Uchambuzi Wasafi FM 🚨: Usajili mkubwa wa YANGA 🔥🔥 Afrika Kusini | Eng. Hersi amemaliza kazi
Вставка
- Опубліковано 15 тра 2023
- Huu ni uchambuzi wa Wasafi FM leo Mei 16, 2023 ambapo wachambuzi George Ambangile na Nasri Khalfan wamejadili kuhusu tetesi za usajili za klabu Yanga ambayo ipo nchini Afrika Kusini. Yanga inahusishwa na kumsajili Khama Billiat kutoka Kaizer Chiefs na Khanyisa Mayo kutoka Cape Town City.
#afrikakusini #yanga #usajili #enghersi #wasafifm #khamabilliat #khanyisamayo #tanzania #simba #yanga #cafcc #jemedarisaid #geofleah #uchambuzi #pesa #soka #tanzania #tff #kariakoo #wamachinga #raissamia #wazirimkuu #kariakooyetu #mgomo #lemutuz #mazishi #biashara #mwanafa #nchi #maisha #daresasalaam #arusha #jinsiya #ninimaana #hakuna #afrikakusini #mamelodisundowns #marumogallants #uza #nunua #youtube #youtubevideos #tanzaniayoutuber #online #simu #computer #zanzibar #feitoto #gari #mkojani #kingwendu #mweusiog #joti #masanja #mpoki #daiamondplatinumz #alikiba #marioo #harmonize #rayvanny #mbosso #zuchu #kingkiba #juakali #uchambuzi K - Спорт
Noma sana 🔥🔥
🔥🔥
❤❤
Wananchiiiiii
Mmhh hata kocha hamna !!
Yangaaaaa
Hongeraa
Yanga hii raha
Hongera
Yangaatasajili, wachezajiwangapi?
🔥🔥
Unaionaje Yanga msimu ujao?
Pitso Mosmane akitua YANGA ndiye coach wa makombe ya klabu bingwa Afrika wataisikilizia wasiotupenda
❤❤❤bonge la m2
Biliat kasha Isha ule
Kikwetu kwetu bado atasaidia sana
Hii yanga itawatesa sana watu hii 😃😃
Watu gani hao?
Sasa ivi munapamba wachezaji mwisho wa siku munawakandia apo ninayemkubali ambangile2 nlickia mjadala wa jana kuusu dumbia wakati anasajiliwa mmempamba sana lakini leo hii munamkandia
Kumbuka usajili ni kama kamari wanapatia na kukosea
Magoli matatu ni lazima leo
Wapi Ranga Chivaviro?
Afrika Kusini 😃😃
TUNAOMBA SUBSCRIBE CHANNEL YETU ILI UPATE HABARI ZOTE NA UCHAMBUZI WA MICHEZO
Uchambuzi wa mchongo