Exchange ya Mzize na Dube biashara hiyo haipo ni siasa ya kimchezo.Yanga haiwezi kukubali biashara hiyo.Yanga na Azam wanajuana na hata kinachoendelea.Ni njia ya kuwatoa mchezoni wananchi
Chonde chonde yanga wasifanye huo ujinga wa kumuachia mzize ni kijana mdogo ambaye ana makubwa sn yajayo kwa mzize yanafurahisha ujinga huo usifanyike Dube aje lkn mzize abaki hapo hapo yanga mtakuja kukumbuka maneno yangu
Hawezi kwenda wakati kikosi cha kwanza cha timu bora ni mojawapo aende kujitafuta Hawataweza wala ofa hiyo kwa umri wake asiwahi Kama ana umri wa Fei toto aende maana Fei ni ndoto kwenda sasa nje ya Nchi
😁😁😁😁 Hata kwa Yanga ilikuwa hivi hivi Kipindi cha sakata la Feisal Salum Kuondoka Yanga kwenda Azam mwenye kumbukumbu atakumbuka Yanga walituma offer kwa Azam wakimtaka James Akaminko na Kipre Junior 😁😁 hiyo issue iliishia wapi
Mzize mnzur kuliko dube
Exchange ya Mzize na Dube biashara hiyo haipo ni siasa ya kimchezo.Yanga haiwezi kukubali biashara hiyo.Yanga na Azam wanajuana na hata kinachoendelea.Ni njia ya kuwatoa mchezoni wananchi
Chonde chonde yanga wasifanye huo ujinga wa kumuachia mzize ni kijana mdogo ambaye ana makubwa sn yajayo kwa mzize yanafurahisha ujinga huo usifanyike Dube aje lkn mzize abaki hapo hapo yanga mtakuja kukumbuka maneno yangu
Hawezi kwenda wakati kikosi cha kwanza cha timu bora ni mojawapo aende kujitafuta Hawataweza wala ofa hiyo kwa umri wake asiwahi Kama ana umri wa Fei toto aende maana Fei ni ndoto kwenda sasa nje ya Nchi
😁😁😁😁 Hata kwa Yanga ilikuwa hivi hivi Kipindi cha sakata la Feisal Salum Kuondoka Yanga kwenda Azam mwenye kumbukumbu atakumbuka Yanga walituma offer kwa Azam wakimtaka James Akaminko na Kipre Junior 😁😁 hiyo issue iliishia wapi
Mbona taarifa za simba hamna kutwa yanga kina kibu hawahusishwi au hawana soko
Mnapigia debe Simba na Azam wapuuzi nyie ndo maana muda mwingi mnaikandia yanga.
Dube amevunja mkataba na azam sio mchezaji wa Azam why wabadliishane? Hao ni wachanbuzi makuma mchambuzi bongo ni miraji tu