Amen be blessed the servant of God then Kuna hii ndoto natamani kujua maana yake niliota nikiwa nakamua maziwa ya ngombe nikiosha miguu na mikono mwishowe nikahosifia ndama alipoenda kuyanyonya kuwa atayamaliza
Bwana Yesu asifiwe Mtumushi zamani nilikuwa naota sana naona naenda ila sifiki na sioni ninapo kwenda.... Ila ivi biliishaga siionagi tena iyo ndoto inaamanisha nini tafazali Naomba tafsiri 🙏
Mimi huwa naota mara kwa mara niko shule ya secondary lakin niko darasan nafanya mtihan namajibu yake nakuwa siyajui nanyingine huwa naota naokota hela za Silvia nyingi barabaran kwenye mchanga
Nliwah kuota napanda mlima mrefu Kwa tabu sana ila badae kuna kajiwe kadogo pemben nikakashika na nikafanikiwa nikapanda ckujua nn cha kufanya nikaw naomba ila kwa hofu aisee nikapatwa na majanga majanga madeni yan nikapitia kipindi kigumu san ila Mungu ni mwema niliomba na kufunga na sasa Mungu ni mwema mambo yanaenda vizur
Zidi kumshuru mungu azidi KUKUSAIDIA make pale YESU ndo alikuvusha kutoka KWENYE changamoto TOFAUTI TOFAUTI ndo MAANA ilikuwa UNAPATA UGUMU kuuoanda mlima. Mlima ni JARIBU, jiwe ni YESU KRISTO yaani jiwe KUU la pembeni . Na kilele Cha mlima ni MAFANIKIO MAKUBWA
ROHO ya KUSHINDWA mtihani, kukosa mwelekeo na KUSHINDwA kutimiza KUSUDI LA YESU MAISHANI MWAKO - kataa ROHO ya KUSHINDwA na kukosa mwelekeo kwenye maisha
Hukiota hikiwa shuleni hukifanya mtihani ama darasa huliachia shule hunajikuta nini hio na kuona hikiwa humelidi nyuma na darasa mbili ama tatu nini hio.
Ndani kwangu Sina panya Ila kunasiku niliota ndani ya nyumba kunapanya wengi sana wanakimbia wanatoka nje ndoton nikawa nawashangaa uko naogopa nikiwa nawakumbatia wanangu nikiwa nawaogopa wale panya Ila wale panya walikua wanakimbia wanatoka nje
MUNGU amekusaidia ila anataka UWE MAKINI- MAKINI kwenye KITU unachofanya USIJE ukapata hasara. Kuwa MAKINI na WATU, usalama WA BIASHARA Yako. MWOMBE MUNGU aagize Malaika wake wailinde BIASHARA Yako pia na MAISHA Yako na familia Yako make Kuna MPANGO WA ADUI unalenga kuja KUKUPA hasara. OMBA ulizi Kwa mungu. Kama hutoi FUNGU la 10 Kwa USAHIHI Anza na pia wasaidie YATIMA na wasiojiweza
Mm uwa naota ndoto nipo shulen nilikosoma sekondary mara gari linaniacha au nipo primary nafanya mtihani mara sijafanya yaan ni ndoto zinazonirudia kuhusu shule
Naukioa Kama ukoshule na nimefukuza nanaomba mungu anisaidie nipate spornser anilipie fees na baada ya siku moja Naona message ya mpesa ikiigia kwa simu confirm you have received 7900from na jina sikuiona after there namwona headteacher bna nimelipa fees na ndoto yangu aikufika mwisho na nikaaza kushikwa na wasiwasi kutoka io siku nimekosana na mzee wangu maana take Ni nn
Mungu akubariki akuinue kiwango kingine porsta
amen 🙏🙏 mungu atusaidie
Pastor shkran sana kwa somo zuri mm niliota zamani sana kua naokota change
2,,, niko shule ya msingi
Ni kweli kabisa
Amen be blessed the servant of God then Kuna hii ndoto natamani kujua maana yake niliota nikiwa nakamua maziwa ya ngombe nikiosha miguu na mikono mwishowe nikahosifia ndama alipoenda kuyanyonya kuwa atayamaliza
Amina mtumishi mungu akubarki umegusa maisha yangu mtumishi 🙏🙏
Mungu AKUSAIDIE Kwa jina la YESU KRISTO
Amina baba umegusa sana ndoto zetu
Mbona nikilala ata mchana ninaoda bora tu nilale ninaoda pastor
Amen mtumishi but hukiota umejenga nyumba katikati ya maji but niya ghorofa humanisha nini
Ameeen mtumishi
Amen
It is absolutely true;About bugs, school, collecting coins
Yamenikuta mimi😢
MWOMBE YESU KRISTO AKUSAIDIE KIRAHISI Kwa jina la YESU KRISTO
@@shiningstarheavenlyembassy Amen 🙏
Kwa Jina lake Mwenyezi Mungu Nimebarikiwa Amen
Asante imetukuta Ila wengine hawa tuambii kama wewe unavyo fafanua kawa ndani mungu awe NA wewe nazidi kukulinda upate saidia wengine
God bless you 🙏 glory to Jesus Christ amen 🙏🙏🙏
Amen , barikiwa Mutumishi wa MUNGU kwa mafundisho 🙏🙏
Thankyou for sharing. God bless you servant of God
Amen .
Amina mtumishi umenigusa sana maisha yangu mungu akubariki
Mungu tusaidie
Sahii, amen🙏🙏
Asante sana ubarikiwe
Bwana Yesu asifiwe Mtumushi zamani nilikuwa naota sana naona naenda ila sifiki na sioni ninapo kwenda.... Ila ivi biliishaga siionagi tena iyo ndoto inaamanisha nini tafazali Naomba tafsiri 🙏
Kuota HUONI unakokwenda ni kukosa mwelekeo kwenye maisha yako! OMBA na haribu hiyo ROHO ya Giza
Mimi huwa naota mara kwa mara niko shule ya secondary lakin niko darasan nafanya mtihan namajibu yake nakuwa siyajui nanyingine huwa naota naokota hela za Silvia nyingi barabaran kwenye mchanga
Nliwah kuota napanda mlima mrefu
Kwa tabu sana ila badae kuna kajiwe kadogo pemben nikakashika na nikafanikiwa nikapanda ckujua nn cha kufanya nikaw naomba ila kwa hofu aisee nikapatwa na majanga majanga madeni yan nikapitia kipindi kigumu san ila Mungu ni mwema niliomba na kufunga na sasa Mungu ni mwema mambo yanaenda vizur
Zidi kumshuru mungu azidi KUKUSAIDIA make pale YESU ndo alikuvusha kutoka KWENYE changamoto TOFAUTI TOFAUTI ndo MAANA ilikuwa UNAPATA UGUMU kuuoanda mlima. Mlima ni JARIBU, jiwe ni YESU KRISTO yaani jiwe KUU la pembeni . Na kilele Cha mlima ni MAFANIKIO MAKUBWA
asante sana mtumishi wa mungu
Ameeen mtumishi wangu nimeelewa nahizo ndonto
Asante nimembarikiwa sana mtumishi wa mungu
Asante Sana nimeelewa vizur mtu was mungu ila naomba kujua ukiota upo darasani na hujui Cha kuandika kwenye mtihani mpaka unamaliza Asante sana
ROHO ya KUSHINDWA mtihani, kukosa mwelekeo na KUSHINDwA kutimiza KUSUDI LA YESU MAISHANI MWAKO - kataa ROHO ya KUSHINDwA na kukosa mwelekeo kwenye maisha
@@shiningstarheavenlyembassy6:51 🙏
Hukiota hikiwa shuleni hukifanya mtihani ama darasa huliachia shule hunajikuta nini hio na kuona hikiwa humelidi nyuma na darasa mbili ama tatu nini hio.
❤❤🎉
Ndoto ya kuona ukiwa katikati ya nyota nyingi inamaana gan, mtumishi wa MUNGU?
Mm huota niko shule mara kwa mara
UKIFANYA Nini, primary au secondary?
Ndani kwangu Sina panya Ila kunasiku niliota ndani ya nyumba kunapanya wengi sana wanakimbia wanatoka nje ndoton nikawa nawashangaa uko naogopa nikiwa nawakumbatia wanangu nikiwa nawaogopa wale panya Ila wale panya walikua wanakimbia wanatoka nje
Haribu ROHO ya uharibifu na hasara KWAKO !
Tumsifu] yesu kristo mtumishi .na ukiota umevunjiwa eneo] lako la biashara na hakuna kilicho ibiwa kama pesa au bidhaa yeyote unamaanisha nn?
MUNGU amekusaidia ila anataka UWE MAKINI- MAKINI kwenye KITU unachofanya USIJE ukapata hasara. Kuwa MAKINI na WATU, usalama WA BIASHARA Yako. MWOMBE MUNGU aagize Malaika wake wailinde BIASHARA Yako pia na MAISHA Yako na familia Yako make Kuna MPANGO WA ADUI unalenga kuja KUKUPA hasara. OMBA ulizi Kwa mungu. Kama hutoi FUNGU la 10 Kwa USAHIHI Anza na pia wasaidie YATIMA na wasiojiweza
@@shiningstarheavenlyembassy👈
Mm uwa naota ndoto nipo shulen nilikosoma sekondary mara gari linaniacha au nipo primary nafanya mtihani mara sijafanya yaan ni ndoto zinazonirudia kuhusu shule
Kiro ROHO ya kukurudisha nyuma na kimaisha na KIROHO uharibifu
Kama Mimi dah😢
Na ukiota unakimbishwa na mtu na haujakamatwa inamanishaje
MASHAMBULIZI,
Naukioa Kama ukoshule na nimefukuza nanaomba mungu anisaidie nipate spornser anilipie fees na baada ya siku moja Naona message ya mpesa ikiigia kwa simu confirm you have received
7900from na jina sikuiona after there namwona headteacher bna nimelipa fees na ndoto yangu aikufika mwisho na nikaaza kushikwa na wasiwasi kutoka io siku nimekosana na mzee wangu maana take Ni nn
Kwani WEWE na baba Ako mko sawa, na JE Kuna kitu ULIKUWA umemwomba mungu?
Ukiota uko kwa room na ina giza halafu imejaa mavi nakanyaga mavi , yaani mavi imetapakaa room yote inamanisha nini?
Unatembea kwenye maisha ya DHAMBI na vifungo au MIKOSI na LAANA