FEI TOTO : MASHABIKI WANATHAMINI SANA WACHEZAJI WA KIGENI KULIKO SISI WAZAWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 чер 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 118

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv 19 днів тому +3

    So kweli sisi tunashabikia mtu anayefanya vizuri natimu tunayoipenda

  • @madyuza4978
    @madyuza4978 22 дні тому +22

    This time mmezingua,, interview imefanyika week iliyopita mnaipost leo,, oya msituharibie image ya crown media

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 22 дні тому +6

    Diara.Kwasi.msindo.bacca.Mandoza.Aucho.Pacome.Mdathiri.Guede.Fesal .Azizi key.....uko vizurii wewe ni Mkweli sana .......Kijana anaujua mpira na Ana macho

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 20 днів тому +3

    Fei uko vizuri endelea kupambana

  • @festogangata7202
    @festogangata7202 19 днів тому +2

    Upo vizuri Fei

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 22 дні тому +7

    Tunathamini wageni kwa sababu wanajua ethics na professionalism katika kazi yao. Hawagubikwi na jeuri, kiburi, dharau na majivuno. Wanaheshimu kazi, wanawahesshimu wananchi. Zaidi ya yote wana elimu na uzoefu wa kutosha wa kujufungamanisha (interaction) na jamii inayowazunguka. Hawa si mambumbumbu!

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 21 день тому

      Acha chuki Fala ww, vipi Dube, vipi mayele? vipo Enonga? Acha chuki tafuta hela

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 21 день тому

      Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 21 день тому

      Yanga mna roho mbaya na mnarazimisha kubebwa Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya sana

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 21 день тому

      @@muksinimbaruku1233 Hoja hujibiwa kwa hoja kutukana na makasiriko yanadunisha uwezo wa kiakili wa kujenga hoja kimantiki. Kawaida tabia ya matusi humrejelea mwenyewe. Hivi hao uliyowataja ndiyo professionals pekee wanaocheza nchini? Mbona wako professionals wengi ambao wanalipwa chini ya ujira wanaopata wazawa? Kwanza professionals wanalipa kodi kubwa kwenye mishahara yao kuliko wazawa na gharama za vibali mfano working permit, nauli za kuwapeleka makwao wakati wa likizo au dharura, mbona hayo hamyaoni. Pili kazi yoyote ya ajira, ujira huzingatia mambo matatu ujuzi, muda na ñguvu ya akili inayotumika. Kama wachezaji wazawa wana vigezo hivyo wanashindwa nini kutoka nje nao wakacheze Mpira wa kulipwa wapate nao kulipwa vizuri sawa na professionals wengine? Uwezo huo hawana , badala yake wanakalia majungu, fitina na roho za kichawi! Nani kamzuia Fei kucheza mpira wa kulipwa? Je, ni Klabu gani ya nje imeisha muwania? Kwa kifuoi Hana vigezo,. Lakini badala ya kutafakari mapungufu yake anakalia majungu. Kama kweli ana machungu na kipato kidogo Cha wazawa aanze kwa kushawishi uongozi wa Azam wampunguzie mshahara na marupurupu ili alipwe sawa na wachezaji wazawa wenzake wa Azam.

    • @dreamleague-uq2gx
      @dreamleague-uq2gx 20 днів тому

      Takwimu zinaonesha wachezaji wakigeni ndo wachezaji wenye kiburi, jeuri, majivuno na zarau 🙏

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 21 день тому +2

    Jamani mpira siyo uadui , kuna maisha mengine baada ya mpira! Zama za fei na Yanga zilishapita, sasa yupo Azam hebu mwacheni ajitafute kijana ! sawa kakose lakini hakuna mkamilifu tunaishi katika mapungufu .

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 21 день тому +5

    FEISAL TOTO ndio mchezaji pekee anaejitambua kwa wachezaji wa ndani.. piga kazi FEI TOTO naamini utafika mbali sana na utakipiga nje REAL MADRID au ARSENAL inshaallah amiin..

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 19 днів тому +1

    Kiukwwli huyu Dogo Fei anajua sana.

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 21 день тому +3

    Fei mdogo wangu kuwa mstaarabu kunyamaza kimya kwa watu ni jawabu zuri..yapuuze japo yanakera subra yako ndio mafanikio kwako

  • @WinnieVenance
    @WinnieVenance 22 дні тому +3

    Feisal💥💥💥

  • @makamezahoro8194
    @makamezahoro8194 19 днів тому +1

    Azam fey ndio amefanya makubwa kuliko alipokuwa lkn kama unajua mpira fkiria alichofanya

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o 21 день тому +4

    Mbona yanga wanamuimba Baka, Job, Mudathiri,Mzize na hata huyo Feisal mwenyewe waliimbwa sana,
    Timu uliyopo ndio kila kitu,
    Hivi nani anamuona Kipre Junior pale Azam? Hivi Fei anamkuta Kipre?
    Lkn timu aliyopo haina nguvu kabisa, wachambuzi ndio mnamuimba
    Wewe mtangazaji acha unafiki,
    Umemuambia ataje chake afu waweka chako

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 21 день тому +1

      Kipre ni mchezaj mzur ila anachelew kwenye maamuz kwa iyo anauwa xan mashambuliz ila fei anachez mpira wa akili xan atachelew kuumiy na atafik mbali coz anachez mpira wa kikubwa xan

    • @user-kk3tv6kw1o
      @user-kk3tv6kw1o 21 день тому +1

      @@TwalibKwelii AKILI?????

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 22 дні тому

    Good interview

  • @WamburaBruno
    @WamburaBruno 17 днів тому +1

    nikweli watanzania wanayo tabia yakuwakubaliiii wachezaji wa kigeni?

  • @godlovechambulila6997
    @godlovechambulila6997 22 дні тому

    Hamjuiiii

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 22 дні тому +1

    Hajui kingereza huyoo

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 22 дні тому +1

    ❤❤

  • @danielkabambi4199
    @danielkabambi4199 22 дні тому +3

    Video quality

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 22 дні тому +1

    🔥🔥

  • @user-nx8ll1sl6p
    @user-nx8ll1sl6p 22 дні тому

  • @cretrinomz
    @cretrinomz 22 дні тому +5

    hongera sana

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 16 днів тому

    Fei Bado anaupenzi sana na yanga

  • @MuddySanze
    @MuddySanze 19 днів тому

    Si kweli we mshamba kwani wakati upo yanga ulipendwa sasa haupo mashabiki wa yanga hawawezi kukupenda ipo hivyo huwezi kumpenda adui yako

  • @mnhambomapessa3948
    @mnhambomapessa3948 22 дні тому +1

    Yan hakukua na sababu yakuweka haya mahojiano wakati yanayo jadiliwa mengi yameshapita...kwa kweli crown media hapa mme puyanga

    • @Maro_tv05
      @Maro_tv05 22 дні тому

      Aisee kumbe ndo maana Yesu licha ya kufanya makubwa bado kuna wengne hawakuyasadiki

  • @vavalaifm544
    @vavalaifm544 19 днів тому

    Huwez kusaminika kama hufanyi vizuri na kuichafua tim hata siku mmoja

  • @SalamSaleh-vu6cl
    @SalamSaleh-vu6cl 22 дні тому +2

    Yan mnachelewa kupost mnazingua

  • @oscarnevelle5472
    @oscarnevelle5472 22 дні тому +2

    Mwandishi wa habari unaongea sana ,uliza swali alafu subiri mtu ajibu.

  • @its.ramadjr751
    @its.ramadjr751 22 дні тому +3

    WA kwanza leo😊😊😊 ila hii mbona imechelewa asa

  • @voicdesition897
    @voicdesition897 22 дні тому +2

    Nenda Pakistan

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 22 дні тому

    Safi, lakin hatujuwi kw nin hamkuipost kw wakat, coz mnajua ikiisha tu interview ndan ya masaa kadhaa baad ya kurevew inatakiwa ipostiwe sasa sjuw nn kiliwakwmisha.

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 22 дні тому +2

    Kameanza sasa kulialia 😅😅😅 nidhamu kana sifuri haka katoto, vipi kuhusu kutunyamanzisha 😂😂😂😂

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikika 17 днів тому

    Hana jipya huyo macho kulegea kunguni

  • @JamesPhiri-sz5qn
    @JamesPhiri-sz5qn 21 день тому

    Pablo 👑👑👑👑🇿🇲🇿🇲

  • @dunkchainz7237
    @dunkchainz7237 19 днів тому

    Media mpya simlaumu saana mwanahabari the way anauliza maswali… nmependezwa sana na the way Feisal amehandle interview… nmeona utofauti mkubwa sana tangu vuguvugu lake na wananchi lilivoisha… nkiwa kama shabiki wa Yanga nimktakiw kheri tu katika maisha yake… Lakini tutaendelea kumzomea hadi siku tutapochoka tutaacha 😂

  • @banjobeattz2858
    @banjobeattz2858 22 дні тому

    We mtangazaji bogazi uliza point man

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 21 день тому

    Interview ya week juzi leo ndo mnapost ✍️✍️✍️

  • @AbdulraufSalum
    @AbdulraufSalum 21 день тому

    Hii media ya kindezi San

  • @user-qu9fd7cc8g
    @user-qu9fd7cc8g 22 дні тому

    Hapo mmeharibu weken vitu updated kama mnataka kumaintain status yenu

  • @bernadking3835
    @bernadking3835 22 дні тому

    Iv Kuna shida gan mnapost interview nusu nusu aziji kwa wakat au mmetumwa kuarb crown yetu

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 22 дні тому +7

    NAYEYE AENDE KENYA AKATHAMINIWE, KAMA WACHEZAJI WA NDANI AWATHAMINIWI.

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 22 дні тому

    Mwacheni kijana bado anajitafuta kimaisha....tulikuwa naye na sasa yupo Azam.....kila la heri Fei

  • @Breezy9757
    @Breezy9757 22 дні тому

    Ndio tunathamini wageni kwa sabab wnafanya vile washabiki tunataka

  • @shafiimsofe9975
    @shafiimsofe9975 19 днів тому +1

    Mbona ulithaminiwa kipindi uko yanga, umeondoka kwa vurugu watu wsiwathamini waliopo, hiyo kauli haiko sawa niya kibaguzi, wazenji achane tabia za kibaguzi , sasahivi mnaongea kauli za kibaguzi sana na kila mahali.

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 22 дні тому

    Fei acha kushindana na mashabiki kazi ya mashabiki ni kushangilia na kuzomea achana na mashabiki kabisa sisi tutaitetea Yanga milele

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 22 дні тому

    Ameshindwa kupata kiatu maana yy mama alimpa yeboyebo

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 22 дні тому

    Huyu jama anajitahidi lakin anaroho mbaya kW wengine

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp 16 днів тому

    Kila mtu anafuata masilai niache milione 16 kwa kupata milione 4 za Yanga

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 21 день тому

    Nishacheza mpira bongo ila fei kweye hizi timu,viongozi ni wale wale labda itokee miujiza.

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 21 день тому

    Tunathamini anaecheza vizuri

  • @OkwSunzu
    @OkwSunzu 22 дні тому

    Mbona mmefanana kama ndugu

  • @HamisiKibungulu-qu6hl
    @HamisiKibungulu-qu6hl 20 днів тому

    Choko huyoooo

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 16 днів тому

      Analipwa mshahara si chini ya 20M sasa hapo utajua km choko ni yeye au wewe

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 22 дні тому

    Ata wake tunathamini wa nje iwe wachezaji acha umama kama vipi kacheze.dada zako ukumbini kwenu

  • @sajormaster1168
    @sajormaster1168 22 дні тому

    Mnafanya kumshusha alikiba fanya mambo ya akili nyie mambo ya zaman mnapost leo😊

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i 20 днів тому

    Anaekuchukia ww hajui mpira na ni mpuuzi😊

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 22 дні тому +2

    Wageni hawatukani viongozi wao.

    • @ce-08
      @ce-08 22 дні тому +1

      Sasa c wanalipwa vizuri hata ww ukiwa top serikali unakula hela uwez kuona kama serikal inaviongoz Wala rushwa sababu ww umeshba

    • @user-wl3sv2xn9e
      @user-wl3sv2xn9e 19 днів тому +1

      Yes wageni wanajuta misingi ya mpira

    • @user-wl3sv2xn9e
      @user-wl3sv2xn9e 19 днів тому

      Wageni wanajuwa misingi ya mpira wa miguu

    • @ce-08
      @ce-08 19 днів тому

      @@user-wl3sv2xn9e sio kwel sema masrai Yao yanasikilizwa mbona wabongo waliopo nje wapo vizuri ni kwasababu wanajaliwa tu hata hao wageni wenyewe wengine shida msiwajal muone Kwan mara ngap wagen wamezishitak timu zetu mara ngap kina Morrison wamefanya utovu wa nidham hapo issues kubwa ni maslah tu mchezaj yoyote yule ukimpa maslah yake vizuri hatokusumbua

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 22 дні тому

    Si kweli kuwa mashabiki hawawapendi wazawa, akumbuke alivokuwa Yanga tulivokuwa tunamuimba na kumpenda. Asijisahaulishe.

    • @ce-08
      @ce-08 22 дні тому

      Lakin alvyokuja Aziz Ki tulimsusa Wala sio uongo

  • @mzazi15
    @mzazi15 22 дні тому

    Ila kumuacha kipre jr nje ata kwenye sub ni tatzo 😅

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 22 дні тому

    Kwa mpira upi ulio nao wa kwenda kucheza nje wewe utaenda kucheza tabora united kwa ujeuri wako na hiv ulivyosusia medali

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 21 день тому

    Kuwa nadabu ķuwa namaneno kidogo aca majivuno udapedwa badirika haucukiwi lahasha sema unakera mbone ivi unaongeya naheshima wacezaji wageni wanautulivu unatukanywa gushinda Saido ilayekimya anafunga kuriko wafulahiye wanamutukana ila hamutukani mutu Muze Saidi urishasikiya ngisi anamucamba nawengine wengi nawe sasa badirika mambo yako anyooke ushauli wambure

  • @terrence9477
    @terrence9477 22 дні тому

    Wazawa ni wasaliti, wauza mechi. Wapambane na hali zao

  • @user-fn7od9yk1o
    @user-fn7od9yk1o 22 дні тому

    Ajifunze kupitia ligi ya uingereza na spain cio kuongea vitu visivyo na tija

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 21 день тому

    ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 22 дні тому

    Toa pacome weka kipre jr

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 21 день тому

    Azam mpelekeni arabuni tuu akajionee na pesa kama anataka.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 21 день тому

    Feisal hana roho mbaya kama yanga

  • @LionelRichard-wj6zi
    @LionelRichard-wj6zi 22 дні тому

    Interview imekosa MWANDISHI

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 22 дні тому

    Tunathanini uwezo wa mtu , sio Kwa sababu mchezaji wa ndani na umezidiwa uwezo na mgeni halafu tukufagilie....huo ni UJINGA

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 22 дні тому

    Interview ya zamani haina thamani sasa

  • @salcle9702
    @salcle9702 22 дні тому

    Hii chanel niya kizee na watu walio pitwa na mda wake

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikika 17 днів тому

    Pumbavu huyo alitukana viongozi wetu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 20 днів тому

    Pepo mbaya wa kuzimu wewe kafie mbali changodoa

  • @richardgodfrey9020
    @richardgodfrey9020 21 день тому

    Sasa tukusamini ww wakati ni shoga bwabwaa 😄

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 22 дні тому

    Wakuunge mkono upumbuvu wako nyoooooo

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 22 дні тому

    Mnazingua mbwa nyie

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 22 дні тому

    Muongo wewe mpira ndo unakuushia hapo nje labda ukacheze malede TU hata huko nje hawakuchukuii huna adabu

  • @GloryD-ky5nf
    @GloryD-ky5nf 22 дні тому

    Hunanlolote wewe feisalim acha zarau Dunia Haina mwenyewe

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 22 дні тому

    Acha ujinga dogo fanya kaz yako unalialia nini mpila ni nambaz sio kulegeza macho tu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 20 днів тому

    Wageni hawatukani viongozi wao huyu shoga kajiona sukari kuwatukana viongozi wetu ,fucky u

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 20 днів тому +1

    Hata alivyokaa kwenye kiti anaonekana mshambaa tuu!!

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 21 день тому +1

    Elimu ya madrasa kingereza hujui ukacheze nje?? Arafu we mtangazaji punguza maswali kwani umesikia sisi yanga tunadhiki na feisal wakati tunao top wanaupiga mwingi mpk unamwagika huwiíi tuna watu kuliko huyu dogo wew mtangazaji acha ushamba huwo

  • @Pro_editings2024
    @Pro_editings2024 21 день тому +1

    Kwa maringo yako hamna anayekukubali tena mkuu

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 22 дні тому +1

    Kuma nyoko ww Marengo Yako kucheza nje Kwa MCHEZAJI gan ww shoga Kuma nyoko Kuma la mama Ako msenge ww

  • @David_keyan
    @David_keyan 22 дні тому

    Crown mnazingua yan mnachelewa kupost kaah hv hamsomi comment asilimia 90% wanalalamika mnachelewa alaf muelewe sasa hv michezo imekua zaid watu wanapenda sasa interview za seriously mnakaa mwez mzima mnapost khaa mtapotez mashabik kwa uzembe wenu ,Pablo kuwa seriously na kazi dogo

    • @EvaJuakaliTV
      @EvaJuakaliTV 22 дні тому

      Walikuwa hawana Bando 😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 21 день тому

      ​@@EvaJuakaliTV mahi siyo kweli😂 wanatuchezea akili zetu.

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 20 днів тому

    Huyu Mtoto Bado Mshamba Hajielewi Kijua Kwake Ndio Kumemponza Amekosa Kiatu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 20 днів тому

    Ukiona mtu anamsifia huyu shoga basi ujue ni shoga mwenzie

  • @MaurusKomba-nb3mo
    @MaurusKomba-nb3mo 19 днів тому +1

    Uyu ni mchezaji mzuri sana. Ila hanatabia za ovyo sana.

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 19 днів тому +2

    Siyo kweli! Huyu jamaa alikuwa akipendwa sana na washabiki wa Yanga kuliko wachezaji wa kigeni. Ila tamaa ilimfukuza.

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 16 днів тому

      Sio tamaa ni maslahi!Hata ww ukipata deal zuri lenye maslahi kuliko hutoliacha ata siku moja