Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Pesa ni maua na tena inauwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2018
  • zilipendwa

КОМЕНТАРІ • 105

  • @sebajohn9058
    @sebajohn9058 Рік тому +5

    Waimbaji walioimba George na wilsoni kinyonga wametangulia mbele za haji aliobaki ni ndogo wao wiliamu kinyonga lakini Hali yake ni mbaya kimaisha ananufaikaje na usanii wake wa muziki mbona serikali ya Kenya haiwaangalii wasanii Bora kama hao walitangaza Kenya sana kimuziki mpaka leo muziki yao ni mipya kwa Kila kizazi inasikitisha sana William kinyonga anafika kukosa hata pakulala na nyimbo zao zinahiti sana afrika ya mashariki looo

  • @dianabujiji3023
    @dianabujiji3023 Рік тому +8

    Ilove the lyrics ..istill enjoy the song 2023

  • @ElishaMahelela
    @ElishaMahelela 2 місяці тому

    Shiiingi haha tana maua Hadi leo paka siku yakiama kweii pesa nisabuni yaloho watu wamepotea kwajiri yashiiingi mungu awalaze mahaii pema kwautunzi wanyimb nzuri nawaiio hai mungu wape nguvu

  • @likimaro6
    @likimaro6 10 місяців тому +3

    This song takes my memories back in Kilimanjaro, my hometown. I miss home😢😢😢

  • @MUKESHIRISHI-oz3cj
    @MUKESHIRISHI-oz3cj 2 місяці тому

    Yani wimbo wenu kiooo chajamii sana mahana yoye muliyo yaimba ndoyapo ivyoivyo dunia yaleo, tumuombe allah tuzitumie vizuli izi malizetu allahuma amiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,tusitumie nafasi yafedha kuwa nyanyasa wengine wasio kuwanao,mahana shilingi ndo sabuni ya roho

  • @lilianoguna1650
    @lilianoguna1650 5 місяців тому +1

    This song remind my late Dad and mum when life was good to has

  • @tonnykasibante8823
    @tonnykasibante8823 Рік тому +3

    Hatuezi ku wasahau les wanyika,Mulitumia utaalamu na ujuzi kutunga nyimbo za maana kwa wote na hasa afrika mashariki.

  • @AndyOjok
    @AndyOjok 10 місяців тому +2

    Reminds me of my time in Arusha , places like Kijenge, Kimandolu, Sanawari....Unga Limited. A fab time of youthful days. Enjoyed mbege while listening to these songs.... nostalgia now miles away in diaspora !

  • @tonnykasibante8823
    @tonnykasibante8823 2 роки тому +7

    Money kills but it is also a flower Asante sana wa sanii wa les wanyika.You made us go thru our high school life smoothly.Misiki yenu iliweka alama kubwa rohoni za wasikilizagi wskati wa enzi hizo.Mulifanya kazi bora

    • @martinmativu7105
      @martinmativu7105 2 роки тому

      Not Les wanyika, it was Simba wanyika.Wilson Peter and George Peter Kinyonga.Famously known as the Kinyonga brothers.

  • @sirvestartumia1064
    @sirvestartumia1064 2 роки тому +6

    Asieee kweli music ulikuwepo dhamani ni ujumbe mtupu .sio Sasa ni uchi wa nyama ujumbe hakuna

  • @user-gd1wf2hr9f
    @user-gd1wf2hr9f 11 місяців тому +2

    Nyimbo za kitabo zilikuwa tamu sana ak

    • @frimmbits
      @frimmbits 4 місяці тому

      Ya kale ni dhahabu

  • @petermymwangi1369
    @petermymwangi1369 7 місяців тому +1

    These were the music very educative GOD BLESS the alive guys and their family

  • @cosmassimwa4750
    @cosmassimwa4750 Рік тому +3

    This song makes me shade tears when I hear it...I remember dad and its so painful...he loved this songs

  • @gloriarotich9096
    @gloriarotich9096 Рік тому +5

    Whenever I here this song I do miss my Mum and dad so bad....their favourite....

  • @mussahamis5042
    @mussahamis5042 Рік тому +5

    2022 naangalia hapa kuelekea January 2023 penda sana nyimbo za zamani

  • @gilbertbutia7651
    @gilbertbutia7651 2 місяці тому

    Naupenda sana huu wimbo,kutoka enzi zile miaka ya 80s

  • @MUKESHIRISHI-oz3cj
    @MUKESHIRISHI-oz3cj 2 місяці тому

    2024, yani mumeimba uwalisia wamaisha ya sasa yote baba zangu ,shilingi ya ua ooooo teeena mauwaaaaaaa

  • @steveoms8052
    @steveoms8052 11 місяців тому +2

    In 2023 and the song now make sense to me.😛😛😛😛

  • @yohanaigalaba489
    @yohanaigalaba489 4 роки тому +5

    Vya kale n dhahabuu

  • @mercykuraru3875
    @mercykuraru3875 Рік тому +2

    Wilson your good Star was stolen by the enemy,If possible visit Rev Ezekiel Mombasa mavueni you get delivered,if I can get you I can take you there oh God ,not too late brother

  • @ElishaMahelela
    @ElishaMahelela Місяць тому

    Basi viongozi wakenya wanaubaguzi yaani mtu moja kumstiii angalu aifuhie kenya basi hata wanamziki wakenya hawana yamoja angaiia wakongo wanavopendana

  • @josephnjoroge5649
    @josephnjoroge5649 3 роки тому +18

    When music would be felt from the ears to the bone marrow... Noma saana

  • @joachimchami8853
    @joachimchami8853 Рік тому +1

    Iam here listening the song🎉

  • @onesmusmuyanga9111
    @onesmusmuyanga9111 3 роки тому +8

    when artists never forced music to come through!!! tamu sana in April 2021

  • @KimeliGeorge-hf1ux
    @KimeliGeorge-hf1ux 7 місяців тому

    Hii ni sawa kabisa, funzo nzuri kwangu

  • @lutavisonlutavi8851
    @lutavisonlutavi8851 Рік тому +1

    The songs stimulates my soul, the smartest artist ever.👐

  • @aliynassor471
    @aliynassor471 3 роки тому +2

    Muziki mzuri Sana. Hii ndio maana ya msanii kioo Cha jamii

  • @isaackoech1153
    @isaackoech1153 5 місяців тому +1

    KBC those days ❤❤❤

  • @nelsonmukhwana9591
    @nelsonmukhwana9591 Рік тому +1

    Tamu sana. Enjoyable song especially while driving 🚗

  • @edwardlemayian427
    @edwardlemayian427 5 років тому +3

    Kali Sana 254

  • @shasoficonsusocurrencias559
    @shasoficonsusocurrencias559 8 місяців тому

    Excelente, desde barranquilla, colombia

  • @emanuelmangi6139
    @emanuelmangi6139 Рік тому +3

    Ujuwe kuwa muzik uliumbwa na ukisikiliza ndio utaamin muziki uliumbwa

  • @erickedmonds6965
    @erickedmonds6965 4 роки тому +7

    Muziki za kale bado ni dhahabu

  • @bensonmbogani9979
    @bensonmbogani9979 Рік тому +4

    Sikuhizi 100%agri hakuna mapenzi bila pesa

  • @geoffreykamau3291
    @geoffreykamau3291 Рік тому

    Good music I love the lyrics

  • @LeonardRambo
    @LeonardRambo 8 місяців тому

    I lyk hw thiz man is wearing simple

  • @arfaharai8570
    @arfaharai8570 4 роки тому +10

    During this covid-19. This songs hits badly 😢

  • @user-st5xo5gs6i
    @user-st5xo5gs6i 9 місяців тому

    Lkn Hawa wengine niza matusitu lkn Les wanyika yupo vizr Ngoma zake nakubali sana

  • @alimahamud9349
    @alimahamud9349 3 роки тому +1

    Jam session dem days my God roadshow music life change

  • @yohanaigalaba489
    @yohanaigalaba489 4 роки тому +5

    Hawa jamaa walitabr sana siku hzi.n pesa inapedw.na sio mtu jamn jamn watu wa zamn waliona far sana

  • @SuperMegguy
    @SuperMegguy 3 роки тому +4

    Sublime ..................

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba7930 2 роки тому +2

    Very nice. Nostalgic

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 2 роки тому

    I remamber at was in Arusha Town every where ,glossary nyama choma were playing that music.

  • @alimahamud9349
    @alimahamud9349 3 роки тому +15

    My friends in Kenya do you still have ile krest soda ya chupa kubwa

  • @yvvonedylan3699
    @yvvonedylan3699 Рік тому +3

    Shilingi killed my friend😭I'm still hurt..pesa ww

  • @afrongoma254
    @afrongoma254 Рік тому +1

    These guys rocked. Wako wapi Hawa kina Kinyongas? Wilson Peter Kinyonga, Kina George etc

    • @Favoromwancha
      @Favoromwancha Рік тому

      wilson and peter are dead, only william is still alive

  • @evalynbuyaki2493
    @evalynbuyaki2493 4 роки тому +2

    I LIKE THIS

  • @zakariakimutai5843
    @zakariakimutai5843 10 місяців тому

    Njojo ni wanyika sasi yao

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 4 роки тому +4

    Nyimbo za rohoni

    • @peninajustine6926
      @peninajustine6926 3 роки тому

      Yaaan hizi nyimbo jaman na ujana wangu but nainjoy kusikiliza

    • @lilianaswani5069
      @lilianaswani5069 Рік тому

      Huu ni wakati sengenge zilikuwa nanasema maneno

  • @zakariakimutai5843
    @zakariakimutai5843 10 місяців тому

    Nishiliki

  • @emt.bensonkimani9945
    @emt.bensonkimani9945 18 днів тому

    Good old times.

  • @user-yw6dk5uu3h
    @user-yw6dk5uu3h 11 місяців тому +1

    Muziki ulikkua bila jasho

  • @michaelmuchiri4550
    @michaelmuchiri4550 3 роки тому +1

    My favorite song 2020

  • @severasevera6107
    @severasevera6107 3 роки тому +3

    2021 naangalia

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu2053 3 роки тому +1

    Hao waliohudhutia hiyo show hawajui kuyarud ma old school kabisaa

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 3 роки тому

      Video haiendani na beat ya wimbo.

    • @Shammy-rn3tn
      @Shammy-rn3tn 3 роки тому

      Ni sababu hii ni mimicry. Wenyewe ni Wlson Peter na George Peter na Simba wanyika.
      And non of them is here.

    • @afrifire6941
      @afrifire6941 2 роки тому

      @@Shammy-rn3tn the soloist is the son of Wilson Kinyonga. Of course the audio is the original song but the son and the group are just acting as though they're singing live but not. All in all, good to see the son of Wilson Kinyonga.

  • @user-bk9qt3ey4i
    @user-bk9qt3ey4i Рік тому

    Mmmmmmh! Pecha hakika sabuni ya loho

  • @michealndege6365
    @michealndege6365 2 роки тому +1

    Nakumbuka mwaka wa1985,willson ulikuwa simba wanyika

  • @snownfire
    @snownfire Рік тому +3

    This video was made by his son, though, around 2010

  • @mamakomangonakumbukambalis954
    @mamakomangonakumbukambalis954 2 роки тому

    NC

  • @user-st5xo5gs6i
    @user-st5xo5gs6i 9 місяців тому

    Safa

  • @runnmohamed4864
    @runnmohamed4864 5 років тому +2

    Unhiden truth, shillingi yaua tena maua

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 Рік тому +1

    Pesa ndio mume

  • @calebonyango2717
    @calebonyango2717 4 роки тому +4

    Kosa pesa uone marafiki yaukweli

  • @alexsompisha5660
    @alexsompisha5660 5 років тому

    I love this

  • @josephhakonga4933
    @josephhakonga4933 Рік тому

    Enzi za kina Baba zetu hizi, ujumbe uliokwenda darasa wanaimba uhalisia wa pesa hadi uhalisia huo unashuhudiwa hata leo .hewana mabingwa na waliotangulia mbele ya haki MUNGU awafanyie apendavyo maana ndiye m
    Muumba.

  • @elijahbenardmomanyi6994
    @elijahbenardmomanyi6994 4 роки тому

    Music ooooh my

  • @johnkipserem8832
    @johnkipserem8832 Рік тому +1

    Vijana hukumbuka

  • @michealndege6365
    @michealndege6365 2 роки тому +2

    Willson nilipi LA ajabu lilotokea ndiyo uishi maisha uchochle hapo huruma riverside?

  • @josephmwandoki2882
    @josephmwandoki2882 Рік тому

    ukweli mtupu

  • @diminickbigonde8671
    @diminickbigonde8671 5 років тому +3

    xo lovly

    • @iblaisango988
      @iblaisango988 4 роки тому

      The hidden truth!! Was so a big message 2 our life!!!!

    • @mahbubabdi9462
      @mahbubabdi9462 4 роки тому +1

      Kati ya Adamu na Eva dunia ilikuwa nzuri lakini dunia ya leo usipokuwa na pesa hauna sauti💯

  • @user-ss7tz3mz3j
    @user-ss7tz3mz3j Рік тому

    Nikweri

  • @sekanicanory9915
    @sekanicanory9915 11 місяців тому

    🌹🏵🌺🌻🌼🌷🍎

  • @Shammy-rn3tn
    @Shammy-rn3tn 2 роки тому

    Not simba wanyika artists but but well tried if they really mimicry.

  • @saidhamisi2791
    @saidhamisi2791 Рік тому

    Sikiliza iyo

  • @johnkipserem8832
    @johnkipserem8832 Рік тому

    Vijana hukumbuka

    • @allymussa9831
      @allymussa9831 Рік тому +2

      Vijana wamwaka 1995 tujuwane hadi sasa2023

    • @sebajohn9058
      @sebajohn9058 Рік тому +1

      Sina Cha kuongea zaidi ni kazi nzuri walifanya Hawa jamaa ndugu willson George wiliamu na band ya wanyika kwa wote Kila pakuchao nyimbo ni mpya waliotangulia mungu awafanyie taafifu tunawakumbuka bado

    • @Albert-un8eg
      @Albert-un8eg 7 місяців тому

      ​@@sebajohn9058kabisaaa