KUSHINDA ROHO YA KUKATALIWA NA KUKOSA KIBALI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 04/01/2024
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
Unaweza Tuma Sadaka yako MPESA number +255 753 333 008
#jrcchurch #pastorgeorgemukabwa #tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Naomba mungu anibariki siku moja watu uku nje waache kunidharau i need respect one one day,,,,Amen God is with me in Jesus name
Mimi ni chance mucongomani anaye ishi uganda kama mukimbizi.nimezowa kufiata mafundisho yako kwenye mutandao ya UA-cam,kweli nimezbarikiwa na mafundisho yako mutumishi wa Mungu ime nisogeza mahali fulani katika maisha ya ukristo.acha mbingu zi nene mema juu yako.
MUNGU naomba nipate kibali nikubalike kwenye biashara yangu na familia yangu ipate kibali katika kazi zao kwa damu ya YESU Ameeen
Ubarikiwe niongee mtumishi wa mungu ili na Mimi Muwe nami Ali ubarikiwe
Naomba Mungu akaachilie kibali ndani yangu
Amen 🙏 ubarikiwe pastor
Amina mungu naomba kibali juu ya maisha yangu..juu ya familia yangu juu ya kazi yangu..juu ya nyumba yangu❤❤
Mwenyezi Mungu azidi kukutumia ili ss tuokolewe nimejifunz meng ukungu akubariki
Eee
Ubarikiwe mtumish wa mungu
Mchungaji namka Saa Tisa usiku na ninalala Saa Tano usiku na biashara yangu hainisaidii inaisha tu😢😢😢
Naomba kibali Mungu ndoa irejeshwe na isimame
Nimejifunza sana mengi katika masomo yako pastor George
Napokea kibali cha kukubaliwa kwajina la YESU.Amen
Ni somo zuri. Sana ndio muda ninaopitia lakini naamini kuanzia muda huu nitakubarika Amen
Asante Mungukwa ujumbe mpya wa kunitia nguvu kupitia mtumishi Pastor Mkabwa.
Pastor may God continue blessing you always 🙏❤️👍💪,,,aki tangu nikujue kupitia mitadao ukiubiri neno la mungu ,,,nimejifuza mengi katka hii safari ya ki Imani 👏👏👏👏,,,
Mungu nipe kibali, pesa yangu iwache kupotea potea. Amen.
Mungu naomb Kibari nikubalike kila napokanyaga na kila nifanyacho Kipate kubali mble zako🙏
Amen Amen mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha my GOD bless you and your family growly to JESUS
Ameen napokea kibali kwa Jina la Yesu
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu umefungua njia zangu haki nimejua nilipopotelea ! Kupitia huu ujumbe njia zangu zimefunguka
Asante paster unaniponya
Mtumishi umbarikiwe sana nimejifunza mengi kutoka kwako Mungu azidndi kukuongoza
Naomba kibali Mungu wangu
Mungu.nipe.kibali.nikubalike.kila.mahali.nitakapopita.amina
Mungu akubariki sana Baba ninakuelewa sana wewe hunilea kiroho sana Mungu akutunze
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana mutumishi wa mungu ❤❤❤❤
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Mungu wewe ni Mungu wa kweli! Zidi kunipa kibali chako kila wakati! Nipe kibali kitokacho kwako shusha malaika wako kwangu eeeeh! Mungu wangu
Baba mimi nimepoteza kibali changu mimi mwenyewe.Mungu anisamehe sana anirudishiye tena hicho kibali.
Napokea kibali kwa jina la yesu.
Amen pastor.Napokea kibali cha Mungu.
Naomba leo mungu anikubalie maombi yangu
Mungu naomba unipee Kibali
Amen,nimepokea kibali kuanzia leo kwa jina la Yesu 🙏🏿
Ameen pastor niombee nipate kibali
Amen napokea ktk jina la yesu aliye hai
Mungu naomba kibali mimi na familia yangu hatuna mtu wakutusaidia katika shida
Yupo Yesu aliye hai atakushindia
Amen Amen, Bwana naomba kibali chako kimaisha,na hata Huduma yangu nami nitakutukuza Bwana
Ameen and Ameen Our God is powerful
Asante yesu kwa neno hili baba ubalikiwe
Kuanzia sasa natangaza kukubalika kwa jina la yesu
Nashukuru Mungu kwajili yako yote uliyofundisha ni mm kbsa kila neno ulilosema ni mm kaabsa
Mungu nipe kibali cha kukubalika Nipe Neema ya kipekee itokayo kwako! Mungu niongezee kibali Mungu wangu!
Amina ubarikiwe sana 🙏 siku nikija mwanza natamani nikione nikuletee na zawadi nabarikiwa sana mahubiri yako
Mungu naomba unipe kibali nikubalike barua nilizoandika ipate kibali nipate kazi Amen
Ameen Ameen and Ameen Our God is powerful
Ameen pastor
Baba nisaindie nikubarike bwana Yesu Kristo wanasareti
Mungu nipatie kibali niweze kupata kazi nzuri
Mungu naomba unipe kibali kwenye biashara yangu niweze kutoka maana ninachangamoto.nipo chalinze naombee mnsaidie jaman
Pole sana
Napokea kibali cha kukubaliwa kwa jina la yesu ameeeeen
Mungu naomba kibali kubali mbele ya matifa mbele ya watu mbele ya makabila Bwana nisaindie nibe kibali hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 😢😢😢😢
Mungu nipee kibali nafanya kazi ngumu pesa hainisadii kil😢😢🙏
Hv where was I to know this pastor earlier?it's like God is speaking to me now kwa habari ya maisha yangu.
Mungu nipe Kibali maombi yangu napo omba yakubaliwe n napo omba maudui wanatoroka
Be blessed more pastor God may use you for more and more and you have a good message to on each reson
Mungu hakik unaishi ninaamini upon na uta
Umenitia moyo mtumishi wa mungu anipe kibali Kwa jina la yesu
Mungu wa George napokea kabari na kukubalika kila mahari niendapo ktk jina la YESU 🙏
Pastor may God bless you for the powerful word.. nmengangana muda mwingi bila mafanikio bt now I have known the truth.
Naenda kazini kila siku na sipati kulipwa na watu wengi wamenizulumu pesa zangu kilasiku naanza maish mapya 😢😢 Mungu naomba kibali
😭😭😭😭😭the same me
We we ni mimi jamani, Ee Mungu nope kibali machoni pa watu wako, nipe kibali Cha kazi yangu ikubalike, nipe kibali Biashara yangu itambulike kimataifa,
Mungu atusaidie
Ww 2 book@@saumusulaiman4742
Pokea kibali Cha kazi nakulipwa madeni Yako yote kwa jina la YESU KRISTO,kuanzia Leo hiyo Roho yakadhulumiwa naikemea juu yako kwa mamlaka ya JINA la YESU,utainuka tangu Leo nasiku zote zamaisha Yako hutorudi nyuma Tena.
MUNGU nipe kibali katika maisha yanayo endelea hapa duniani na familia yangu
Naomba mungu anipe kibali chakukubalika kila sehemu
Napokea KWA jina la Yesu.
Mungu nipe kibali nikubaliwe kazini
It's my prayer God will make me a walking testimony after listening to this sermon in Jesus name.🙏
Naomba muniombeye mume wangu apate kazi
MUNGU kupitia nenola mtumishi wako nipate kibali mbele zako MUNGU wangu
Amen nimezidishiwa na mungu
Naomba mungu nikubalike katika jina la yesu
Mungu nipe kibali
Amen Pastor.
Mungu nipe kibali chakukubaliwa na kila mtu pia nikubariki siku zote
Asante pastor kwa hili somo barikiwa sana Hallelujah
Mungu nipe kibali machoni pa wazazi wangu na familiya zima sina kibali tangu utoto wangu
Hamujambo bandung u mimi ninataka Mungu anipe kazi nzuri isiyo na matatizo nakukaamuda.mrefu na kuombeya watoto wangu 😅❤❤❤🎉
Napokea kibali leo kutoka kwa mungu amen 🙏 🙌
Mungu naomba kibali katika biashara zangu
Kuna mtu alinidulumu pesa nyingi sana so naomba mungu unipe kibali
Amina pastor ubarikiwe sana kwa kufanya nimefingukaa na kujua Niko ktk kiwango gani mie 🙏🙏🙏
Napenda kusikiza pastor 🙏🙏🙏🌹
Mungu naomba nipate Kibali machoni pako na pa wanadamu
Mimi Niko Saudi na ninapitia halii hii ngumu sana pastor,ninabadilishiwa manyumba Hadi nimechoka,nahitaji maombi sana
May God give favor dear
mwenzi mungu nipe kibali nikubalike kwenye maisha yangu
Ameen... ubarikiwe mtumishi..baba naomba kibali chako🙏
Napokea kibali kuanzia sasa hivi Kwa damu ya Yesu Kristo
Naomba mungu kibari kwenye ndoa yangu
Mungu Naomba Kibali Cha Kupata Kibari Cha Cha Kukubariwa Na Watoto Wangu.
Hii ni Kitu Inayotusumbua Sana Pastor
Ahsante yesu naomba Tina na rehema mbele zako nisamehe Kwa kuwa mtovu WA nidhamu Kwa habari ya kutokuwa mtiifu na mwaminifu nisamehe,,naomba roho mtakatifu usiniache niambatanishe na wewe nikasimame Kwa shauri lako na kuwa mwaminifu
Ubarikiwe mtumishi nimebakiwa sana.
Masomo mazuri sana.Barikiwa mchungaji.
Poster niombe sana nimekataliwa na marafiki baka kwa ndoa
Mungu nipe kibali mimi na familia yangu
Amen Amen ubarikiwe Pastor George
Mungu naomba nipate kibar katika kanzi yangu nitimize ndoto yangu ninaamin bwana atatenda
I received in Jesus name
Naomba bariki kazi za mikono yangu
Nakushuru Mungu kwasomo hili,kwani nimelipata kwa majira sahihi,ya uhitaji wangu,Mungu amenifunulia nakataliwa nandugu zangu Mimi nawatoto wangu,then nakutana nahili SoMo,haya nimajira sahihi yakushughulikia hii roho
Very powerful teachings
Mungu atusaidie Dia hii hali ata mm Na inaniumiza sana....MUNGU ATUTETe
Amen Amen 🙏