FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 144

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os 3 місяці тому +2

    Crown media Hapa ni nyumban Karbu fei toto kaz nzur Crown 👑 ❤❤❤❤

  • @maddybongo
    @maddybongo 4 місяці тому +60

    Crown mkitaka kukuwa kwa haraka acheni kuwa wahuni mtasogea sana muwe na wafanyakazi wanaojitambua na wenye weledi hiyo content ni nzuri sana mngeotafutia heading nzuri inayoendana na maudhui kuandika heading tofauti na maudhui yenyewe ni cheating na cheat unaharibu mambo hayo wafanye tv ndogo ndogo zisiokuwa na majina nyie crown ni wageni lkn mna jina kubwa tayari.

    • @drcharlestz
      @drcharlestz 3 місяці тому +9

      Acha Kukurupuka. Hiyo ni Intro ungekuwa UA-camr ungenielewa. Intro au Trailer sio Content.
      Video hiyo iko Premier kwahiyo imetengewa muda wa kuruka hewani, huo muda ukifika ukaona ni usanii ndio ulete complain.

    • @leejems142
      @leejems142 3 місяці тому +5

      Umeambiw up coming angalia ni md gan ukifik md ukion tofaut na maudhui ndo utaanz kulaum elew mad

    • @wallecyjuniorjr992
      @wallecyjuniorjr992 3 місяці тому +3

      hiyo point ipo kati ya mazungumzo huwez andika maneno yoote

    • @GeorgeKishiwa-r5g
      @GeorgeKishiwa-r5g 3 місяці тому +2

      Wewe ndyo mshamba hujaelewa

    • @issayajumanne2710
      @issayajumanne2710 3 місяці тому +2

      Fact

  • @rudo_b_classic1131
    @rudo_b_classic1131 3 місяці тому +8

    Unyamaa Pabloo crawn ❤❤❤❤❤❤

  • @BakariBakari-sf4ld
    @BakariBakari-sf4ld 3 місяці тому +5

    Sawa feitoto crown hapa ninyumbani

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 місяці тому +1

    Shikamoo king KIBA hakika umeweza💪💪💪#crown tv is the best

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa 3 місяці тому +12

    Hapa ni nyumbn❤

  • @TomaTee-hu7do
    @TomaTee-hu7do 3 місяці тому +6

    Nakuombea duwa m munguuu ukachezeee ulaya Ili uondoko na fitina za tanzania

    • @RamadhaniChamuange
      @RamadhaniChamuange 3 місяці тому

      Keshachelewa huyo ulaya sio manzese

    • @TomaTee-hu7do
      @TomaTee-hu7do 3 місяці тому

      @@RamadhaniChamuange ww ndio m munguuuu kwamunguu hakunakubwa

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 місяці тому +4

    Njoo msimbazi kaka tumekusubilia

  • @EMMANUELGENERAL-n1r
    @EMMANUELGENERAL-n1r 3 місяці тому +6

    PABLO🔥👑🔥👑🔥👑👑🔥👑🔥👑

  • @rashidkopa
    @rashidkopa 4 місяці тому +9

    Hapa ni nyumbani

  • @AmosKiboha-lg9ji
    @AmosKiboha-lg9ji 3 місяці тому +9

    Camera za kiwango cha BBC

  • @Jmbuilder-ly6wp
    @Jmbuilder-ly6wp 3 місяці тому +3

    Media yenye habar mahiri

  • @AsumaniMajesty
    @AsumaniMajesty 3 місяці тому +2

    Mkal wao❤

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp 3 місяці тому +6

    Swala la fei limesha pita na pengo lake halipo tena

  • @NivoAfrica007
    @NivoAfrica007 3 місяці тому +3

    Hapa ni nyumbani❤

  • @olicendayihimbaze4074
    @olicendayihimbaze4074 3 місяці тому +2

    Pablo Almas wewe una kitu kikubwa 🎉🎉

  • @AbubakarSAT
    @AbubakarSAT 3 місяці тому +10

    Fundi Sana feisal na crown muko sawa

  • @S.king_7
    @S.king_7 3 місяці тому +2

    #HapaNiNyumbani 💥🔥🔥

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 3 місяці тому +2

    Yeeebabah 😇 😇 😇

  • @Jackison-lt2gt
    @Jackison-lt2gt 3 місяці тому

    Safi nawakubari crown

  • @OchuTv.
    @OchuTv. 3 місяці тому +6

    TITLE "FEISAL 🗣️ WATANZANIA HAWATHAMINI WACHEZAJI WA NDANI, TUNAJITUMA SANA UWANJANI"

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 місяці тому

      Hiyo pia ameisema aucho na chirwa

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 3 місяці тому +1

    Interview ya muda mrefu mnaipandisha leo mzingua sana,

  • @REBEKAMGINA-dq8vm
    @REBEKAMGINA-dq8vm 3 місяці тому +1

    Proud of fei toto

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 3 місяці тому +3

    hii mnezingua andika kitu ambacho mmezungumza humo mnatupa taharuki mwisho wa siku mkiendelea ivi tutakuwa hatuaangalii.... sisi kama wapenzi wa crown media hatutaki izi mambo....kama kazitoa kwa manara ni uko sisi uku hatutaki.

    • @FadhiliHamza-mz1wu
      @FadhiliHamza-mz1wu 3 місяці тому +1

      Sema utakuwa huangaliiiii tumia umoja hutokuwa unaangalia nananiiiii?

  • @NyamshaMaregesi
    @NyamshaMaregesi 3 місяці тому

    Nyie crown mshaanza kuzingua yani kichwa cha habari ni tofauti na kichozungumziwa,alafu interview ya kitambo mnapost leo

  • @NestoryJoseph-e8s
    @NestoryJoseph-e8s 3 місяці тому +6

    Feisal watakukataa wengi sana ila mimi nitakuwa wa mwisho kukukataa nitakusapit ila timu yako siisapot

    • @MarthaGabriel-s6b
      @MarthaGabriel-s6b 3 місяці тому

      Hata alivyokufunga mdomo

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 3 місяці тому

      Hata Mimi Bado Feisal ni mchezaji wangu pendwa. No matter what. Hata kiatu nilitaka achukue fei sio Aziz ki hapo Mimi yanga

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 3 місяці тому +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @TenMasumbwe-rm2zb
    @TenMasumbwe-rm2zb 3 місяці тому +2

    Hii media Ina unazii mwingi

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 4 місяці тому +2

    ❤❤❤

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr 3 місяці тому +2

    Kichwa cha habar umezngua pablo

  • @HaronOkuu
    @HaronOkuu 3 місяці тому

    Amazing

  • @SheyBonanje
    @SheyBonanje 3 місяці тому +3

    Hapa n nyumbani

  • @David_keyan
    @David_keyan 3 місяці тому +1

    Crown kuwen seriously yan interview toka ana goli 16 mnapandisha leo ? Duuuh 😮 mnachelewesha interview ndo maana pablo anaonekana kama hayupo sahivi

  • @fanikiwadanford6772
    @fanikiwadanford6772 3 місяці тому

    Hizi crown unyama

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 3 місяці тому +2

    Fei toto buana aty nilikaa kitako na raisi wa singida 😅 watu wa zanzibari napenda sana sleng yao🙌🏾

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 3 місяці тому +2

    Huyu mwamba ni fundi na kwasasa kwa wachezaji wa ndani ndio yupo kwenye fomu ila sasa alipo ndio patamchelewesha aende simba akachukue ufalume

  • @JahiyahIdrissa
    @JahiyahIdrissa 3 місяці тому +1

    Halafu ayo mambo tunayajua muhojin mambo mapya

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 місяці тому +1

    Maswali mengine ni ya kikuma asa atakama mim umenifananisha na mtu unadhani nitaacha kujitaja

  • @manjatz7594
    @manjatz7594 3 місяці тому

    Nice

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 4 місяці тому +4

    Mutajiharibia kuku nyie

  • @thirdthebadestafrodance3529
    @thirdthebadestafrodance3529 3 місяці тому +2

    Pablo nakubali sana kaka ..una akili unauliza maswal vizuri

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 3 місяці тому +2

    Namkubali sanaaà FEI

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 місяці тому

    Mnyama

  • @khadija5761
    @khadija5761 3 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LuqmanJamal-s6y
    @LuqmanJamal-s6y 3 місяці тому +1

    Media ya kisenge tu hii...hicho kichwa cha habari nimekitoa thamani

  • @yummaskitchen6167
    @yummaskitchen6167 3 місяці тому +1

    Hata yanga hatumtaki pia

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 місяці тому

    We fala

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka 3 місяці тому +3

    Huyu dogs anajuwa ila anakiburi

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 місяці тому

    Uhakika Karibu simba

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 місяці тому

    we boya 2

  • @ZenaMsumagilo
    @ZenaMsumagilo 3 місяці тому

    Kwa maajabu gani uliyonayo? Hata cc hatukutaki utuache na YANGA yetu......... Uctujazie mikoc

  • @AliKhamisali-p6c
    @AliKhamisali-p6c 3 місяці тому

    Majivuno hutokana nakipaji au kipato

  • @abdullmajengo9690
    @abdullmajengo9690 3 місяці тому

    Kwani yanga wanakutaka?

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 3 місяці тому +2

    Munaupaga mwing

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 3 місяці тому +2

    Huo siyo msimu wake bora, hana kombe lolote, kuna misimu ameshiriki hadi fainali shirikisho

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 місяці тому

      Nkane msimu wake bora upi

    • @jumanneenos2481
      @jumanneenos2481 3 місяці тому

      @@mussahamad404 musimu bora ni ule mchezaji unacheza na kutwaa makombe, musimu bora siyo kufunga.
      Kwamba Aucho ana musimbu mbaya kuliko kepre cheche na bangala ambao wanamabao

    • @JumaJaguar
      @JumaJaguar 3 місяці тому

      Elewa kuna mafnkio ya timu na mafnkio binafsi kw hyo huu ndio msmu bora kw fei 19 goal assist 7 ila kitimu mafnkio ni madgo ni kushka nafc ya 2 so far huu ndio msimu wke bora kbsa

    • @jumanneenos2481
      @jumanneenos2481 3 місяці тому

      @@JumaJaguar elewa majukumu ya timu, alipokuwa yanga anavheza namba 6 na 8, azamu amecheza namba 10 na false namba 9, mafanikio ni kutimiza malengo ya mashindano siyo kufunga tu, mrisho ngasa asha wahi kuwa top scorer wa CAF yanga ikaishi hatua za chini, ulikuwa msimu bora kwake???

  • @nassorosinde6945
    @nassorosinde6945 3 місяці тому

    Msirudie kuweka vichwa vya habari vya hovyo

  • @JamesNgonye-nm3uz
    @JamesNgonye-nm3uz 3 місяці тому

    Mtangazaji ni shabiki wa timu fulani hivi😂😂😂😂😂

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 місяці тому +1

    Huna lolote mbwa tu

  • @habibseif8989
    @habibseif8989 3 місяці тому +4

    HII interview nzuri lakin imechelewa kutolewa maana top score kajulikana na pia timu ya kwenda club bingwa imejulikana

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 3 місяці тому

    Dogo ni wamoto sana ndio maana wanaYanga wanamchukia

  • @StevenSimon-zj2uk
    @StevenSimon-zj2uk 3 місяці тому

    Maua yenu

  • @RamadhaniChamuange
    @RamadhaniChamuange 3 місяці тому

    Unajua huyu Jamaa nilionag ana akili kumbe kilaza ndio maana wale walinzi wa ahly walimpiga huyu, anauliz maswali kama muokota MAKOPO mtaan Yan 😂😂😂😂

  • @leejems142
    @leejems142 3 місяці тому +2

    Wabong msiw mnapend kulaum alaf shule pia ina umuhim wak umeambia (Up Coming) maan yak ni kit kinach kuj subir md ukifik ukion maudhui na kitend ni tofaut ndo muaz kulaum kuen na uelew wa mad yenyew msikurupuk

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 3 місяці тому

    Uyu fei angeaca unyodo nagukosa heshima kwawenzake agepata duwa lakini hana adabu sasa kusema guwabaguwa weka mbere wageni sikweli mutugusufiwa kwakazi amafanya kinyume naapo niuthushi

    • @salamamaulid9114
      @salamamaulid9114 3 місяці тому

      Acha ushabiki wa kijinga ww kama huwezi kucoment kaa kimya Acha matusi

  • @Chelseaboy_1905
    @Chelseaboy_1905 3 місяці тому +1

    Siku nyingine ni bora zaidi kuandaa maswali ya kumhoji mtu ambayo yatamfanya azungumze zaidi kuliko wewe mtangazaji..content nzuri ila iko very booring kulingana na maswali yanayoylizwa

  • @elibarikioffical
    @elibarikioffical 3 місяці тому

    FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI
    hii heading haiendani na content nyie waandishi wa habar acheni uchonganishi wapuuzi sana

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 4 місяці тому +3

    Umbwa

  • @AbdulazizMaggio
    @AbdulazizMaggio 3 місяці тому +6

    Camera za crown ni nomaa sanaa

  • @NellyDibaling
    @NellyDibaling 3 місяці тому +2

    Hapa ni nyumbani

  • @mtumeananiasjohachim8760
    @mtumeananiasjohachim8760 4 місяці тому +3

    Duuuuuu, fukuza huyo atatuharibia kazi, kichwa kingine uhalisia mwingine, auto amekosea k

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 3 місяці тому +8

    Crown 👑

  • @Masabaonline
    @Masabaonline 3 місяці тому +3

    Hapa ni nyumbani

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 3 місяці тому +19

    Crown n media ya wote amna ubaguz 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
    Hapa n nyumban 🎉🎉🎉🎉

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 3 місяці тому +4

    Ila Pablo Matako Sana Unavimba Kichwa Sas Hivi Ndo Nin Umeandika Nin Hapo

    • @JoseWilson-vb2di
      @JoseWilson-vb2di 3 місяці тому

      Mbona unatuka yy kaandika alichokise yy fei

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 3 місяці тому +3

    😂😂😂😂😂😂 dah

  • @raphaelkisungura8398
    @raphaelkisungura8398 3 місяці тому +2

    Pablo next tunataka utuletee pacome

  • @minermg5585
    @minermg5585 3 місяці тому

    Hivii msimu Bora unakuwajee??

  • @hajimnyangwa
    @hajimnyangwa 3 місяці тому +2

    Hapa ni nyumban kabisa

  • @YuzzoYuzzomaster
    @YuzzoYuzzomaster 3 місяці тому +1

    Hapa ni nyumbani

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 3 місяці тому

    Mimi Sio mtanzania but nafuatilia mpira wa Tanzania.Watanzania acheni chuki zisizo Isha kama machoko/mapapai huyo dogo anajua au ndio utanganyika unawakereketa?

    • @tluwaydahaye9190
      @tluwaydahaye9190 3 місяці тому

      Unajua maana ya chuki kweli wewe? Inaonekana kiswahili kinakusumbua

  • @Masabaonline
    @Masabaonline 3 місяці тому +2

    Pablo anaweza hii kazi

  • @bonfacebonafide012
    @bonfacebonafide012 4 місяці тому +7

    🔥🙌 Hapa Ni Nyumbani..

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 місяці тому +1

    Huyu baado sanaaaa kumfananisha na Aziz alafu wachambuzi na hivi vyombo vya habari vinavyomvimbisha na kwa kuwa mwenyewe uwezo wake mdogo wa kiakili

  • @ashikalojr6961
    @ashikalojr6961 3 місяці тому

    mko vzuli crown hla hpo mezan xjpenda hta maji jmn ya mabonye😂

  • @HalimaSwedy
    @HalimaSwedy 3 місяці тому +1

    🎉🎉

  • @egbartrwegasira1250
    @egbartrwegasira1250 3 місяці тому

    Ronaldo alishaulizwa mara nyingi nani bora kati yake na mess na amejibu kabisaaa

  • @elikanawilson2966
    @elikanawilson2966 3 місяці тому +1

    ❤️

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 місяці тому

    Karib unyamani FEI TOTO💪💪💪#SIMBA nguvu moja

  • @JudithJackxon
    @JudithJackxon 3 місяці тому

    Karbu sana fei

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 місяці тому +3

    Huyu kijana ana kipaji ila majivuno ndio yatakayomponza.

    • @selemanmcharazo
      @selemanmcharazo 3 місяці тому

      Na anajikubali sana huyu huwezi kumfananisha na Aziz, Aziz ni zaidi ya mtu n.

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 місяці тому

      Jikubali ili ukubaliwe

    • @MartinMadimilo-z6w
      @MartinMadimilo-z6w 3 місяці тому

      asa kajivunia nini apoo msaport mtu anayepambana

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 3 місяці тому

    Duh! Msimu bora huna hata kombe moja.

    • @mohamedredsea962
      @mohamedredsea962 3 місяці тому

      Azam kuingia champion ligi sio ubora we Acha uyanga

  • @Michaelernest214
    @Michaelernest214 3 місяці тому

    🎉🎉❤❤

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 місяці тому

    Fundi sna dogo

  • @AyoubNkwera
    @AyoubNkwera 3 місяці тому +3

    kalibu simba

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy 3 місяці тому +2

    Hawezi kurdish yanga fei maana hatuna mpango wa kumfukuza hersi said

  • @amashambowe1583
    @amashambowe1583 4 місяці тому +2

    Kenge nyie

  • @AldofNyankena
    @AldofNyankena 4 місяці тому +7

    Kumbe na nyie mna upuuzi wa kuandika kuhusu maharage alafu kumbe kilichopo ni Funza

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 4 місяці тому

      Hili ni kama tangazo ila mahojiano ni mapaka masaa 9 yajayo itakua hewan

    • @GeorgeKishiwa-r5g
      @GeorgeKishiwa-r5g 3 місяці тому

      TATIZO LAKO ELIMU NI NDOGO HUELEWI LOLOTE HAYA UONGO UPO WAP WAP HAPO MKUNDU WAKO KUMA WEWE

    • @DismasGeraldi-i2s
      @DismasGeraldi-i2s 3 місяці тому

      😂😂