UCHAMBUZI wa HANS RAFAEL, Je, CHAMA ataisaidia YANGA SC? Ni PIGO kwa SIMBA SC?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Kumradhi jina la ni NASSIB MKOMWA na si BASSIB MKOMWA kama Ilivyoandikwa.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 51

  • @femexpress7857
    @femexpress7857 3 місяці тому +11

    Interview zenu ni nzurii sana.. ila ziko hazina back sounds. Mjaribu kufanyia kazi hilo. Weken back sounds ili kuongeza radha

  • @muniraoman9551
    @muniraoman9551 3 місяці тому +5

    Yangaaaaaa

  • @saidmkamila2329
    @saidmkamila2329 3 місяці тому +4

    yangaaaaaaaaaa

  • @davidbigambo1840
    @davidbigambo1840 3 місяці тому +11

    Ukweli 5imba watateseka kwa chama ni nguzo muhim kwao watani wamewapiga yanga wanajua wanachokifanya Nbc 24/25 Imeisha wakimpata Chama Ligi yamabingwa yanga ndo wanatazama Bongo tayari wamemaliza yanga Bingwa

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 3 місяці тому +1

      Ww naye tumeingia. nafasi ya tatu tumepigwa tano na yanga chama yupo achaaendevuko yanga

    • @boazgodfrey865
      @boazgodfrey865 3 місяці тому

      Okwi alikuwa bora kuliko mtu yeyote simba lkn wengine wote ni watoto,chama asepe tutavuka na wengine

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 3 місяці тому +1

    Hakika

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 3 місяці тому +1

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 місяці тому +3

    Fukuzaa vizee

  • @edolizerspecialartist4520
    @edolizerspecialartist4520 3 місяці тому +2

    Kwenye redio saa ngapi mda wa michezo?

  • @AllyNalinga
    @AllyNalinga 3 місяці тому +1

    inono🎉

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 3 місяці тому +1

    🔥🔥

  • @boazgodfrey865
    @boazgodfrey865 3 місяці тому +1

    Hance leo ndo nmekuelewi,na nmefurahi kwa unavyozungumza,,,ila kumbuk Emmnuel Okwi was better than Chama na aliachiwa simba na bado iliendelea kuwa juu,ko simba ni kubwa na itafanya mkubwa,,,

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 3 місяці тому +1

    Chama hawezi kuisaidia Dar Young African

  • @amirymohamedy5330
    @amirymohamedy5330 3 місяці тому +4

    yanga hiii mboga ugali moto

  • @YusuphRajabu-hz3pv
    @YusuphRajabu-hz3pv 3 місяці тому +1

    Maneno yake kwamm nakubaliana nae ulejendali tutampa tu maana hata okwi alienda pia lakini aliludi tukampokea namauwa 🎉🎉🎉🎉 yake tukampa kwaiyo kubadilisha changamoto kupo tunamtakia kila lakheli huko aendako

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 місяці тому +1

    Hapa ni nyumbani

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 3 місяці тому

    Jamaa ana vision kubwa

  • @jacobopaul6440
    @jacobopaul6440 3 місяці тому +1

    Ebhn eeeh

  • @sadile1057
    @sadile1057 3 місяці тому

    ❤❤❤

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 місяці тому +1

    Dah kumbe mkomwa upo huku kwa kikeke

    • @SalumMushi
      @SalumMushi 3 місяці тому

      Sio kwa kikeke yupo kwa kingkiba

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 2 місяці тому

      Kiba kama hujui kaka nikipeletu hana hela yakumlipa kikeke bro nakama yake alikuawapi kufungua.kabla ya simba

  • @GreysonMwombeki
    @GreysonMwombeki 3 місяці тому

    mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 місяці тому +1

    pigo aliondoka Okwi piko kwako ww sio sisi simba

  • @abeidrashid2574
    @abeidrashid2574 3 місяці тому

    Mimi binafsi sion umuhimu wa chama yanga na uwo ukubwa anaozungumziwa chama sababu chama tayar anadhuka kiwango na ukizingatia una azizi ki na pacome mi naona huusajili ni wa mihemko kama utangalia mpira kiufundi bora uchukuwe saido saido na chama mi kwangu bora saido

  • @ElipendoMasanja
    @ElipendoMasanja 3 місяці тому

    Hii pohwa hata robo

  • @boazgodfrey865
    @boazgodfrey865 3 місяці тому

    Matatizo makubwa anayo hadi viongozi na makocha wamemchoka

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 3 місяці тому

    Mtamchukia chama msimu ujao,,chama kaishakwiaha,,yanga msimu ujao Mtaiponda

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 3 місяці тому +1

    Kwa kipindi hili ambacho Chama anamaliziamalizia muda wake wa mpira ilifaa abaki Simba ili aje astaafu kwa heshima zaidi. Akistaafia yanga hawatampa Ile heshima anayostahili coz hakutumika hapo muda mrf.

    • @LameckBundala
      @LameckBundala 3 місяці тому +1

      Boko amepewa heshima gani simba ? au nyoni

    • @festomathias_jnr
      @festomathias_jnr 3 місяці тому

      @@LameckBundala amepewa kuwa kocha wa u17 na anasomeshwa na team kwenye kozi zake za ukocha na ataendelea kulipwa kama mwajiriwa wa simba mpaka atakapoamua mwenyewe kuondoka

    • @husseinmbwana8160
      @husseinmbwana8160 3 місяці тому

      Individual CV au mafanikio binafsi ya mchezaji kwa maana ya vikombe au maisha mazur Zaid ni Bora kuliko sifa(heshima) watu wapo kwa maslah zaid

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 3 місяці тому +1

    Huyu hans ni mchambuz wa yanga

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 3 місяці тому +2

    Me cjaelewa kuhusu legend ... Chama legend vp kuhusu shabalala

  • @GreysonMwombeki
    @GreysonMwombeki 3 місяці тому

    mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu

  • @bestman8182
    @bestman8182 3 місяці тому +3

    Inonga, Manula, na Chama waende tu.

  • @salimNdendya
    @salimNdendya 3 місяці тому +2

    Daah mnajuwa sana wanangu

  • @bestman8182
    @bestman8182 3 місяці тому +3

    Goli 5 nyingi

  • @ElipendoMasanja
    @ElipendoMasanja 3 місяці тому

    Crown xio pohwa

  • @japharykininki9808
    @japharykininki9808 3 місяці тому +1

    Kaondoka sasa tufanyaje Hansrafaely

  • @shedymmari7910
    @shedymmari7910 3 місяці тому +1

    Changamoto kwenye kuandika mna mawenge

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 3 місяці тому

    Yanga club yangu achaneni na chama ni mzigo kwa sasa. Tafuteni vyuma vingine achenani na huyo mzee

  • @emmanuelndanu8424
    @emmanuelndanu8424 3 місяці тому

    Ww mwandishi et ataisaisia ndo kiswahili Gani ila upo sawa kulingana na akili yako

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 3 місяці тому

    makoro kazi wanayo

  • @cruel_5
    @cruel_5 3 місяці тому +2

    Alikiba hayupo serious. Hii ndo redio au TV yake??

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 3 місяці тому

      Muulize mamaako atakuapa majibu

    • @FadhiliHamza-mz1wu
      @FadhiliHamza-mz1wu 3 місяці тому

      Ww Yako Iko wapi tuje tuchek maana uko serious sanaaaa nadhani Radio Yako au TV itakuwa inakimbiza sanaaaaaaaa😁

    • @KarisBaya
      @KarisBaya 3 місяці тому +2

      Kaka una hoja ya muhimu, ila tambua hii media imefunguliwa redio tu,bila shaka hata vipindi havijaanza rasmi, huenda ikawa hizi podcast tu ambazo zitaruka kupitia crown digital,tupe muda sisi team crown mambo yatakuwa sawa tu

    • @BasuleBasule
      @BasuleBasule 3 місяці тому +1

      Shobo 😅😅😅😅😅😅

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 3 місяці тому +1

    Anajisikiaa sanaaa aendee hukooo