LIVE II Pr. KENAN MWASOMOLA AELEZA KISA CHA KUZUILIWA KUHUDUMU MAKANISANI II JUMA LA UWAKILI DAY 4

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #fyp Pr. KENANI MWASOMOLA AELEZEA KISA CHA KUZUILIWA KUHUDUMU MAKANISANI
    #sdasong
    #subscribe
    #hopechanneltanzania
    #sdachurch
    #Kahamanetevent2024
    #kenyanewsmedia
    #Yatoshajangwani
    #sdachurch
    #Kahamanetevent2024
    #hopechannelindonesia

КОМЕНТАРІ • 19

  • @esthersalim1616
    @esthersalim1616 Місяць тому

    Ubarikiwe sana Baba yangu

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 2 місяці тому +1

    Ubarikiwe sana Baba. Unatuponya wa Tanzania. Tuna umasikini wa fikra

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel4854 3 місяці тому +5

    Kusema ukweli mjini tunateseka mno na thambi za manung'uniko, na ususan waumini tuna chembechembe za utapeli. Mungu tuone uruma milango yetu ya faamu zimefungwa.

  • @deogratiasmazangi-mk4fp
    @deogratiasmazangi-mk4fp Місяць тому +2

    Safi sana Pastor 🎉

  • @benjaminmathias2653
    @benjaminmathias2653 2 місяці тому +2

    Mwasamola ni rafiki wangu katika kufundisha

  • @ambakisyemallango3911
    @ambakisyemallango3911 Місяць тому +1

    safi sana mch.mwasomola.

  • @danielngogo8285
    @danielngogo8285 3 місяці тому +1

    Barikiwa mno

  • @ImaniAngumbwike
    @ImaniAngumbwike 2 місяці тому +1

    Naipenda sana hii

  • @renatuskangalu1994
    @renatuskangalu1994 3 місяці тому +2

    Huyu Pr. Namkubali sanaaaaa, aliposema juu ya Kwaya kutumia miziki wachungaji wengi walimuunga mkono, kwa sasaalipowasema kwene kununua vyeo, kuiba pesa za kanisa wamaufyata

  • @OsiahMwaipopo
    @OsiahMwaipopo 3 місяці тому

    Pastor some of us we missed you mby

  • @RaamaNyigo
    @RaamaNyigo Місяць тому +4

    Viongozi kama wewe wasioficha dhambi na wanaozitaja kwa majina ndiyo mnaotakiwa ili kulijenga kanisa la Mungu litakalo simama hata wakati wa mwisho

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh Місяць тому

      Ni sawa. Ila huyu anapoiomba serikali itakase kanisa anakosea kabisa na hili linaligeuza kanisa kuwa kahaba ambacho ndivyo SDA ilivyo kwasasa.

  • @JosephErasto-yp6mh
    @JosephErasto-yp6mh Місяць тому

    Kusema dhambi sio ukamilifu wa utakatifu bali pia na kuuishi. Kuiomba serikali itakase kanisa ni kulifanya kanisa kuwa Kahaba. Yaani SDA organization kwasasa ni Kahaba maana inategema serikali ili kutakasa kanisa badala ya kumtegemea Mungu

  • @KulwaSelemani-i8h
    @KulwaSelemani-i8h 3 місяці тому

    amina

  • @MichaelFadhili-bo9wx
    @MichaelFadhili-bo9wx 2 місяці тому

    Goood

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi Місяць тому

    Kumbe wakati mwingine unaakili

  • @FrenkiOtieno
    @FrenkiOtieno 2 місяці тому

    Namkubali pr wakweli

    • @Ngulichannel-
      @Ngulichannel-  2 місяці тому

      @FrenkiOtieno endelea KUFUATILIA masomo ya Mzee wetu Pr Kenan MWASOMOLA kwenye channel yetu ya Nguli

  • @LisheEndelevu
    @LisheEndelevu Місяць тому

    Kazi ni ibada ndo maana amri ya nne imeunganisha kazi na ibada. Wapendwa tu hape kazi kwa siku 6