PART1!NIMEOLEWA NA JINI TUMEZAA MTOTO NAISHI NAE/ALINITOKEA AKAGEUKA SOKWE/ANAKUJA USIKU KUNIFANYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 442

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 4 роки тому +9

    Hebu njoo kwa Yesu ndio kiboko ya uchafu Mimi ni binti tu km unaweza nitafute maana hayo madude yananiogopa Sana

  • @yaqoobsalim5808
    @yaqoobsalim5808 4 роки тому +4

    Jamani Majini yapo na Uchawi upo ,omba yasikukute ,uatateseka sana ,Allah atulinde na kila balaa ,Amiin

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko2170 4 роки тому +9

    Ooh hosea 4:6 Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mwanadamu mbona unaangaika hivi hali Yesu Kristo yu hai?

  • @ambokileboniface3691
    @ambokileboniface3691 4 роки тому +6

    Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia ya kweli na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi,. Mungu alie hai na akutetee

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe1587 4 роки тому

    Pole sana dada nakushahuli tafuta mucungaji akuombeye utapona katita jina la Yesu kristu wanazaretii

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 4 роки тому +6

    Waaah hii ni funzo ata nkiitwa kwenye doto sitakubali kweli dunia ina mambo pole kwa matatizo waiting for part 2/3.

    • @bittebenard43
      @bittebenard43 4 роки тому

      Kukubali kuitika au kutoitika kwenye ndotooo ni imani yako ndiyo itakusaidiaaa

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 4 роки тому +66

    Soma lailaha illa llah wahdahu la sharika llaha lahu mulku walahu lhamdu wahuwa ala kuli shaiin qadiir ×100 asubuhi na jioni Allah atakuepusha na hilo.

    • @Ramadhan12623
      @Ramadhan12623 4 роки тому +1

      umexema kwl

    • @awesomevibes5847
      @awesomevibes5847 4 роки тому

      @@Ramadhan12623 kwaiy mumeamini sio.... 😁😁 bnadamu azae na jini hebu waulizeni wanaojua kwanz sio mnadanganyana tu...

    • @habibatyntosso1436
      @habibatyntosso1436 4 роки тому

      Inshaallah

    • @mwajumamasumbuko2170
      @mwajumamasumbuko2170 4 роки тому +4

      Yote hayo hayatamuondoa jini kamwe mwambie ukweli tu kwamba aende kwa yule mwenye haki yaani Yesu Kristo huyo atamuweka huru kweli kweli

    • @awesomevibes5847
      @awesomevibes5847 4 роки тому

      @@Amina-bq2xe mhhh sawa bhana unaweza kumuona jini bado ukabaki hai kizembezembe tu mana majini shoga zetu...... 😂

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 5 місяців тому

    Sasa wakristo hatuendi kwa wataalamu,mtalaamu wetu ni Yesu Kristo,anatuponya bure kabisaa, Asante Yesu Mwokozi wetu.❤️🙏

  • @kulwapaul2721
    @kulwapaul2721 4 роки тому +16

    Dah! Leo nimekua kumi boraaaaa, pamoja davistar

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 роки тому +48

    "Huwezi kuamini"Yesu ndio kiboko cha majini. Ukimkubali Yeye jini halitakuweza kamwe!

    • @dianawitgar6760
      @dianawitgar6760 4 роки тому +1

      Hii ndio dunia

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 4 роки тому +3

      Weee wacha kujidanga hao wachungaji wenyewe wanatumia wachawi 😂😂😂😂tushasikia sitoli za wachungaji

    • @haleemasulthan4894
      @haleemasulthan4894 4 роки тому +1

      kwa iman yako huyo kiumbe yesu kaubwa kama alivyo ubwa jin na mungu moja

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 роки тому +7

      Ukimwamini Yesu kristo kilakitu kinamtii mapepo na kila baya linateketea kwa damu ya Yesu

    • @bukobatalentsnanimkali9423
      @bukobatalentsnanimkali9423 4 роки тому +1

      @@imansaid8020 Ila hajazungumzia wachungaji ebu soma tena umuelewe😂😂😂

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko2170 4 роки тому +3

    Dada kama anataka jini hilo lisimsumbue kabisa ampeke Bwana Yesu maisha yake mana kwa Bwana Yesu hakika jini litafyata mkia Bwana Yesu hapungi jini ila linafyatuka kwa jina lake atakuweka huru kabisa

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 4 роки тому

    Subhanalha. Pole dada ila isiende kwa waganga kuku. Kwa iyi una ndoa mbili mtihani kwa kweli

  • @fatmasule1175
    @fatmasule1175 4 роки тому +30

    Pole Sana Dada ila nakushaur ukilala jitahid kulala na udhu na ayatulkursiyu yassin japo Aya chache na usome Dua ya kulalia iyo Ni Kinga dhid ya majin na wachaw ayatulkursiyu jitaid kuyasomea na maji Kisha upulize kila pembe ya nyumba yako hayo maji uliyoyasomea

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 4 роки тому +1

      Umeongea lamana sn ndg yang

    • @SAM_163
      @SAM_163 4 роки тому +2

      YESU NI JIBU.
      MTAFUTE YESU DADA🙏🙏🙏

    • @schanasimai3593
      @schanasimai3593 4 роки тому

      Unayapulizia vip sijaelewa

    • @zakialustan722
      @zakialustan722 4 роки тому

      @@SAM_163 angeokoa mapadri huko italy kwenye ngoma ya ukiristo

    • @SAM_163
      @SAM_163 4 роки тому

      @@zakialustan722 Shida yako unachuki na ukristo .
      Pole sanaaa but ndo ivyo njia Sahihi ni kumfuata YESU.🙏🙏🙏

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 4 роки тому +27

    Kama kuna mtu anasoma coment kama mimi aje tukutane mbagala😂😂😂😂

  • @zawadimrina3136
    @zawadimrina3136 4 роки тому +8

    Yesu pekee ndiye msaada wako. Mathayo 11:28 , mkabidhi Yesu Shida zako naye atakuweka huru.

  • @rashidjuma144
    @rashidjuma144 4 роки тому +2

    Happy kwenye pesa nakupa hongera ila huyo jini ni nomaa Sanaa davistar mata naendelea kujifuza🌻🍉

  • @professormpakistanimweusi5766
    @professormpakistanimweusi5766 4 роки тому +6

    Naomba Namba za huyo mama Kaka Davista,uenda akapata Msaada kwa uwezo wake Allah In Shaa Allah

  • @marysellawanza2315
    @marysellawanza2315 4 роки тому +7

    @Davistar Nisambazie namba nikusimulie maisha kwa ufupi ambayo sio ya kawaida nimeyapitia nipate ushauri kutoka kwa wanadunia

  • @saidbildo9365
    @saidbildo9365 4 роки тому +18

    Christina umenisahau kwamba mie ndio wakwanza eti.
    Breakfast luch and dinner niko kwenye yutube.
    Yeye kabala hajatuma kidole changu kiko kwenye like 😜😜😜😜

    • @aswilashabani6016
      @aswilashabani6016 4 роки тому

      🤣🤣🤣 nimecheka hadi nimesahau kusikiza lengo

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 роки тому +2

    Wallahi mama umenitia huruma suala lako linatibika bila ya wasiwasi wwte kwa idhni ya Allah mm niko pemba na nimpemba halisi ukiwa uko tayari nitafute wallahi muda mchache tu utayasahau hayo kwa idhni ya Allah.nitumie namba yako kiukweli nimeguswa mama ninahitaji kukusaidia.tiba haipatikani kwa mganga tiba ukifuwata utaratibu aliwo uweka Allah (s.w.t) kupitia mtume muhammad(s.a.w) wallahi kila kitu kinawezekana.katika hadithil qudus mtume (s.a.w) anasema ""Allah hakuteremsha ugonjwa ispokuwa kila ugonjwa unatiba yake"" ukipenda lakini utanitumia namba yako shukran.

  • @sawikifadhili148
    @sawikifadhili148 4 роки тому

    Vizur umrudie mungu. ...kinga zip nyingi tu. ..soma aayatu l qursiyyu asubuh na jion. ..na sura 3. .ikhlaaswi, falaqi na nnaasi kila siku. ...Acha mambo ya waganga

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 роки тому +47

    Representing +254 🇰🇪 🇰🇪

  • @fahadkhalfan2079
    @fahadkhalfan2079 4 роки тому +7

    Davistar mata naomba namba ya huyo mdada kuna dua nataka nimpe naamini kwa uwezo wa mungu atapata msaada. Usidharau tafadhali kw kweli anateseka sana

  • @mwamurekadenge2161
    @mwamurekadenge2161 4 роки тому +1

    Allah akupe umri utuongozo na stroy zako Devistar I believe ur story

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 роки тому +31

    Shetani ashindwe ktk JINA la kristo YESU

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 4 роки тому +13

    Imani yako dhaifu, badilisha imani uliyonayo, mtegemee Allah na uombe msamaha makosa yako, kisha muombe Allah akuondoshee huo mtihani.
    Hakuna yesue wala mtaalamu hapo

    • @SAM_163
      @SAM_163 4 роки тому +1

      Allah yupi tena wakati ni Muislam hapo????
      YESU NI JIBU..
      MTAFUTENI YESU HAYA YATABAKI STORY 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @aishahela1735
      @aishahela1735 4 роки тому

      @@SAM_163 yesu ndi mungu stop amin kwa imanyako

    • @alisenitunda9056
      @alisenitunda9056 4 роки тому

      Allah akupe Tahafifu na usiache swala tano

    • @ismamansour2620
      @ismamansour2620 4 роки тому +2

      @@SAM_163 Yesu ni mtu kama yeye hana msaada wowote kwake, anchotakiwa kufanya ni kutawaqal kwa Allah ukweli wa kuabudu

    • @safimabelle8230
      @safimabelle8230 4 роки тому +1

      I Love Allah yesu ni mtu kama mimi na wewe munatafuta kuniwa mimi mtu yesu na wewe unabudu yesu mtu 😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣

  • @johnzacharia2308
    @johnzacharia2308 4 роки тому +9

    Dada njoo kwa YESU utapata pumziko hayo ni madogo kwake

    • @thomasmwakatobe8207
      @thomasmwakatobe8207 3 роки тому

      😂😂😂😂 Safi sana kamanda Yesu ndio mwisho wa mambo yote

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Місяць тому

      ​@@thomasmwakatobe8207
      Ww huyo yesu kakusaidia nini?
      Yeye mwenyewe anataka msaada

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 роки тому +10

    Shindwa shetan kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliyejuu mbinguni,shetan achia maisha ya watu wa Mungu

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 роки тому +1

      Kwa imani yamuachilie kwa damu yamwana kondooo

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 роки тому +1

      Aachie kwa damu ya Yesu hana mamlaka juuu yako dada

    • @mwajumamasumbuko2170
      @mwajumamasumbuko2170 4 роки тому

      Kwa jina la Yesu Kristo muda huu lichanganyikiwe kwanza kisha aje kwa Yesu liondolewe, Halleluya

  • @geejireh4730
    @geejireh4730 4 роки тому +2

    Njoo kwa Yesu

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 роки тому +1

    Mr Mata hongera sana Kwa Kazi Mzuri Dah aya mambo utasema story lkn Yapo Kweli Pole dada

  • @gracebalaboy4849
    @gracebalaboy4849 4 роки тому +3

    Pole dada kwa mapito hayoo, mkimbilie yesu hayo yote yataishaa yesu ndo msaada wetu

    • @zulfamohamed4549
      @zulfamohamed4549 4 роки тому

      Yes kwan nimungu au vip acha ujinga

    • @gracebalaboy4849
      @gracebalaboy4849 4 роки тому

      @@zulfamohamed4549 wew unamwamin yesu Kama Nan ndugu,na unajua Kama Nan kwako maan usipende kujibu tyuu alafu kumbe hujuh yesu ni Nani kwako

  • @cathynkoli5127
    @cathynkoli5127 4 роки тому +1

    Aya pole san nenda kwa sheikh majin

  • @tedkadodo2790
    @tedkadodo2790 4 роки тому +1

    Davistar .hongera sana maana unatufunza mengi ya ufalme wa giza..lkni jarbu kufuatisha prt 1 na 2 ama ukiweza zote..na itakua baraka sana..kenya tunakushabikia

  • @lazackbrown1645
    @lazackbrown1645 4 роки тому

    Imani yako ndogo Na Ibada unayoifanya sio Ibada sahihi Ni ibada ya kukalilishwa tubu halafu mwabudu Mwenyezi Mungu katika roho Na kweli achana Na ibada Za mazoea!

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 4 роки тому +22

    Mungu atakuvusha kwaamaana hakuna lisilowezekana

  • @yemamaulidi4969
    @yemamaulidi4969 4 роки тому +1

    Mungu kwa kweli akusaidiye iyo shida ni kweli. Kama ni uongo kaz yako

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 4 роки тому +63

    Gonga like jaman sijawah pata hata like 10

  • @margaretelkanah2038
    @margaretelkanah2038 4 роки тому +2

    Dada, wewe nenda kwa Gwajima utapona katika jina la Yesu. Hayo masumbufu yanatokea ni mapepo tu.

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому +2

    Dada ungekua izo ibada zako zinakusaidia au mganga anasaidia basi jini angaacha lkn dada ungekua unamuita Yesu uyo jini angeondoka .mimi yamenitokea ayo jini alinipa kitu nilikua bakoni nikakataa akanifata kitandani bado nikakataa nikaamka nikakemea akaja tena akaniamshaa nimfate nikakataa nilipo amka nikakemea vby sana basi wakaja kwa njia tofauti lkn nikawa nakamea wakapotea mwezi ulio pita nikaota muhindi wa kike kaja kanikabidhi mume wa kiislam kavaa kanzu na kofia kaja anioe nikakataa nikawaambia nampenda Yesu siwez olewa na muislam. Nilipo amka nikakemea sana wameacha saiz ingawa wanakuja kwa njia tofauti mala wanyama mala sijui nn lkn naita jina la Yesu tuu wanakimbia. Amna mganga wala jini atae weza kusaidia mwanadamu zaidi ya damu ya Yesu

    • @ashaalkharas8883
      @ashaalkharas8883 4 роки тому

      Si kila anaevaa kanzu Ni muislamu jamani...na pia ifahamike kua Si kila jini Ni muislam wapo pia wasiokua waislam tusikariri jamanii

    • @ashaalkharas8883
      @ashaalkharas8883 4 роки тому

      Pia nina mfano hai jirani zangu wanaenda kanisani asubuh na jion kwa mganga wanaenda km kawaida ..sio muislam tuu ndo anaenda kwa mganga na tena uislam unakataza shirki au kumshirikisha mungu ( muislam safi haendi kwa mganga na uislam ulivo mzuri au ALLAH anavotupenda ametuwekea dua za kusoma kila muda kujikinga na shari viumbe sheitwani na jini

    • @neemamichael1592
      @neemamichael1592 4 роки тому

      Mh pole sana jamn👹

    • @michaelcharles953
      @michaelcharles953 4 роки тому +1

      Kama ibada zako zingekusaidia ungekuwa Hulu Lanni hazina musaada kwako MPE yesu ma is ha yako utaondokana na shi da hizo

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 роки тому +1

      @@ashaalkharas8883 lkn si mpo nao?mnaswali nao ktk manabii walio pita amna nabii alie swali na jini na wanawatambua kama viumbe wabaya ndio maana Yesu alitoa pepo na kina Peter walitoa mapepo lina eliya waliwaua aho waabudu majini kama una andiko lolote kutoka ktk vitabu vya kale yan torat injili na zaburi toa ilo andiko apa.ila nimefurah umekubali majini nao ni waislam apo nimefurah kwakweli ila uku kwetu amna jini wa kikiristo kama yupo nitajie. Nacho jua na nilicho shuhudia kwa macho yangu ni kwamba mtu mwenye majini akiingia kanisani lzm apandishe na kupiga kelele kama anaungua nimeshuhudia na sio kuadisiwa nimeshuhudia rafiki zngu wakisumbuliwa na majini na aho majini wakisomewa Qran wanafurah uku wakisifia maneno ya Allah so jiulize viumbe kama ivyo mtavitoa vp ikiwa mnashirikiana nao?

  • @joyanambuya3695
    @joyanambuya3695 4 роки тому +3

    Kak unatuletea story za kuelimisha sana mungu akuweke

  • @gracemussa9922
    @gracemussa9922 4 роки тому +1

    Duh pole San dad

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 4 роки тому +8

    Ukilala soma ayatul qursiyu

  • @SAM_163
    @SAM_163 4 роки тому +1

    YESU NI JIBU.
    DAVISTA WEWE NI MUISLAM BUT UKWELI NI KWAMBA NJIA PEKEEE YA HUYU DADA KUWA HURU MWAMBIE AMTAFUTE YESU.
    YESU NDO KIBOKO YA HAYO YOTE KUBALI KATAA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gwamakamwakyambiki4061
    @gwamakamwakyambiki4061 4 роки тому +1

    Yanamuogopa Yesu, njoo kwa Yesu

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 4 роки тому +9

    My best channel na quarantine hii,congratulations #davista ❤👌🔥

  • @nehanasri4531
    @nehanasri4531 4 роки тому +2

    hahahaha mambo ya ajabu kama siamini vile 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @annaandrew4845
    @annaandrew4845 4 роки тому +4

    Njoo kwa Yesu uachanishwe na hiyo nini mahaba

    • @arkaniramba2616
      @arkaniramba2616 4 роки тому +2

      Wakristo xomen bax achen umagharb tatzo mmebeba iman bila akili

    • @SAM_163
      @SAM_163 4 роки тому

      @@arkaniramba2616 ww umebeba uarabu ndo unaona upo sahihi sio???😃😃😃😃

  • @saidbildo9365
    @saidbildo9365 4 роки тому +2

    Yes dear Davista thanks

  • @mahijamasukuzi9246
    @mahijamasukuzi9246 4 роки тому +8

    Hayo majini dawa yake unasomewa kisomo Quran ndio kiboko,hao waganga wamatunguri ndio kwanza unamchokoza huyo jini akufatilie hawawezi

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 роки тому +1

    Kuwa na imani dada kwajina la Yesu utapona.

  • @michaelnyondo4757
    @michaelnyondo4757 4 роки тому

    kabidh maisha yako kw yesu na hio hali itaisha kwa jina la yesu

  • @abdallagakweli6366
    @abdallagakweli6366 4 роки тому +7

    10 person to watch this thnx Mr fact tuko pamoja all the way from Qatar 🇶🇦

    • @stellanestory7022
      @stellanestory7022 4 роки тому

      Dadaanatishasana

    • @babyboss2886
      @babyboss2886 4 роки тому +1

      Pia Nami niko huku Qatar tuzidi Sana kutizama na pia ku promote DM kwa ku subscribe hapa hapa

    • @hamisihamso3699
      @hamisihamso3699 4 роки тому

      Sue lerroy yes bro we are together i am from qatar which place are you stay??

    • @babyboss2886
      @babyboss2886 4 роки тому

      Hamisi Hamso kwanza MI ni mwana Dada nipo sehemu za Al wakra

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 роки тому

    Simamisha swala 5 na kufanya Ibada nyingine, Biidhnillah utajiepusha naye.

  • @hananabeid5962
    @hananabeid5962 4 роки тому

    Pole Sana dada lala na udhu na usome ayarkurs na kulhuwallahu na nass na falaaka mara 3 kila Sura

  • @mrsmihammadali132
    @mrsmihammadali132 4 роки тому

    Pole nitafute inbox

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 4 роки тому

    Subhannallah Allah akunusu jitahid kudum na udhu kila kitu

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 4 роки тому +4

    Baar na mashungi hayo, alafu kwenda kuchongesha pete umempenda jini. Mweeeeehh!!!😁😁😁

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 4 роки тому +1

    Mmmhhh mungu wangu Duuu pole sana

  • @happydamas7580
    @happydamas7580 4 роки тому +1

    Dada njooo kwa yesu yote hayo yataisha

  • @munezerodeborah9822
    @munezerodeborah9822 4 роки тому +6

    Nakufatilia nikiwa burundi nakupnda sana

  • @shadiamukerabirori1241
    @shadiamukerabirori1241 3 роки тому +1

    Kimbiriya kwa yesu anawezayote

  • @hasanirajabu312
    @hasanirajabu312 4 роки тому +11

    kusema kweli kiumbe ambacho hakionekan so chakukichezea ukweli vyaogopesha sn

    • @mwajumamasumbuko2170
      @mwajumamasumbuko2170 4 роки тому

      Tatizo huna Yesu Kristo huyo ukiwa naye jini ni kama sisimizi tuu

    • @jacklinemudhoka9596
      @jacklinemudhoka9596 4 роки тому +1

      Mwajuma Masumbuko kweli kabisa

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 3 роки тому

      @@mwajumamasumbuko2170 so kweli mbona hata wakristo wanaangaika na mapepo na kuanguka uko makanisani kwenu!!?

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Рік тому

    NYINYI MMEGAGANA YESU YESU YESU NDO MUNGU YESU NI MJUMBE WA MUNGU SIO AMUOMBE MUNGU INSHAALLAH ATALETA SHUFAA ALLAH NDO KILA KITU

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 роки тому

    Uchawi noma

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 роки тому +4

    Uswali swala tano kwasiku lkn bado ulikuwa unaenda kwa mganga kwann jamani usiamini Mungu wako mana ilemarayakwaxa usinge chongesha Pete naukaenda ukasomewa hiyo hali nadhani haingeendelea lkn kuswali upo kwamganga upo😷😷

  • @mariammjonde2505
    @mariammjonde2505 4 роки тому +1

    Pole dada

  • @halimajuma3519
    @halimajuma3519 4 роки тому

    Hatari

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 4 роки тому

    Dah kwer pamoja sana

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 4 роки тому +1

    Great work.

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 4 роки тому

    Story nzuri sana tunaomba mwenderezo chap

  • @maduahusen1231
    @maduahusen1231 4 роки тому +1

    Daa kumbe haya mambo yapo

  • @zawadyjonas1016
    @zawadyjonas1016 4 роки тому +15

    Tunajifunza mengi, kupitia wewe, sichoki kutazama

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 4 роки тому +3

    I love this guy....mstaarabu yani....

    • @faidhirashidi1354
      @faidhirashidi1354 4 роки тому

      🎁🎁

    • @shabankumalija1929
      @shabankumalija1929 4 роки тому

      Wewe acha uongo. Pete ulijivisha mwenyewe. Na kama ulikuwa unapata hela nyingi umefungua viwanda vingapi?. Na hayo mambo mbona ni ndoto tu acha hizo we we ni mshilikina

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 роки тому +17

    Nenda zanzibar ukapate kisomo kwa shehe mardhiya

    • @hannanomar994
      @hannanomar994 4 роки тому +2

      Asalaam alekum tupe number ya sheikh .

    • @lissapoul5227
      @lissapoul5227 4 роки тому

      Tusaidie no plz

    • @mamboyake4520
      @mamboyake4520 4 роки тому

      haji Abdalla ...nambari ya shehe ipo wapi

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 4 роки тому +1

      @@mamboyake4520 katika YUTBE andika shehe mardhiya kitakuja kipindi chake na namba inakuwa wameiweka .utaweza kumpata

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 4 роки тому

      @@lissapoul5227 katika YUTBE andika shehe mardhiya yatakuja mawaidha yake

  • @muslimdawah7258
    @muslimdawah7258 4 роки тому

    Sikiliza ww ukiona unatembelewa na mashetani wa kijini. Ujue Imani yako dhaifu juu ya kumuabudu Mola Wako, huwezi kuondokewa na matatizo kwa kuwa Fata Hao waganga wachawi. Hakuna binadam anaye weza kumuona jini live, ww ulifanyiwa mauzauza hivo mche Mola Wako na uache Imani za kishilikina

  • @utapatatabusanautanyooka2600
    @utapatatabusanautanyooka2600 4 роки тому +6

    Mtangazaji nawa dau naomben like yangu kuwa wakwanza💪💯💯💯🔥

  • @mamuually5579
    @mamuually5579 4 роки тому +1

    Jamani mdumu na ayatul kursiyu ni dawa kubwa sana

  • @geejireh4730
    @geejireh4730 4 роки тому +1

    Njoo kwa Yesu njoo kwa Yesu

  • @yusufmngangi9327
    @yusufmngangi9327 4 роки тому

    hello Davista thans kwa stores

  • @nomatter1239
    @nomatter1239 4 роки тому +11

    Dah hii chanel wat wanaipenda sn yan dakika 9 tt wat wapo kam 110 siop pp

    • @utapatatabusanautanyooka2600
      @utapatatabusanautanyooka2600 4 роки тому +1

      Mwanangu Kama umejiunga nahii chanali utaipenda Kuna kuja vitu vyakujifunza twaipenda kweli hii midia 🔥💪💪💪💯

    • @maryjuma3943
      @maryjuma3943 4 роки тому +1

      Mtangazaji nakukubar sana

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 4 роки тому

      Yaani napenda sana hizi simulizi,alafu Mr Matta pia yupo vizuri kwa kuhoji.

    • @nomatter1239
      @nomatter1239 4 роки тому

      @@utapatatabusanautanyooka2600 dah kwel bro munaipenda sn halaf inasimuliz nzur sn

    • @nomatter1239
      @nomatter1239 4 роки тому

      @@maryjuma3943 kwel jama yup.pp sn

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 4 роки тому

    Mutaendelea kuteseka, mnakataa Yesu Kristo Mwokozi wenu wa pekee. Kwa taarifa, wengi wanateseka kama wewe na wengine wanalazimika kutumikia mapepo (Majini). Wataendelea kuteseka kama wewe. Usifikirie kuwa utaishi kwa amani. Unateseka hapa duniani bado kuzimu.

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 роки тому +6

    Ntaisikiliza kesho maana naogopa kwa huu usiku mhh

  • @ireneassey3685
    @ireneassey3685 4 роки тому

    Mama simamia imani yako kama mtumishi wamungu ayubu na usifanye michanganyo....mungu ni mweza wa yote

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 роки тому

    Subhanallaah.mtihan

  • @malaikamwekaly6421
    @malaikamwekaly6421 4 роки тому

    Shetani na mapepo pamoja na majini yote yameshindwa kwa Jina LA Yesu

  • @pendomsuya1390
    @pendomsuya1390 4 роки тому

    Mama nenda kanisani uokoke na update maombi.

  • @rubenntiyaga3358
    @rubenntiyaga3358 5 місяців тому

    Dawa ya kumkomesha jini huyo mupokee Yesu Kristo. Hutaliona tena jini hilo.

  • @bakarimuniru2614
    @bakarimuniru2614 4 роки тому

    Polesana njootukupe shuluhisho yatatizolako

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 4 роки тому

    Pole dadaangu kumbe tuko wengi mm mwenzio nilisamehe hata ndoa

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 роки тому +1

    Uyu tatizo imani ana angekua na imani yasingetokea aya wengine wanaswali lakini imani dhaifu

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 4 роки тому +1

    Jamani muislam waenda baa ila pole lala na udhu soma ayatul kursi na suratul baqara

  • @hamadothmanali6019
    @hamadothmanali6019 4 роки тому

    pole sana dada yang

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому +1

    Twaisubr kwaham braza Davistar pamoja sana nkiwa Jordan 😍 😍

  • @pendomsuya1390
    @pendomsuya1390 4 роки тому +3

    Njoo kwa YESSU mama uwe na raha.

    • @suhaybabeid3115
      @suhaybabeid3115 4 роки тому +1

      Ni uongo usimpotoshe mwenzio dini alokuepo ndio ya haki

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 роки тому +3

    Hii Chanel naipenda bandika bandua raha saana

  • @hosianajosephu4296
    @hosianajosephu4296 4 роки тому +1

    Okoka achana na dini Yamashetani.....

  • @lucygeorgina8656
    @lucygeorgina8656 4 роки тому +2

    Kaolewa na👹 dah Atari sana mr davistar mata upo juu sana

    • @lucygeorgina8656
      @lucygeorgina8656 4 роки тому

      Sasa mr davistar mata hyu mama ana matatizo na tunapaswa tumsaidie mana ndo shetan alolaaniwa kajiozesha kwa nguvu wewe unayo namba ya yule mganga wa bagamoyo kiboko ya wachawi na mashetani mpe uyo mama aongee nae au unaogopa ww ntumie mm namba ya uyo mama ili niwasiliane nae nimpe namba ya yule mganga wa bagamoyo mm ninayo.

  • @fatimafuad2275
    @fatimafuad2275 4 роки тому +1

    Mhh mtaalamu huyo ndie anaye kuletea hizo ndoto na ataka uwende kwake ukampe pesa.

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma523 4 роки тому +1

    Nakubali davistar...unapambana..big up keep doing one day u Will sacceed👍

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 4 роки тому +4

    Majini Wana hatari .mpaka mke wa mtuu wanataka kumpoteza

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 4 роки тому +1

      Mungu atuepushie in Shaallh

    • @zuhran8676
      @zuhran8676 4 роки тому

      Allah ndio mpango mzima mambo ya kwa yesu nae kaubwa kama wew tegemeyo ni allah