Nduguzangu Dunian gapa hakuna miyungu 2 -Hakuna Mungu aitwayr Yesu - Hakuna kitu kanisa - Hakuna dini iiteayo ukristo - Hakuna mtıöe wala nabii sasa hivi -
Kama hakuna sisi hatujui moja tulijualo na tumelishika hakuna aendaye kumuona Mungu bila kupitia kwa Yesu kristo yeye ni njia kweli na uzima, achana na ubishi wa mazoea karibu na weka moyo tayari kujifunza 7bu Mungu ni roho yapaswa kumuabudu ktk roho na kweli
Kila jambo lipo kwa kusudi la kufundisha wengine. Ni kama baba alifanya makosa, ila usiangalie makosa ya aliye kosea, jiangalie wewe mwenyewe usije kukosea ivi. Maana yeye aweza kutubu na kusamehewa kabisa mbele za Mungu, na akafanya vizuri.
Usiwe unahukumu kabla ya kusoma biblia ukaelewa maandiko. Tambua kwamba shetani hakuwahi kuanzisha maisha asipokopi kwa Mungu. Sima maandiko wewe, Mungu Baba anaitwa Bwana wa majeshi, ana majeshi ndio sisi na malaika wake.
😂😂😂😂😂Leo tumefikiwa makamanda wa Yesu oyeeeeee💪
Nduguzangu
Dunian gapa hakuna miyungu 2
-Hakuna Mungu aitwayr Yesu
- Hakuna kitu kanisa
- Hakuna dini iiteayo ukristo
- Hakuna mtıöe wala nabii sasa hivi
-
Hayo ni maoni Yako ndugu yangu ingawaje inakinzana na Neno la Mungu wa kweli .
Kama hakuna sisi hatujui moja tulijualo na tumelishika hakuna aendaye kumuona Mungu bila kupitia kwa Yesu kristo yeye ni njia kweli na uzima, achana na ubishi wa mazoea karibu na weka moyo tayari kujifunza 7bu Mungu ni roho yapaswa kumuabudu ktk roho na kweli
@@elizabethasajile9380 Amen amen dada Elizaberth mungu akubaliki sana kumwelewesha uyu ndgu.
@@nickyliz5261 Kweli ni maoni yake binafsi, yaliyo kinyume na Neno la Mungu.
Kwahiyo nabii ni yule "violence military leader"
Waa huyo .mama alikuja na mauchawi jamani navile mulikuwa 10
Stori hii nzuri ni funzo kwa wazazi wachukue majukumu na waache kutelekeza watoto wao hata wanapogombana.
Amen ubarikiwe sana kwa maoni yako mzuri sana ya kufundisha.
Sheby hayo macho hujafunga😂😂😂
Shebby 🔥
Shebby hujafumba macho 😅😅
❤️❤️❤️❤️🔋
J.boys 1999
Sheby acha uhuni 😂😂😂hujafunga macho
Huyo babako sahizi akisikia hii interview atajutia sana
Kila jambo lipo kwa kusudi la kufundisha wengine.
Ni kama baba alifanya makosa, ila usiangalie makosa ya aliye kosea, jiangalie wewe mwenyewe usije kukosea ivi. Maana yeye aweza kutubu na kusamehewa kabisa mbele za Mungu, na akafanya vizuri.
Hili n kusudi la Mungu kila mtu ajue madhara ya kuchepuka
😂😂 eti funza
hamna kitu ya commander wa yesu hizo majina ni kwa shetani where in the bible? fake alert
Usiwe unahukumu kabla ya kusoma biblia ukaelewa maandiko.
Tambua kwamba shetani hakuwahi kuanzisha maisha asipokopi kwa Mungu.
Sima maandiko wewe, Mungu Baba anaitwa Bwana wa majeshi, ana majeshi ndio sisi na malaika wake.
@@princepaschal9963 Hajui msamehe Tatzo wengi wanasomewa maandko hawasomi wenyew
eti kamanda wa yesu wakristo kwa kuchekesha😂😂
Unacheka wewe kwa sababu ya hitikadi zako binafsi zilizo kinyume na Mungu Baba.
1
Muwe mnaangalia sehemu za kufanyia interview kelele nyingi Bado na nyimbo duuu
Nenda watafutie wewe coz hamna kelele apo🙃
Angalau umesema wewe... wengine wamezaliwa kukosoa tu
Napendaga utulivu wako sheby.. ❤️❤️
Sheby saa nzingine unakuaga na majibu