🔴LIVE: MAKONDA ANAUNGURUMA ARUSHA MUDA HUU, ANAWAFYATUA VIONGOZI BILA HURUMA
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Розваги
Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani
Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.
Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭
Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,
Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi@@manncheyepastory6845
❤❤
Piga kazi na Mungu,akulinde.
Nmelia aki ya Mungu😢
Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki
Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.
Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo
Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi
AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE
Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji
Congratulations MAKONDA 🇰🇪
Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.
🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba
Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu
Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake
Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya
Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia
Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36
Good job,makonda.eddy from Kenya
Mungu akukumbuke brother
Mungu akupe nguvu.
Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!
Fanya kazi kaka yangu mungu atakusimamia
Sema baba👍👍👍👍👍👏👏😀
Yule Mwanasheria mrefu mweusi yuko wali
Piga kazi mzee mungu atakulinda
Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn
Mungu akulinde sana maana huu ni mtihani 😮😮
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.
Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee
Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi
Natamani makonda Aje morogoro Kuna madudu
Makonda piga kazi
Fika kata ya lashaine
Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.
Biidhini llah
2:07:49
🇹🇦🇹🇦🇹🇿
Uyu ndiwani ni muongo
Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge
Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅
Washajichanganya
Safi makonda
😢😢
Makonda Safiii
Wapigaji mtamtetea mtendaji!
Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn
Huyu ni simba, anahunguruma balaa
Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?
Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu
Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili
Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.
Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi
Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu
Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅
Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia
Kweli
Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.
Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???
oyooo
Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako
Makonda Akili nying
Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha
Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma
Kabisa jamin siyo muchezo
EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA
😭😭😭😭
😂😂😂
Acha kudhalilisha watumishi
Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww
Dhuluma iko kila mahali
Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini
hiyo mtendaji hata ajielewi
Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha
Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke
Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.