasi-pb3jj
    @Helenrucasi-pb3jj Місяць тому

    Nakkubar sana Mr Kwa ujumbe unanigusa san

  • @mikerkayombo3147
    @mikerkayombo3147 5 років тому +3

    ouky nice music Ila Kama kesho usipende kuonesha kitukimoja video nzima mfano wa humu mfano hiyo saa OK ushamba like na coment hapa kwanza

  • @roseminja7144
    @roseminja7144 5 років тому

    Kweli wanawake Awanaga Uruma af kupendwa ucpo pendwa nisawa na Kununua gazet Joni