UCHAMBUZI wa HANS RAFAEL, Je, CHAMA ataisaidia YANGA SC? Ni PIGO kwa SIMBA SC?
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Kumradhi jina la ni NASSIB MKOMWA na si BASSIB MKOMWA kama Ilivyoandikwa.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Interview zenu ni nzurii sana.. ila ziko hazina back sounds. Mjaribu kufanyia kazi hilo. Weken back sounds ili kuongeza radha
Yangaaaaaa
yangaaaaaaaaaa
Ukweli 5imba watateseka kwa chama ni nguzo muhim kwao watani wamewapiga yanga wanajua wanachokifanya Nbc 24/25 Imeisha wakimpata Chama Ligi yamabingwa yanga ndo wanatazama Bongo tayari wamemaliza yanga Bingwa
Ww naye tumeingia. nafasi ya tatu tumepigwa tano na yanga chama yupo achaaendevuko yanga
Okwi alikuwa bora kuliko mtu yeyote simba lkn wengine wote ni watoto,chama asepe tutavuka na wengine
Hakika
Noma sana 🎉🎉🎉
Fukuzaa vizee
Kwenye redio saa ngapi mda wa michezo?
inono🎉
🔥🔥
Hance leo ndo nmekuelewi,na nmefurahi kwa unavyozungumza,,,ila kumbuk Emmnuel Okwi was better than Chama na aliachiwa simba na bado iliendelea kuwa juu,ko simba ni kubwa na itafanya mkubwa,,,
Chama hawezi kuisaidia Dar Young African
yanga hiii mboga ugali moto
Maneno yake kwamm nakubaliana nae ulejendali tutampa tu maana hata okwi alienda pia lakini aliludi tukampokea namauwa 🎉🎉🎉🎉 yake tukampa kwaiyo kubadilisha changamoto kupo tunamtakia kila lakheli huko aendako
Hapa ni nyumbani
Jamaa ana vision kubwa
Ebhn eeeh
❤❤❤
Dah kumbe mkomwa upo huku kwa kikeke
Sio kwa kikeke yupo kwa kingkiba
Kiba kama hujui kaka nikipeletu hana hela yakumlipa kikeke bro nakama yake alikuawapi kufungua.kabla ya simba
mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu
pigo aliondoka Okwi piko kwako ww sio sisi simba
Mimi binafsi sion umuhimu wa chama yanga na uwo ukubwa anaozungumziwa chama sababu chama tayar anadhuka kiwango na ukizingatia una azizi ki na pacome mi naona huusajili ni wa mihemko kama utangalia mpira kiufundi bora uchukuwe saido saido na chama mi kwangu bora saido
Hii pohwa hata robo
Matatizo makubwa anayo hadi viongozi na makocha wamemchoka
Mtamchukia chama msimu ujao,,chama kaishakwiaha,,yanga msimu ujao Mtaiponda
Kwa kipindi hili ambacho Chama anamaliziamalizia muda wake wa mpira ilifaa abaki Simba ili aje astaafu kwa heshima zaidi. Akistaafia yanga hawatampa Ile heshima anayostahili coz hakutumika hapo muda mrf.
Boko amepewa heshima gani simba ? au nyoni
@@LameckBundala amepewa kuwa kocha wa u17 na anasomeshwa na team kwenye kozi zake za ukocha na ataendelea kulipwa kama mwajiriwa wa simba mpaka atakapoamua mwenyewe kuondoka
Individual CV au mafanikio binafsi ya mchezaji kwa maana ya vikombe au maisha mazur Zaid ni Bora kuliko sifa(heshima) watu wapo kwa maslah zaid
Huyu hans ni mchambuz wa yanga
Me cjaelewa kuhusu legend ... Chama legend vp kuhusu shabalala
mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu
Inonga, Manula, na Chama waende tu.
Daah mnajuwa sana wanangu
Goli 5 nyingi
Crown xio pohwa
Kaondoka sasa tufanyaje Hansrafaely
Changamoto kwenye kuandika mna mawenge
Yanga club yangu achaneni na chama ni mzigo kwa sasa. Tafuteni vyuma vingine achenani na huyo mzee
Ww mwandishi et ataisaisia ndo kiswahili Gani ila upo sawa kulingana na akili yako
makoro kazi wanayo
Alikiba hayupo serious. Hii ndo redio au TV yake??
Muulize mamaako atakuapa majibu
Ww Yako Iko wapi tuje tuchek maana uko serious sanaaaa nadhani Radio Yako au TV itakuwa inakimbiza sanaaaaaaaa😁
Kaka una hoja ya muhimu, ila tambua hii media imefunguliwa redio tu,bila shaka hata vipindi havijaanza rasmi, huenda ikawa hizi podcast tu ambazo zitaruka kupitia crown digital,tupe muda sisi team crown mambo yatakuwa sawa tu
Shobo 😅😅😅😅😅😅
Anajisikiaa sanaaa aendee hukooo