@@igurusitv6553 Una hadabu na heshima huna adamu kwa wazazi wako mpaka watu usio wajua kwani amekutaja jina jifunze kuu nyamazisha mdomo wako haswa kwa watu usio wajua nilizani hapa tunajifunza kumbe kuna watu wanaangalia kisha wanayaacha utamjua vipi uliye mtukana ni nani Ana Nguvu hipi umajikuta unaingia matatizoni
Hii simulizi ilivyo anza niliidhalau lakin ni konk nawaonea huluma wanaolilia madaraka na umaarufu . Bilakujua mafanikio ya duniani nimikataba ya shetani kutoka kuzimu
Kwa kweli Freemason sai inazidi kukuwa manake mmbo mengi sai ni ya kumuaswi Allah na pia watu hufanya mmbo maovu mno, Allah atuepushe na mmbo haya na atujalie miongoni wa waja wema In Sha Allah
Mmmh matajili wengi freemanson marais wengi freemanson wasanii wakubwa wengi freemanson hii dunia ina nini lakni mungu atulinde na atusimamie tuko kwenye ulimwengu mbaya sana ulimwengu uliotawala shetani mungu atusimamie kwakweli
Dah yaan hii story imenifanya niwaze mambo meng sana cha msing ni kuwa Karibu na M/Mungu na kumtaja yeye kila Wakat kwan hakuna wa kutunusuru zaid yake
@@fadhiliswalehe9286 wewe ndo shetani? Unakifua kweli cha kumkingia shetani? Au unapima maji yanayochemka kwa mkono!!! Chukua Onyo hilo kwa Faida yako!!
Duu freemason makanisa eti wasanii na marahisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹hebu nikomae huku nikitafuta zaheri nanguvu yangu za freemason hapana nimtu ukifa Mali xaungua Xote hakuna faidaa
Mfalme amekula mzigo huo toka uko mdogo bado wamoto, Sheria ya ndoa lazima muende kwenye hanemun ili uzindue mzigo au kama ulisha zinduliwa basi unakwenda nao kihalali ili watu wote wajue ni wakwako
Cjui ni kwa nini hili kanisa Lina muunganiko na nguvu giza??!! Ee Mwenyezi MUNGU tupatie macho ya rohoni. Kanisa analotaja na eneo napafahamu kwa kuwa si mbali na home.
Duuuhh kazi ipo Dunia hii!!! Ila dogo angalia usijichanganye sana tusije kukupoteza 😁😁😁eti Maraisi wetu wako humo na nchi inakua na Rais mmoja, tueleweje sasa 😅😅😅uzuri hujataja jina mweee.
Amen kaka
Iyi simulizi nibala ni nzuri tena mbonge la zimulizi sema ingepata musimuliaji mzuri ingekua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Wewe Kama jini
Story nzuri Ila msimualiji hawezi kujielezea (respect kwako brother Mr Zabron a.k.a Mr Misosi)
Huyu dada mbn anasimulia km Muongo??🤔🙄🤔
Wah mungu ni mungu
Ndugu zangu kujikinga na hawa watu ni kuijua dua ya kujikinga asubuhi na jioni yaani kuisoma iyo dua akita kudhuru chochote juu wala chini
Weng hawajui hayo sasa kafiri atajikinga vp na uislam zero
My mzima naonba no yako
@@fadhiliswalehe9286 kafiri mamaako mbwa wewe
tupe iyo dua my
@@igurusitv6553 Una hadabu na heshima huna adamu kwa wazazi wako mpaka watu usio wajua kwani amekutaja jina jifunze kuu nyamazisha mdomo wako haswa kwa watu usio wajua nilizani hapa tunajifunza kumbe kuna watu wanaangalia kisha wanayaacha utamjua vipi uliye mtukana ni nani Ana Nguvu hipi umajikuta unaingia matatizoni
Hii simulizi ilivyo anza niliidhalau lakin ni konk nawaonea huluma wanaolilia madaraka na umaarufu .
Bilakujua mafanikio ya duniani nimikataba ya shetani kutoka kuzimu
😀 😀 Eeeee Naombeni lake jamani 😆sijawai kupata like
Hio hapo
💯💯Zote
@@oscarkibate1913 j
rukia mmanga mmanga chukua lake Victoria.
Asante jamani
Dada pole Sana kwanza
Sio Siri huyu dada Muongo!!!🤔🙄🔥
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Kwa kweli Freemason sai inazidi kukuwa manake mmbo mengi sai ni ya kumuaswi Allah na pia watu hufanya mmbo maovu mno, Allah atuepushe na mmbo haya na atujalie miongoni wa waja wema In Sha Allah
in Sha Allah🤗🤗🤝🤝🤝🤝
@@ayshamahariq6665 Biidhini Allah
@@farhathamdansalum9725 🤗🤗🤝🤝
Majini dah! Eti mazuri🤔
Yaraby 2pe mwisho mwema waja wako🤲
Nasema shetani ni nyoka watu wanabisha shetani jini awa wote ni nyoka ila wanauwezo wa kuvaa mwili na kujigeuza vyovyote vile..
Kabisaa
@@ikabako2454 😀😀😀😀anazingua jon
@@ikabako2454 😂😂😂😂😂
Huyo nae yuko na story nzuri kweli
India 😇😇😇😇😇 al rashd fany naww uend india
safi dav makini sana
Nimefika ndani na Mr Davista
666 lucifer illuminati, free mansion mungu atuepushe
Aisee hadi wanaweza kumbadilisha mtu awe shoga paspo uhitaji wake
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila kutuchapa viboko
kabsa 😍😍
Kweli duniani Kuna Mambo, mengi hatuyajui na wala tusiombe yatukute.. Duh na hii nayo ni bonge la Mkasa.. Mola atulinde na ulimwengu Kama huu.
Yani unapangiwa watu na watu jinsi ya kuwafanyia hiyo noma sana aisee
sanaaa
Mmmh matajili wengi freemanson marais wengi freemanson wasanii wakubwa wengi freemanson hii dunia ina nini lakni mungu atulinde na atusimamie tuko kwenye ulimwengu mbaya sana ulimwengu uliotawala shetani mungu atusimamie kwakweli
Kawthar , Ayshaaa. Somoeee . jirani . njooni davista uwanjani
Jaaman mzigo umefika muda umeenda sana kwetu nakuja kuangalia kesho insha Allah
@@zabiyafahmikhamis4873 sawa. InshaAllah.
Asante chidada changu kipebzi 😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 karibu sana
@@pilimusa7770 Asante chidada changu 😍😍😍
Dah yaan hii story imenifanya niwaze mambo meng sana cha msing ni kuwa Karibu na M/Mungu na kumtaja yeye kila Wakat kwan hakuna wa kutunusuru zaid yake
kabisa maana dunia ina mengi
Aisha Beka
Ameen
Na miss mzee wa misosi mwita😃😃🤣🤣anajua story telling
Huyu dada kwa kweli alipitia mmbo mabaya
Sana
@@pilimusa7770 yenyewe
sana
@@ayshamahariq6665 ndio hivo
@@farhathamdansalum9725 Atunusuru 🤗🤗
Allh atulinde n majini n mashetwani
Pamoja🙏🙏
Yaani nilikuwa wa kwanza mara naona video imefutwa fasta 😂🤭
Hata mimi ilikua hivyo nikahisi labda mapicha picha tuu
Hahahahaaaa
sikia hivo number moja uwa yangu huku😁😁😁😁😁
@@moreenmbatha1147 😅😅😅😅😅🤸♂️🤸♀️
@@mariammgombayeka1824 😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂💃💃💃
Team kuchelewa kama kawa 💃💃💃
💞💞💞💞💞🤝🤝
Shetani apigwe kwa Jina la Yesu!
Ushuhuda mzuri!
Shetani hupigwa kwa kufanya matendo mema.Simple!
Umefeli 100%
@@fadhiliswalehe9286 wewe ndo shetani? Unakifua kweli cha kumkingia shetani? Au unapima maji yanayochemka kwa mkono!!!
Chukua Onyo hilo kwa Faida yako!!
Yaan stor nzur Ila kujieleza hawezi
Yule mtoto aliyepewa kule india alimpeleka wapi?
🙄maskn wakakufanya flash wabadili wimbo tu
Ayshaaa. Sapna njoooniiii.Davistar uwanjanii
Asante chidada changu kipenzi nshafka💃😍😍😍
@@ayshamahariq6665 karibu sana kipenzi changu
@@pilimusa7770 Asante kipenzi changu 💞💞💞💞
Duu freemason makanisa eti wasanii na marahisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹hebu nikomae huku nikitafuta zaheri nanguvu yangu za freemason hapana nimtu ukifa Mali xaungua Xote hakuna faidaa
Haya maisha bana mda wote nikumwomba Mungu tu
kweli kabisa
@@khadijaomari9344 nikweli
Aiseee pole sana Dada kwa majanga
Yani pole yake kweli. Dunia ina mambo kweli
@@pilimusa7770 ndio hivo, ila yote kumtegemea Allah na umueke Allah mbele
@@farhathamdansalum9725 kabisa yani
Awe pole 🤔
@@ayshamahariq6665 pole yake sana
Mzee wa viduu unasinzia au ndio anakuchukua naww? 😂
Angesema tu viongozi na sio kusema maraisi sasa maraisi wamebaki 3😂😂😂😂🏃
My naomba no yako
@@maimunatanzania1174 Baby namba hapa aiwezekani wanaona wengi njo Instagram njoo dm @mariamlipiti_tz
Anasimulia vizuri sana
Mzee wangu Davy tuko pamoja
Mungu tulinde waja wako hii dunia ni tambara bovu. Kwa kweli.
ndo maana zabron alisema makanisa mengi hufuata nguvu ya freemason hyu binti amesema pia sasa bora mtu ategemee yesu
Mfalme amekula mzigo huo toka uko mdogo bado wamoto,
Sheria ya ndoa lazima muende kwenye hanemun ili uzindue mzigo au kama ulisha zinduliwa basi unakwenda nao kihalali ili watu wote wajue ni wakwako
Aaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii inatisha sana Kishim 2
Tunaomba sehemu inayofuata
Dah....mung atunusur na ivi vitu
Smliz nzr ila simuelew vzr,kama vile hannyoshi Vizur maelezo
Aiyam. Hamad. Eric.khulood. Blessed. Griezmann. Amina. Mariam. Shantelle. Kalssam. Nguwalo. Aisha. Smilley rafiki. Suleyman. Suleiman. Fatma. Somoe. Njooni. Davista uwanjaniiii
Hulal pili😂😂😂😂😂
Pilli mama nimekuja mamaangu
@@suleymanally4729 silali mpaka nimalize part 3😂😂😂😂
@@sweetie6934 karibu sana wangu
@@hamadwaziri121 karibu sana
Pamoja sana mtu makini.
Iv hii stor ni kwel au tunaootezeana tyme🤣
Yani Hawa mashoga kumbe wengine wanafanya mambo bila kujijua ?
Hatari 👀👀
somoe pili Fatma Hidaya sapna Fatm Amina Kevarist Farhat salum Hamis dee lissa Nasra Fundi wetu Nguwalo suleyman Fm morn blessed malima upoo? Sapna Aiyam Aisha Eric Rizki na wengineo njooon mambo tayari🇪🇭🇪🇭💞💞
@@ikabako2454 Nmefurai kukuona 💞💞💞💞
@@ikabako2454 Nakutakia kilalaher kisho kijaaliwa🤗🤗💞💞💞💞💞
🙄🙄🙄 nililala
Tupooooo
@@nguwalofakhr5965 pamoja sana kipenzi💞💞💞💞
Tuendelee
🙏🙏🙏
Uyu Dada uyu sizan kama anatongozwa mtahan kwao kwa wanae mjua na story hii
Iwe ya uongo iwe ya ukweli tunasonga nayo kihivo, bora tu iwe ya kuvutia
Mr Facts vipi ? Mbona una kaa usingizee umekuelewa
Nipo nipo
unaanza kuzoea mgeni karibu utupite😁😁😁
Wa kwanzaaa🎉🎉🎉🎊🎊🎊🎊🎊🎈🎈🎈🎈🎈😍😍
Vizuri sana
@@farhathamdansalum9725 asante
@@pilimusa7770 karibu sana😘
@@sweetie6934 sanaa😂😂😂😂. Asante jirani yangu kipenzi
Hongera kipenzi changu😍😍😍😍😍😍
Nipo
pamoja
Kuanzia leo staki mtu anishike begani kbs, Kubadili mkaka na kumfanya shoga mtt wwatu.😥😥😥
🤣🤣
@@rahemahassan3015 ukinigisa tu begeni nakutoa nabanzi la kofiii 🙄🙄
Cjui ni kwa nini hili kanisa Lina muunganiko na nguvu giza??!! Ee Mwenyezi MUNGU tupatie macho ya rohoni. Kanisa analotaja na eneo napafahamu kwa kuwa si mbali na home.
Shetani hamsumbui mtu wake anamsumbua yule anayejua si wake ili amrudishe kwenye anga lake
Nasubili namba nne jamani story nzuri
Kumanisha ashafanya mapenzi na mfalme mxee alieye ozeshwa nae, mbona ataji hapo,
Hata mimi nilikua nasubiria hicho kipengele
😂😂😂😂😂
@@charlesmapunda5905 itakuwa ivo mzigo ushaliwa
Duh
😁😁😁😁😁😁 hiyo tu ndio swali😁😁😁
Davita mtu alie maskini Jina lime kukubali. Hapo sasa
ATI maskini, hahaha
@@cosmaslagat5023 nimekosea ni mutu uko makini. Si maskini. Emejiandika vibaya tu
Asant
Duuuhh kazi ipo Dunia hii!!! Ila dogo angalia usijichanganye sana tusije kukupoteza 😁😁😁eti Maraisi wetu wako humo na nchi inakua na Rais mmoja, tueleweje sasa 😅😅😅uzuri hujataja jina mweee.
Lbd waliopita na waliop
Uongo wenye digree!
Mkujee ndugu zangu
💃💃💃💃💃💃💃
Nimechelewa lkn sio mbaya
Sasa cjui nimechoka kama Davis make xtory ikifika mbele tu kidgo nasahau ckumbuki hata kidgo nakumbuka kichwa cha habari tu duh.
Huyu mimi simwelewi kabisa lakini haidhuru ...... nangoja part ingine. Damu ya Yesu yanitosha.
Mbona amesema ile
Cheni aliyopewa mmilik ndo alipata madhara kwa sababu yeye ni binadamu alivaa tu
wachawi mungu anawaona vile mnasumbua watu hata watu hawana hatia
My naomba no yako
miaka yote na fatilia history zako ila story nilio penda ni ya zabroni mwita
Team zabron tunajua kumbe
Eee Mungu turemu
Tupo pamoja kwenye safari
Mambo mi nakutaka we uko wapi
We SI ulisema una hips nzuri
Nitumie namba
❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪
Haya wanazengo wa davistar mata kitu kipyaa tayar 😉😉😉😉
Tushafika asante
Nshafka chidada changu kipebzi 😍😍😍😍
Alhamdulillah w mwishooooo😭😭🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole
Mbona Tupo wangi 😥😥😥
@@fatmaalrshdii7615 Asante chidada changu 💞💞💞💞
@@somoeawadh7774 pamkja sana chidada changu 😥😥💞💞💞💞
sikia hivo si jana ulinipita tulie pamoja😢😢😢😭😭😭😭😭😭😂😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃💃💃😁😁😁😁😁😁 wali upload kama tushaa lala
Tobaaa wakristo kazi munayo muwe makin sana na makanisa munayo swali duuh
Hii ndi ndoto au ni true story?
True story
Wengi wasio na imani thabiti ya kidini ni kawaida kutoamini haya mambo.
@@pilimusa7770 kabisa
Nahisi just a dream
@@abbyadams8691 kabisa
Jungu lipo mezani watu twalila la motrooooooo
Sanaaaaa😂😂😂😂. Alafu tamu sanaaaa
@@pilimusa7770 teeeeeenaaaa sanaaaa🤣🤣🤣🤣
Ukweli kabisa tamu sana aaa
@@ayshamahariq6665 😂😂😂😂
@@pilimusa7770 hapana chezeaaa yaani😧
Dui kumbe mbohayo yapo🤔🤔🤔
Km movie jaman dah kwl ulizanialo haliwez kan lawezekana
Kawekamo kaz mnayo
God protect us with blood of Jesus.
Jamaa awe shoga Subhanah Allah
Hiii kal 🤔🤔
@@ayshamahariq6665 sana
@@ayshamahariq6665 ndio hapo, inawezekana mashoga hufanyiwa hivo
@@fatmaalrshdii7615 Allah Atunusuru wajawake 🤗🤗😍😍😍😍
@@farhathamdansalum9725 Allah Atunusuru wajawake🤗🤗😍😍😍😍
Airtel Wanapigwa Kiki Na Weifa Lakini Bado Intaneti Yao Mbaya
Davix mbona unasinzia au wew nae tayali uko kwenye chupa make co kawaida yako hahahaaaaaa
Asalam Aleykum 😴😴💞💞🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@@ikabako2454 💞💞💞💞💞💞💞💞🤝🤝
Walleko Msalaam wallamatulahi waballakatu
W. Salam
@@fatmaalrshdii7615 💞💞💞💞💞💞💞🤝🤝
@@fundiali4535 💞💞💞💞💞💞💞💞🤝🤝
Hadithi njoo, utam kolea.....
wewe dav itabidi umusaidie binti kusimulia vizuri juu kuna vipengele anaviwacha
Number 4/5 hipande
Yani Hilo litapeli ukilileta Tena davast tutasusi kipindi chako linamasifa sana
@@minicooper9642 anaitwa mti mkavu
@@minicooper9642 sijui kma misifa yke naiona pekeangu
Hahaha
Nani huyo😂😂😂😂
@@maryamumapenzi1257 😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu. Unamchokoza mganga eee😂😂😂😂😂😂