Asante sana Mhe. Waitara kiukweli umetuwakilisha vema wananchi. Sisi tunawategemea ninyi kwanza mkatae vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili. Mkikaa kimya maana yake mnakubaliana na vitendo hivyo vya kutuharibia vijana. Tunakupongeza sana sana!!
Asante baba kwa kuongea kwa sauti ya juuu kabs kwa kwaniabaya ya watanzania.viongozi kama hawa ndio tunao wahitaji walio kunywa maji ya bendera ya taifa hii ni vita kama vita nyingine
Safi sana mh, safi sana mtu mwenye hofu ya MWENYEZI MUNGU,safi sana mhe unayejua duniani tunapita,safi sana mkuu mwenye utanzania kamili.MWENYEZI MUNGU atakulipa kwa kilio chako.
Harakati za kuwainua wanawake wawe vichwa juu ya wanaume vinapofanikiwa, ndipo harakati za ushoga vinaanza na baadae haki za watoto kufanya watakavyo bila kupingwa na wazazi wao. yote haya yanapingana na Neno la Mungu ila yanakubaliwa na wazungu. Na wote ambao mungu wao ni vile waonavyo wazungu ndio ambao huendesha harakati hizi. Yaani hawa hawafai kabisa, ila kwa haki za wazungu wanafaa na ndio viongozi wa kutuendesha kwenye machukizo. Majanga na mabalaa na laana yatazidi kuongezeka kama matokeo ya kumchukiza Mungu kwa uasi dhidi ya neno lake kutokana na upotoka kwetu
Yaaaani mungu akubariki baba yangu awo wanaowalawiti watoto wetu awafungwi wanaachiwa huru ndo mana hii hari inaendelea ingekuwa wanafungwa majsha jela aya mambo yasinge endelea yani kama nyie viongozi mnapenda haya mambo au mmeyakubarj yafanyike
Bora ndoa za mitara wanaume waoe wanawake 20 kuliko mwanangu wa kiume kulawitiwa au kuolea yaani mungu tusimamia hii vita wanawake inabidi tuandamane laa sivyo watoto wetu wa kiume wamo hatarin saaana
Hii wanatuletea mikosi na laana kwa vizazi vyetu. Ndiyo maana magu hakuhitaji wazungu. Lakini mpaka sasa wameingia na staili ya misaada kumbe wanasambaza ujinga.
Taifa linazamishwa na wakuu mmekuwa mstali wa mbele kwa uchawa kwa wazungu mnatushangaza kweli tunalia mnacheka wengine hivi kweli watoto wetu wa kiume waolewe ni mzazi gani atalala usingizi atakula kwa amani
serkali yetu inavyo penda misaada aiwezi pnga ilo swala kwasababu ya upgaji Ila ushoga nikitu kibaya Sana hii tanzania inabid iamke Kama Uganda. saiv mashoga wanaongezeka kla kkicha
Uko sahihi baba Asante kwajili yawatanzania wote
Asante sana Mhe. Waitara kiukweli umetuwakilisha vema wananchi. Sisi tunawategemea ninyi kwanza mkatae vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili. Mkikaa kimya maana yake mnakubaliana na vitendo hivyo vya kutuharibia vijana. Tunakupongeza sana sana!!
Tunataka wabunhe Kama hawa
Hongera baba kutetea mungu akulinde watoto wanaharibiwa sana
Waziri anafanya mzaha amekaa kimya hali si nzuri
Tanzania inaitaji viongozi wa aina hii hongera mbunge mungu hakulinde uyo wazili no dalali wa wazungu
😂😂😂😂😂😂😂 Asante sana waaaaaah hapa Huyu nmemwelewa ata akiomba kura huyu apewe kabsa amkeni hivi tutawakubali
🎉daàh nmependa xana hii Mungu akubariki
Hao mawaziri wote wanaonyamazia maovu kwenye wizara zao hatuwapi kura kuwatetea wazungu
Safi kabisa. Una uthubutu kuliko hata kiongozi wa nchi.
True point 😲😲😲😲😲
Point mkuu atuwezi kulea ujinga maana tukirea ujinga leo kesho hatutapata taifa imara
Hongera Sana waitara
Hongera sana mjomba wangu kwa kutuwakilisha wananchi wa tarime na watanzania kwa ujumla
Jamaaa anajuaaa Allah akulinde ameongeaa ukwelii
Hongera sana sana Mungu azidi kukushika sana
Safi sana mbunge
Hongera kwa kupinga ushoga Mungu akusaidie
Hongera kiongozi kwa kusimamia maadili hadharani
Asante mhe. Ujumbe umefika iv Rais wangu siaseme tu nae akemee ushongo na itungwe sheria kali kama Uganda
Asante baba kwa kuongea kwa sauti ya juuu kabs kwa kwaniabaya ya watanzania.viongozi kama hawa ndio tunao wahitaji walio kunywa maji ya bendera ya taifa hii ni vita kama vita nyingine
Kweli
Hakika hii ni vita ya ukombozi wa kifikra na wakuongoza vita hivi ni viongozi wanaojielewa kama ww mungu akuweke babab
Mungu was mbinguni akubariki sana akukumbuke siku zote akakupe haja ya moyo wako
Chief Mwita Mwita respect 💯
Muhishimiwa hongera ×100
Saaafi sana
Asante baba
Kweli kabisa
Asante sana
Sf waitara ww ndio umechana mkeka laivu hongera
Tunawahutaji viongoz wengi kama hawa bungen.Hawa ndio viongoz Mungu amewateua kutetea T.z Mungu akubariki sn.
Kuna wakati saa mbovu inasema ukweli😆😆
Saa mbovu ipi sasa we fisi wewe fala
Ungekuwa unafuatilia bunge Kila siku usengemeita fisi, anaongea pumba sana huyu waitara
@@MiriamAbdallahchadema bhana😊😊😊😊😊
@@officialentertainment1995 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kafanyeje tena 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni saa mbovu kwakweli leo imejitahidi
Safi sana mh, safi sana mtu mwenye hofu ya MWENYEZI MUNGU,safi sana mhe unayejua duniani tunapita,safi sana mkuu mwenye utanzania kamili.MWENYEZI MUNGU atakulipa kwa kilio chako.
Daaa!!! Noma sana mambo ya nchi hi ACHA tyu
Hongera Sana muishimiwa mwakiembe ameonhea lakini hapati ushirikiano hata kidogo tatizo misaada tatizo
Big up
Leo Umeongea point
Safi sana Mh God bless you
Heche is back. Safi Sana muheshimiwa
Usilingsnishe heche na ujinga
Hongera sana mwita
Safiii
Hongera sana🎉
Safi Sana haya mashetan yatoke na pesa zao na huyo raid alone kwendakwenda kwa hao mafilaun kuombaomba misaada
Aswaaaaa amazake amazangu Mungu akupe neema tunaitaji viongozi Kama awa
Nakuombea kwa Mungu,akupe maisha marefu,Umetuwakilisha kiukweli
Asante muheshimiwaaa
Harakati za kuwainua wanawake wawe vichwa juu ya wanaume vinapofanikiwa, ndipo harakati za ushoga vinaanza na baadae haki za watoto kufanya watakavyo bila kupingwa na wazazi wao. yote haya yanapingana na Neno la Mungu ila yanakubaliwa na wazungu. Na wote ambao mungu wao ni vile waonavyo wazungu ndio ambao huendesha harakati hizi. Yaani hawa hawafai kabisa, ila kwa haki za wazungu wanafaa na ndio viongozi wa kutuendesha kwenye machukizo. Majanga na mabalaa na laana yatazidi kuongezeka kama matokeo ya kumchukiza Mungu kwa uasi dhidi ya neno lake kutokana na upotoka kwetu
Asant kaka angu wabunge muwe hivyo safi
Asante sana mbunge Waitara
Hongera sana waitara tunataka wabunge kama huyu Tanzania
Mungu akubariki baba 💯
Leo wewe ,umeongea point Bora ,tule, mlenda na daga , kuliko watoto wetu, kuwa mashoga , ni usenge tyu
Kumbe kunavitu vya maana anasapot
Waambie ukweli baba kwani mbona bili wap tuna toboa kwanini sisi tuna jirahidi? Tumwombe mama asituongoze ivo awe jasir
Huyo Waziri havai ,...
Xawaxawa baba
Waitara Ahsantee sanaaa baba
Ahsante saana kaka mwita
Safi sana
Yaaaani mungu akubariki baba yangu awo wanaowalawiti watoto wetu awafungwi wanaachiwa huru ndo mana hii hari inaendelea ingekuwa wanafungwa majsha jela aya mambo yasinge endelea yani kama nyie viongozi mnapenda haya mambo au mmeyakubarj yafanyike
Mungu akubariki@Waitara
Hongeraa wanatuletea ungaa wa ugali unaviashilia wanatuletea sheleeni kwa watoto wetu
Good mheshimiwa
Jesus lord 💔😭
Bora ndoa za mitara wanaume waoe wanawake 20 kuliko mwanangu wa kiume kulawitiwa au kuolea yaani mungu tusimamia hii vita wanawake inabidi tuandamane laa sivyo watoto wetu wa kiume wamo hatarin saaana
Hakuna kitu hapo nimakofiitu, utekelezaji sifuri kuanawatu wanaliamo ndo maana munapaza saut hazifiki
Jambo mbaya sana ushonga
Hii wanatuletea mikosi na laana kwa vizazi vyetu. Ndiyo maana magu hakuhitaji wazungu. Lakini mpaka sasa wameingia na staili ya misaada kumbe wanasambaza ujinga.
Kama mkubwa kasema wakubwa ruksa ushoga ila niachieni watoto, na wote mmeona waziri atakua na nini la kusema? Mnamuonea.
Ongeeni namama kama anashabikia aruhusu na siraha ili boya akikuletea utefe unamuwasha
Good mwita
vita vita mura hakuna vita ndogo
Kwanini serikari isitunge sheria ya kufungwa? MTU yoyote anae jihusisha na ndoa moja au ushiga
Mwanaume Museven tu Africa
Ninachoumia mtt mdogo analawitiwa mlengwa anakamatwa anapelekwa police na anaachiwa huwaga naumia sana niliona mitandaon😭😭
Mh mhata mbunge wangu ❤❤❤
Mngepinga kwa kugomea huwo mpango lakini mnaogopa posho zenu mnaona aibu mnahonga pesa
Limewakia kwenye GIA leo namba 3
😅😅
Limenifurahisha 😅😅😅😅😅😅 kumbe anakuwa vizuri ila ukupe wake tuu😅😅😅😅😅
💯💯💯🥰🔥🔥
Kweli kabisa baba Sema ukweli kila siku ILi watu watoke kwenye ngiza ya wa koloni
Mura leo umenifurahisha
Leo nimekuelewa kuhusu ushoga
Anakiri atafika mbaaali😊❤
Safi sana Mbunge🎉🎉🎉🎉
Kashikilia nini hicho
JPM alipingasana hiikitu lakinileo wakubwawanasngalia maishayao
Chief Waitara🎉
Mzee nakukubali hao wanao kubali ushogo waende huko uliko wakawe bwabwa wao
😂😂😂wakurya atutaki ujingaaa buana
Ako kamama basi mungu ndo anajua
Watanzania amukeni jamani inci kwakweli taïfa inakwenda pabaya sana
Taifa linazamishwa na wakuu mmekuwa mstali wa mbele kwa uchawa kwa wazungu mnatushangaza kweli tunalia mnacheka wengine hivi kweli watoto wetu wa kiume waolewe ni mzazi gani atalala usingizi atakula kwa amani
👏👏
Ukimsikiliza huyu kiongozi unagundua kwa nini viongozi wakubwa wapo kimya
Hawa mashoga si wapo mitaani watupe rukhsa tuwe tunawauwa kimya kimya mbona wanaisha tu haina neno
Safisana kaka huna tuwakilisha vema❤❤❤
Hatammi amazake ama zagu
Wabunge pigeni kelele hii ni vita ya dunia.
Waitara uko vizuri lkn tatizo lako punguza ulevi
Anaekubali ushoga huyo hafai kuwa sehem ya bunge letu tukufu
Hii imeendaaa kabisaaa
Huyu ni wabunge safi
serkali yetu inavyo penda misaada aiwezi pnga ilo swala kwasababu ya upgaji Ila ushoga nikitu kibaya Sana hii tanzania inabid iamke Kama Uganda. saiv mashoga wanaongezeka kla kkicha
Wewe ndio kidume