Jazaaka Allahu khaira ustadh sheikh Haji, hakika tunapata faida kubwa sanaaa kwa channel hii, Allah azidi kuwahifadhini nyote mnaohakikisha mpaka tunapata faida hizi kubwa
haya mawahabi kazi kwenu mwamba kaongea uyo sasa mtaamuwa kujibu hoja kumtakasa shekh wenu au kutukana mukamchafuwa zaid ila mimi naamini mtakuja tukana tu mana hamuezikujibu hoja
Mkikosa cha kupost kaani kimnya. Unawajua hao watu au unawataja kwa ubaya. Unaelimu takuwakosoa hao kijana. Usitafute umaarufu kwa style iyo. Hao watu sio level yako kijana.
Allah akuongoze ewe sheikh upepo ndio pale tunaposadikisha kua baadhi ya majina husadikisha sifa zake upepo siku zote huwa ni wenye kupita nawe utapita tuu ila nakusihi kua na adabu na wanawazuoni tushaa
Allah akuongoze kama mkweli mbona hiyo record mnacheza kicartoon chezeni vizuri Ili muweze kutambulika wakweli ,,,,,rudini madrasa mkasome mwache kuchafua mtume SAW acheni ujinga ww ata elmu y fawzaan hufiki hata rawdha
Jamani huyu upepo ndio mushamwita upepo sasa mwategemea upepo siunapepeushatu mm naona chuki yako kwa bachu utakaanayo mwehu niwwe bachu hata mumchafue vipi yupo nasunna hababaishwi kama huna chuki nabachu apo unamtaja kafanyanni nenda kwa mashia wenzakouko bachu sisaiziyako
Ww mwenye kuitakidi na kuchungakalmat laailaha illalah.unadirin kumuita nduguyo waimani ndugu ambae niwanguvu zaidi ya ndugu wakuzaliwa .kumuita mwehu vipi yule asiye kuwa na Nuru ya sayydina muhammady.s.a.w. Hana Dini ya hakki Hana khekma,Hana muongozo uliyo sahihi ambaye Yuko ktk kiza kizito cha ujaahir nk.yeye atamuitaje ,huyo nduguyo .Muhammad Bachu.ebutujitadhimini kwanza Kisha ndiyo tutokwe na kauli ikiwezekana tutokwe na kaulizenye busara..Allah atuongoze
mawahabi wanaemda kinyume naduna za bw.Mtume muhmmad s.a.w walikwisha tabriwa niwafuas wa shetwani dalili zao watanyoa bpara watafuga ndevu watakata nguo zao (vimini) watalazimisha haya ndio muhmad ibn wahabi ndivyobalivyo kuwa pembe ya shetwani
Ndugu yangu mm nawaomba waislaam wakuombee dua wewe kwani nahisi hizi sio akili ya mtu aliyo salimika sawa sawa Na mm nahisi zile nyama za maulamaa za kuwasema vibaya zimesha kuzuru kilicho baki tusubiri ni kitu gani kitakacho kufika kama hujarekebisha uwadui wako juu ya haqi
Wewe upepo Huna Nia ya dini. Mbona hujarudisha zile raddi Kama wewe unakusudia dini wala hujafanya taraajui. Unajifanya kupuuza Sio!. Wacha kuwadanganya watu. watu wanakujua Huna athari yeyote hata useme nini Ndio Maana masalafy wanakupuuza. Wala daawa haitosita kwa sababu yako Bali Kama unavyoona dawa inaendelea kukuwa kwa kasi na watu wanaifahamu sunna.
@@MuhidiniNassor Ndio watu wingi walikua wamezama katika bidaa za maulid, khitma, halili arunaini, talkin, kukohoa kwa itikadi ya kudhikiri. Mambo ambayo hayana asili katika sunna. Uslam aliokujanayo Mtume saw haukua na bidaa hizi Bali watu wamezusha Ndio Maana tumesema kurudi katika sunna na kuacha kuzua kwani Mtume saw amesema katika Hadithi ya aisha من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهو رد. Yoyote atakaezua katika dini jambo ambalo halimo atarudishiwa mwenyewe. (muttafaku alaih) Allah akuongoze.
Wewe ni upepo wa shuzi, Uongo uko kwa Barzanji na sio kwa Sheikh Fauzan. Wewe mwenyewe huna uthibitisho wa Sanad ya maneno hayo, kisha walaumu. Wajua maana ya dhuluu?
Wewe elimu yako tunaiona ya kuwaita watu ni KENGE PORI Badala ya kujibu hoja .. eti anawaita watu ni kenge!! DAAAH yaa RABBI nieke mbali na MAWAHABI kama ulivyoeka mbali baina ya mashariki na magharibi. Unadhani kejeli zako zitasaidia chochote katika kumsafisha Fauzani ??? Bali kila mwenye akili ndo anazidi kubaini kiwa kiwa MAWAHABI hawana hoja kazi yao ni matusi tu na kejeli ..
Amekosea kujibu, hakukosea kuongea kiarabu. Haina maana eti mwarabu akikosea kujibu basi ni sawa tu, la hasha. Hajakosolewa kiarabu - amekosolewa jibu alilolijibu.
@@hamismaulid270si unaona hapo anakosoa kiarabu yani mtu Anaitwa Upepo sijui ndio aelewe tafsiri ya kiarabu kuliko Mwanazuoni mkubwa ambaye kazaliwa muarabu mpaka anazeeka anaongea kiarabu? Na ni muaminifu katika kutoa dalili aisee afala taaqiluni
@@hamismaulid270 Hata WALIDI BNIL MUGHIIRAH Alikuwa ni mwarabu na anajua kiarabu kuliko Fauzan . LAKINI ALIPOACHA MUONGOZO SAHIHI. KIARABU CHAKE HAKI KUMSAIDIA CHOCHOTE .. JIBUNI HOJA ACHENI KUTAFUTA MANUSURA .. MAWAHABI KAZI YAO NI MATUSI NA KEJELI TU HAWANA HOJA WALA AKH-LAAKI. YAA RABBI TUEKE MBALI NA MAWAHABI KAMA BAINA YA MASHARIKI NA MAGHARIBI. AMIIIN
Wee jamaa ni jaahili mkubwa. Hivi muhuni wewe haji upape utakuwa sawa na wanazuoni wengine. Hem kuwa na haya utafichuliwa khabari zako zote chafu. Nyamaza kimya wewe huana hadhi ya kukaa mstari wa kumi katika darsa ya sheikh swalih fauzan ALLAAHU amuhufadhi. Kma husikii endelea
Wew upepo akili yako ina upepo kweli mshenzi wew kwanza audio ya shekh umeikata haskiki vizur Kingine ukitaka kuelew kwanin shekh alisema hivo inakutosha tu kukumbuka yakua mtume s.w alikua na mapengo na mapengo bila shaka ni Aibu kenge wew jaribu kua na adabu mashekh
Maashallah hajji Allah akuzidishie
Jazaaka Allahu khaira ustadh sheikh Haji, hakika tunapata faida kubwa sanaaa kwa channel hii, Allah azidi kuwahifadhini nyote mnaohakikisha mpaka tunapata faida hizi kubwa
haya mawahabi kazi kwenu mwamba kaongea uyo sasa mtaamuwa kujibu hoja kumtakasa shekh wenu au kutukana mukamchafuwa zaid ila mimi naamini mtakuja tukana tu mana hamuezikujibu hoja
Fawzan m2 na nimwnzuon Allah amuongoze zaid
Wew huna elimu y kumkoxoa doctor sheikh Saleh fawzn wew
Weye mjinga upepo muogope Allah huna unacho jua
Juha hujitambui upepo Yuko sahihi sana
Haji upepo haji upepo haji upepooooo tunga angalau vitabu vitatu tu msufi dude weeee
tulia sindano ingie zayuni la kiwahabi wewe
أنا الله وين أليه رجعون huyu jamaa anahitaji dua
Wewe ndo hujielewi upep Yuko sawa
Haji UPEPO MCHE ALLAH
Wew fala mbn unawaita wenzio wehu hakuna anaekusikiliz na ujinga wako huu mpuuz wew
Na majuha wasio jua hata udhu wao sasaivi wana waparamia mashekh allah akuongoze
Jaahili hujitambui
haji upepo ittaqi llah sheikh fauzan yuko sahihi!!
Hayuko sahihi acheni ushabiki wa kuonaashekhe wa kiarabu hawakosei
Mashallah
huu ni upepo kweli eshimu wanavyuoni
ماشاء الله أستاذنا الفاضل الله يحفظك
Wewe ni mbabaishaji
Mzungu wa reli
kwa iyo muhammad bachu anailim ya kumkosowa imamu buswir imamu jafar lbarzanji tulia zauni la kiwahabi dozi ingie vizur
Mkikosa cha kupost kaani kimnya. Unawajua hao watu au unawataja kwa ubaya. Unaelimu takuwakosoa hao kijana. Usitafute umaarufu kwa style iyo. Hao watu sio level yako kijana.
Wewe mjinga saaaaaaaaana
Wewe ndo mpuuzi wa mwisho upepo anafafanu ki ilmu sana
Ustadh Haji piga kazi piga kazi .. hawa wehu hakuna kuwaachia kipindi hiki .. wanaharamu hawa
أستغفرالله العلي العظيم
Chizi haji Allah amuongowe
@@SaidJangoli-hr7ww na wewe juha mungu akuongoze
Nakuku bali sana
Allah akuongoze wewe mgonjwa
Ww ndie mkurupukaji namba 1 ww huna elimu ya kumkosoaa Faizan
Sheh haji upupu eee
Allah akuongoze ewe sheikh upepo ndio pale tunaposadikisha kua baadhi ya majina husadikisha sifa zake upepo siku zote huwa ni wenye kupita nawe utapita tuu ila nakusihi kua na adabu na wanawazuoni tushaa
Haji upepo Acha uongo
Wew Tunga jp kitabu 1 unjiabixh t
Haji upepo Acha ujinga na polojo
Matatizo ya mawahabi lugha ndio matatizo sababu hawasomeshi sana nahau balagha maani wao niharaka kukosoa tu.
Allah akuongoze kama mkweli mbona hiyo record mnacheza kicartoon chezeni vizuri Ili muweze kutambulika wakweli ,,,,,rudini madrasa mkasome mwache kuchafua mtume SAW acheni ujinga ww ata elmu y fawzaan hufiki hata rawdha
Jamani huyu upepo ndio mushamwita upepo sasa mwategemea upepo siunapepeushatu mm naona chuki yako kwa bachu utakaanayo mwehu niwwe bachu hata mumchafue vipi yupo nasunna hababaishwi kama huna chuki nabachu apo unamtaja kafanyanni nenda kwa mashia wenzakouko bachu sisaiziyako
Wewe kijana upepo kuwa na inswaaf kwanini hiyo audio anayoulizwa sheikh Fauzan haafudhuhullah unaivuruga ili shekh asifahamike muogope Allah
Ww mwenye kuitakidi na kuchungakalmat laailaha illalah.unadirin kumuita nduguyo waimani ndugu ambae niwanguvu zaidi ya ndugu wakuzaliwa .kumuita mwehu vipi yule asiye kuwa na Nuru ya sayydina muhammady.s.a.w. Hana Dini ya hakki Hana khekma,Hana muongozo uliyo sahihi ambaye Yuko ktk kiza kizito cha ujaahir nk.yeye atamuitaje ,huyo nduguyo
.Muhammad Bachu.ebutujitadhimini kwanza Kisha ndiyo tutokwe na kauli ikiwezekana tutokwe na kaulizenye busara..Allah atuongoze
mawahabi wanaemda kinyume naduna za bw.Mtume muhmmad s.a.w walikwisha tabriwa niwafuas wa shetwani dalili zao watanyoa bpara watafuga ndevu watakata nguo zao (vimini) watalazimisha haya ndio muhmad ibn wahabi ndivyobalivyo kuwa pembe ya shetwani
Ndugu yangu mm nawaomba waislaam wakuombee dua wewe kwani nahisi hizi sio akili ya mtu aliyo salimika sawa sawa
Na mm nahisi zile nyama za maulamaa za kuwasema vibaya zimesha kuzuru kilicho baki tusubiri ni kitu gani kitakacho kufika kama hujarekebisha uwadui wako juu ya haqi
Unataka umaarufu ww sijui kama unaakili
ww ruka rukaaa lkn huna hoja za kuangusha sunna. UTAKUFA KINYWA WAZI. tubu mapema kabla pumzi haijakatika
Mzee unapata wahay Nini? Naona unajua Hadi kifo Cha mtu kitakuaje....alafu twambie utakufaje utafumba macho au mdomo?
@@HemedSerious Kw mitusi yk dhiddi y maulamaa. kuhusu kinywa waz soma JINSI YA ROHO ZA WATU WAOVU ZITAKAVYOTOLEWA ROHO
Baradhuli huyu haji upapa hana tofauti na yule baradhuli la kishia linalojiita basalim
baradhuli ni babayo punda wewe
Wee kijibwa mbona unabweka choooni .
Ww hujfkia ht htua y kuitw mwnzuon Hun elimu untk kiki 2
Ww vip unaakili lakini?
Wewe je? Kwani shida Nini apo
kuna muda huwa unakaa na kujaribu kusikiliza huu ugoro wako unaozungumzaga
Sheikh fauzan yuko sawa ni mwiba kwa washirikina
Tena huo mwiba utawachoma mtakwenda nao mpk akhera maana nyny mawahb hmjielewi na nyny ndio washrkna wakubwa na fauzani wenu
kwa wewe mwenye akil mgando utaona hivo lakin sisi tunajuwa wahabi ni wahabi tu ta awe vipi
MAWAHABI KAMA KIPOFU ALIEWAHI KUONA JOGOO
Wewe upepo Huna Nia ya dini. Mbona hujarudisha zile raddi Kama wewe unakusudia dini wala hujafanya taraajui. Unajifanya kupuuza Sio!. Wacha kuwadanganya watu. watu wanakujua Huna athari yeyote hata useme nini Ndio Maana masalafy wanakupuuza. Wala daawa haitosita kwa sababu yako Bali Kama unavyoona dawa inaendelea kukuwa kwa kasi na watu wanaifahamu sunna.
Hana anachokijua huyu,matusi ndio kanuni zake.
Kumbe Ndio kwanza mnaifahamu Sunna kweli nyie majahil wa juhhaaalll
@@MuhidiniNassor Ndio watu wingi walikua wamezama katika bidaa za maulid, khitma, halili arunaini, talkin, kukohoa kwa itikadi ya kudhikiri. Mambo ambayo hayana asili katika sunna. Uslam aliokujanayo Mtume saw haukua na bidaa hizi Bali watu wamezusha Ndio Maana tumesema kurudi katika sunna na kuacha kuzua kwani Mtume saw amesema katika Hadithi ya aisha من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهو رد. Yoyote atakaezua katika dini jambo ambalo halimo atarudishiwa mwenyewe. (muttafaku alaih)
Allah akuongoze.
Amaa kwel hili kundi lina aqida chafu sanaaa
Yan ww haumju shkhe acha kujiti ujuwaji tuwachie shekhe wetu ww hata nusu ya elimu yake haumfiki
Lakini akikosea ni lazima akosolewe
Wenu hawakosei lakini wawezenu wakoseya mcheni mungu
Wewe ni upepo wa shuzi,
Uongo uko kwa Barzanji na sio kwa Sheikh Fauzan.
Wewe mwenyewe huna uthibitisho wa Sanad ya maneno hayo, kisha walaumu.
Wajua maana ya dhuluu?
jibuni hoja mlitakase ilo fauzan kama mnaweza au matusi tu ndo mlio somea
Wewe unahangaika sana hii dini unaifanya kama ushabiki wa mpira kaa utulie elimu Huna wewe kenge pori wewe
Wewe elimu yako tunaiona ya kuwaita watu ni KENGE PORI
Badala ya kujibu hoja .. eti anawaita watu ni kenge!!
DAAAH yaa RABBI nieke mbali na MAWAHABI kama ulivyoeka mbali baina ya mashariki na magharibi.
Unadhani kejeli zako zitasaidia chochote katika kumsafisha Fauzani ???
Bali kila mwenye akili ndo anazidi kubaini kiwa kiwa MAWAHABI hawana hoja kazi yao ni matusi tu na kejeli ..
Wewe na Sheikh Alfawzan anajua kiarabu zaidi
Amekosea kujibu, hakukosea kuongea kiarabu. Haina maana eti mwarabu akikosea kujibu basi ni sawa tu, la hasha.
Hajakosolewa kiarabu - amekosolewa jibu alilolijibu.
@@hamismaulid270si unaona hapo anakosoa kiarabu yani mtu Anaitwa Upepo sijui ndio aelewe tafsiri ya kiarabu kuliko Mwanazuoni mkubwa ambaye kazaliwa muarabu mpaka anazeeka anaongea kiarabu? Na ni muaminifu katika kutoa dalili aisee afala taaqiluni
unaelimu gani ya kumshinda fauzaani wacha kuropoka haji upepo usitake umaarufu
@@hamismaulid270
Hata WALIDI BNIL MUGHIIRAH Alikuwa ni mwarabu na anajua kiarabu kuliko Fauzan .
LAKINI ALIPOACHA MUONGOZO SAHIHI. KIARABU CHAKE HAKI KUMSAIDIA CHOCHOTE ..
JIBUNI HOJA ACHENI KUTAFUTA MANUSURA .. MAWAHABI KAZI YAO NI MATUSI NA KEJELI TU
HAWANA HOJA WALA AKH-LAAKI.
YAA RABBI TUEKE MBALI NA MAWAHABI KAMA BAINA YA MASHARIKI NA MAGHARIBI.
AMIIIN
@@emanuelkyomo3772 wewe boro hunyamaze sasa kama ni hivo mbona warabu wanasoma kanuni za za lungha ya kiyarabu au hujui hivo
Wee jamaa ni jaahili mkubwa. Hivi muhuni wewe haji upape utakuwa sawa na wanazuoni wengine. Hem kuwa na haya utafichuliwa khabari zako zote chafu. Nyamaza kimya wewe huana hadhi ya kukaa mstari wa kumi katika darsa ya sheikh swalih fauzan ALLAAHU amuhufadhi. Kma husikii endelea
Wenu ndo masheikh wa wenzenu ni takataka c ndio?ost haji upepo endlea mpaka wataelew
@@taurehassan7399Huwajuwi hao anaowatukana ALLAAHU akusamehe
@@taurehassan7399Huwajuwi anaowatukana ALLAAHU akurehemu
Umemjuaje kama muhuni au wewe ni mse?
Ujinga mnaoufanya mkumbuke Kuna siku ya mwisho we upepo una elim gani yakujiffananisha na hao unao beza we umesoma wapi na upi mustawaa wa elimu yako
Kukosea hakutaki mustawa
Wew upepo akili yako ina upepo kweli mshenzi wew kwanza audio ya shekh umeikata haskiki vizur
Kingine ukitaka kuelew kwanin shekh alisema hivo inakutosha tu kukumbuka yakua mtume s.w alikua na mapengo na mapengo bila shaka ni Aibu kenge wew jaribu kua na adabu mashekh
Jee iblisi na shehe fauzani nani ajua kiarabu zaidi mijiwahabi wateni chuki zenu za upuzi
قال الله
(واذا قلتم فاعدلوا )