Shekhe qasim Allah akuifadhi nashari Shekhe nakupenda kwajili ya Allah hukwepeshi mambo yeyote ktk Dini uposahihi ktk marejeo tangu nasikiliza ktk mnakasha ya dufu na akina azuba NK alhamdulillahi Allah akulipe kheri Shekhe qasim
Asalam alaikum warahamatulahi wabarakatu kwa kweli shekhe qasimu Allah akuhifadhi maana unatupa vtu adimu Sana kama tupo na wanajuoni wa maka na madina
Hapa Shekh Abulfadhli unamzungumza mtu ambae ni miongoni mwa Maulamaa ninao wapenda sanaaaa. Na ktk Maulamaa ambao nawakubali sana ktk usluub wao wa Da'wah ktk zama hizi. Shekh Albani baadhi ya tabia zake ktk Da'wa ktk kuamiliana na wenye kumukhaalif zikitaka kufanana na Jabal min Jibaali Al'ilmi-Shaykhul-Islaam Ibni Taymiyyata. Allaah awarahamu Maulama wetu wapendwa, waliokwisha fariki, na awahifadhi walioko hai. Na atujaalie tuwe niwenye kunufaika na Elimu zao.
@@abuuruwaydatvTz Dah! Yani historia ya Ibnu Taymiyyata Lazima Mashaayikh waigawe na kuiwekea vikao visivyo pungua vitatu au vitano, kwani Historia ya Huyu Aalim nimuhimu sana kwa waislamu, khususan zama hizi. Kwa sbb huyu Aalim alidhulumiwa sana na kufitinishwa na kuchongewa kwa watawala. Kwaio nawaomba Mashaayikh wafanye tafiti za kutosha kuhusu historia ya Ibnu Taymiyyata Allaah amrahamu. Allaah awalipe kila lakheri, tuko pamoja.
Hawa masufi majaahil yaliojawa na chuki na choyo na hasad hayaachi kuwatovukia adabu Maulamaa. Na hata waambiwe nini na waelimishwe vipi hawaelewi ila wachache walio Rehemewa na Allaah Azza Wajalla
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh!! Lakini huku kutatiza kwenye hadithi alizopokea sheikhe Albani hata sheikhe ibnu uthaimin ameusema mimi nina clip ya sheikhe ibnu uthaimin anasema hivyo
Mashaallah, sheikhe Albani Allah amrehemu amefanya jitihada kwa nafasi yake Allah aikubali jitihada yake na sisi Allah atupe subra katika hizi ikhtilafu zetu ambazo zimejaa kejeli na matusi🤲
ua-cam.com/video/6cNuVyXjK3A/v-deo.html&si=_d20bPQjsHDNpYQM
Allah ampe umri mrefu tuzidi kufaidika nae sheikh abul fadhl kassim mafuta
حفظك الله يا شيخنا
Masha Allah
Shekhe qasim Allah akuifadhi nashari Shekhe nakupenda kwajili ya Allah hukwepeshi mambo yeyote ktk Dini uposahihi ktk marejeo tangu nasikiliza ktk mnakasha ya dufu na akina azuba NK alhamdulillahi Allah akulipe kheri Shekhe qasim
ALLAH amhifadhi Sheikh Abul Fadhwl ....ampe umri wa kheir aitumikie Dini ya Allah,
Nasi tufaidike na Ilmu yake .
ALLAH aturuzuku ilm naafi3
Maashaa Allaa
"مَن ضيَّع اﻷصول حُرِم الوصول، و من ترك الدليل ضلَّ السبيل"
Bila shaka kabisa
Swadaqta!
Maashaa Allah, mtu wamaana kabbisa
Asalam alaikum warahamatulahi wabarakatu kwa kweli shekhe qasimu Allah akuhifadhi maana unatupa vtu adimu Sana kama tupo na wanajuoni wa maka na madina
Wallah ALLAH awape kheri
Mashaallah
Mashaallah twakupata vyema kabisa
❤ maa shaa Allah, baarakallahuh fiika yaa sheikhunaa Abal fadhil.
Twastafidi
Mashaallah Raha sana wallah Amiin Amiin
Maashallah
Mashaallah, mawaidha mazuri sana yenye elimu
Mashaallah
Mashallah
Baaraka llahu fiik shaikhanaa aba l fadhl
حفظه الله شيخ أبلفضل
Shukran shehe
Ahsante
Hapa Shekh Abulfadhli unamzungumza mtu ambae ni miongoni mwa Maulamaa ninao wapenda sanaaaa.
Na ktk Maulamaa ambao nawakubali sana ktk usluub wao wa Da'wah ktk zama hizi.
Shekh Albani baadhi ya tabia zake ktk Da'wa ktk kuamiliana na wenye kumukhaalif zikitaka kufanana na Jabal min Jibaali Al'ilmi-Shaykhul-Islaam Ibni Taymiyyata.
Allaah awarahamu Maulama wetu wapendwa, waliokwisha fariki, na awahifadhi walioko hai.
Na atujaalie tuwe niwenye kunufaika na Elimu zao.
Mashaallah pia mie nimependa sana hii historia na Inshaallah tutaiweka ya sheikh ibn taymiyah
@@abuuruwaydatvTz Dah!
Yani historia ya Ibnu Taymiyyata Lazima Mashaayikh waigawe na kuiwekea vikao visivyo pungua vitatu au vitano, kwani Historia ya Huyu Aalim nimuhimu sana kwa waislamu, khususan zama hizi.
Kwa sbb huyu Aalim alidhulumiwa sana na kufitinishwa na kuchongewa kwa watawala.
Kwaio nawaomba Mashaayikh wafanye tafiti za kutosha kuhusu historia ya Ibnu Taymiyyata Allaah amrahamu.
Allaah awalipe kila lakheri, tuko pamoja.
Barakallahu feekum akhy
Waifyka baraka llah akhy
@@abuuruwaydatvTz na ni vzur sanaa kutuwekea ta'arekh za maulamaa wetu
@@sharikynanguka3716 Naam nikweli kabisa akhy
@@abuuruwaydatvTz maana muj'tama'aa unamuozo sanaa ni wengi tumeshughulishwa na historia za wachezaji tu
Nikweli kabisa akhy Allaah atufanyie wepesi
😍😍😍
Tunamweshim imam albani muhadith kama ilivyo binadam hupata n hukosea hajakingwa n makosa allah amrehem
💞💞💞💞🤝🏻
Hawa masufi majaahil yaliojawa na chuki na choyo na hasad hayaachi kuwatovukia adabu Maulamaa.
Na hata waambiwe nini na waelimishwe vipi hawaelewi ila wachache walio Rehemewa na Allaah Azza Wajalla
Assalamu alaikum, Akhi vyema na salama msingetumia picha za viumbe
Assalamualaikum naulizia huu muhadhara ni wa tarehe ngapi
Muhadhara huu ulifanyika Moshi
USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI KUPATA DARSA NK
Baraka llahu fika akhy
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh!! Lakini huku kutatiza kwenye hadithi alizopokea sheikhe Albani hata sheikhe ibnu uthaimin ameusema mimi nina clip ya sheikhe ibnu uthaimin anasema hivyo
Nadhani Hilo sheikh amelizungumzia ndani kama ukisikiliza Kwa makini akhy si wafahamu sheikh albani pia ni kiumbe hajakamilika
Mashaallah, sheikhe Albani Allah amrehemu amefanya jitihada kwa nafasi yake Allah aikubali jitihada yake na sisi Allah atupe subra katika hizi ikhtilafu zetu ambazo zimejaa kejeli na matusi🤲
Amiin ni kweli kabisa sheikh alifanya kazi kubwa sana ila watu wamejawa na chuki uadilifu hawana wanamtukana na kumsema vibaya
Sheikhe abuu ruwayda kazi ya kushuhulikia hadithi ni kazi ngumu sana kwa hiyo ni juhudi kubwa sana amefanya sheikhe
@@yasinkassim7131 hakika Akhy mkarimu Allaah amrehemu sheikh
mcweke mziki
Ahsante jazaka llahu khaira
Na picha za viumbe pia
Barakallah llah fii
Chuki tu hizo sheikh hawana lolote
mawahab mnasauti mbayaa
Wew mwenye sauti nzurii mawaidha yako wapiiii tukiskieee??? Ili tukuone ulivyo na Sauti ya warembo
Sauti ya kidume hiyo
Kama wew una sauti nzuri kaimbe taarabu
Albany aonekan nyie hamuonekan ndio munaelimu zaid au vp
Wamiona wapi alban
Ndo wamavyokwwambia. Kama wamzidi
حفظك الله يا شيخنا
Mashaallah