Uchambuzi Clouds FM🚨: Yanga ilivyoandikwa na magazeti ya Afrika Kusini | Eng. Hersi kusajili mastaa
Вставка
- Опубліковано 15 тра 2023
- Magazeti mengi ya leo nchini Afrika Kusini yameandika habari za ujio wa Yanga ambayo itapambana na Marumo Gallants katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika katika dimba la Royal Bafokeng, ambapo taarifa mbalimbali kwenye magazeti hayo ni kuhusu tetesi za usajili ambazo Yanga inahusishwa nazo. Mchambuzi Shaffih Dauda kupitia Hili Game ya Clouds FM amechambua alichokishuhudia huko
#magazetiyaleo #uchambuzi #cloudsfm #afrikakusini #enghersi #shaffihdauda #afrikakusini #yanga #usajili #enghersi #wasafifm #khamabilliat #khanyisamayo #tanzania #simba #yanga #cafcc #jemedarisaid #geofleah #uchambuzi #pesa #soka #tanzania #tff #kariakoo #wamachinga #raissamia #wazirimkuu #kariakooyetu #mgomo #lemutuz #mazishi #biashara #mwanafa #nchi #maisha #daresasalaam #arusha #jinsiya #ninimaana #hakuna #afrikakusini #mamelodisundowns #marumogallants #uza #nunua #youtube #youtubevideos #tanzaniayoutuber #online #simu #computer #zanzibar #feitoto #gari #mkojani #kingwendu #mweusiog #joti #masanja #mpoki #daiamondplatinumz #alikiba #marioo #harmonize #rayvanny #mbosso #zuchu #kingkiba #juakali #uchambuzi #wasafifm #efm - Спорт
SUBSCRIBE CHANNEL YETU ILI UPATE HABARI ZOTE NA UCHAMBUZI WA MICHEZO
Yanga bingwa
Yanga moto wa kuotea mbali ..... weka mbali na watoto
Kabisa !!