@@stevemwakisimba5986 eeeh aisee duniani kuna mambo unasikia watu wana edit hao ndo konki wa kuediti mnapeleka chakula hoxpitali kumbe linakula jitu jingine tofauti
Ukiwa unafatilia sana kipindi vya sheikh Salum Maridhiyya hupati tabu kumuelewa huyu bint ni kweli waganga wote wanatumia vitambaa hivyo ni wachawi kwenye anga kuna majini ambao hushirikiana na waganga wa kichaw wa huku duniani na yule mtu wa kwenye kaburi ni majini wanaitwa Ubadul kubuur hiyo misikiti ni ibada za uongo kuwazuga wanaowaleta huko kwenye mambo yao hakuna mshirikina anaemuabudu Mungu kiukweli yote hayo sheikh Salum ametuambia
@@abbyadams8691 kama ungejaribu kumeditate ungejua ukweli wa nini kinaendelea,hayo yote ni maluweluwe tu hata Zabron anafikiri alikwenda Gambosh kumbe ni mawazo yake ila ni ngumu kumfanya asione tofauti kwa sababu yeye ndiye Sterling wa move yote. Aliwazalo mtu ndilo litakalo mtokea kama halikutokea katika hali halisi litatokea kwenye mawazo!
Sio waganga wabitambaratu waganga wote ni wawuwaji si ni washirikina kwanza wanapinga Allah.kwanza kufanya shirki ni haramu kama wewe ni mshirikina basi pepo hutoingia ukubari usikubari habari ndo iyo .Allah anadutoshereza yanini kwa waganga?
Sherehee yako unaolewa nafsi iko kwa fatmaa makubwaa walikuekaa kwachupa hutoki kivuli chafanyaa kazi hayaaaa ZABRON UKO WAPI dadamtu huyo alikuwa kifungoni😢😢😢🏃🏿♀️🏃🏿♀️kama wewe
Dunia inasir za ajab sana nasisehem salama nguo kuzim,mateso kuzim,matajir feki, makanisa feki, kweli shetan anamawakala weng sana. TUSALI BILA KUKOMA SHETAN YUPO FIELD
@@nurafedrick378 sio hivyo yaani unaota umezaa au unanyonyesha, ila cha ajabu huna hata ujauzito, ulimwengu mwingine umezaa kweli usiku ukilala analetwa mtt unanyonyeshaa,
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄malkia mzuri etyeeeee😢😢😢😢😢😢jini watumia chain kupaaa dunia inamambo nguvu xagizaaa xatembea hewani Kwahiyo uliingizwaa kuximu dada pole sana kumbe kuna nguo zashonewaa kuximu zaletwa duniani ndomana kuna nguo nyingi xinakuagaa na chapa xaajabu 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Hapana usimfikilie vibaya, majini wanajua uislam ndo dini ya kweli . Kwahiyo majini yanajifanya kujiweka kama waislam ili kuwahadaa watu waache kuwa waislam. Kusikiliza story zote, majini yanakuwa na muonekano na majina ya waislam ili watu waogope kumbe uislam ndo dini sahihi kama watatumia akili
Aisee ndo ya Zabron yuko hoxpitali watu wanamuona ni yeye wanamletea misosi anakula kumbe sio ni lizee liko pale la gamboxhi ila hawajui hahaaaa
Yaniii achaa tu na Waganga wengine Hawa changamoto
Mzee ana twanga misos alaf anachagua nileteeni hiki
Kkkkkkkkkkk nimecheka hadi basi kha ya zabron tena?
@@stevemwakisimba5986 eeeh aisee duniani kuna mambo unasikia watu wana edit hao ndo konki wa kuediti mnapeleka chakula hoxpitali kumbe linakula jitu jingine tofauti
Leo yuko vizuri huyo bint masha ALLAH usimuulizi maswali magum tafadhali mtangazaji.
Kazi nzuri binafs nimejifunza mengi
Dunia ina mambo hiiiiii!!!!! Yaarabby tulinde na viumbe vibaya 🙏🙏🙏
Amiin
Ndo Majini hao
Pole sana pia bado kama hayupo sawa
Davistar mr handsome 👌🤩🤗
😀 Naombeni lake na me ata kidogo
Waganga Mungu awalaani kwa kuwatumikisha watu
Daah hii story nzuri lakini msimuliaji hasimulii vizuri 😉
Nimwanamke mwenzio cc km wanaum twamvumilia cos nyie akik zen tofaut nacc.
@@suleymanally4729 jamani 😢
@@zabiyafahmikhamis4873 hahahahaha kwn uong
Kuongea kipaj lkn amejitaidi
@@dotosalim5090 sanaaaa
She’s so innocent hadi anatia huruma jamani, pole 😭
Pole sana kwa mitihani
Ahsante dada ,,, hahaha et wanaudhuria vzr hii inaonyesha jinsi gan wanaadam tumepotea
UBARIKIWE DAVISTAR MATA MTU MAKINI KABISA 👍👍👍👍
Hixo chain nizawahindi lkn sikuhixi mastr ndo fashion zao ukiangalia nyimbo ya mbosho sina nyota utazipata 💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾nawengi tuu
Du,kweli kuipata pepo kazi sana maana shetani kaitawala dunia
Sana
Wamkooooo Leo nipeni zangu basis kama mpo nadavsta
Dav hapa hakuna story ni full urongo wa wazi kabisaa find another one
kalete stor ya baba ako ndo yaukweli
@@antoniokanga4703 kabisaa
@@antoniokanga4703 mtu mjinga hana hoja zaidi ya kutukana na mjinga hajibiwi kwa matusi ni just to give him a little knowledge
Duuu yani Fatima anaua sasa kwa nafsi yako jamani hayaa yasikie tuu yasikupate 😢😢😢
Jaman huyu Fatma sijui ni yupi lkn sio mm
@@fatmamucha4419 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣somo mtu huyo
@@fatmamucha4419 inawezekana ndiyo wewe😂😂😂😂
Mbona kama uongo flani ivi amazing 😅
Tupo pamoja kaka davistar stor nzuri
Ukiwa unafatilia sana kipindi vya sheikh Salum Maridhiyya hupati tabu kumuelewa huyu bint ni kweli waganga wote wanatumia vitambaa hivyo ni wachawi kwenye anga kuna majini ambao hushirikiana na waganga wa kichaw wa huku duniani na yule mtu wa kwenye kaburi ni majini wanaitwa Ubadul kubuur hiyo misikiti ni ibada za uongo kuwazuga wanaowaleta huko kwenye mambo yao hakuna mshirikina anaemuabudu Mungu kiukweli yote hayo sheikh Salum ametuambia
Naomben taftari la wanaocommet utopolo😒
Subhanah Allah, unalishwa nyama za watu na damu ndipo
🤔😥😥
Stry tam sana hii
Sanaaa
Pili. Wee embu lala
@@pilimusa7770 😃😃😃😃
@@kawtharsaleh9229 silali mpaka nipate part 3😂😂😂😂
@@kawtharsaleh9229 kawthar. Wewe utalala saa ngapi. Siendi kulala mpaka uwende. Lasivyo nakaa hapa hapa😂😂😂😂
Stori nzuri sana lkn haina mpangilio mzuri
Bint asema akishika chain ana fika faster
Mbona Video Azipley Hi Youyube Vipi Na Airtel
Hii inaitwa illusion,unaona na kuota usipokuwa makini unadhani ni kweli,kumbe ni ndoto endelevu!
Nyie ndo wale mnaoamini Dini zenu lakini hamuamini kuwa uchawi upo wakati vitabu vya dini zenu vimekili kuwa uchawi upo. Siku yakikukuta ndo utaamini.
@@abbyadams8691 kama ungejaribu kumeditate ungejua ukweli wa nini kinaendelea,hayo yote ni maluweluwe tu hata Zabron anafikiri alikwenda Gambosh kumbe ni mawazo yake ila ni ngumu kumfanya asione tofauti kwa sababu yeye ndiye Sterling wa move yote.
Aliwazalo mtu ndilo litakalo mtokea kama halikutokea katika hali halisi litatokea kwenye mawazo!
@@abbyadams8691 uchawi upo
@@pilimusa7770 sanaaa
wenye mja watch hii part2 mmefanya tukaziwe part3 malizeni mchele ya lunch tuekewe chapati bata😁😁😁😁😁 supper
🤣🤣🤣🤣🤣😍😍😍😍😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 😁💃💃💃😁😁😁😁
@@moreenmbatha1147 😀😀🤝🤝💃💃
Mbona mambo ya majini ni zaidi huku Tz? Pole dogo ulipitia mazito
Mie pia nilijiuliza?!! 🤔
Davister w kipndi chako kizur sn 2najifunza meng sana Dunia inamambo sana
Aisee waganga wabaya sana
Sanaaa
N sharud 🙄💃 somoe pili Nasra Fatma violine na wengine njoooooooon mambo tayariiii ❤❤🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Tupo
Nimefika pamoja sana
Tupo tena sana 😘😘😘
@@fatmamucha4419 Nmefurai kuxkia hivo chidada changu kipenzi😍😍😍😍😍😍
@@fatmaalrshdii7615 Nmefurai kuxkia hivo chidada changu kipenzi 😍😍😍😍😍😍🤝🤝
pole kwa mitihan chidada changu damanii😢😢😢😢🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole yake kweli😭
@@pilimusa7770 Asante chidada changu kipenzi😭😭🤝🤝
Duu mbona mitihani yasecondary walikuendaa kwa chupa huyo jamani eti chakula chako damu zawatu na nyama xawatu😭😭😭😭😭😭😭😭😭malikia wamajini
Kana anza kunoga haka kasimulizi inabidi ndugu yetu Mtu Makini uongeze kamuda kidogo, huyu ni ndugu na Zabroni kabisa
Sio waganga wabitambaratu waganga wote ni wawuwaji si ni washirikina kwanza wanapinga Allah.kwanza kufanya shirki ni haramu kama wewe ni mshirikina basi pepo hutoingia ukubari usikubari habari ndo iyo .Allah anadutoshereza yanini kwa waganga?
Kabisaa
nzuri ila musimuliaji bado hajui
Keep up the good work mr. Mtu makini
Pole my dear kwa mitihani 😥😥😥
Awe pole 😥😥🤝🤝
Yani we acha tu
@@fatmaalrshdii7615 ndio hivyo darling Allah tu ndio tegemezi letu sote
Yani sana
@@somoeawadh7774 kabisa
Uyu ni pacha wa Zabron bwana misosi😜😆😆
Nafikiri pacha wa davistar huoni walivyo fanana
Kwahio wanao kuwa waganga wavitambara hivyo ni wauwaji
Mmmmmh dunia ina mambo hiii usipime
Ya kweli haya jamani
Yaani binadamu tuna mambo ya siri mpaka shetani anaogopa
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
pili somoe Fatma Hidaya Hamis Nguwalo Fm morn Farhat salum sapna kevarist upooooo? Fundi wetu Eric Nura Neema malima upoooo? cute emmy rizik blessed Narud💞💞💞🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🏃🏻♀️🏃🏻♀️
Nimefika
Aysha mahariq shukran sweetheart 🥰
Ndiyo nimefika asante
@@fatmaalrshdii7615 😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@@somoeawadh7774 karbu chidada changu 😍😍😍😍
Jaman Fatma mm😭😭😭😭
Hhhhhhh😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 somo yak 🏃🏃🏃
@@suleymanally4729 mmmmm
@@suleymanally4729 subir sk iwe zamu yko saiv tucheke tuu Akina fatma
Davsta muuleze kwanini alizuwiwa kuzungumuza kiarabu
Hapo sasa
Duuu hatariiìiii pole habimti
mh
Ndio nmefika, hivi wageni wanakaa upande upi,
Apo apo ulipo fikia pamoja sana mdau Mwenzangu
Yeah
Jamani fatuma 😢
Adi uluma wajina wangu Fatuma yamemkuta
@@fatmaalrshdii7615 😢 tena mazito
🙏🙏🙏
Dope
I realize Im quite randomly asking but does anyone know a good website to watch new movies online ?
@Kameron Leighton flixportal :D
@Dante Ameer Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :) I appreciate it !
@Kameron Leighton Happy to help xD
Story sasa tumepata. Nzuri mnoooo
kabsa😍😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 sanaa
@@pilimusa7770 🤝🤝🤝🤝😍😍😍😍
Yani mimi Jana niliota nimezaa nilivyo amuka nilikua NA maumivu. Lakini mtoto Hakuna. Heee kumbeee nihivyo
Chapa nembo Davistar Nakubal
Dah
Sherehee yako unaolewa nafsi iko kwa fatmaa makubwaa walikuekaa kwachupa hutoki kivuli chafanyaa kazi hayaaaa ZABRON UKO WAPI dadamtu huyo alikuwa kifungoni😢😢😢🏃🏿♀️🏃🏿♀️kama wewe
Umeona eee
@@fatmaalrshdii7615 ndio
Alhamdulillah w kwanzaaaaa🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄❤❤
Itabidi upate zawadi 😘
@@somoeawadh7774 🤣🤣🤣🤣😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 mwambie Davistar akupe zawadi sio rahisi kila siku kua wa kwanza 🥰🥰🥰
@@somoeawadh7774 itabdi nmwambie anpe zawad 🤣🤣🤣🤣❤❤❤❤❤❤❤
Hongera mamaa
Yan Hawa paka Moto wao inabidi uwe wa kitofaut na sis wengine khaaaaaaa 😏😏mpk daftr la mauzulio
Wapi fatumaaaaaa
Nimemuwahi Leo dada Mrs Kaka jini😋😋😋😃😃😃
Heri umewai😊😄😄
@@farhathamdansalum9725 😂😂😂😂
Usichelewe tena😊
@@farhathamdansalum9725 yaani hapa nipo nakasimu mkononi😂😂😂ikiingia tu niwahi
@@bintimrope ww hatari😄😄 inabidi habari mpya ikiingia tu unawai, bac utanijulisha na mm niwai😄😂😂😂
Dunia inasir za ajab sana nasisehem salama nguo kuzim,mateso kuzim,matajir feki, makanisa feki, kweli shetan anamawakala weng sana. TUSALI BILA KUKOMA SHETAN YUPO FIELD
Kabisa yani
Oya Davis gongs mojabasi yaupendo
Hamjambo lakini wana davistar mata 😔
Alhamdulillah xjui ww chidada changu 😍😍
Twashkuru
Nashukuru Mungu mzima wa afya njema
@@ayshamahariq6665 na mm sijambo mamii jomon kwani ww upo wapi kindugu changu 😢
@@fatmaalrshdii7615 Alhamdulillah Allah akuzidishie afya njema
Mmmhh !!! Eti huna Mana wewe una taka kula chakula cha duniani
kumbe wana andikaga namajina 🤣🤣🤣
Tupo makini sana watu wako kk Davi
Teeeena sanaaaaa
Dhuuuu, masharti gani tena hayo
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Nimecheleweshwa na mwarabu wapenzi habari zenu
@Cute Ninoh asnte baby girl
Kk Davi, ww unafaa uwe director wa movie eti kama staring anaenda eeehhhh😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️
@@dorcaskidoti249 umeskia pia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@farhathamdansalum9725 nimemsikia sanaaaaaa, inaonekana anafatilia movie za kupaaa vuuuuuuuuuuh
@@dorcaskidoti249 kabisaa
PAMOJA #MTUMAKINI🤝
Unaota unazaa? Kumbe nikwelii jmn🙄😭😭😭😭, Namturudishie watt wetu pambafe nyinyi.🙄
😂😂😂😂😂mtoto atakufa kimiujizaa nafsi wanachukuwaa
@@nurafedrick378 sio hivyo yaani unaota umezaa au unanyonyesha, ila cha ajabu huna hata ujauzito, ulimwengu mwingine umezaa kweli usiku ukilala analetwa mtt unanyonyeshaa,
@@dorcaskidoti249 kweli kabisa
Ndoto tu hakuna lolote!
@@suleimanmustapha101 lakini kupitia hiki kipindi nilisikia, kama ukiota unafanya mapenzi unakuta unafanya kweli na wachawii?
Nmerudiiiii
Makin davistr
Wakwanza
Hongera
💃💃💃WA kumi 😀
Hongera 🤣🤣
Ongera yako sana
@@fatmaalrshdii7615asante
Hongera
Devi bwana eti kama mov stering
Ulimwengu wa giza una mambo aisee duu!
Sanaa
Kwa kweli huyu Dada anaongea uzuri
sanaa
Ndio hivo
@@farhathamdansalum9725 poa
Ok
@@farhathamdansalum9725 🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Njooni tuelewane hapa!!!!
🏃🏻♀️
@@ayshamahariq6665 vzr kumbe upo
@@fundiali4535 Npoooo
@@fundiali4535 tupo pamoja sana
Makubwa
Sasa kama anakunywa damu za watu na nyama za watu siku ukiitaji si utakula watu na kama umeolewa utamla mume wako
🤣🤣🤣👍
😂😂😂😂😂😂
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄malkia mzuri etyeeeee😢😢😢😢😢😢jini watumia chain kupaaa dunia inamambo nguvu xagizaaa xatembea hewani
Kwahiyo uliingizwaa kuximu dada pole sana kumbe kuna nguo zashonewaa kuximu zaletwa duniani ndomana kuna nguo nyingi xinakuagaa na chapa xaajabu 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
😥😥😥😥😥🤔🤔
Umeona eeèee
Kabisaa
Weeee
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Bahar ya hindi au Bahar ya hindia
🔥🇹🇿🇴🇲37
Mnatuchora nyie
Kwa maelezo yako wewe dada ni muongo nia yako kuuchafua Uislam ionekane majini na wachawi wote ni Waislamu.
Kweli katumwa huyu
Hapana usimfikilie vibaya, majini wanajua uislam ndo dini ya kweli . Kwahiyo majini yanajifanya kujiweka kama waislam ili kuwahadaa watu waache kuwa waislam. Kusikiliza story zote, majini yanakuwa na muonekano na majina ya waislam ili watu waogope kumbe uislam ndo dini sahihi kama watatumia akili
@@benjaminkiteleke8458 ....nimekuelewa ahsantee
@@benjaminkiteleke8458 kabisaa
🇰🇪🎲🎲🎲
Hii story ina u(ta)^2
Cjakuelewa 🤔🙄🤔