Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako
Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana
Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong
My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation
Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah
nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love
Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz
Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️
Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa 🚵. 🚵. 🚵. 🚵
Yani kayumba kaimba huu wimbo umeniguza sana mm like zenu kama unaukubari wimbo wa maumivu
Nazipenda kazi zako mung akusaidie
Oi napenda mdada nataka nixhee naee life
Nyimbo nzur naikubali san
Mwamba pambana ngoma Kali Sana gonga like Kama umeielewa
AMBAO MMEUMIZWA 2024 MJE APA MUWEKE LIKE ZENU😪😪
*Kuimba mziki sio mpaka uwe na sauti nzuri hapana, mashairi na ujumbe unatakiwa ufike kwa watu,kayumba nakuelewa Sana Kaka!*
Maumivu umebamba sana big up kayumba kaza man like nyingi kwako.
Unaimba kama wao tu ila wanajifanya wanakukazia hakuna kukata tamaa mwanangu endelea kuangusha mawe wataelewa tu one day
Nikweli kabisaaaaa
Kabisaaa
Umenena k2
🔥👊💯
Ngoma nzur
nice broo kwa ngoma hii umetisha
JAMAN KAYUMBA ANAJUA AISE
Kama umeikubali Gonga like aisee kwa support
Big up broo
Uniunge kaka 😊
Kayumba nakukuba sana yaani zaidi ya sana nyimbo zako. Yaani nazikubal mno yaani kwanyu kila mda ni nyimbo zako tu duuuu hongera sana maana ujumbe mzuri kwenye nyimbo zako
Nan Yuko apa 2024❤
Huu wimbo Nilikua Nausikia Sana ikabidi niutafute maana it's a Beautiful Song Especially kwa Wanaoumizwa na Mapenzii
Ngoma Kalii Sana Ujumbe mzuri sana
Uko vizur my brother
Nimeisikiliza wakati wake asante kwa maumivu😭😭
Vita Vya Mondi na Kiba vime harib Bongo Flava vyafanya mpaka misiki mizuri kama hii yakosa Views na likes zinazo Stahiki.. Big Up Kayumba,,, Hujanbwaga kabisa.. Keep Going Strong
Yes is true
well said
Sana
Kweli kabisa kijana waabie kabisa
❤nazikubari, sana
Kama umeielewa hii ngoma kama mm gonga like twende sawa
Dogo Kayumba Wewe ulikuwa Mkali Toka Bongo Star Search!! huku unaendeleza tu!!! Uko poa sana Kayumba Big up sana!!
Nakubali kayumba umenkiumbusha mbalii saaanaaa 🙏🙏🙏🙏 ilove this song
Uko vizr kayumba
Sana baba nakubali kazi zako
Wa kwanza.....kama ume kubali. Hii ngoma piga like yako hapo
Uko vzul
Yuko vzr sana namkubali sana toka bss
gudi
Ngoma ime gongaaa kongaaa
Nice
Napenda kaz zake kayumba anaiba sana
kayumba wew ni msanii. ila utakamilika endapo ukikalibia king music. kalibu sana king music
Kabisa kushea siyo vizuli kabisa unajuwa kuimba kayumba nyimbo zako zote nzuli hakuna nyimbo mbaya yakwako 💓💓💓💓💓💓💓💓 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞
Mi Ntakuja kufa jomonii kayumba ma love yangu kwako kama yoote😘❤❤❤
❤napenda sana hue wimbo
kayumba kazi nzuri like tu hap
Ni dhambi kutosupport mziki mzuri wenye ujumbe kam huu
Kama umeikubari ngoma gonga like za kutosha
My dearest kayumba hapa ndio sisemi kitu unakipaji dogo utani kando hongera kwakazi nzuri, napenda nyimbo zako Yani hazini choshi kuzkiliza congratulation
Wow kayumba you kill it boy keep it up 😍❤
Nakumbuka nilikesha kuangalia mashindano ya biss mwaka ule na hakuna kingine nilikuwa nakuangalia ww kayumba naleo bado unahaso hongera sana mwanangu pambana kama ulivyo pambana mwaka ule ulivyo kuwa unaki pigania kipaji chako unaweza kayumba walah
Mashairi mazuri sana jmn like kama unakubaliana na mm
hv nyie bongo mlikula nn coz hambatishi kbs napenda kazi za bongo huyu jamah Mambo mbaya kayumba uko juu babaa
Hongera dogo,,hii Kali zuri,, kama mnamkubali huyu gonga like, twende pamoja adi king music
Kaka unaweza saaanaa vizuli mtangulize MUNGU tuu kW kazi zako
da hongera dogo lang good music flavour komaaaa unaweza
Gooo masta
Ahsante kwa maumivu ni lengo la mungu kukuweka dunia ili Chaka ze Don nijione Kama naishi kwenye nchi yenye wasanii
This boy will kill us with awesome melodious songs 💓💓🇰🇪
Songs is good
twenzetu kings kayumba nomaaaa thana hii kitu
Kayumba we kaza mwenyewe tu,achana na makundi,Mara king musc, achana nayo, asikushike mtu ao wanga tu
Hapa umepiga na ukaua.huwezi toa kichupa zaidi ya hiki.umetugusa wengi big up
Baba nilikuwa nasbiria hiki chombo gud sana
Iko poa
Sana
Kayumba unaweza wasafi nimekaribia kuhama
Nice
Sana mdau kayumba unajua
Huyu dogo anajua sema tanzania hatuna kitu cha kupeana nafasi🙌🙌🙌 yaan walio juu wanataka wawe wao tu
Karibu kings music watufaa xna gonga like kma we n King's family
Kali kayumba
cide da cruiz kwaya ya mtakatifu kibaaa
Kabsa anafaa
Cide da cruiz umeona eeee alafu tutampa na mo fire ashushie
Acha kumpoteza
Kimeenda vizuri jiwezeshe ka w c b utazidi kungaa kn nyota penenye gizaa.
🙏🙏🙏🙏 Imenigusa wallahi ahsant Kayumba
nakubali kaka unajuwa kwenda na wakat kwa sasa mapenzi yanawaliza weng kwahyo maumvu imekuwa kama tulizo na kujpa iman pamoja mzee hongera utunz mwema kaka one love
Duuuh ataree sana aisee 💗 umemaliza aisee
Ngoma Kali saaanaaaaaa
Naupenda uuu wimbo sikujua kama kayumba ndio kaimba nimeutafuta mpkaa nimekoma
Usipocheza utatikisa japo kichwa ama mmguu kayumba ni🔥🔥🔥
Kayumba hili dude unanifanya nirudishe ndoa maana nlikuwa nimefer kurudisha...... Nlivo weka status hili dude ananipigia simu siku iz duuuh..... Kayumba wape presha wajifunze mziki mzuri.... .....chris*tz
My best singer so far🇰🇪
Kusheaa sio lengo langu ilanimesalendaa kabisa huu wimbo mtamu sana like kaa zote
Such a beautiful tune, I have been playing ever since i discovered it even though i don’t understand the language, a fan from Ghana 🇬🇭, you nailed it ✌️
Good song
❤❤❤❤❤love sana kaka yangu mungu akulinde milele nakuja mwaka kesho nikuone
Aki this guy has nice voice man big up broo💪💪💪💪
Jomba unajua kucheza na mioyo yetu dah Ngoma Kali zinavibrate kwenye Ngoma ya sikio tuu
Kalisana bro kamavipi njoo King's music man
Kweli kayumba ndo umekamilika kuwa msanii wa BONGO flava kaka kaza kamba utafika waliko mbosso na ata zaidi yao .Inshallah.
Kayumba useme uko bali tu na mimi lakini tugekuwa p1 nigekupa zawadi kbs kwa songs zako love u more kayumba niko🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Aroni Kashindi nice music jmn
Mnavyohimbanga ndo vinavyo tokeyaga tu duniani🎉🎉❤❤❤
jmn nmekosa like 😖😖 asante kwa #maumivu
😂😂😂😂
@@rebecahagaikatuba3551 kwanini unamcheka mwenzako jamani😂😂😂😂😂
Noma
Rebeca Hagai Katuba 😂😂😂 let's give him likes 😂😂
😂🤣🤣🤣
kayumba ww unajua tangu bong starsaech naye fnya vzr kwenye game ni we tuu hongera
Keep it up bro I love it so much
UKO SAWA SANAAA MKUU WANGU KAYUMBA COOL LYRICS GOOD MUSIC NICE FLOW VIDEO TISHA KITAANI YAAN UPO FRESHI
naona kijnana kakuwa kimzik hongera sna
Very nice song kayumba😍😍love kutok kwang kam zote zikufikiee
Looking into my eye
Kayumba we ni shida kinyama unajua mpaka unakera kama unamkubali
Nice one keep it up Kayumba love you so much
Kaza buti brother watu wanakuelewa San m nikiwa wakwnza toen wimbo mmoja na beka haika itakua vyema
Wonderful song good work kayumba
Pp
wee kiboko kaka kaza buti pia ndengneza ngoma zinazo chezeka wee noma
The definition of good music 🔥🔥😍
Unamyumbisha ata Queen Kiba daadeki wewe #Usafini utafaa
We boya unaweza ngoma yako iko poa sana kuliko za king music yaakubisha abishe ila ukwer ndio uo
Acha kumlevya kijana bali mpe pongezi kwa kazi yake nzuri
vzr sana
asante kayumba kazi nzuri
Wcb plz take that boy🙏🙏🙏he is talented
Nic nic
Kudadadeki pini litaishi milele isee asante dogo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Walaupun tdk tau artinya tapi cumn senang lagu dan nadanya...
Niliyuwa wanipenda kumbedaa
nakukubariiii hom boy, since day one mkubwaaa tunafanya yetuuu vs chibaaaaizoo
Kayumba hauna mpinzani Mzee bba
It's 2024 and this song is still a master piece 👌😘
king music siku wakitoa nyimbo Kali hivi lzm Mvua ya mawe inyeshe
Abdul Mwanga acha ushabiki ww mavi angaria Toto
Umetish kk big up saaan
puuz kwel ww, hujaon nymb y masozi?? Tim king tutakuumza
Rudia tena kusema uyo utumbu wako
Nakukubali sana
Huyu chalii mkali kuliko wenye majina makubwa bongo ila wanambania tu kumpa nafac yake na anajua mpk sio vizuriiiii
Nimeikubari uko vizur kayumba Asante kwa maumivu
Kayumba ni moto wa gesi anatisha wengine ni makiki tu kuimba awajui
Ngoma Kali sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nilijua wanipenda daaaah sometime mademu xio watu wazur.. kama yamekukut gonga like
Mamen ndo siy wat wazur
Sema hizo rasta ndo umengoma kutoa Kayumba hapo kwenye rasta unayumba kweli sasa. kama umekubali hii ngoma sema huzikubali hizo rasta kichwani hapo gonga like hapa
🚵. 🚵. 🚵. 🚵
kali sana
Fuatilia kazi yake mwonekano haukuusu joh wanaume hatupo ivo
Wimbo mkali sana
@@digital21.13 hiy kaz yak unayo Sam niifatilie ndo imemfany aweke hivyo
1 kijana
@@digital21.13 true
Kushare sio lengo languu nisamehe ..... Natetea hisiaa.zanguu... good point
KAYUMBA ni real voice of LOVE WE NI FUNDI WA NYIMBO ZA MAHABA!!!
Nakubar Sana kazi ngoja nimwambie kiba akuchukue
Nyimbo Kali bro na nzuli kinoma
Ila kayumba change mumziki wako umezoeleka njoo na staili nyingine
We jamaa mziki unaujua na unauweza,
Km unaamin dog anawez ach like hap na ngoma yake ya mazowea
Salute
Uko juu Kaka napenda iyimbo zako ziko poa Sana🇰🇪💕💕💕👌
Anaweza mpaka kero
Daaaa yaan kayumba uwiii sijui hata nisemaje anaimba had sio pw 😘😘😘
I wish subscribers will hit 1 millions and above anyway you are talented bro
Kazi nzuri hio. ,,,,endelea vivo hivo.
kayumba uko vzr sana yani
Uko vizuri Sana nimeioenda sana
Edward Ezekiel iko good
Nakkubar sana Mr Kwa ujumbe unanigusa san
ouky nice music Ila Kama kesho usipende kuonesha kitukimoja video nzima mfano wa humu mfano hiyo saa OK ushamba like na coment hapa kwanza
Kayumba kaz nzr xn
moja Kali naelewa sana kazi zake like nying tusikilize otee
Kweli wanawake Awanaga Uruma af kupendwa ucpo pendwa nisawa na Kununua gazet Joni